Тёмный
No video :(

DC MAGOTI ARUDI MSIKITI ULIOLAZA WATOTO 90+, ACHANGIA MIFUKO 300 YA CEMENT “MMETEKELEZA AGIZO HARAKA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 71 тыс.
50% 1

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama, ametoa mifuko 300 ya cement kwenye vituo viwili vinavyotoa mafundisho ya Dini ya Kiislamu ikiwemo kituo kilichopo Msikiti wa Masjid Salaf uliopo Kiluvya Madukani, hatua hii inakuja siku mbili tangu aagize kituo hicho kifungwe na kuwarejesha Watoto zaidi ya 90 kwa Wazazi wao hadi watakapojenga mabweni na kupewa kibali maalum cha kuendesha mafunzo hayo, hii ni baada ya kubaini Watoto hao wanalazwa katika eneo dogo Msikitini na wengine nje ya Msikiti huku mazingira wanayopikia chakula na yanayowazunguka yakiwa hatarishi na machafu.
DC Magoti ambaye amefika Msikitini hapo akiwa na Sheikh wa Mkoa wa Pwani Sheikh Khamis Mtupa, ametoa mifuko 150 ya cement kwenye Msikiti huo na mifuko mingine 150 kwenye Msikiti mwingine unaoitwa Masijid Abdulaziz Ashlak ambako nako walibaini Watoto wakiwa wanalala kwenye mazingira yasiyo rafiki na salama na akaagiza warejeshwe mwakao “Nimefurahi agizo limetekelezwa ndani ya saa 24, nimeamua kuchangia ujenzi na nitasaidia michakato yote ya hati ya kiwanja na usajil wa kituo”
Kiongozi wa kituo hicho, Sheikh Abdul Hamid amemshukuru DC Magoti kwa kuwachangia cement huku akimuomba Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote kwa ujumla kuwachangia pia kila mmoja kwa kile atakachojaaliwa ili wawezeshe kujengwa kwa Hostel ya ghorofa 5 na Watoto warejee kuendelea na masomo… namba za kuchangia ni Tigo Pesa 0719380268 (Jina Abdallah Samudu)

Опубликовано:

 

12 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 471   
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Месяц назад
Mimi ni mkristo lakini uyu shekh kiukweli yuko vizuri ni mtu mwenye eshima na mnyenyekevu nimempenda sana mwenyezi mungu ampe maisha marefu.🙏🙏🙏🙏
@issaadinaniissa6487
@issaadinaniissa6487 26 дней назад
Uislamu sahihi ndio huo unyenyekevu, masalafi ndio hao karibu sana ujifunze mengine mengi
@bakarisahede9532
@bakarisahede9532 26 дней назад
Charlesmugisha6529 Nikweli nduguyangu hatamimi kanihuzunisha sana huyu sheghe mpole mnyenyekevu duh
@Muadhin1
@Muadhin1 13 дней назад
anakukaribisha ukamtembelee
@victorterry227
@victorterry227 29 дней назад
Shukrani Miradi Ayo kwa kutusapoti sisi waislam katika hili insha-allah Allah akulipe na akujalie ya heri na akuepushe na yashari
@rashiditembo1574
@rashiditembo1574 Месяц назад
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu DC wangu,na akutangulie katika majukumu yako ya Kila siku.
@jojomdosi-ip4rg
@jojomdosi-ip4rg Месяц назад
Kiongozi mwenyezimungu hakujalie hakupe maisha marefu hakupe hulizi wa kutosha kwa kutusitili Aameen ya rabb
@KONDOBANNAHMUSIC
@KONDOBANNAHMUSIC 25 дней назад
Huyu DC hapo ata akifa Leo ghafla PEPONI anaenda
@KONDOBANNAHMUSIC
@KONDOBANNAHMUSIC 25 дней назад
​@@jojomdosi-ip4rgkabisa yani sikutegemea aseeeee kama angerudi kwa staili hiyo huyu BANA mi namuombea aseeee ni mtu mwema
@sufianijuma5568
@sufianijuma5568 Месяц назад
Kwel,Allah amesema kwel ktk Quruan ,Mnaweza mkachukia jambo likawa heri yenu na mnaweza mkapenda jambo likawa shari yenu,Allah tuzidishie subra Waislam na hekma na busara kwan aman kwetu ndo tulio usiwa na mtukufu wa daraja.Allah iongeze nchi yetu muongoze Dc Magot aijue haki na aifuate,Amyn Amyn Amyn.bila kusahau Mpe Hekima na Busara Rais wetu Samiya Suluhu Hassan❤Amyn Amyn Amyn
@YohanaThadeo-ki2qg
@YohanaThadeo-ki2qg Месяц назад
Samia
@RamaahMtulivu
@RamaahMtulivu 19 дней назад
Wallah DC Allah akupe maisha malefu na akuonyeshe haki aamin. Sheykh Allah akulipe Kila kheiri liwe kwako kwa jitihada zako fidunia walikhera aamin.
