Тёмный

DC MAGOTI APANDISHA MZUKA,."Askofu Ukileta Uhuni Nitakushughulikia Kihuni, Sitaki Mchezo Mimi" 

HABARIMPYA TV
Подписаться 631 тыс.
Просмотров 26 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 36   
@maalimjaffar5563
@maalimjaffar5563 2 месяца назад
Mwenyezi Mungu awasimamie viongozi kama hawa, waendelee kupiga kazi wawasaidie wananchi wanaodhulumika.
@MwangaPhilbert
@MwangaPhilbert 2 месяца назад
Dc magoti mie nipo bukoba lakin nakukubali sana kazi nzuri
@stevenchawala5316
@stevenchawala5316 2 месяца назад
Mheshimiwa ana MKWARA et anaruka MEZA 😂😂😂 MAGOT 👍👍👍
@grationkato7658
@grationkato7658 2 месяца назад
Makonda,Magoti,Mtaka nawapendaaaaaaa sana
@jacobnghwani1891
@jacobnghwani1891 2 месяца назад
Kazi nzuri sana hii, kongole, ila watu wanaosema sana bongo hii
@amosjmmtimba2949
@amosjmmtimba2949 2 месяца назад
U're doing good....walakini wawezaondolewa kama Jerry Slaa..daaah!
@stanleymanya438
@stanleymanya438 2 месяца назад
😂😂😂😂 huyo jamaaa mwenye mabakamabaka duuuuu!!! Ukikohoa tu umeliwa😂😂
@YusuphuMakange
@YusuphuMakange 2 месяца назад
Hahaha uyo afande namjua vizuri niafande wangu
@straitnews3441
@straitnews3441 2 месяца назад
😂😂😂😂
@frankthadeo1679
@frankthadeo1679 2 месяца назад
Hahaha 😅😅😅😅😅
@HusseinAmiri-pp8dy
@HusseinAmiri-pp8dy 2 месяца назад
Well done sasa Mh: Magoti kdgo kwambali naanza kukuelewa elewa
@shabanidaruweshi-jw5jy
@shabanidaruweshi-jw5jy 2 месяца назад
Magotiiiiiiiii napiga dua hapa uje uhamishiwe kwetu maana unapga kazi sana
@SofiaMvungi-zu5tg
@SofiaMvungi-zu5tg 2 месяца назад
Well done DC chapa kazi wasikuchukulie poa
@EliyaMloy-lf7vp
@EliyaMloy-lf7vp 2 месяца назад
Yan katika vitu ambavyo mtu hutakiwi kujidanganya ni kujiona una mamlaka kuliko Mungu kuleta mapana ya hovyo mbele ya watumishi waliochaguliwa na Mungu hao ni watumishi wa Mwenye Mamlaka isiyowezwa muulize Farao na jeshi lake, muulize sesera na jeshi lake, muulize Goliath na jeshi lake, Muulize Ibilisi shetani na jeshi lake, do politics lkn kuwa na nidhamu kwa Mungu, Mungu hatishiwi Nyau Mzee huyo ni mwisho wa vituo yan hata uwe nani akiamua kukufuta kwenye ramani ya dunia ni jambo la sekunde tu
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 2 месяца назад
😂😂😂😂😂ee Mungu wangu wewe, eti mzuka umenipanda naweza kuruka meza 😅😅😅😅nimecheka kizembe duh
@MartinKavishe-o6d
@MartinKavishe-o6d 2 месяца назад
Toka umekuja kisarawe tumepata heshima iliyopotea mheshimiwa Kweli umekuja kutusaidia nakukubali Sana mungu akulinde nipo nawe
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 месяца назад
Kazi yako ni njema sana nimekufatilia sana unafanya kazi n Njema mnoo ila tu namna umemfokea askofu daa na namna uliongea na mashehe nitofauti ....DC KAZI YAKO NI NZURI SANA ILA NI HILO TU KAMA UNAWAONGELESHA MASHEHE KWA UPOLE NA ASKOFU WAONGELESHE HIVYOHIVYO KWAKWELI
@shabanidaruweshi-jw5jy
@shabanidaruweshi-jw5jy 2 месяца назад
Uyu jamaa safi sana duu aisee kama ingekua kua wakuu wa wilaya wote wapo ivi mbona nchi ingekua poa sana
@AboubakarRashid
@AboubakarRashid 2 месяца назад
Mungu akulnde
@salmaramadhan2725
@salmaramadhan2725 2 месяца назад
Yaani watu wanazurumiwa...dunia hii.. viongozi hwafanyi kazi..kabisa yaani magoti anavumbua madudu
@frankhajimatozi3949
@frankhajimatozi3949 2 месяца назад
Dc ninae mpenda Sana kwa kuchapa kazi😅😅😅😅
@philipongenzatv
@philipongenzatv 2 месяца назад
Umetisha magoti
@rashidjuma1969
@rashidjuma1969 2 месяца назад
Yani hivi ndio wanatakiwa wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya wanavo takiwa kumsaidia Raisi wetu
@EliaHiluka
@EliaHiluka Месяц назад
Kwahiyo wewe ni mhuni siyo?
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 месяца назад
Fatilia biwanja bya makazi vijepimwa Visegese mwaka wa 10 wamevigawana wanaviuza ghali sana ndio maana visegese haijengeki wala muwekezaji hawaji
@KletusChuwa
@KletusChuwa 2 месяца назад
Mbona kama kavaa kihu ...
@user13375
@user13375 2 месяца назад
Kisalawe Kumenoga
@Deoathanasmbongo
@Deoathanasmbongo 2 месяца назад
Hatakama kumbe mnashughulikia watu kihuni na si kwamujibu wa sheria?
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 2 месяца назад
Nitaomba endelee nione io mitikasi
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 месяца назад
CCM hawataki kisarawe iendelee. Miaka 80 wikaya ipo km kitongoji
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 2 месяца назад
Huyu dada hapo pembeni ni nani? maana siku zooote namuona hapo pembeni kwa Mkuu
@josephngigi4779
@josephngigi4779 2 месяца назад
Ndo Mkurugenzi
@kainimlowe9646
@kainimlowe9646 2 месяца назад
Demu wake huyo
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 месяца назад
Bibi yako mzaa babu yako hahahahaaa
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 месяца назад
​@@kainimlowe9646shindwa
Далее
НЮША РОЖАЕТ?
00:17
Просмотров 893 тыс.
MTANGA NA BAMBO ,MITEGO YA MTEJA WA GENGENI ,UTACHEKA.
9:11
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Просмотров 6 млн