Тёмный
No video :(

"NILIFUNGWA MIAKA 30 BILA KOSA, NIKAPATA KISUKARI, RAFIKI ALINIPONZA" | TESTIMONY 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 9 тыс.
50% 1

"NILIFUNGWA MIAKA 30 BILA KOSA, NIKAPATA KISUKARI, RAFIKI ALINIPONZA" | TESTIMONY
Ushuhuda wa kijana aliyehukumiwa miaka 30 jela kutokana na makosa ya rafiki yake na baadaye kutoka kwa ruhusa ya Rais John Magufuli.
Ushuhuda wake unamafunzo mengi hasa kutokukata tamaa katika safari ya maisha.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
(+255 784 888982)
(+255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY:
bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
bit.ly/mikasa_y...
GLOBAL RADIO TV:
bit.ly/255globa...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
bit.ly/exclusiv...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania

Опубликовано:

 

6 апр 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 23   
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 4 года назад
Hiyo ndio nchi yetu ilivyokua, uonevu mpk basi, kwa ss tumshukuru Mungu mzee baba yuko makini Muheshimiwa wetu mr Magu💪
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 4 года назад
Simnge weka hata mawasiliano yake ili hata tumchangue kidogo za dawa na hata biashara kidogo😞
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Год назад
Daaa🙆jera kwakwer Uskiye Tu 😭pole Sanaa kaka Angu kwachangamoto 🔥Mungu Atakupigania🙆
@husnahassan6289
@husnahassan6289 4 года назад
Maskeen pole sana kaka yangu Mungu Mkuu
@raphaelenoc6965
@raphaelenoc6965 4 года назад
Pole Sana
@ashritaabdallah6474
@ashritaabdallah6474 4 года назад
Pole Allah akufanyie wepesi
@kanjunjujhone5481
@kanjunjujhone5481 4 года назад
Pole kaka Allah atakulipaa kwa kila jambo
@nomatter1239
@nomatter1239 4 года назад
Inauma snnn
@mwajumakweli7931
@mwajumakweli7931 4 года назад
Pole sana kaka
@fiacredady1107
@fiacredady1107 4 года назад
Kaka pole sana serekali ikulipe tu.hahna hatya.
@zaramunir8238
@zaramunir8238 4 года назад
Sooo sad 😔 😭yani inauma sana kwakweli angekuwa ulaya asingefungwa hivo na wangemlipa muda wake wote aliopotezea jela pour africa pole sana
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 года назад
Pole sana sjahawahi kuona😥 mwenye haki ameachwa na MUNGU🙏
@user-ij2bf8of8h
@user-ij2bf8of8h 4 года назад
⁰ppĺ⁰⁰⁰ said ĺ⁰⁰l⁰⁰0⁰lpl0p⁰pp0l0
@wenge4x423
@wenge4x423 4 года назад
mtihani mkubwa sana
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 4 года назад
Ulizaliwa 1976 kwa hiyo ulifungwa na miaka 14 kama ulifungwa miaka 30 Sasa unassmaje ulipofika miaka 20 ukaanza biashara?
@racheljob6601
@racheljob6601 Год назад
Amefungwa 2000
@ashritaabdallah6474
@ashritaabdallah6474 4 года назад
Wamekudhulumu na mungu atawahukumu wote walokudhulumu
@himoda7647
@himoda7647 Год назад
Sass apo mmemsaidia nn angeyoa namba ya Simu
@hekimasanga3952
@hekimasanga3952 4 года назад
Mtihani mkubwa sana 😢😢😢
@mwajumakweli7931
@mwajumakweli7931 4 года назад
Ad nimetokwa na machozi
@saidybhokey5744
@saidybhokey5744 Год назад
tanzania sheria mbovu uchunguzu wa police mbovu
@remigiuskomba639
@remigiuskomba639 Год назад
Dunia hii dah!
@salumjabir813
@salumjabir813 11 месяцев назад
Tanzania hii...huna hela u can't survive..keai ya kijinga namna hii auntakuwa mzalendo kwel na nchi hii??
Далее
ТАЙНЫ И ЗАГАДКИ ИНТЕРНЕТА 2
41:37
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Просмотров 1,3 млн
CHANZO CHA UMASIKINI - Part 1
13:47
Просмотров 323 тыс.
ТАЙНЫ И ЗАГАДКИ ИНТЕРНЕТА 2
41:37