Тёмный

CHALAMILA AWA MBOGO SAKATA LA WAFANYABIASHARA KARIAKOO, ATAKA MAJINA 891 YAFUTWE 

Mwananchi Digital
Подписаться 988 тыс.
Просмотров 6 тыс.
50% 1

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Albert Chalamila ameagiza kuondolewa majina 891 ya wafanyabiashara yaliyowekwa kwenye mtandao wa Shirika la Masoko Kariakoo mpaka pale vyombo vya dola vitakapojiridhisha na majina hayo.
Hatua hiyo inakuja baada ya wafanyabiashara zaidi ya 800 waliokuwepo sokoni hapo kabla ya soko kuungua Julai 2021 kuandamana jana Alhamisi, Julai 11, 2024 kwenda Ofisi za CCM Lumumba kupinga kutorejeshwa.
Katika orodha hiyo, wafanyabiashara 891 kati ya 1,861 ndio walioelezwa kuwa na vigezo vya kurejea. Uamuzi huo uliwafanya kujitokeza katika viwanja vya Mnazi Moja kuhakikiwa na baada ya kutoridhishwa ndio wakaandamana.
Chalamila ametoa maagizo hayo leo Ijumaa Julai 12, 2024, alipozungima na uongozi wa Shirika la Masoko Kariakoo katika Ofisi ya Shirika la Masoko Magogoni.

Опубликовано:

 

11 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 14   
@binsherbal6089
@binsherbal6089 25 дней назад
Hebu nyoosha maneno, Rais amelipa!!!??? Hapo hapo unasema ni Kodi zetu walalahoi!!!??? Amelipa Rais au tumelipa sisi? Hii kauli inakera sana, Kila kitu Rais kafanya Rais kafanya Rais anatoa wapi pesa? Mbona mambo yakiharibika hamsemi kama Rais kaharibu? Kila kitu ni Uchawa tu siku hizi.
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 25 дней назад
Yaani kila kiongozi akitoa hutuba lazima amtaje rais zaidi ya mara kumi, inatia aibu sana, tunaona nchi za wenzetu raisi hasifiwi kiasi hicho
@hudhaifamsafiri8731
@hudhaifamsafiri8731 25 дней назад
Kwan wakuu wetu hawawezi kufanya kazi bila kumuusisha Raisi
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 25 дней назад
leo ajastua leo😊
@gmdigitostore8550
@gmdigitostore8550 25 дней назад
Hapo safi. Kibano hicho.
@GeorgeSikazwe-mm7nn
@GeorgeSikazwe-mm7nn 25 дней назад
😂 hii nchi bhn..serikali nd inalipa ww
@maimunaathumani9121
@maimunaathumani9121 25 дней назад
Kweli mkuu wengine pale kariakoo walisishana familia zima sisi twende wapi
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 25 дней назад
Tuliambiwa pesa katoa maamaa na serikalli sasa shirika limeweka mtaji gani?
@faustinluambano2958
@faustinluambano2958 25 дней назад
Huyu naye.
@user-tn7ic2ky3i
@user-tn7ic2ky3i 25 дней назад
Aneye lipa ni Samiya ao ni serikali acha uchawa
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 25 дней назад
Soko la ccm hilo
@evamacha4861
@evamacha4861 25 дней назад
Mkuu wa mkoa nadhani unakumbuka soko la.mbagala zakgiem ulituuza sana kwa kutudanganya kuwa ukiona kuna mafisadi lakini ulitudanganya soko la zakhiem uliweka wafanyabiashara wapya badala ya wale waliopisha soko kujengwa.ulifanya dhambi kubwa sana bado tunalia machozi ya damu na mungu pekee ndio natafuta machozi yetu.
@hebronmwamwaja7660
@hebronmwamwaja7660 25 дней назад
Siyo ameripa tumeripa acheni ayo mambo ya uchawa tumeripa
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 25 дней назад
Amelipa tumelipa au tutalipa tusiharibiane kiswahili
Далее
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Просмотров 5 млн