Тёмный
No video :(

Cheche za Mzee Makamba Dodoma "Dk Bashiru tulimwambia" awaacha hoi Kikwete, Samia 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 22 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 46   
@elishajeremiah8240
@elishajeremiah8240 Год назад
mama Samia... hajapendezua na speechless ya mzee makamba sema anamheshimu tu...
@effarymponzi145
@effarymponzi145 Год назад
mzee makamba sijamwelewa hotuba nzima kwanza anapenda undugu kazini hapo kwenye wazur hawafi ameniumiza sana memkumbuka baba kwangu mim alikuwa mzur sana
@paulnachenga6302
@paulnachenga6302 Год назад
Mungu wetu ni mnyenyekevi hawa wanae Mungu wao Mungu wa Dagon
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Год назад
Mzee makamba hafiki 2024
@nassorally4002
@nassorally4002 Месяц назад
Mimi Nasser ally said nasema mama yetu usiwe na Shaka wewe ni rais wetu 2025 tupo nyuma yako tunashinda Kwa kishindo Kwa nguvu zetu zote
@maishayapora2745
@maishayapora2745 Год назад
Great speech
@ignasnyembo1256
@ignasnyembo1256 Год назад
Mungu wangu Tanzania. Tumekwisha.miaka 60 ya uhuru bado watz hawajaelewa kinachondelea Tz. watz wengi ni km sokwe ktk vichwa vyao.
@user-cu2ug6hp8y
@user-cu2ug6hp8y 10 месяцев назад
WAZIRI MKUU mbona simuoni
@antonyvallerian1718
@antonyvallerian1718 Год назад
Mzee kuwa na hofa ya mungu acha unafiki. Pumzika na vijana wafanye kazi
@maruhe1958
@maruhe1958 Год назад
Hivi kweli waliokufa ni wabaya mbona mzee amefika mbali, tunaomba atueleze alikuwa na maana gani, Mungu hataniwi jamani. NO, NO. NO
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 Год назад
Unamuona hata Raisi samia mashavu yamemuvimba anacheka tu wamempanga hayo maneno
@carolinelinja5635
@carolinelinja5635 Год назад
Yaani speech ya hovyo kweli kweli haijawahi tokea.... Kwani baba yako na mama yako wapo hawajafa? Inamana walikuwa ni watu wabaya?. Wewe una bima na Mungu, inamana hujui kuwa utakufa? . Mwenyezi Mungu akiamua kuwachukua watoto wako wote leo hii usisahau kuieleze nchi kuwa walikua wabaya. Daah Mungu atusaidie tuache uongo.
@drkalokola5861
@drkalokola5861 4 месяца назад
Hekima Hana hekima huyo ni Chawa TU.
@masungamashauri4070
@masungamashauri4070 Год назад
Mzee Makamba 😭😭
@agapelema
@agapelema Год назад
😭😭😭😭😭🇹🇿, n huzuni kwa kweli
@barnabachonja2238
@barnabachonja2238 Год назад
Vijembe vya makamba vinakiua chama chetu..!!!
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 Год назад
Mzee kapinda sana!🤣🤣🤣🙌🏾🔥🔥🔥🇹🇿
@alisonimpaji615
@alisonimpaji615 Год назад
Babu
@charlessafari4148
@charlessafari4148 Год назад
Amekufa membe makamba hajasema kafambaya mwingine sisi tumasema kafa lafiki dawa na nguluwe
@ommyzubery8358
@ommyzubery8358 Год назад
Huo ndio ujumbe wake kwa wanachama wenzake lakini ukiikariri moja katika sentesi yake kasema neno "NAOMBA -NAOMBA" wanachama wenzangu : hawa ambao sio wanachama yabisi tuangalie mpira madirishani sio uwanjani
@georgembise7234
@georgembise7234 Год назад
Mijizi mitupu nawatoto wao mnajidanganya sana!
