Тёмный

DC UBUNGO AIBUKA SINZA KUKAMATA MADADA POA GESTI NA BAR AKUTA MADUDU, AZIFUNGIA "KAMATA WOTE" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 142 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,3 тыс.   
@NyamtigaIbrahim
@NyamtigaIbrahim 21 день назад
Unapokataza Kuuza Bangi Anza Na Mkulima Watu Wanakula Hela Za Uma Mabilioni Lakini Mnawapigia Na Salute Jamani Hiiii Nchi Ngumu Sanaaaah
@mussarashid2216
@mussarashid2216 21 день назад
Punguza Sauti maana WATASIKIA
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 21 день назад
Ni kweli kabisa mafisadi mnawaacha wanaopora nchi lakini mnadili na watu wa chini kwa kutafuta majina ya kazi zenu
@albertmichael4014
@albertmichael4014 21 день назад
Et amekosa Mambo ya kufanya et anaenda kukamata makahaba, asilimia 90 ya nchi zote wanachangamoto hyo sembuse tz hajafanya hata research akiamka tu anaenda kukamata makahaba
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n 21 день назад
@@marandoruzali1946 wanatafuta kiki za kipumbavu
@user-ej5ir5pu7r
@user-ej5ir5pu7r 21 день назад
Kwahiyo ulitaka wale mawe
@omarimpogo6895
@omarimpogo6895 21 день назад
Sas kosa Lao ni nini..!? Munaacha kukamata wala rushwa mnaenda kukamata watu waliojipumzikia zao kwny Nyumba za wageni!!!! Hii si saw
@user-ye4iy8jy2z
@user-ye4iy8jy2z 21 день назад
Kwaio unataka kusema zinaa iruhusiwe tena na unajina la omari kabisa hivi kama ndugu yako anafanya hivo utakubali au unasema kwasababu huna ndugu hapo
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 21 день назад
Kosa lao wanazingua wanajiuza ni kinyume na sheria za Nchi yetu
@MuhammadHassan-xp6dc
@MuhammadHassan-xp6dc 21 день назад
du si mchezo yani mpaka sasa bado haujafahamu kosa Lao!
@user-jc8el6je5e
@user-jc8el6je5e 21 день назад
Punguza ushabki kwenye Mambo ya msingi
@danielmbugi1733
@danielmbugi1733 21 день назад
Ulisha wai fiki ilo eneo ukaona walivyo.uchiii
@clintonarnold6291
@clintonarnold6291 21 день назад
Mi nafikili ni sawa kukamata wale ambao Unawakuta kabsa balabalani wanajiuza lakn sio saw kwenda Gest kushka watu...Mawazo yangu🌄
@nicodemaskapinga-em9pt
@nicodemaskapinga-em9pt 20 дней назад
Upo sahihi sana
@josephmbuya9860
@josephmbuya9860 20 дней назад
Upo sahihi
@Alexismadimo
@Alexismadimo 20 дней назад
Ni kweli lakini ni sabbu vibali havifwati Wangekuwa wanafata wangeepuka yote haya
@FrankChalula-hz6dn
@FrankChalula-hz6dn 20 дней назад
Hapo shida ni ya mwenye guest na sio aliyelala ndani
@user-tk8de2pl4j
@user-tk8de2pl4j 20 дней назад
Nimeumia sana sijapenda
@user-uk3gu2fp2w
@user-uk3gu2fp2w 21 день назад
Wewe naye umekosa kazi unashidwa kero zawanaichi unafanya kazi ambayo siyo sahihi
@MuhammadHassan-xp6dc
@MuhammadHassan-xp6dc 21 день назад
hiyo pia nikero,kazi sahihi ni ipi kama hiyo siyo sahihi?
@VictorLyimo-so9xr
@VictorLyimo-so9xr 21 день назад
Mfano gani unatuonesha tuonyeshe maendeleo
@Mumewangu
@Mumewangu 21 день назад
Unapenda uzinifu wewe?
@mussarashid2216
@mussarashid2216 21 день назад
​@@MuhammadHassan-xp6dcSasa kero kuingilia UHURU wa MTU
@iddiali8057
@iddiali8057 20 дней назад
Mkuu huna KOSA. Huna makosa, chapa kazi
@beratsanoo5778
@beratsanoo5778 16 дней назад
Kama wewe mwanaume Kweli na unajifanya unachukia sana dhambi nenda kapambane na wanaume wenzako unaowapigia salute kila siku na ni wezi wa pesa za umma,Unakuja kuvimba kwa hawa dagaa,Unautani sana wewe jamaa.