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Месяц назад
Huyu sheikh muelevu sana msikilivu mungu Awabariki viongozi wote na sheikh wangu ❤❤❤
@Allybinamour
@Allybinamour Месяц назад
Kwa hapa DC umekua kiongozi unaepaswa kua mfano wakuigwa. alhamdulillah kiongozi wewe allah akubarik. asante DC kwa kazi nzur mashallah
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Месяц назад
SI mnatuita makafir,haya kafiri kawasaidia Kwa hekima ti
@Allybinamour
@Allybinamour Месяц назад
@@christinewomanoffaith5479 kufanya wema hakuondoi dini ya mtu, na wala si makosa kumsifia kafiir anapofanya jambo la maslah kama hili. na huo ndio uadilifu.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 29 дней назад
​@@AllybinamourNa Wewe kafiruna pia
@user-dq8qu5oy3u
@user-dq8qu5oy3u Месяц назад
Tunaomba namba ya kutuma michango japo kidogo jambo la kheri Hilo,hongera MKUU WA Wilaya Kwa Moyo Mkuu
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Месяц назад
Namba c zimetajwa Skiza vizuri basi
@husna34562
@husna34562 Месяц назад
Mashallah
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 Месяц назад
Hamna kidogo mbele ya kuchangia msikiti, chochote ulicho nacho ni kikubwa mno mbela ya Allah
@trophywilson7211
@trophywilson7211 29 дней назад
​@@winfordmwangonda5375siyo msikiti ni majengo
@masoudrashidmohammed4124
@masoudrashidmohammed4124 Месяц назад
AL hamdulillah namshukuru Allah juzi niliandika comment yng nikasema simlaumu mkuu wa wilaya ktk hili ila nnao walaumu ni matajiri wa kiislamu wapo tyr kutoa mamilioni ya mapesa ktk mipira na baadhi ya mambo ya kipuuzi yasiokua na faida . Sasa kiongozi Magoti hapa umeqapiga pini kubwa sana sasa baada kiongozi wng kutoa cement 150 + 150 sehemu nyengine tutawaona wanaafiki matajiri sasaiv kujitokeza. Mungu akubariki Hon Magoti
@ZuberJafar
@ZuberJafar Месяц назад
Takibir takibir anaye mtaka DC aendre n moyo huuu weka laik nyingi kwenye komenti yangu alhu akibal mungu anasababu kufanya k2
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 29 дней назад
Mashallah Mungu akubariki ulipo towa hicho Mungu azidishe kingine Baada ya dhiki ni faraja Mungu atujaalie subra katik wakati mgumu huwezi juwa nilip litakacho fwata Allahul mustaan
@Official83640
@Official83640 Месяц назад
Kuna watu walitafsir vibaya sana leo sura zao wataweka wapi Dc kawaumbua vibaya mno Alhamdulillah Allah afanye wepesi In'shaallah
@burhaanmamboleo3551
@burhaanmamboleo3551 27 дней назад
Na ni sura mbaya kweli...na hao hao uliowaita wametafsiri vibaya sauti zao ndy zimefanya huyo jamaa yako akajikosha.....huwezi sema mazingira yale ni mabovu kuliko mahala pa kulala nguruwe....sisi tumesoma shule mbovu vyoo vibovu tena za serikali hakuna aliezivamia usiku wala kuzifunga na hata leo shule za namna hiyo zipo...bado alichokifanya hakijafunika uvundo alioufanya ..