@maruhe1958
@maruhe1958 Год назад
Mtu kusema wazuri hawafi ni sawa na kusema wanaokufa ni wabaya, hii ni kweli ndg zangu, mimi ni mwana ccm lakini huyu mzee aah
@ommyzubery8358
@ommyzubery8358 Год назад
Maendeleo kusema katiba yao wameandika wenyewe hivyo wasiogope kuivunja wenyewe kweli jazba imepanda kama wako tayari hata kuivunja katiba ya basi mambo yamekuwa makubwa hebu kwa amani wapenzi wanachama wengine nao uhuru wa kutoa mawazo yao wasiburizwe tu
@billgussy6099
@billgussy6099 Год назад
Mzee katoboa tobo
@hamismabula9934
@hamismabula9934 Год назад
Sidhan kama Samia atakuwa na ubavu wa kumuadabisha Januar Makamba hata akiboronga vipi, akijitahid sana atamhamishia Wizara nyingine! Kwa vizee hivi, Samia hana sauti! Vinafanya vinavyotaka tu! Mpaka matamshi ya ovyo mbele yake!
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 Год назад
Mzee anatafuta asali mpaka atakuja kumba hata nyuki 😂😂😂😂
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Год назад
Mganga wa Kienyeji anaitwa Rajabu kachaguliwa wapi mzee??
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 Год назад
Huyu mzee amezeeka sana ndo sababu anasema Katiba ivunjwe
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 Год назад
Wenyechama chao hao
@kisangageorgethomasi2830
@kisangageorgethomasi2830 Год назад
Kweli apa ni shidaaaa
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 Год назад
Wazuri hawafi anauzuri gani kumuzidi yesu
@Butondo
@Butondo Год назад
Mzee umechemsha pia. Sio Bashiru tu. Watu wazuri hawafi maana yake ni nini?
@kinigarm8239
@kinigarm8239 Год назад
Watu wazuri hawafi???? SMH.
@muddymuddy4129
@muddymuddy4129 Год назад
Mzee mnafiki huyu hatari
@philipphanuel9558
@philipphanuel9558 Год назад
Mmmmm. Wazee wanakiharibu chama
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 Год назад
Watanzania sio wajinga (JPM) Siku itafika.
@khamisminshehemafumbi1882
@khamisminshehemafumbi1882 Год назад
Wazuri hawafi ndio maana jk yup ndio maana kinana yupo mbaya aliyekufa ni nani ? Nyoosha maneno mzee tumekufahamu !
@saimonwatanzaniatanzania1436
Muongo mkubwa
@kiatu
@kiatu Год назад
Mzee anaudikteta.
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Год назад
Wenye chama chao wakishusha mistari..
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 Год назад
Huyu mzee anadhani anaongea na wapumbavu
@azavelilwaitama1975
@azavelilwaitama1975 Год назад
Chama kilicholewa madaraka ni kile ambacho viongozi wake ni kama huyu anayesema eti hakuna wakuwauliza kitu na kanuni na Katiba si kitu cha kuwazuia kuzimia wanachotaka. Wenye hekima ndani ya CCM jiulizieni mlifikaje huko?
@azavelilwaitama1975
@azavelilwaitama1975 Год назад
Eti waazimie sasa hivi hata kama kanuni na Katiba haviruhusu. Sasa bila kuheshimu kanuni na Katiba huo ni uongozi wa aina gani? Viongozi wa aina hii hawajukubushi misingi kwa kusoma kajibu ka Mwalimu Nyerere kautwako TANU na RAIA kalikochapishwa mwaka 1962
@japhetnzunda99
@japhetnzunda99 Год назад
Mzee Makamba
@adam-saffi211
@adam-saffi211 Год назад
Huyu mzee retire, no wonder bado tuko maskini, huyu eti alikuwa kiongozi. Typical bongo imbecile.
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 Год назад
Kwani chama pinzani kiko wap kwanini msifanye juu chini hiki chama kikatoka madarakani jamani tumekichoka hiki chama
Далее
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Просмотров 11 млн
Salamu za Mzee Makamba
9:50
Просмотров 157 тыс.