@user-xc5tv9dl5k
@user-xc5tv9dl5k 21 день назад
Huyu Dc hafai kuwa kiongozi ipo siku atakuja kufukuswa kazi ww endelea.anashindwa kufanya kazi za maana unakuja kuhangaika na watu wazima.pili unasema wakafanye kazi hiyo kazi umewatafutia.ww Dc hata mshahara hunauwezo wa kuwalipa
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 21 день назад
DC inawezekana hana kazi ya kufanya
@wilbertkemeli8869
@wilbertkemeli8869 21 день назад
Yuko sahihi watoto wadogo wanoishi mazingira hayo wanajifunza nn! Isitoshe hata watu wazima wanaoishi maeneo yale inakua kelo kwao maana mazingira yao yanayowazunguka yanakua sio ya maadili
@andrewmuya7212
@andrewmuya7212 21 день назад
Kwa nini asipambane na vibaka wanazuri watu usiku
@leokamil6284
@leokamil6284 21 день назад
Masifa tu huyo jamaa fala sana, akawape mishahara yake ili iwe mtaji .Ati anawaambia wenye bar wawadhibiti wadada nje ya bar kwani huo ni wajibu wao kukagua wateja huyo ni mjinga kweli. Afunge hizo biashara alafu kodi alipe yeye
@user-yb1ut1yo8u
@user-yb1ut1yo8u 21 день назад
Kweli shida ana taka kuonekana ana fanya kazi 😅😅😅😅
@modricseif1018
@modricseif1018 20 дней назад
DC well done, kazi nzur but hao wote uliowakamata warikodi majina yao kisha hakikisha unawapa mtaji wa kueleweka au kazi za kueleweka kuepukana na umaskini, utakua umetisha ssana💪 👏
@Allybinamour
@Allybinamour 21 день назад
well done DC allah akutie nguvu katika zaid katika majukumu yako.
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh 20 дней назад
Kwel mungu amlinde kwalipi nawakati tunachaniwa nyavu zetu na vibaka ana hangaika na malaya
@Malkia-jv4ct
@Malkia-jv4ct 19 дней назад
​@@EmmanuelChrispin-bo5xhsindo hapo sasa
@user-xh9cf9rn5q
@user-xh9cf9rn5q 21 день назад
Mkuu acha waendelee na maisha yao hakuna jipya hapo.
@sangajaffar7419
@sangajaffar7419 20 дней назад
KWA KWELI HIYO KAZI IMEANZA HAJAZALIWA NA YEYE BALEE ALIPONEA HUMO HUMO
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 21 день назад
Kuna wakat serikali yetu inakuwa kama ina unafki, tunaona kuna wapigaji serikalini mpaka bungeni wanatajwa kwa wizi, wanaachwa eti leo wanajidai wanakatmata dada poa daah! Mungu inusuru nchi yetu.
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 20 дней назад
wanaznguwa
@moshifrank9622
@moshifrank9622 14 дней назад
Hii nguvu ingetumika pia kwa mafisadi
@Sudibo
@Sudibo 20 дней назад
Unakuta huyo jamaa aliliwa hela na madada wa hivyo ndoo maana 😂😂
@ankoharunacomputers9709
@ankoharunacomputers9709 20 дней назад
Iwe Sheria ya Nchi mzima. Bravo❤❤❤🎉
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 21 день назад
sio safi
@Mumewangu
@Mumewangu 21 день назад
Safi mungu anapenda
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 20 дней назад
Kamateni wenzi wauma wanao ibiserikari
@EliaElibariki-pu9lu
@EliaElibariki-pu9lu 21 день назад
Uyu DC anatafuta kiki
@albertmichael4014
@albertmichael4014 21 день назад
Adi nashangaa hv huyu elimu alipata wapi, napata waswas
@Jacklinejohn7
@Jacklinejohn7 21 день назад
Yani makonda ndio kiongoz watu wananyanyasika uko yee yuko bize au anamtafuta hawara wake ndio mana anapita kilakona
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 21 день назад
Kwa nyie mnaojiuza ndio mnaona anatafuta kiki
@lilianobed
@lilianobed 21 день назад
Ye mwenywe demu wake ni malaya hakuna sehem duniani inakosa makahaba alishindwa makonda utaweza we muone machonyalivyo mtoka km katoka kupuliza kutoka kwenye ukahaba ni neema ya mungu nilikua huko kwa miaka7 mungu ndo kaniokoa Sasa siwalaumu makahaba wanajuwa wenywe changamoto zao za maisha we muone akiuza hujui yalo mkuta
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 21 день назад
W​@@rumdeesonsoa1811wanunuz hao
@paulmutailuka2417
@paulmutailuka2417 21 день назад
Safi sana mhe. DC Hassan Bomboko, unafanya kazi nzuri classmate wangu. Mungu akubariki sana, Ni kweli kwa sasa maisha yamekuwa magumu sana ila dada zangu ambao mmeamua kufanya biashara hii ni wasihi tu muachane nayo kuna shughuli nyingi sana za kufanya. Unaweza kuanzisha hata biashara yyt ndogo na ukafanikiwa. Mungu awatie nguvu kwakweli.
@romualdmadeniromuald525
@romualdmadeniromuald525 21 день назад
Biashara bila mitaji
@paulmutailuka2417
@paulmutailuka2417 21 день назад
@@romualdmadeniromuald525 Kaka inahitaji ubunifu wa hali ya juu ili uweze ku survive ktk maisha haya. Nakubaliana na wewe bila mtaji huwezi kufanya jambo ila naweza nikakupa mfano kdg. Kuna kamsemo kanasema anzia unapo weza mtu anaweza akafanya kujiajili mwenyewe kwa kuanza kufulia nguo watu mwisho wa siku akapata mataji na maisha yakaenda vzr, pia anaweza akaanza kuchoma maandazi na akauza mpka akapata mtaji. Sema siku hizi vjn wengi wamekuwa watumwa wa kufikiri sana. Anasubili mpka apate ajira na siku hizi ajira hamna.
