Тёмный

CHEKI HARMONIZE AKICHEZA NA MTOTO WA BABUTALE MSIBANI MOROGORO 

THE MINUTES TOURS
Подписаться 187 тыс.
Просмотров 106 тыс.
50% 1

#theminutestv #harmonize #babutale

Развлечения

Опубликовано:

 

28 июн 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 52   
@beatricemzungu2275
@beatricemzungu2275 4 года назад
Mungu akujalie umri wa uzeeni harmonize....na cku zote mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe....kila kukicha endelea kulipiza ubaya kwa wema...
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 года назад
Naam my dear
@zaynabali6109
@zaynabali6109 4 года назад
Waswahili usema heri kutembea bure kuliko kuka bure, ndio waona awamtoi rajab kwa midomo yao, tena chanda chema uvikwa peta mashaallah nina mengi wakati mdogo🙏🙏🙏
@brunodeche3701
@brunodeche3701 4 года назад
What you did is so great Hamo ,may the LORD bless you ,I always say kuwa wewe ni mfano bora tz,I love your heart.
@najmanajma-4765
@najmanajma-4765 4 года назад
Mwenyezi Mungu awape shifaa hao watoto awaepushe na maradhi na awaondolee huzuni
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 4 года назад
amina
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 4 года назад
Sasa shifaa kwani wanaumwa?
@mariamabdallah5224
@mariamabdallah5224 4 года назад
zee lasali 😂😂😂
@godelurozirumana3308
@godelurozirumana3308 4 года назад
Iyo Corona
@Awatee
@Awatee 4 года назад
@@zuweinaalhabsya8773 🤔🤔🤔
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 года назад
Allah amlaze pema, na awatie nguvu wafiwa.
@chebysylvia5626
@chebysylvia5626 4 года назад
God bless u harmo
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 года назад
Hongera sana Brother harmonize
@habibtyismailhassanismailh714
@habibtyismailhassanismailh714 4 года назад
Masha Allah my brother harmonize may u live along life
@zakyahya4645
@zakyahya4645 4 года назад
Harmonize pepo iko wazi kwa ajili yako ❤️❤️😘😘
@user-wr6lc3jz6g
@user-wr6lc3jz6g 4 года назад
Nampenda hamo....mpaka basi😗😗
@roselynadhiambo8556
@roselynadhiambo8556 4 года назад
You are 1 in a million harmonize..gentleman you are
@mjemasaid6435
@mjemasaid6435 4 года назад
Kwani marhemu kaacha watoto wangapi
@lutifiaussi3728
@lutifiaussi3728 4 года назад
Bigup kwa harmonize
@zaynabali6109
@zaynabali6109 4 года назад
Masikini hana ubaya nao, 2020tutaona mengi tutasikia mengi😭😭😭😭
@erickchilemba1786
@erickchilemba1786 4 года назад
bless ming harmo
@aishahoza7491
@aishahoza7491 4 года назад
Hamonize hivo ndivo inavotakiwa halafu ukitaka upaate mafaniko mtu anapo kukisea usimlipizie kwaubaya asee mungu niwingi wakukunyanyua halaka Sana kimafanikio unaambiwa cheka nawatu uvae viatu kwangu naona umeonyesha mfano nzuri
@frozen4rozen475
@frozen4rozen475 4 года назад
Harmonize is more of a role model very mature
@chauligemeka7840
@chauligemeka7840 4 года назад
Mashaallah
@obediwar1935
@obediwar1935 4 года назад
Poleni
@samanthaali873
@samanthaali873 4 года назад
Mtto hajui chocjote kuhusu kifo😢
