Тёмный

Mstaafu Kikwete awachana CCM mbele ya Rais Samia | Amtaja Dk Bashiru "Sijui kama yuko tayari" 

EastAfricaTV
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 323 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

17 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 535   
@merinankullua5874
@merinankullua5874 Год назад
Mungu tusaidie ,hawa watu wako kwa maslai yao tu ,hawaoni shida za wananchi ,
@antonywilliama2868
@antonywilliama2868 Год назад
mungu tupe uvumilivu maana tunayoyaona ni majabu tu ila yanamwisho wake
@edwinmbelle4207
@edwinmbelle4207 Месяц назад
Kila kitu kinamwanzo na mwisho,
@marcodomnick8122
@marcodomnick8122 Год назад
Oko sawa
@saimonwatanzaniatanzania1436
Sio kweli
@emmanuelmwakyusa8206
@emmanuelmwakyusa8206 Год назад
Good president kikwete ...vry transparent
@EdisonSali-g7d
@EdisonSali-g7d 10 месяцев назад
Impressive service
@peterchapusa2972
@peterchapusa2972 Год назад
The spirit of Magufuli will forever remembered ....
@deusalloyce6124
@deusalloyce6124 Год назад
Kweli magufuli was the best president in Tanzania.
@EdisonSali-g7d
@EdisonSali-g7d 10 месяцев назад
His contributions to Tanzanians will remain live except to those who missed his reign
@DaudKitugi
@DaudKitugi Месяц назад
Naunga MKONO hoja
@giftsokolo3
@giftsokolo3 Год назад
Mweeee cjawai barikiwa na huyu cjui kwa nn Mungu nisamehe tu ☺️
@peterpetermdaku1691
@peterpetermdaku1691 Год назад
Waziri mkuu chukua fomu😎✌️
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 Год назад
Waziri mkuu ni bendera huyo
@samateryusuf4345
@samateryusuf4345 Год назад
Waziri mkuu aliyedanganya msikitini siku ya ijumaa kusema kuwa magufuli Bado Yuko hai?
@ahz6907
@ahz6907 Год назад
Huyo ni walewale tu
@DaudKitugi
@DaudKitugi Месяц назад
Naunga mkono hoja
@FrorencioArbertoArberto-ij3km
Nakukubali sana kiongozi,
@mussamkali9926
@mussamkali9926 Год назад
Jakaya top in tz
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 Год назад
Ukweli ni kwamba, wapo wana CCM wazuri zaidi na wenye Uzalendo wa kweli zaidi kuliko waliopo.
@saimonwatanzaniatanzania1436
Wao
@ayurekituz736
@ayurekituz736 Год назад
Mazoea ni mabaya sana so support president kikwetefo his brilliant sentiments in terms of Tanzania democracy.
@ashiyafarid9122
@ashiyafarid9122 Год назад
Rip jpm, Tz inako elekea Mungu aisadiye
@sankeabeli6692
@sankeabeli6692 Год назад
Nakupenda Sana mweshimiwa,k Wakanye sanaaaaaa
@EmanuelQamara-f1d
@EmanuelQamara-f1d 6 дней назад
Good speach
@aminaomary5567
@aminaomary5567 6 месяцев назад
Kweli kabisa mzee Kikwete❤❤❤
@StellaKaluwa
@StellaKaluwa 2 месяца назад
Sio msitafu huyu ndio anaongoza nchi huyo ndio msoga yeye mkewe watoto wote ni viongozi wafalme HAO msoga mateso YETU sisi wanyonge ni porojo wapo wanasiasa wengi sisi ni waganjaa kweli yeye kashiba
@PeterNMzee
@PeterNMzee Год назад
Bashiru anapata hard time ku cope..... Lakini wa TZ mkiwachagua hawa ntajua kweli sisi ni viazi mviringo
@ellymakongo656
@ellymakongo656 Год назад
Vya chips kabisa 😂