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 20 дней назад
awape ajira sasa
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 21 день назад
Vitu kama hivi ndio vinafanya serikali igombane na wananchi😂😂
@Mumewangu
@Mumewangu 21 день назад
Wee mshenzi tu kwa iyo waachiwe kwa sababu nawe unajiuza
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 21 день назад
@@Mumewangu unajua mke wangu, ulaya walishindwa wakaamua iwe biashala halali. Vp wana uhakika wa kuwapatia maisha? Maana pale ndo kula kulala yao🤣🤣🤣
@InocentPius
@InocentPius 21 день назад
Kweli
@Mumewangu
@Mumewangu 20 дней назад
@@OscarAsukenie wewe sijui upo katika Dini gani! Manake ukristo uzinifu unapinga na uislam vile vile unapinga halafu wewe unawaunga mkono mungu mwenyewe anapinga alafu wewe unaunga mkono omba msamaha kwa mola wako utaangamia ukipata ukimwi utajuwa .
@mdl6463
@mdl6463 21 день назад
Walikiwepo tangia enzi Dunia inaumbwa 😂😂😂😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 21 день назад
Namshangaa sana kazaliwa juzi huyo ndio anajiona anajua sana. Serekali yenyewe iliwashindwa waanzilishi miaka ya zamani na walikua na mitaa yao ndio yeye ataweza mjinga huyo
@user-ur8cq1ye3b
@user-ur8cq1ye3b 21 день назад
Mbo​@@leokamil6284mbona mtetea nawewe umo
@user-ye4iy8jy2z
@user-ye4iy8jy2z 21 день назад
@@leokamil6284usiombe kwenye familia yenu awepo japo moja ndo utajua hii aibu ipoje
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 21 день назад
Mpumbavu na mjinga wewe mpenda zinaa mwanaharamu kabisa, kwa hiyo sababu wapo walishindwa hivyo kwa kipindi chake aache sio? Kuchekelea ukahaba ni nisawa na wewe unaetetea pia kahaba au wewe ni mmoja wao unanunuliwa au unanunua? Hawa washenzi wanatuharibia mitaa kwa tabia zao chafu kama sijambo la aibu kwanini wasiuzie watu wa kwao majirani ama mitaa karibu na kwao wakihojiwa hao wote wanatokea mikoani au nje ya mji, ukahaba ni tabia mbovu ya kukemea na sio kukubali kushindwa​@@leokamil6284
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n 21 день назад
​@@leokamil6284😂😂
@TABAKICOMEDY8972
@TABAKICOMEDY8972 20 дней назад
Mkuu unafanya kazi nzuri sana hongera sema kuna mambo mengi na muhimu zaidi kuliko hili mfano barabara ya ubungo mpk buguruni tunateseka tunakaa kwenye foleni kwanzia saa 6 jion mpk saa mbili tupo kwenye foleni kwa ajili ya maroli kuwa mengi sana ebu anagalia vitu vya msingi zaidi hongera kwa kazi nzuri
@lawrenceleonard2007
@lawrenceleonard2007 18 дней назад
Subiri tu barabara zitakuja tu taraatibu tu tunaanza
@user-tq9bn4my7v
@user-tq9bn4my7v 18 дней назад
​@@lawrenceleonard2007 Kinondoni nayo ifanye hii operation hebu njoo eneo la Boko Basihaya ni shida kwa kelele na changu doa.
@EstherAndrea-ho3xe
@EstherAndrea-ho3xe 14 дней назад
Ata luwaha wapo wengi xan
@user-uf7oh5eu4v
@user-uf7oh5eu4v 19 дней назад
Sema siku unaweza ukawa na hata na mke wako guest au mpenzi wako mmeenda kupumzika .alafu operation inakukuta hii ya dc unaweza ukachanganywa na madada poa.kwa mtazamo wangu nipende kuishauri serikali wakamate madada poa wanaowakuta mabarabarani sio ambao wapo kwenye vyumba vya guest
@josephmakonga3201
@josephmakonga3201 19 дней назад
Viongozi wa siku izi wanapenda sana camera kuliko kufanya kazi za maendeleo tengeneza miundombinu ya ajira ndio utatokomeza iyo biashara.
@malakisilas6523
@malakisilas6523 21 день назад
Kazi nzuri sana Mkuu wa Wilaya.
@lilianpuka218
@lilianpuka218 20 дней назад
Wape ajira ss acha kelele🙋
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist 19 дней назад
ajira ni wewe serikali aiwezi kukufata
@ZedMngulwi-gw6nb
@ZedMngulwi-gw6nb 19 дней назад
Jiajiri wewe
@AbrahBuraheze
@AbrahBuraheze 17 дней назад
😂ko hao tu ndio wapewe hajira kwan tanzania wangapa hawana kazi na hawajiuzi😂😂😂
@hamissomary6869
@hamissomary6869 21 день назад
Safi sanaaaaa kiongozi mkuu wa wilaya"All akupe wepesi"wanazalisha snaaa family
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 15 дней назад
Nendeni kwa Mwambukusi na Lisu ili wawatetee sababu Chadema ni chama chenu mashoga na makahaba mtatetewa tuu.
