Me sijuagi hata kura inavyopigwa Asante Mungu kuniepusha na huu mchezo mchafu Siasa Siasa sinaga hata muda wa kupoteza kuangalia mambo ya Siasa kwasababu hakunaga haki mwenye haki ni Mungu tu kwanini nisitumie huo muda kumsifu M/Mungu 🙏
Hivi police wa tz mnashindwa kufanya kaz kistaarabu? Yani nyny mkiulizwa nimefanya nn nikosa? Mkiambiwa nipe kitambulisho ni kosa? Mmefanya ss had police na watekaji hawaeleweki kwa sababu ukamataj wenu ni mmoja hamna tofaut
Tatizo police wengi Ni felia ya 4 taaluma ndogo wanatumia Sana hisia badala ya akiri,,tatizo linaanzia katika kuajir watu wengi waliofeli katika elimu ya kupima utimamu wa akiri
Ww unaejua hivi ulishawahi kusikia kuwa Kuna DIVISION A?!!!😂😂😂 HII INCH VILAZA NI WENGI, NDIO WAPO KWENYE SYSTEM....SUPER INTELLIGENT WAPO KITAA WANAPIGA BODABODA....@@erickkiimbila4016
Bila shaka Mwenyezi Mungu ni MWINGI WA HEKIMA NA SUBIRA.Kila dhalimu afanye fujo na udhalimu kadiri asezavyo iwe kwa kutumwa au utashi binafsi,ila ajue umri 'unahesabiwa'. Siku akimtia mkononi hakuna wa kumnusuru maana dhulma zote atalazimika kuzilipa kwa gharama kubwa mno. "Acha wacheke kidogo tu hivi (huku wakidhulumu),ila watalia sana kilio kisicho na mwisho."
Daha hii nchi yetu jamani mungu tutetee hatuna pakulia zaidi yako mungu we ndyo mwenye kuiumba dunia na nafsi za watu wako tuokoe mungu tuokoe yesu watu wanaumia ndani kwa ndani 5:40
Aibu kwa Nchi hii,tonakienda siko. "ILI TUENDELEE TUNAHITAJI MAMBO 4 MANNE; 1.WATU 2.ARDHI 3.SIASA SAFI NA 4.UONGOZI BORA" Huyo ni Nyerere alitufundisha hayo,ambayo ukiyatafakari ni kweli tupu
Ajabu ni kwamba hata hatufikiriii hatima zetu tunatunishiana misuli kisa tuna vyeo na mamlaka lkn Maisha yetu Magumuuuuu... My brothes and sisters, watoto wako hawatakuja kurithi ubabe na Jeuri zako. Jaribu kupambania hatima ya Maisha yako, ondoa Madeni kwa Mangi pigana na Uchumi wako... Hutonielewa kwa sasa maana Afya, ulinzi, vyeo, na Mamlaka ulivyo navyo vinakudanganya😢😢
2 Mambo ya Nyakati (2Ch) 18:16 Akasema, Naliwaona Waisraeli wote wametawanyika milimani, kama kondoo wasio na mchungaji; BWANA akasema, Hawa hawana bwana; na warudi kila mtu nyumbani kwake kwa amani.... Viongozi wa Nchi Hii waliopewa dhamana wajitafakari sana wasifurahie udhalimu huu huku ni kubaya sana mbegu ya ubaya haiwezi kuwaacha Salama hata kidogo
Nashukuru mungu sijawahi nyanyua mguu wangu kujihusisha na siasa wala haitatikea wallah sitokaa nikapiga kura Allah niepushe na kujitafutia kipato pasipo njia sahihi imagine ndugu yako afanyiwe hivi wallah hata uwe na roho ngumu kiasi gani uzalendo utakushinda tu maamuz magumu ndiyo yatafata la sivyo siwez kuvunilia upuuzi Kama huu naomba mwenyez mungu niepushe na janga hili mie na ndugu zangu kwa maana dah
Sheria zote hizo hizo zinazotuongoza zimetungwa na hao hao wanasiasa kilankitu ni kinaamuliwa na siasa shida polisi wetu wanaendeshwa zaid na hisia na sio sheria yani mtu akishajua yey polisi basi atafanya lolote
Hivi unakuwaje mwananchi mtu.anakamatwa na mnaangalia tu hawa polisi ni wahuni tu ni wakuwakabili maana wanalipwa kodi zetu bure wko kwa ajili ya kuibeba ccm
@@allythabiti8150 POLICE GUIDENCE ORDER(PGO) ifuatwe huwez mkamata mtu unahitajika kituo cha polisi bila kumtaia makosa yake pia utumie gari binafsi yenye plate number za mitsubitsh na gari ni toyota polisi hawana uniform yani wanakjja kamata mtu km wahuji wahuni tu
Wakatae sasa na hio waseme sio wao hawana hata haya na hatuwapi kura sasa koz mnalazimisha hamuna busara kabisa tumechukia sana leo uovu wenu watu wanalalamika munakataa leo umedhihirika
Kuna wakati inabidi wakija kama ivyo inapigwa kelele ya WATEKAJIIIII!!!!! watu wanajaa wanawekwa kati wanakula kibano heavy alaf tunawateka wao kisha waseme wanatumwa nanani
Yaani wabongo ni kama manyumbu hakika nimekubali usemi wa Mwl Isaya mwandakise yaani mwenzen7 anachukuliwa mnazunguka tu hapo pembeni utadhani manyumbu kweli.
Hao police wwlikuww na mjumbe wa mtaa au wewe vitqmbulisho ndiyo upolice tumia akili watu wanavitambulisho vya kugushi wewe Kazi kushabikia uvunjifu wa taaratibu za ukamataji wajumbe wa mtaa si wapi kwa Nini hawakushirikishwa katoka haya?