Hapa kwa jafo umeweza. Chalamila yeye anatixhia wafanya biashara. Hongera sana Rais Samia kuwapa makavu hakuna kukaa oficeni tatueni kero za wananchi km Mh Makonda. Chalamila ujumbe huo
Jamani wamachinga waliosajiliwa tunaomba wasibughudhiwe ila kama sio machinga ni mfanyabiashra kaweka meza nje huyo hafai anawaletea shida wamachinga waliosajiliwa na wanachama chao kizuri sana kinaitwa KAWASO hio organization ipo smart sana sema kuna watu wanaleta siasa kariakoo kichunguzwe waache wafanya biashara na wamachinga wafanye kaz kwa ushirikiano pasiwepo na migogoro