@beddaathanas3150
@beddaathanas3150 21 день назад
Hongera sana comred, kazi nzuri sana
@frankmahenge5943
@frankmahenge5943 21 день назад
Angekamata mashoga ingekuwa safii lkn hapo hamna cha ajabu
@mandelasamson8401
@mandelasamson8401 20 дней назад
Uzuri wa kazi hiyo ni ipi, watu wanakero kibao hazishughulikii anahangaika na malaya,malaya hawajawahi kuwa kero popote
@christiancalvin2183
@christiancalvin2183 21 день назад
Vina mda basii.. Mda si mrefu watarudi na maisha yataendelea kama kawaida
@njuka3515
@njuka3515 21 день назад
Na wateja Ni wenyewe
@abdallahiddy6333
@abdallahiddy6333 21 день назад
hahah
@user-sz9sg1ez4b
@user-sz9sg1ez4b 12 дней назад
Alhamdulillah huenda. Tanzania ikapata neema kamata wote hao manyang'au
@al-bleproshooteur1922
@al-bleproshooteur1922 12 дней назад
❤❤❤❤❤ kazi nzuri njo congo
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 21 день назад
Huyu DC anawalipia kodi hao wamiliki wa lodge? Yaani sasa hv mnaingia mpaka kwenye magesti ,je kama mtu kaenda na mpenzi wake?
@leokamil6284
@leokamil6284 21 день назад
Kwa sheria gani?.kuna shida chungu nzima za kutatua wamebaki kudhalilisha watu .Je hao wenye gesti wazifunge? .Ningeomba uwape hizo shughuli zingine na mitaji sio ukurupuke tu.Uonevu mtupu acha sifa wewe
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 21 день назад
Wanashindwa kukamata wanaotuibia zahabu na haridhi zetu na wanaoiba pesa serekarin wanaenda kukamata watu wanaishi na maisha Yao iyo serekari haijawai kutoa kaz wara pesa hakina misada pesa wanakula wenyewe tu mnakuja kuzaririsha watu na family zao
@josephernest155
@josephernest155 19 дней назад
Unaweza lala zako guest huna hili wala lile DCanakuja paaap unajikuta Centro na kwenye video clip mitandaoni unaitwa Kaka Poa😊
@leokamil6284
@leokamil6284 19 дней назад
@@josephernest155 Huyo jamaa kakurupuka tu kutafuta umaarufu
@selelimaganga6710
@selelimaganga6710 18 дней назад
Mbaya zaidi sasa ukute alieemda anafamilia yake mnamkamata hawaona wanaweza kuongeza migogoro ktk familia?
@user-vk4mv8vs7c
@user-vk4mv8vs7c 21 день назад
Hana kazi DC Hana uwezo wa uongozi Tengeneza ajira DC Haya mambo yalikuwepo tangia enzi ya bwana Yesu Ammulize Mzee Makamba
@ziggertv3185
@ziggertv3185 21 день назад
Akuletee ajira nyumbani wakalime
@ziggertv3185
@ziggertv3185 21 день назад
Uvivutu
@SabrinaMikidadi-oc5xg
@SabrinaMikidadi-oc5xg 20 дней назад
Huko ndo wameonaga pa kupatia kiki wakafunge club za masaki huko au kitambaa cheupe kwanini wanafunga vichochoroni tu
@SabrinaMikidadi-oc5xg
@SabrinaMikidadi-oc5xg 20 дней назад
Mbona tip top bado wapo?
@TwahaRashid
@TwahaRashid 21 день назад
Safi sana mheshimiwa Yani umenifurahisha sana , na huku kwetu tunakerwa na aibu hii,
@AbdulkarimAisha-ex5kp
@AbdulkarimAisha-ex5kp 16 дней назад
Kazi nzuri sana kiongozi dada zetu waache uzinifu watafute kazi zingine uchumi wa nchi ukue
@RobertNjoroge-dt6yc
@RobertNjoroge-dt6yc 20 дней назад
Umefanya vizuri sana ndio watu waolewe na kuoa jamani tunapoeleke sio nafanya kazi nzuri sana hongera
@joycefrances4516
@joycefrances4516 21 день назад
safiiiiiiiii,wanatuletea laaana Mungu anachukia Bali inakuwa ngumu,on do a LA a na muheshimiwa,Hui ndio ma a na ya muheshimiwa,Jes him a ichukue mkondo wake
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 21 день назад
Nafikiri ulikuwa na point nzuri sema ndio ivo mwandiko umekusaliti
@liverobby8988
@liverobby8988 21 день назад
Me nataka nikununue wewe
@RaiderTube
@RaiderTube 20 дней назад
Wewe mwenyewe malaya tu, unakuta unatombwa hapo bikra huna na haujaolewa, au umeolewa unatombwa na michepuko halafu unasema wanaleta laana, biashara hiyo ilikuwepo hata kipindi cha yesu, malaya wewe
@yussufally8668
@yussufally8668 21 день назад
Hongera sana muheshimiwa
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 21 день назад
Weeeeeh huyu DC hataki mchezo eti,kazi kazi🙏🙏🙏🙏
@daudymlauletv8489
@daudymlauletv8489 21 день назад
Mbna hamdili na mashoga wakati yapo kibao huko dar
@DativaMbowe
@DativaMbowe 21 день назад
Ndio nashangaa 🤮🤮
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 21 день назад
Mbona kashasema wanawakamata
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 21 день назад
Hujasikia hapo alichoongea?