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Месяц назад
Huyu Mkuu wa Wilaya nimemkubali mapema sana japo Mimi niko Kigoma. Big up DC Petro Magoti
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o Месяц назад
Kwaio ulijua ukiwa nae mkoa moja ndo utamjua vizuri au
@adambakari9276
@adambakari9276 Месяц назад
Unajua kwann kafanya hvyo huyu kafungia madrasa na waislamu wamekuja juu hapo anajisafisha juz tena katangaza wauza mkaa na pikpik wakamatwe fain milion 1 na vijana wengi wa kisarawe ndo kaz yko
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft Месяц назад
Na mm nilitaka nishanga yaani kw Maneno yale yakuwaambia watoto waende shule wakasome wapate kuajiriwa kwa kweli ningeshangaa sana kuona uislam ungekaa kimya 😅​@@adambakari9276
@w4058
@w4058 29 дней назад
Tupatieni namba ya kuchangia
@user-kz5en5tq2z
@user-kz5en5tq2z 8 дней назад
Mi ni mchungaji nawapongeza sana sheikh kwa unyenyekevu ambao umezaa mema hayo. Viongozi wa dini tujifunze mema, toka kwa mtu yoyote mwenye karama hizo. Mmbarikiwe sana Kisarawe na Dc wenu.
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Месяц назад
Mama Samia hili Jambo nilaheri sio mnasapiti mpira tu Jambo la mungu mnaacha nyuma mnasafirisha paka mashabiki naomba mlione nahili la mungu muweke akiba duniani na ahera💪💪💪💪💪
@hamidashaban1203
@hamidashaban1203 Месяц назад
Allah akubariki DC magoti Allah azidi kukuongoza katika njia iliyonyooka na hiyo sadaka Yako iwe ni nyumba Yako yakuishi akhera.
@SwalahaHusseini
@SwalahaHusseini Месяц назад
Maashaallah. Allah akupe zawasi ya kuingia katika uislamu na akufishe ukiwa katika imani sahihi .
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd Месяц назад
mungu akubaliki sadaka hii itaish miaka na miaka hongera sana unafaa kuigwa
@LabiloWabikongo
@LabiloWabikongo Месяц назад
mashaallah
@stevenmanase8162
@stevenmanase8162 Месяц назад
Kesho tuu mnanza kuwaita makafili alaa kumbe kafili anaweza kuwa lulu hivi waisilamu wote leoa wanapompongeza
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke Месяц назад
​@@stevenmanase8162uyo kiongozi yupo apo kwa ajili ya wananchi
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd Месяц назад
kwaiy kwa sababu katoa sadaka Ndio ukafili wake umeisha ukafili haundolew Nasadak Na hata kafili akifanya jema anastahili kushukuliwa japokua ukafili wake upo pale pale mpaka asilim
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 Месяц назад
Allah akujaalie DC Magoti, Lakini pia Ustaadh alikuwa na hekima kwa clip ya kwanza majibu yalikuwa mazuri na pia alikwa msikivu sana Allah atamjaalia Ustaadh wetu❤
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 29 дней назад
Ni Dc mfanowa kuigwa, the best Dc.
@jeffmwambe7657
@jeffmwambe7657 29 дней назад
Asante sana DC huo ndo uongozi na utu maana rengo ni zuri ivyo tuna shukuru kwa saport yako.
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 Месяц назад
Tunashukuru sana mkuu wa wilaya kwa hicho ulicho toa.mungu akulipe kila lenye heri na wewe pamoja na familia yako awafanyie wepesi kwa kila jambo.ubarikiwe sana🙏
@shabanimbiaji
@shabanimbiaji Месяц назад
SUBIRI NA WEWE MUDA SI MREFU ALLAH ATAKUPA MAKIPO YAKO,,,,SUBHANNALLAH,!!!!!
@user-uw5oh5yy5m
@user-uw5oh5yy5m Месяц назад
Umeupiga mwingi sana DC kwa kuonesha mfano kwa viongozi wengine ,mungu akubariki sana!!Inshallah jengo litakamilika kwa uwezo wake ALLAH S.W .INNAH BAADA USRI YUSRA🎉🎉🎉
@epimackjohn461
@epimackjohn461 Месяц назад
Mimi sijui kuongea kiingereza lakini kwa kitendo cha DC MAGOTI najaribu kukiongea nikisema "VERY GOOD DISRICT COMMISIONER MAGOTI " Kumbe ziara yake pale siku za nyuma Alisikitishwa na alichokiona akaona afanye jambo .