@zuwenahumud305
@zuwenahumud305 4 года назад
Dah
@bintykigan6236
@bintykigan6236 4 года назад
Maskini mtoto anasikitisha anacheza haelewi Maana yakifo
@shamsaog2998
@shamsaog2998 4 года назад
Yani inauma Sana daah 😭
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 4 года назад
Yaani,inanikumbusha mama yangu alivyokufa nakuwaacha wadogo zangu wanamiaka 3 ,wakiulizwa mama yuko wapi kaenda shamba akirudi atatuletea zawadi
@aminaissa9756
@aminaissa9756 4 года назад
@@m.mmarckus6298 duuuh pole dadaa, yote ni maisha na yanapita.
@bintykigan6236
@bintykigan6236 4 года назад
@@m.mmarckus6298 inauma Sana wallay yani km mtu hajafiwa na mzazi hawezi Elewa huo uchungu mungu atawapa subra
@bintykigan6236
@bintykigan6236 4 года назад
@@shamsaog2998 kabisa wallay mungu atawapa Subra km mtu hajawai fiwa huona km kawaida lkn kuondokewa nikugumu mno
@asiansky4786
@asiansky4786 4 года назад
Mmeonaaee hamonaiz nimti wenye natunda daima watampiga mawe wanakuona mjinga kwakukataa mkono wako usijali songa mbele weye nihamonayz baanna
@selmaselma8452
@selmaselma8452 4 года назад
Safi saana
@fatimacusman1016
@fatimacusman1016 4 года назад
Pole babu tale Allah atakupa subira na nguvu za kulea watoto wako kwenye maadili mema kama alivyokuwa akiwalea mkeo
@saadakiyungi6437
@saadakiyungi6437 4 года назад
Hapo ndo nyumbani kwa kina babu tale .
@ommyd5517
@ommyd5517 4 года назад
Nadhan wcb watajifunza namna ya kuishi na watu kwa wema na bila kinyongo kupitia kwako ww Harmonize: Waeleweshe waelewe
@Fgldesigns
@Fgldesigns 4 года назад
Lakini wao wameanzisha na Challenge kumzihaki Harmo na wao wanasifia Sallam kutokubali Salam ya Harmo msibani.!!!
@asiansky4786
@asiansky4786 4 года назад
Miee namkubali hamoonaiz hana kinyongo namtuh safisheni nyonyo zenu nyiee mliokataa mkono wa hamonaiz kwani kifo hakina hodi ili msamehewe lazima mute niwenye roho zakusamehe kama hamoo naiz penda
@samsonmwakalinga2480
@samsonmwakalinga2480 4 года назад
amefanya Kitu kizuli harmonize kwenda msibini waachaiv
@salimrashid2295
@salimrashid2295 4 года назад
Harmo endelea kuwa na moyo huo
@aminaomary908
@aminaomary908 4 года назад
Wasaf hawana jipya unaleta bifu hata kwenye mcba
@OmanOman-iu7jf
@OmanOman-iu7jf 4 года назад
Hamonazi unaroho nzuri kweli kama mtu mwenginne bas asingehuzuria kwenye msiba hata kama ukiwapa mkono wanakataa munguu ndie anyejuwa kesho kuna nini usijali ndugu yangu yote mapito tu
@btrendingtv7749
@btrendingtv7749 4 года назад
SAMAHANI NDUGU ZANGU WATANZANIA NA AFRIKA🙏 TUNAOMBA SUPPORT YENU YA KU SUBSCRIBE CHANNEL YETU NDOGO SANA BILI NYINYI WAPENDA ATUFUKI . . ru-vid.com/show-UCaFYVVlnSRFZA3Hsb79PbEg
@jizyeboy7524
@jizyeboy7524 4 года назад
Nc
Далее
Камень, ножницы, нейронка
00:33
Просмотров 113 тыс.
БАССЕЙНЫ ПО ЦВЕТАМ ЧЕЛЛЕНДЖ !
38:20
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
Просмотров 731 тыс.
Napenda nipate lau nafasi : Ben pol (cover)
2:50
Просмотров 2,5 тыс.
HOUSE GIRL EP 52 || love story💞💕
24:13
Просмотров 87 тыс.