@daudymlauletv8489
@daudymlauletv8489 21 день назад
Tuwaone sio tunaona ma dada poa tuyaone mashoga na tuonyeshwe sura zao ili tuwatenge
@DativaMbowe
@DativaMbowe 21 день назад
@@daudymlauletv8489 kabisaaa
@jamesonjames4291
@jamesonjames4291 15 дней назад
Huu ni upuuzi na kutaka sifa tu Kwaiyo watu wasiende gest au bar au watupe vitambulisho basi sasa kama mtu upo bar wazingua hivyo ndo nini kama sio sifa nchi hii adi viongozi wanataka kiki yani kama wanajua sana wakakamate wanaokula hela za miradi ya nchi
@dismasmsemwa8948
@dismasmsemwa8948 21 день назад
Hongera sana mkuu wa wilaya, wakuu wengine wa wilaya Dsm waige mfano huu ili wapate combination nzuri
@dorcasdavid2247
@dorcasdavid2247 21 день назад
M/Mungu Akusimamie Sn Mkuu,,Umejua kunifurahisha sn.maana ni Aibu sn kwa Jamiii
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 20 дней назад
Aibu ya nn sasa
@babazizu1255
@babazizu1255 19 дней назад
Haswa ndgu yangu hasa mfano eti unamkuta mtt wa kiume nayeye anachukuliwa kinyume na maumbile subbuhanna llah
@babazizu1255
@babazizu1255 19 дней назад
Kassimally naww ndyo wale wale nn mtt wa kiume unauliza aibu gani pumbavu weeeee
@kisinza6077
@kisinza6077 21 день назад
Naunga mkono but siungi mkono udharirishaji, msiwaoneshe camera kwa lazima. Ni kinyume na Maadili ya utu. Tumieni vizuri vyeo.
@akidajulius1581
@akidajulius1581 21 день назад
Kuonyeshwa kwenye kamala na wanavyo jiweka uchi kipi , kinazalilisha hapo😮
@christophernzige3913
@christophernzige3913 21 день назад
Mbona hawakamati mashoga?
@kisinza6077
@kisinza6077 21 день назад
@@akidajulius1581 nadhani wewe inamaana Yako, Sasa nilichokisudia na unavyotaka ni tofauti, kwahiyo sikulaumu.
@rehemashetuli8620
@rehemashetuli8620 20 дней назад
Daaaa mungu tulindie vizazi vyetu
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 21 день назад
Hongera sana mh . Dc
@MBANGA_NAME
@MBANGA_NAME 20 дней назад
Tengenezeni mazingira ya ajira, waoneeni huruma wanategemewa, sidhan kama mtu anezakua na uhakika wa maisha na akaamua kuuza nwili, Kwa kulinda utu ni sawa, ila ki uhalisia sio sawa, Tengenezeni mifumo ya uhakika wa ajira.
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 20 дней назад
Mungu Atujibu tumelia sana Mbarikiwe viongozi
@MaikoSiria
@MaikoSiria 20 дней назад
uko vizuri sana yani nchi ikiendelea hiv tutafika mbali
@esmailesmail4319
@esmailesmail4319 21 день назад
Nenda dodoma, kamata wa bunge pia
@chrismkama4889
@chrismkama4889 21 день назад
😂😂😂😂
@AnnaSamson-ym7tu
@AnnaSamson-ym7tu 20 дней назад
Umekosea DC iyo siyo sawa
@Veronicaenos
@Veronicaenos 19 дней назад
Siyo Sawa nn vp Yan mtu anaweka maadil ww unapinga
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o 21 день назад
Safi sanaaa Muheshimiwa
@JumaYusuphu-ek1dn
@JumaYusuphu-ek1dn 12 дней назад
Nimeipendasana iyo hongera ds isiishie kata yaubungotu maana nimbaya sanaiyo
@shyneafya2468
@shyneafya2468 21 день назад
MUNGU AKUBARIKI SANA MKUU wa Wilaya fanya kwa zamu yako Mungu akusimamie
@icesue6613
@icesue6613 21 день назад
Ajira hakuna, Hilo zoezi hutoliweza.
@shaban6644
@shaban6644 21 день назад
Kwa hiyo ndo Ajira Mpuuzi wewe.