@ehecodecbo4081
@ehecodecbo4081 5 месяцев назад
Huyu ni mwanasiasa
@BakuzaSimon
@BakuzaSimon 10 месяцев назад
Humble style of leadership is not the good way of effective impact that is why every sector was very weak! RIP MY FAVOURITY PRESIDENT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI
@jumambaji9059
@jumambaji9059 Год назад
Huyo aliye huru ndo kale mambo ambayo miaka 60 mmeshinda acheni ujinga we kama awamu yako imeisha siutulie usubirie kufa tu mungu yupo na zamu yako itafika tu
@ayurekituz736
@ayurekituz736 Год назад
Wazi Raisi Kikwete ,wakenya tunamtakia heri na baraka Rais mama Samia.Peleke Bono mbele na maisha bora kwa Watanzania
@kennywilliam2466
@kennywilliam2466 Год назад
Ya kaisali muachie kaisali na yaliyo ya mungu muachie mungu sasa we mkenya chamgamoto za watanzania hauzijui ebu jifunze kukaa kimya sio kila kitu lazima uchangie
@juliuskenyatta5037
@juliuskenyatta5037 Год назад
Kikwete is a shame to Africa. He can now have a chance to address an audience after DKT Magufuli. We lost Dkt. Magufuli, the true Son of Africa, but his spirit lives on. Tanzaznians must replace this current sell-out administration with another Magufuli. Kikwete needs to disappear into oblivion. Nobody wants to see this Kikwete face. Despicable.
@berthatz
@berthatz Год назад
Kabisa kabisa..Kumbe umeliona hilo kaka yangu from +254…🤝
@juliussilvestar8988
@juliussilvestar8988 Год назад
Wewe julius kenyatta concentrate with your damaged country.Tanzanians we re happy with our peace and respect and oneness that Mwalimu left us with.Not like your names sake kenyatta who didn't concentrate to unite you guys.Have respect for our leaders The same kikwete you re talking I'll of him he s the one who initiated peace talks between kibaki and Raila when your country was torn apart in 2007/2008.
@juliussilvestar8988
@juliussilvestar8988 Год назад
Wewe julius kenyatta concentrate with your damaged country.Tanzanians we re happy with our peace and respect and oneness that Mwalimu left us with.Not like your names sake kenyatta who didn't concentrate to unite you guys.Have respect for our leaders The same kikwete you re talking I'll of him he s the one who initiated peace talks between kibaki and Raila when your country was torn apart in 2007/2008.
@amiriadam9730
@amiriadam9730 Год назад
Live long Dr Kikwete,live long Our President Mama Samia.
@amiriadam9730
@amiriadam9730 Год назад
Remain with your Old Nairobi let us proceed with building out Nation.❤🇹🇿
@LucasSalimLiamaLiama-vq7qh
@LucasSalimLiamaLiama-vq7qh 4 месяца назад
Mimi nilimpenda magufuli tu ila sikuipenda ccm
@AgreyAmon
@AgreyAmon Месяц назад
Mungu atusaidie sana wako kwa masilahi yao
@kennywilliam2466
@kennywilliam2466 Год назад
Kweli ni kazi ngumu sana mnayoyoifanya ccm kwenye nchi hii kuifanya dunia kuwa kijiji hii ni sawa na mnafturu mchana ndani ya chumba chenye Giza katika mwezi mtukufu wa ramadhani mw.mungu ashughulike na nyie maana mioyo yenu imebeba maovu ya mengi sana!!