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Месяц назад
😂😂😂😅
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 Месяц назад
Maaashaalllllah maashaallah maashaallah maashaallah maashaallah maashaallah maashaallah..........hongeraaa sannaaaa mungu akufanyie wepes....kwajuhudikuuubwaaa ulizofanya mkuu wa wiliyaa...
@saeedmagoda9651
@saeedmagoda9651 Месяц назад
Mtangazaji Mungu akubariki kaka unajua kuriport hongera sana kwa taarifa yako
@SophiaAthumani-ri4lu
@SophiaAthumani-ri4lu Месяц назад
Asante DC hakika umefanya vema kulichukulia jambo hilo kwa uzito,Sadaka yako ikawe kheri kwa watoto wetu.
@husseinkadawa2846
@husseinkadawa2846 Месяц назад
Allahuakbar shekh Allah hatakuacha peke yako na malengo ulio weka yata timia tu kwa uwezo wake ndugu zangu waislam na wale wote tunao amini uwepo wa mungu tuchanga usidharau hela hata buku tuma kwa maana buku kwa watu milioni ni bilioni jambo linaenda nuia sadaka yako tuma huenda na wew ikawa ndo sababu ya kufunguliwa matatizo yako.
@SalmaSamiry
@SalmaSamiry Месяц назад
Mashaallah allahumma barik mwenyezi mungu awajaalie awape maisha marefu awaepushe na hasadi za walimwengu ameen ameen ameen yaa Allah 🙏
@user-ry8xf1no2s
@user-ry8xf1no2s Месяц назад
Mashalahaa Alha akufanyiewepesi kwenye uongoziwako Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani ujawaikuniangusha una tupa viongozi makini sana awakulupuki na kupenda laisi wangu Samia
@ashiaabdul887
@ashiaabdul887 Месяц назад
Masha Allah DC Allah akufanyie wepesi katika utendaji wako wa kazi .
@user-qw6wv4hf5c
@user-qw6wv4hf5c Месяц назад
Mwenyezi mungu akujakie ds magoti Kwa moyo waupendo allah akulipe kheri ww na timu yako inshaallah
@HassanJaphari-rx7jy
@HassanJaphari-rx7jy Месяц назад
MashaAllah. Hongera sana Dc Petro magoti kwa moyo wako mkunjufu nakuombea kwa Allah akusimamie katika majukumu yako ya kazi inshaAllah. Ameen
@stevenmanase8162
@stevenmanase8162 Месяц назад
Watu walianza kumdhihaki mh petrol sisi wakristo hatuna baya kazi kazi kwenu sasa ona hata milioni16 mnashindwa kuchangishana mnaomba kwa rais mmekalia kuwa ita watu makafili tuu
@FghgRyy
@FghgRyy 3 дня назад
Takbiiiiiiiirrr ALLAHU AKBARU ALLAHU AKBARU ALLAHU AKBARU Walillah Llihamdu
@chikujuma18
@chikujuma18 Месяц назад
❤❤❤❤ mashallah mwenyezi mungu ampe maisha marefu na afya njema inshallah
@jamalnaheka
@jamalnaheka 29 дней назад
mh.magoti Allah akupe afya njema sana kazi nzuri.