@easternyerembe7271
@easternyerembe7271 21 день назад
Safiiiiiiiiiii, njoo Riverside
@nth3512
@nth3512 20 дней назад
Uko alishapita, cjui wamerudi
@daudkindy8062
@daudkindy8062 20 дней назад
MASHAALLAH KAZI NZUR MKUU
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 21 день назад
Mkaifunge lamada
@official_nansty1896
@official_nansty1896 21 день назад
Kweli ramada ikafungwe
@sophsoph4740
@sophsoph4740 21 день назад
Yn pale
@barakalameck2082
@barakalameck2082 21 день назад
Ramada mkaifunge mbona iko wazi
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 21 день назад
Mkamate hata ma kakapoa😂😂😂
@user-bb6nq7qs3d
@user-bb6nq7qs3d 18 дней назад
Mheshimiwa unajaribu kunishangaza unatumia power kubwa kukamata wanawake ,samahani kaka hebu tumia nguvu kubwa kukamata mashoga ,kwani crip gan inayonesha umekamata mashoga ,unafeli bro,niachie inchi hata Kwa dakika 240 uone shughul zangu ,Sasa mheshimiwa u nakamata ambao wanazaa duu kweli nimeamin mashoga wananguvu,boss mtangulize mungu
@user-pw8ml6ts8r
@user-pw8ml6ts8r 11 дней назад
Safi sana👏👏👏👏👏
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 21 день назад
Tatua tatizo la wafanya biashara,hao wadada wanapunguza ubakaji
@israelifissoo2141
@israelifissoo2141 21 день назад
madhara yake kwa jamii ujajua tu watoto wanaoishi kwenye hiyo mitaa lazima wajifunze hayo mambo ya hovyo
@ubunifulifestyle3492
@ubunifulifestyle3492 21 день назад
​@@israelifissoo2141wanawake wa siku hizi ndoa na mapenzi kwao biashara, mi naona bora hao wamejitambulisha kuliko wanaojificha chini ya mwanvuli wa ndoa na mahusiano
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 21 день назад
Mshenz mbwa mweus wewe
@official_nansty1896
@official_nansty1896 21 день назад
Mifumo ya maisha kwa watoto inaanza kwa wazazi
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 21 день назад
​@@official_nansty1896Kama wazazi wenyewe ndio hao wanaojiuza je?
@user-gg4xj1yt3r
@user-gg4xj1yt3r 21 день назад
Msirudi nyuma Mungu awabariki iwe kweli wakarime
@vincentdaud9954
@vincentdaud9954 21 день назад
Siyo wakarime ni wakalime
@janethulotu450
@janethulotu450 21 день назад
@@vincentdaud9954 .
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 21 день назад
Safi sana Mkuu wa Wilaya, Jamani tuwafundishe watoto wetu kufanya kazi ..
@barakajocktan7314
@barakajocktan7314 20 дней назад
Nice one and gud
@dayana5513story
@dayana5513story 21 день назад
Ubakaji utaongezeka
@idrisamngagi284
@idrisamngagi284 21 день назад
Bora . Ili wajue umuhimu wa chumvi kwenye chakula
@azizasaleh6624
@azizasaleh6624 21 день назад
Kwaiyo we unaona aki kufanya uchafu safisana
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 21 день назад
Mbona wanaobaka huwa ni watu wenye wake zao? Tofautisha nyege na ushirikina
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 20 дней назад
Mbona hamkati wabakaji
@TahilaRamadhan-hz3pd
@TahilaRamadhan-hz3pd 20 дней назад
Ubarikiwe sana mkuu🎉🎉
@kemmymartine4884
@kemmymartine4884 12 дней назад
Amen God bless uu hakika mh
@azeezaya8510
@azeezaya8510 21 день назад
Muheshimiwa hongera sn safiiiii sn wanaleta laana hiyo siyo kazi ni laana
@SaidiMiraji-lk3vm
@SaidiMiraji-lk3vm 21 день назад
Mko sawa kabisa lakin nashaluli kamela zisitumike kuwacholesha sura zao ina kua sio vizurii kivilee maana naona maisha bado yataendelea na mmeisha wazalilisha
@leokamil6284
@leokamil6284 21 день назад
Hii ni sifa za udhalilishaji mtupu. Fungeni kisha Serekali ikose kodi. Hii inakusaidia nini wewe mkuu
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 21 день назад
Ungejuwa wewe mteja kaja kunywa kwako una m uliza wewe ni kahaba au una mfungulia bia
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 21 день назад
Nilikuwa sijui Job description za DC,now I understand 😂
@user-rp4wi2if7v
@user-rp4wi2if7v 21 день назад
Hongereni sana
@ZaiNdogondogo-wf7mw
@ZaiNdogondogo-wf7mw 21 день назад
Mnapowakataza wasifanye hiyo biashara basi inabidi muwepe na mitaji kwa ajili ya kujikumu wengine sio kama wanapenda ila ni shida tu zinawapeka huko mungu awasaidie watoke kwenye hiyo laaana
@user-yb1ut1yo8u
@user-yb1ut1yo8u 21 день назад
Uko sawa kabisa wawape mitaji
@marympango9247
@marympango9247 21 день назад
Kwan kazi ni kuuz k...tu....mbona kuna kazi nyingii ..maandaz....nk...kwli kujiuza jmn..hapana...mnisamehe..tu....