@bwagizoselemani8434
@bwagizoselemani8434 Год назад
Approximately million 900 imetengwa kwajili ya sherehe wakati wananch tunaish maisha magumu maji shida umeme shida vyakula vipo bei ghali lakini viongoz wao wanaongea mambo mengine ambayo hayana msingi kiukwel tupo katika wakati mgumu sana
@ernesthungu
@ernesthungu Месяц назад
Nakukubali sana kikwete mungu akuongezee siku za kuishi
@djnnyandboy564
@djnnyandboy564 Год назад
R.I.P Mfalme wetu JOHN POMBE MAGUFURI kwan umetuachia viongozi MAANDAZI kwan wanasifiana kwa upuuzi wanao ufanya
@Zuwenamachela
@Zuwenamachela Год назад
Mfalme wa mamako ndoman mbwa we kmy mfuate huko akukanyage maana naona waumia
@aishaalbalushaishabalush8291
sana maghufuli king wa Africa nzima hakuna wakumfikiya baba yule kwa mazuri yake mashetan yanajitahid kumchafuwa ila wapi
@djnnyandboy564
@djnnyandboy564 Год назад
Halafu ujue kitu kimoja au vp sijapanda jukwaan kwa ajil ya kutukanana sawa, ungejibu kistarabu au vp usitake kunitafutia/ kuniweka kwenye kundi lisilo faa sawa narudia usiniweke kwenye kund la wahun, replie tena
@hassnsalim5156
@hassnsalim5156 Год назад
SANAA IENDELEE Makundi oyeeee
@yakobojoseph965
@yakobojoseph965 Год назад
We jikute tu, ipo siku nawe itabaki historia........ Pumzika kwa amani Mzee wetu😭😭
@consolatamnaku9401
@consolatamnaku9401 Год назад
Na tutaisoma kweli tulikichagua wenyewe hiki chama, lakin mje basi na fact point ya kwa Nini Samia agombee mwaka 25
@FerdinandMatangalu
@FerdinandMatangalu 6 месяцев назад
Hongera sana mh kikwete
@obedwilliam5906
@obedwilliam5906 Год назад
Huyu Samia huyu mhuuuuu aya bwana pumzika kwa amani magu😭😭😭😭😭😭
@swimmermoddy3263
@swimmermoddy3263 Год назад
Yani inanichoma hadi leo hata kesho
@azizabdallah585
@azizabdallah585 Год назад
Asante sana kwa hotuba yako Mh. Rais mstaafu Kikwete....ukweli uko wazi kidogo....CCM ina mpasuko na makundi....wajirekebishe!
@jumaothman9449
@jumaothman9449 Год назад
Dr. Jakaya Kikwete mimi nakukubali sana na ingekuwa katiba yaruhusu ningekuomba ukarudia tena kutuongoza watanzania.
@tonnyojambo1731
@tonnyojambo1731 6 месяцев назад
Mpumbavu wewe😅
@joezeno8
@joezeno8 6 месяцев назад
@@tonnyojambo1731😂😂😂😂😂😂
@jafaryjey
@jafaryjey Год назад
Yaani mkija kumwacha mtu ambaye siochaguo la wananchi agombee nitawaona wapuuzi sana, Kikwete usitutishe, Samia ni Rais wetu but she is not our choice it was MAGUFULI, So muhula ukiisha tunataka waheshimiwa wagombee ili tupate chaguo letu msitake kutulazimisha
@samwelsimon4800
@samwelsimon4800 Год назад
Wakati wa mungu utafika TU watanzania wapo misri wakiteswa na farao ipo cku Moja mungu atamwinua Musa mwingine wa tatu
@jafaryjey
@jafaryjey Год назад
@@samwelsimon4800 umeona eeh!