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 27 дней назад
Mlikuwa mnamsema unafiki tu
@zaituniNkupa
@zaituniNkupa Месяц назад
Hongera mkuu wa wilaya umefanya jambo jema mno. Mungu akubaruki
@user-xv7mo8tw7c
@user-xv7mo8tw7c Месяц назад
Masha Allah tunahtaj viongoz kama wey mungu akupe afya
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt Месяц назад
MashaAllah.mkuuu.wawilaya.Allah.akupemwisho.mwema.naimani.mola.wetu.anaweza
@abdulmagido5444
@abdulmagido5444 Месяц назад
Big up Doto Magoti Allah akuhifadhi
@allymwinyi970
@allymwinyi970 Месяц назад
Ahsante sana Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe. MUNGU akubariki. Tunakuombea MUNGU kwa wema ulioifanyia Madrasa hiyo. Tunaamini huku fanya lile zuio kwa utashi wako, ila kwa utekelezaji wa majukumu yako ya kuangalia maslahi ya baadae ya watoto hao. Tunamwomba MUNGU akuinue kupitia Raisi mwenye huruma kwa watu wa makundi, rangi na dini zote na na hata huruma kwa watu waakundi maalum. Mama yetu Dkt SAMIA SULUHU HASSAN. MUNGU anakupenda, wananchi wote wanakupenda. Kuna watu hawakuona Kam unaweza. Kwa Rehma na Huruma ya MUNGU amempa jicho Raisi wetu kukuteua na sisi tunaona. MUNGU akulinde na akulipe heri nyingi. Amin.
@allyjumakukulo4972
@allyjumakukulo4972 Месяц назад
Masha Allah allah akuongoze na akufanyie wepes upate neema ya uislam
@issarashid7707
@issarashid7707 Месяц назад
Mungu akusimamie katika kazi zako ..Kwa hakika huo ndio mfano mzur
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u Месяц назад
asantesana mkuuwa wilaya munguakujaliye kwaupendowako akuogezeumrimrefu akuhfadhiwewe na familiyayako
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo Месяц назад
Ma sha allah Tunashukuru kwa kusema alhamdulilahi
@RahimaMct-ik8mr
@RahimaMct-ik8mr Месяц назад
Allahu akbar DC mungu Allah akuhifadhi❤❤❤
@lukumanisharifu
@lukumanisharifu Месяц назад
Safi sana DC huo ndio uungwana mungu akupe Imani sabiti
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Месяц назад
Mheshimiwa Petro Magoti ubarikiwe sana. Mungu azidi kukufungulia na akujaalie afya njema.
@zainabwage4658
@zainabwage4658 Месяц назад
Mungu akuzidishie
@WardaDonyi
@WardaDonyi Месяц назад
Hakika DC Magoti were ni kiongozi bora sana. ALLAH akubariki ulipotoa
@SophiRamadhani
@SophiRamadhani Месяц назад
Mama msikivu na mtendaji. Mwenyezi Mungu amuongoze kwa hili liwe jepesi Insha Allah
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 Месяц назад
Siku zile nilijisikia vibaya lakini lengo lako lilikuwa jema kabisa...Mungu akutunze DC
@user-hy1bp7sp6z
@user-hy1bp7sp6z 19 дней назад
Mashaallah Allah haitupi Qura'an alishaahidi
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u Месяц назад
masha allah kajitahifi mkuwamkowa.naselekari yetuwendwa
@abdulkaleemmbarak6670
@abdulkaleemmbarak6670 Месяц назад
Mungu anatufundisha katika quran kua na subra katika kila Jambo. "Waeza chukia Jambo kumbe Lina kheir nawe na ukapenda Jambo kumbe Lina shari nawe.Awali wengi tuliona Shari kumbe mbeleni DC Magoti ameleta faida kwetu.Kaka Magoti mungu akupe umri mrefu na akufanyie wepesi katika maisha yako.Yaraby mpe furaha kama alivyo tufariji.