@user-vz4xj2ci2w
@user-vz4xj2ci2w 21 день назад
@@marympango9247 INAWAHUSU NN KAZI HAKN
@Majuu-fp3nd
@Majuu-fp3nd 21 день назад
Acha utaira ambao awadangi walipewa mitaji​@@user-yb1ut1yo8u
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 21 день назад
Kama ni hivyo basi hata wezi, matapeli na majambazi waachwe huru maana hawafanyi hivyo kwa kupenda bali kwa sababu ya ugumu wa maisha. Pumbavu zako kabisa
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 21 день назад
haki za binadamu nafaragha mbona hamlioni hili uyu msenge aende RAMADA HOTEL
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 21 день назад
Dah safi kabisa DC
@Segeja-fm3ye
@Segeja-fm3ye 21 день назад
Tanzania ndio nchi pekee ambyo dc anahusika kukamata makaba
@user-xh9cf9rn5q
@user-xh9cf9rn5q 21 день назад
Jamani shughulikieni mambo ya miundo mbinu wala hiyo cyo ishu ht kama mkiwakamata haitasaidia kitu.
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 21 день назад
Msenge wewe kajiuzie poroni huko nguruwe mweusi wewe
@user-ye4iy8jy2z
@user-ye4iy8jy2z 21 день назад
Kuna dada yako anajiuza au mbona unatetea
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 21 день назад
Kumbe ww n mmoja wao
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 21 день назад
Kwann unatetea utovu wa maadili?
@AlyMohd-yp1xe
@AlyMohd-yp1xe 21 день назад
Tufuta ela ww wacha ushamba
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 21 день назад
Hatutaki uharibifu wa maadili
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 21 день назад
Huyu DC amechachamaa sana …Riverside sahv kero zimepungua Ubarikiwe sana
@nth3512
@nth3512 20 дней назад
Mungu akujalie mke mwingine DC ucje ukadanganywa na tamaa
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 21 день назад
Daa uo mshangazi huna nyama za kwenda daa
@MigomgoMigali-ky1jl
@MigomgoMigali-ky1jl 21 день назад
Daaha mwanangu nimeutamani kinyama
@Jumamussa.-gm1eo
@Jumamussa.-gm1eo 20 дней назад
​@@MigomgoMigali-ky1jl kweli babu toto jeupe nyama za kutosha lazima nikalitafute hapo sinza
@strikerforce4949
@strikerforce4949 21 день назад
Huyu dogo mkuu wa wilaya hatoboi. Hiyo vita haitakiwi kwenda kwa kukurupuka hivyo. Angeanza kwa kutoa elimu
@YaeliJoseph
@YaeliJoseph 21 день назад
Mungu atamlinda maana anafanya kazi njema
@gracerichard8145
@gracerichard8145 20 дней назад
Ww unaona sio njema lkn mtaan maisha ni magumu mno watu wamesoma lkn kaz no wanaolewa ndoa nazo changamoto biashara mtu hawez, kweli hii vita ni kubwa ngoja tuone​@@YaeliJoseph
@melchiadepaschal3097
@melchiadepaschal3097 21 день назад
Hii sio powa kabisa, nikuwazalilisha tuu, maisha ni magumi, serekali tengeneza ajira kwa vijana, hakuna anaependa kujiuza
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 21 день назад
Basi hata wezi, matapeli na majambazi waruhusiwe maana hata wao ni maisha magumu
@nshaijatedy5512
@nshaijatedy5512 21 день назад
Umo na singashai na watoto wa chuo wakawemo umo😂
@jimysanga5777
@jimysanga5777 16 дней назад
DC BIG-UP SANA. TAIFA LINALORUHUSA HAYO LAZIMA LITAVUTA LANA.WALA USKATISHWE TAMAA NA MTU YEYOTE.
@allymtapera5370
@allymtapera5370 21 день назад
Mungu awatangulie ila kuna wapumbavu watakuja kuwakatisha juhudi hizi
@MuhammadHassan-xp6dc
@MuhammadHassan-xp6dc 21 день назад
Kweli kk kuna baadhi ya watu hawana akili alafu wanalalamika kuwa viongozi hawafuatilii
@frankmahenge5943
@frankmahenge5943 21 день назад
Mbona msako wa mashoga hatusikii
@chrismkama4889
@chrismkama4889 21 день назад
Iyo kazi ni kazi ya kitabia.kukomesha tabia ya mtu aliyeshikwa na mapepo si kazi nguvu za kimwili ni kazi ya neno la Mungu liumbe upya Roho na mhusika akubali kumpokea Mungu.Shida kubwa Wanawake ni wengi Duniani kuliko Wanaume, ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira ni chanzo cha hayo.tatu wakuu ndo wanaongoza kununua maana masikini anawaza mlo wa siku apateje. MAHAKAMA ITATAFASIRI SHERIA KWA USHAHIDI.SWALI WATAKALOULIZWA UPANDE WA SERIKALI NI KWAMBA WAMEWAFUMANIA WAKIFANYA IYO BIASHARA? KUNA MASWALI MENGI HAPO.NAFIKIRI MNGEWAPELEKA KWA VIONGOZI WA DINI NGUVU YA NENO LA MUNGU INGEWABADILISHA MAISHA YAO.KUNA MAHALI PAMEANDIKWA MAKAHABA WATAWATANGULIA KUONA UFALME WA MUNGU.