@AbrahamSekuze
@AbrahamSekuze Месяц назад
Hayati Nyerere aliwahi kusema kuomba uongozi wakati mwingine ni kujitafutia laana mana hutakuwa na mamuzi yenye kujenga
@hoseakavubu2844
@hoseakavubu2844 Год назад
Tumamtaka Waziri mkuu
@DaudKitugi
@DaudKitugi Месяц назад
Naunga MKONO hoja
@alijuma8009
@alijuma8009 Год назад
Jaji warioba mwanachama asieweka mbele Imani ya form za CCM
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 Год назад
Naona Giza mbele
@hajnuabam452
@hajnuabam452 Год назад
Mzee baba upo vzr
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 Год назад
Badilisheni katiba nchi inaenda pabaya inaliwa mbaya badilisheni uongonzi maana hii ni bara siyo nzanziber
@cricwambali1352
@cricwambali1352 Год назад
Namuona polepole akigombea upande wa pili patakua patam hapoo na hivi umeme wa shida kwa mtaa kazi mnayo
@SelemanAlly-lz4sb
@SelemanAlly-lz4sb 2 месяца назад
Kweliii kabisa saaf
@GeofreyMalingumu-kt5ik
@GeofreyMalingumu-kt5ik Год назад
Kweli mstaafu anafaa amekabidhi majukumu makubwa serikali
@KhamisMbarouk-n3c
@KhamisMbarouk-n3c 2 месяца назад
Safii
@deograsiamgeni5716
@deograsiamgeni5716 Год назад
Mnajali kamati kuu ya ccm na siyo Watanzania wote.
@josephjohn6783
@josephjohn6783 Год назад
Wazili mkuu Kusema ukweli Anafaa. Sana Anamusimamo
@DaudKitugi
@DaudKitugi Месяц назад
Naunga MKONO hoja
@ludigomhagama4023
@ludigomhagama4023 Год назад
Magu atakumbukwa daima. Hap hakuna kitu kabisaaa
@bsmonline8482
@bsmonline8482 Год назад
Eti sio Vita vya Kupigana Marungu bali ni vita ya kupigana kwa Hoja Kama umemwelewa gonga Comments hapo
@ibrahimyahyayussuf7947
@ibrahimyahyayussuf7947 Год назад
Wewe kikwete mungu anakuona sisi hatuchangui ccm never
@charlesmapunda5905
@charlesmapunda5905 Год назад
Wapumbavu wa kufikiria na kuchanganua hoja na midahalo mbalimbali lazima wakurupuke na kumuona Dr Bashiru kaharibu badala kuchukua hotuba yake kama kachangamoto yakuifanyia kazi ili kuwaziba wakulima midomo sasa wao wanataka kuwafanya Watanzania kuwa ni Mapimbi wa kuwaburuza kama watu wasio jitambua.
@enockkibona7522
@enockkibona7522 Год назад
Sema bro umeongea vizuri sana,
@abelmirwatu544
@abelmirwatu544 Год назад
Yani mnawaza uchaguzi wakati umeme na maji ni shida hapa Tanzania dah! Mungu atawaukumu kama wakishindwa watanzania.
@thomastarimo
@thomastarimo Год назад
Kaka yangu magu hapo ulipo lala mungu apawekehe uliizi wa malaika wake kaka magu nakukumbuka sana kutokana na ubebari mkubwa uliorudi hapa kwetu kaka magu kamwe siwezi kukusau kaka
@mrnobody-qg6ed
@mrnobody-qg6ed Год назад
Wanalazimisha mtu yeyote asijitokeze kuwania urais kazi kweli kweli
@froma3732
@froma3732 Год назад
Halazimishi ndio wanavojipanga miaka 10
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 Год назад
Wanalijinda wao na maali zao
@DaudKitugi
@DaudKitugi Месяц назад
Wanaweza ata wakamuua
@lawrencemagwaja6746
@lawrencemagwaja6746 Год назад
Haya bwana
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 Год назад
Tunakazi kubwa hawa watu labda miaka 2000 ndowatatoka madalakani wanatumia nguvu kubwa hapo tu wametumia Kodi zetu mungu tu atusimamie
@sweetbertkikarugaa8814
@sweetbertkikarugaa8814 Год назад
Tushawachoka Ila bc atunanamna yakufanya,
@Jackson-Novat
@Jackson-Novat Год назад
Namna ipo
@benedictmhina8880
@benedictmhina8880 Год назад
Hakuna namna
@herrysonk.edward609
@herrysonk.edward609 Год назад
Usiseme hiko kitu namna tunayo tena kubwa tuu
@photopicha8298
@photopicha8298 Год назад
Very good Dr jk
@antoymaritini571
@antoymaritini571 Год назад
Waziri mkuu chukua fomu🙏🙏🙏🙏🙏
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 Год назад
Hata akichukua fomu lazima aifate katiba ya ccm kama inavyotaka
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 Год назад
Baelezee hawajui wanajiropokea nani atampa huy
@senyagwadickson9084
@senyagwadickson9084 Год назад
Aaa we Mzee toka hapa waizi wakubwa
@GabinusMbele
@GabinusMbele 2 месяца назад
Good
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 Год назад
OOOOH,NDO MAANA JPM ALISEMA NAJITOA KAFARA KWA KUWAMBIA UKWELI.MUNGU BABA ULIYE MBINGUNI TUOKOE WATANZANIA TWAAAAAFAAAAA.