@abuuhafswa
@abuuhafswa Месяц назад
ila kutoa siyo tatizo msinganganie sadaka mnazopewa tuu . angalia na dosari aliyoiweka kwenye dini . yapasa atuombe radhi
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft Месяц назад
​@@abuuhafswaDosari kubwa sana kwa kweli nilishangaa sana yale sio maneno yakuwaambia watoto, eti watoto wazuri mama samia anawapenda amewajengea shule nzuri zenye ubora ili muene mkasome muwe watumimishi kama hawa niliokuja nao so kungangania kulala hapa mahala hapafai, kwakwelu nilimshangaa sana ana maanisha nini kuwaambia vile watoto na kuwashushia lawama wazazi kua wamewatelekeza watoto wao wamewatupa kama hawana uchungu nao, yan imeniuma sana ivi unazani mm kama mzazi unakuta nimepeleka mtoto wangu hapo na naona video ya mazingira kama hio na maneno kama hayo alafu naambiwa mtoto anarudishwa nyumban unazani ntajiskiajee ?? Mwengine anaweza akagairi kabisa kumrudisha mtoto hapo atamtaftia sehem nyengine kbs na kuichukia dini, na kwa hao watoto walio rudishwa sizan kama watarudi kwa idadi sawa kama walivyoondoka wengi watabak makwao, mm ninachojua kama yeye kiongozi alipoona hilo tu angechukua maamuz ya kusaidia ujenzi watoto wakae mahal salam kam wanavyofanya makanisani ila kwasbb ameona ni waislam hawana wakuwasemea amejifanya yeye kama hajali kinachoendelea hapo wala hakina maana anawaambia watoto waende shule waende shule wakati watoto karibia wote hapo wanaenda shule na wanarud hapo kupata elimu ya dini ila yy akataka kufikisha ujumbe waonekane kana kwba waislam wamewarundika watoto hapo kama kuwakusanya ty kwa kwel. Iliniuma sana ile vd jinsi alivyoongea 😢
@user-ow7pl6tz2c
@user-ow7pl6tz2c Месяц назад
nikweli alisema vibaya sana naamekosea sana waislam na hiyo sio lizaa yake itakua amepokea maagizo kutoka juu
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft Месяц назад
@@user-ow7pl6tz2c safi
@fahamimiraji2338
@fahamimiraji2338 11 дней назад
Allah alifanyie wepesi inshaallah
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt Месяц назад
Asante sana mkuu huu ndiyo uwongozi mungu akulipe
@ismailkiwawas5982
@ismailkiwawas5982 Месяц назад
Shukran Sana DC jaah bless 👍👍
@shabanimbiaji
@shabanimbiaji Месяц назад
SUBIRI NA WEWE MUDA SI MREFU ALLAH ATAKUPA MAKIPO YAKO,,,,SUBHANNALLAH
@abuusuhayl7830
@abuusuhayl7830 Месяц назад
Mashaa Allah..wale walio kejeli na kutoa maneno ya kifedhuli wamefedheheka wao
@hemedahmed3094
@hemedahmed3094 Месяц назад
مَا كَانَ لِلْمُشْرِكِينَ أَنْ يَعْمُرُوا مَسَاجِدَ اللَّهِ شَاهِدِينَ عَلَىٰ أَنْفُسِهِمْ بِالْكُفْرِ ۚ أُولَٰئِكَ حَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ وَفِي النَّارِ هُمْ خَالِدُونَ إِنَّمَا يَعْمُرُ مَسَاجِدَ اللَّهِ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَأَقَامَ الصَّلَاةَ وَآتَى الزَّكَاةَ وَلَمْ يَخْشَ إِلَّا اللَّهَ ۖ فَعَسَىٰ أُولَٰئِكَ أَنْ يَكُونُوا مِنَ الْمُهْتَدِينَ
@yasirsaid8464
@yasirsaid8464 28 дней назад
MAA SHAA ALLAH ALLAH Awabariki wote
@fetychina3969
@fetychina3969 Месяц назад
Mungu ambariki amazing alipo pungunguza
@SuleimanIbrahim-lp7qs
@SuleimanIbrahim-lp7qs Месяц назад
Asante sasa R C mungu akulinde kwaulichokifanya
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow Месяц назад
MashaaAllah tabaaraka llah Alhamdulillahi
@saadallah6287
@saadallah6287 Месяц назад
MashaALLAAH sheikh wa huo msikiti yupo smart sana
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Месяц назад
Maashaallah. Allah akutoe kwenyegiza akuoete kwenyemwanga yaraby. Mjaalie huyo baba atukiewitowako. Amyn
@AbuujureyjKhaniy
@AbuujureyjKhaniy 29 дней назад
Usimjaji mtu kwa muonekan wake hakik Dc umekuwa mwema na umetend haki mungu akutangulie Shekh uwaz na ukweli wake mungu kamfungulia upande mwengine hakika ukweli ni baraka nyoote Allah akutangulie
@mayaniphilipo9256
@mayaniphilipo9256 Месяц назад
Hongera Sana Mheshimiwa Nimependa Ulivyorejea Mwanzo Ulinishangaza Kwa Lugha Zako Ila Hakuna Aliyekamilika Allah Atusamehe, Atuongoze Na Atufanyie Wepesi Kwenye Harakati Zetu BIG UP DC
@khalfanabeid5998
@khalfanabeid5998 Месяц назад
Allah ampe maisha marefu na anyanyue uchumi wa nchi yetu kupitia hili. Amin.
