Yan katika vitu ambavyo mtu hutakiwi kujidanganya ni kujiona una mamlaka kuliko Mungu kuleta mapana ya hovyo mbele ya watumishi waliochaguliwa na Mungu hao ni watumishi wa Mwenye Mamlaka isiyowezwa muulize Farao na jeshi lake, muulize sesera na jeshi lake, muulize Goliath na jeshi lake, Muulize Ibilisi shetani na jeshi lake, do politics lkn kuwa na nidhamu kwa Mungu, Mungu hatishiwi Nyau Mzee huyo ni mwisho wa vituo yan hata uwe nani akiamua kukufuta kwenye ramani ya dunia ni jambo la sekunde tu
Kazi yako ni njema sana nimekufatilia sana unafanya kazi n Njema mnoo ila tu namna umemfokea askofu daa na namna uliongea na mashehe nitofauti ....DC KAZI YAKO NI NZURI SANA ILA NI HILO TU KAMA UNAWAONGELESHA MASHEHE KWA UPOLE NA ASKOFU WAONGELESHE HIVYOHIVYO KWAKWELI