@alfanmussa3041
@alfanmussa3041 Год назад
Yetu macho
@Mlele-up1xc
@Mlele-up1xc 2 месяца назад
Hivi kila anaekuwa katibu mkuu ccm (T) ni kazima aitwe comred maana hata mwkiti mbona haitwi hivyo?
@samwelipima3795
@samwelipima3795 Год назад
RIP JPM tutamkumbuka uozo umeludi wapigaji wapo kazini mama nchi umeludi kwa majangili
@omarypongwa9246
@omarypongwa9246 Год назад
Wewe msukuma hebu tulia
@sebastianmwagongo8029
@sebastianmwagongo8029 Год назад
Hongera sana mzee Jakaya kikwete kwa kutuambia ukweli 💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼
@willylazarusmwaigwisya2683
@willylazarusmwaigwisya2683 Год назад
Wakati umefika mwananchi arudishiwe nguvu zake na nguvu ya mwannchi ni sanduku la kula apige kura ihesabiwe ithamiwe na itangazwe kama alivyo piga hii ni ndani ya vyama na nje ya vyama itaondoa uongo uchawa, kwa wanaotaka uongozi ndani ya chama wajijenge kwa wanachama na kwanwaotaka uongozi nje ya chama basi wajijenge kwa wananchi. Kwa hali ilivyo sasa watu wanajijenga kwa viongozi kwa umbeya uchawa kawasabu mwanachama/mwananchi amepokonywa haki yake ndiyo maana wanasusa kupiga kura.Msiposikia hili endeleeni na siasa zenu wengine tubaki wakimbizi nchi yanu
@sharifuamuri4638
@sharifuamuri4638 Год назад
Akili nyingi safi kula chochote nakuja kulipa
@humphreymsengi6686
@humphreymsengi6686 Год назад
@@sharifuamuri4638 🤣🤣🤣🤣
@humphreymsengi6686
@humphreymsengi6686 Год назад
Aisee umeongea kwa uchungu sana. Mungu sio Mwanadamu, siku moja atajibu.
@simonsadala2386
@simonsadala2386 Год назад
Mungu simama na Taifa letu maana kila kona wananchi wanalalamika
@stephenmseti5539
@stephenmseti5539 Год назад
Tuunganishe nguvu yetu kama nchi zingine. Huu ujinga wa kurithishana utawala eti destury yao wakati mtu hatuna furaha zaidi wananeemeka wale walichonacho. Nchi inatawaliwa na ujinga uliopitiliza. Huyu mama sio Rais wangu
@tanzanitejoshua3681
@tanzanitejoshua3681 Год назад
Kaota mapembe RIP MAGU uvivu wa kuamka ndo nakumbuka ilikuwa kauli yake ya kwamba kila siku lazima nipigiwe simu ili nikafanye kazi fulani yaan shidaaa ukombozi wa fikra
@rashidiyasini4159
@rashidiyasini4159 Год назад
Huyu jamaa anakuwa na maneno mazr lakin hakuna mtu mbaya kwenye hii nchi kama huyu hata kwenye utawala wake alikuwa na maneno mazuri lakin katika awamu zote zilizopita utawala wake yy ndio kaingia mikataba mingi ya ajabu na ndio mpaka Leo inatutafuna. Mzee magufuri kajitahidi kuyafumua lakin wakaona inakuja aibu wakamtanguliza
@aishaalbalushaishabalush8291
yaani 😢😢😢linakera watu halsfu halijitambui baba hili poh
@chujimustafa7209
@chujimustafa7209 Год назад
Mungu akubaliki sana tunakukubali sana
@abednego3876
@abednego3876 Год назад
Ww na nan
@PeterNMzee
@PeterNMzee Год назад
Sema mimi
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Год назад
Kumbe mjinga umebaki wewe tuu
@njemamehuna9821
@njemamehuna9821 Год назад
