mzee makamba sijamwelewa hotuba nzima kwanza anapenda undugu kazini hapo kwenye wazur hawafi ameniumiza sana memkumbuka baba kwangu mim alikuwa mzur sana
Yaani speech ya hovyo kweli kweli haijawahi tokea.... Kwani baba yako na mama yako wapo hawajafa? Inamana walikuwa ni watu wabaya?. Wewe una bima na Mungu, inamana hujui kuwa utakufa? . Mwenyezi Mungu akiamua kuwachukua watoto wako wote leo hii usisahau kuieleze nchi kuwa walikua wabaya. Daah Mungu atusaidie tuache uongo.
Huo ndio ujumbe wake kwa wanachama wenzake lakini ukiikariri moja katika sentesi yake kasema neno "NAOMBA -NAOMBA" wanachama wenzangu : hawa ambao sio wanachama yabisi tuangalie mpira madirishani sio uwanjani
Maendeleo kusema katiba yao wameandika wenyewe hivyo wasiogope kuivunja wenyewe kweli jazba imepanda kama wako tayari hata kuivunja katiba ya basi mambo yamekuwa makubwa hebu kwa amani wapenzi wanachama wengine nao uhuru wa kutoa mawazo yao wasiburizwe tu
Sidhan kama Samia atakuwa na ubavu wa kumuadabisha Januar Makamba hata akiboronga vipi, akijitahid sana atamhamishia Wizara nyingine! Kwa vizee hivi, Samia hana sauti! Vinafanya vinavyotaka tu! Mpaka matamshi ya ovyo mbele yake!
Chama kilicholewa madaraka ni kile ambacho viongozi wake ni kama huyu anayesema eti hakuna wakuwauliza kitu na kanuni na Katiba si kitu cha kuwazuia kuzimia wanachotaka. Wenye hekima ndani ya CCM jiulizieni mlifikaje huko?
Eti waazimie sasa hivi hata kama kanuni na Katiba haviruhusu. Sasa bila kuheshimu kanuni na Katiba huo ni uongozi wa aina gani? Viongozi wa aina hii hawajukubushi misingi kwa kusoma kajibu ka Mwalimu Nyerere kautwako TANU na RAIA kalikochapishwa mwaka 1962