Wadangaji hao the reason wanaona its something Easy Though the the cash kinda big compare to the phone itself but if kama she bought it from her owncash hawezi fanya ujinga huo
Uyo anaewazamini izo pesa ili mfanye content AKILI zake aziko sawa amuezi mkafanya ivyo wakati Kuna watu kibao tu wanatafuta million1 tu safari ya mafanikio ya maisha yao ianze
Mie nlichoelewa hapa wauza sim ndio walotoa pesa ndio mana amewalimit wakanunue wapi sim nahilo nitangazo tuu lahilo duka kwani hakuna sim feki mie ndio nlichokiona hapo
Munamkosea Mungu kwamatumizi mabaya ya riziki. Leohii kuna mayatima pia kuna mafakira, nawazee ambao hawana msaada ninyi mnazi2mia pesa kwamchezo bila aibu munalikoddi kilam2 aone Mungu mutamwambiann ndugu zangu ktk iman. ALHAMDULILLA
Kwanza najiuliza hela wanazitoa wanapata faida au wanatoa Tu na wanazitoa wap???ambako hawana uchungu na hela zao kufanyia ujinga heri kutoa kwa wanaohitaji wapate baraka kuliko hizi kufuru😢😢😢😢sijapentaaaa