Next time,pata akili siku nyingine usirudie kutumia we kwenye me
@heronimomsefya3190
@heronimomsefya3190 Год назад
Safi Sana
@marrymenas
@marrymenas Год назад
Hivi hayo makofi yanayopigwa ni ya watu au makofi yaliyorekodiwa kwenye tafrija flan?! Hayahusian kabisa na vitisho vya huyu mzee
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 Год назад
Mhh umeliona hilo
@simonpaul9022
@simonpaul9022 Год назад
Hatumtaki samia wako mzee maana co mzalendo ,tunamtaka majaliwa pia na jatiba mpya iwepo
@isaliisu3408
@isaliisu3408 Год назад
Kama unamtaka majaliwa mwambiye akuowe kwa sasa Rais ni mama Samiya huna maamuzi yakutuchaguliya
@najmamussa
@najmamussa 10 месяцев назад
Kabudi ndy zaidi
@SophiaOtto-fj8nu
@SophiaOtto-fj8nu Месяц назад
🌹🌹
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 Год назад
Kutaka uraisi ni dhambi? Mwenyekiti kama anaouwezo wa kisiasa na anakubalika si mchakato upigwe mbona anatetewa kwa nguvu
@davidchungu6598
@davidchungu6598 Год назад
Kikwete Ukweli Mtupu Wewe na Genge lako Mnaliharibu Saaana Taifaletu. Na Mungu Atawaona Kama Siosasa Hapa Duniani Basi Huko kwa Mungu
@mustyboymaalim2070
@mustyboymaalim2070 Год назад
Waziri mkuu ndio atakuwa rais wa wasaba wa Tanzania 🥰
@nehemiamathias3317
@nehemiamathias3317 Год назад
Inasemekana Waziri mkuu hawezi kuwa raisi katika hii nchi mkuu... hayo ni maagano waliyoweka wazee wa dsm
@robertphilip385
@robertphilip385 Год назад
Unaotawewe Tena ndoto za alnacha kasome katiba ya ccm inasemaje
@mustyboymaalim2070
@mustyboymaalim2070 Год назад
@@nehemiamathias3317 hakuna mambo ya maagano hapa lazima waziri mkuu awee rais hata CCM wakikata tutajiunga na chadema👌
@mustyboymaalim2070
@mustyboymaalim2070 Год назад
@@robertphilip385 hatutambui katiba Cha CCM huyo mama hawezi kazi bure kabisa.. #wazirimkuu mpaka ikulu🤞
@robertphilip385
@robertphilip385 Год назад
@@mustyboymaalim2070 chadema hawachukuitena makapi ya ccm
@iddmlenga1762
@iddmlenga1762 Год назад
Wananch hawajatajw hat kidog..they think how to win only not for the rest of the civil ...duh
@eliusngereza156
@eliusngereza156 Год назад
2025 tumtangulize mungu tu ajibu maombi ya watanzania basi
@MudiLikavile
@MudiLikavile Месяц назад
Wambie jk nakukubali sana
@petersarwatt9127
@petersarwatt9127 Год назад
Wewe mbn nchi ilikushinda Leo ndo unaweza
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Год назад
Sasa ongeeni tu baada ya mwanaume JPM kuondoka ,kikwete hatukupendi na unajua
@yassinphonyogo2347
@yassinphonyogo2347 Год назад
huku umeme hakuna mvua zina nyesha maji yana pungua
@juliusdonard933
@juliusdonard933 Год назад
Tuwazee maendeleo kuwekana juu roho uchaguz mungu ndo anajua nan rais hata jpm mungu kamchukua ni ilipangwa na mungu kwo rais ajaye n mungu ndan ya ccm
@masanjapaulo109
@masanjapaulo109 Год назад
Kweli sisi wagangaa njaa sasahv
@millandoinstructor8844
@millandoinstructor8844 Год назад
Mbona watu hamtaki kustafu...