@user-ui5xc6sb5m
@user-ui5xc6sb5m 21 день назад
Hilo limshangazi veep limenona kinoma
@user-cv4jb1bm6i
@user-cv4jb1bm6i 21 день назад
Umeliona na wewe mwanangu😂
@MigomgoMigali-ky1jl
@MigomgoMigali-ky1jl 21 день назад
Oya mwanangu nimelitamani kinoma😅
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 21 день назад
😂😂😂 jaman
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 21 день назад
Mzigo wa kuvunja chaga
@user-ui5xc6sb5m
@user-ui5xc6sb5m 21 день назад
Uyu mkuu wawilaya Hana mahana kabisa
@JaphetSarawa-ch2qd
@JaphetSarawa-ch2qd 19 дней назад
Nzriii sana hyo
@rahmaihucha8577
@rahmaihucha8577 21 день назад
God bless you,,keep it up
@neemareuben311
@neemareuben311 21 день назад
Nimefurahi sanaaa jamani hongeraaaaaa sanaaaaaaaaa
@annabanene6567
@annabanene6567 21 день назад
😂jamn sasa watu tusiende gest tutaambiwa tunajiuza 😅
@user-vz6kk8id2f
@user-vz6kk8id2f 20 дней назад
Yaaani inabidi muende vichakani
@annabanene6567
@annabanene6567 14 дней назад
😂😂nyoka watuume
@ChristianMzoro
@ChristianMzoro 16 дней назад
Hacheni kusumbua watu UONGOZI hauko hivo jamani wapeni HAJIRA hao ni watoto wa TANZANIA 😢😢
@user-uo6zj2jm3e
@user-uo6zj2jm3e 17 дней назад
Bora hata jamani maana watu hawataki kufanya kazi nikutaka vitu vya chipu asante sana mkuu
@vibetz9991
@vibetz9991 21 день назад
Tutaishije wahuni?
@KhadijaKiwambu-qx8qh
@KhadijaKiwambu-qx8qh 21 день назад
Utaishije wao Kama Nani nandomana amuowi munapenda nva bure
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 21 день назад
Wakifukuzwa huko sasa ndio watakuja muwaoe. Unakuta mdada anasema sitaki kuolewa najiweza kipesa kumbe anajiuza
@vibetz9991
@vibetz9991 21 день назад
@@KhadijaKiwambu-qx8qh havina stress
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 21 день назад
Njo arusha shivaz
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 21 день назад
Hahaha balaa hapo nlienda kuna balaa zito
@chuchufplatnumz4888
@chuchufplatnumz4888 21 день назад
Shivangaaaaaa. Ofisiniiiii
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 21 день назад
Hata shivas wanatakiwa wachukuliwe hatua
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 21 день назад
@@rumdeesonsoa1811 kabisa wako wazi sana mpk utadhan hakuna serekali
@humphreyfungo7669
@humphreyfungo7669 20 дней назад
Makonda komesha hii biashara Arusha shivaz na kote
@alfeshhassan4181
@alfeshhassan4181 20 дней назад
Kazi nzur masha allah❤❤
@halimaa9367
@halimaa9367 21 день назад
Vizur sana ❤kupunguza uzinifu tzd
@elieneapalangyo6938
@elieneapalangyo6938 21 день назад
Hao wanapunguza ubagaji
@OstakiaCornely
@OstakiaCornely 21 день назад
😂😂😂😂
@karyori69
@karyori69 21 день назад
serikali hamna cha kufanya?
@user-ov7vy5rn2y
@user-ov7vy5rn2y 16 дней назад
Kwann msikimate majambazi unakamata watu wasokuwa nakosa Ety mwapeleke mahakamani uzalilishaji huo Jqman😢😢
@emmanuelmodest7457
@emmanuelmodest7457 21 день назад
MMEKOSA KAZI ZA KUFANYA KAMA SERIKALI. KIFUNGU GANI KITAWAHUKUMU HAO KWA KAZI YAKO, NAAMINI WOTE WATATOLEWA NA MAHAKAMA BURE. MAJIMBONI SHIDA KIBAO HUJAMALIZA UNAHANGAIKA NA UTELEZI. WAKUU WA WILAYA WAONGEZEWE KAZI .
@Mumewangu
@Mumewangu 21 день назад
Unapenda uzinifu na ukimwi uzidi kutapakaa
@mandelasamson8401
@mandelasamson8401 21 день назад
Muone huyo dada polisi anvyomlazimisha huyo mdada poa auze sure,,,nyambaf,
@alexchungu6263
@alexchungu6263 20 дней назад
Yule nae malaya, sema Malaya alie changamka
@AbdallahBabu-jl8ld
@AbdallahBabu-jl8ld 21 день назад
Huo niudhalilishaji
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 21 день назад
We choko nn co mama Ako mbona atumuoni apoo au yupo nn tuambie tuka mnunuee
@leokamil6284
@leokamil6284 21 день назад
Mkubwa sana yaani mimi angenikuta anikamate na mpenzi wangu ningemshtaki kwa kunidhalilisha na nisingempa nafasi. Analeta sifa tu za kijinga
Далее
Yeni Özbək Mahnisi Yoxsa Vefali Reqsi? 😍
00:36
Просмотров 1,2 млн
The Most Impressive Basketball Moments!
00:36
Просмотров 9 млн
If the President wants you dead || James Khwatenge
18:32
Shajara ya Coy Mzungu | Afungua Kurasa za Maisha Yake
57:52
Yeni Özbək Mahnisi Yoxsa Vefali Reqsi? 😍
00:36
Просмотров 1,2 млн