Zaidi ya tani 120 za mizigo zilizokuwa katika Boti ndogo ya Mizigo inayojulikana kwa jina la Ruchugi 2 imezima katika ziwa Tanganyika eneo la Bandari ya Kibirizi Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani kigoma.
Boti hilo lilikuwa linasafirsha mizigo kuelekea nchi ya Kidemokrasia ya Congo imezama majira ya 11 asubuhi ya leo wakati ikataka kuanza safari yake na kusababisha hasara kwa wafanyabiashara.
21 апр 2021