@saimonlenjemet1458
@saimonlenjemet1458 Год назад
R.i.p rais wangu maguful bado nakupenda ango magu
@priscargodwel3794
@priscargodwel3794 Год назад
Kelele zikizidi anguko lakaribia
@joshuamwambene2874
@joshuamwambene2874 Год назад
MUNGU wetu yupo
@alimussa2655
@alimussa2655 Год назад
Ndio maana kamuondoa magufuli
@udiabdullah5261
@udiabdullah5261 Год назад
Kikwete, I really agree with you, you are really the best, may God grant you a long life in this world
@Binthussein2
@Binthussein2 Год назад
And hear after bi idhni llah...Aamiin
@Mrugurudigitalsolutions
@Mrugurudigitalsolutions Год назад
polee sana kaka
@islachristabinastaravista8104
@@Mrugurudigitalsolutions 😂😂polee tena
@bahatijacob7430
@bahatijacob7430 Год назад
Vitu,vimepanda,tukutane,elfu,mbili,na,ishilini,na,tano
@kennywilliam2466
@kennywilliam2466 Год назад
Moja kati ya dhambi ambazo uislamu unazipinga vikali ni pamoja na unafki we muislamu kweli au muislamu jina kama walivyo baadhi ya wanachama wa ccm
@josephmaganga2667
@josephmaganga2667 Год назад
Majaliwa chukuwa fom
@jaisuriaeoris5911
@jaisuriaeoris5911 Год назад
MAMA SAMIA OYEEEE
@nassaAgency
@nassaAgency Месяц назад
Sema kiongozi wetu hakika tunakuamini
@ignasnyembo1256
@ignasnyembo1256 Год назад
Ajali ya watz ndio huyo
@KilonzoJohn-mg7cw
@KilonzoJohn-mg7cw Месяц назад
Huyu ni mzee aseeleweka ktk nchi hii
@nehemiamathias3317
@nehemiamathias3317 Год назад
Mwanaharakati huru ndio MUSIBA
@Jal210
@Jal210 Год назад
Alikuwa anawabomoa
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 Год назад
Hivi msiba aliendaga wapi kiherehere no 1
@isaackalenge8194
@isaackalenge8194 Год назад
Kama Haki itatendeka Haiwezi kushinda,Maisha ya wananchi wa kawaida wanashida sana,
@yusuphswaibu8532
@yusuphswaibu8532 Год назад
Sàfi sana mzee kikwete umeongea Mambo muhimu Sana ninaimani viongozi wamesikia pia na sisi wapenda amani na chama chetu ccm tutakuwa began kwa began na Rais wetu Mungu atupe afya njema
@williammgonja9622
@williammgonja9622 Год назад
Mzee: nakupenda sana Kikwete
@ayubumajaliwa9618
@ayubumajaliwa9618 Год назад
Huna aibu , mafisadi wakubwa ninyi ,2025 tutawashikisha adabu mbuzi nyie
@ahmedhamad2410
@ahmedhamad2410 Год назад
Nimeamini kama nchi saiz ipo chini ya Kikwete
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 Год назад
Rangi za mboga ya maboga, kazi kweli,kweli! Hakuna hata karangi ka Figo?
@victorphilipo
@victorphilipo Год назад
Sikuwahi kufikiri Kunal shida ya nchi Tanzania Kwa sababu ya wahini watatuua
Далее
Kikwete Ahutubia Bunge nchini Kenya
32:16
Просмотров 142 тыс.