@StewadKizenganya-sk6sg
@StewadKizenganya-sk6sg Месяц назад
ALHAMNDULILAh ,mungu anawaongoza watu kwanafsi zetu huku mwili ukitumikishwa
@user-yj3gy4jc1t
@user-yj3gy4jc1t Месяц назад
Maashaallah nimefirahi sana
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Месяц назад
Hongera sana MH magoti wewe ni mfano wa kuigwa ❤❤❤
@fatumasaid9882
@fatumasaid9882 Месяц назад
Mashalaah mashalaaah peter magot kwa hilo umengusaaa
@ChidyKenny-dc1ue
@ChidyKenny-dc1ue Месяц назад
Mungu amzidishie dc
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e Месяц назад
DC Asante Sana..🙏🙏🙏
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 Месяц назад
Allah akulinde ktk uongoz wko mku wa wilaya yakisarawe wewe nikiongoz wakuigwa ktk uongoz
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo Месяц назад
Allahu akbar Mungu akupe hidaya mkuu Shukran sn
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Месяц назад
Hongera mheshimiwa kwa moyo wa kutowa msaada
@ZulfaMajaliwa
@ZulfaMajaliwa Месяц назад
Mashaalha alhaa awape kher viongoze wetu
@adilhabib8988
@adilhabib8988 28 дней назад
Maa shaa allah
@JumaJuma-i2g
@JumaJuma-i2g Месяц назад
hapo safi hongera mkuu wa wilaya
@Anza_tz
@Anza_tz Месяц назад
Hii inaitwa wajibisha alafu fundisha kwa hekima safi sana mkuu wa wilaya ni Jambo jema Sana la kuigwa na kufuatwa
@BN.seleman
@BN.seleman 28 дней назад
Masha’Allah Allah awalipe mumefanya kazinzuli
@KulthumRashidmusa
@KulthumRashidmusa Месяц назад
Mashallah.nimefurahi.sana
@arafakhamis3336
@arafakhamis3336 Месяц назад
Mashallah
@aishakambenga6191
@aishakambenga6191 Месяц назад
Mungu Akubariki Inshallah 🙏🏾🙏🏾
@SirahShabani
@SirahShabani 26 дней назад
Mashaallah ❤
@aloyceponela3249
@aloyceponela3249 Месяц назад
Dc mungu akupe maisha marefu
@user-hq5mo3dx7l
@user-hq5mo3dx7l Месяц назад
Mungu akujalie sana kuona tatizo na kulitatua sio kuhukumu haijawahi tokea hili ungeeishia tu sehemu
@abbaskhamis3407
@abbaskhamis3407 Месяц назад
anapuliza siyo tumeshamulelewa hana nia nzuri kabisa ana maneno machafu sana
@user-gc3ec9wx6z
@user-gc3ec9wx6z Месяц назад
Ss kwa nn useme ivo
@dimosomkoba356
@dimosomkoba356 Месяц назад
Huyo bwana inaonekana alimezeshwa vitu kwahiyo akaenda na maamuzi yake toka kule aliko toka wala mwanzo hakuenda kwa kutaka kujua na kutatua changamoto, kama unakumbuka akasema angewaweka lumande, sasa ameshajua aliteleza kwa maamuzi yake kwahiyo akaja na mbinu mbadala ya kujaribu kusawazisha!! ZINGATIA NENO KAMATI YA AMANI.
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Месяц назад
​@@dimosomkoba356Naam
@RajabuMarinda
@RajabuMarinda 19 дней назад
bahat yake kajirud kwa njia iyo, angesababisha mpasuko wa udini hapo , alafu eti anasem mam kajenga shule analipa mishahara vizur , somen , yani anamaanisha kabisa kwa sis hatuna elimu, ya sekyula zaidi ya dini, jibu siyo kweli tumambiwa tutafute elimu hata kam ikiwa umbali wa China twende tukasome, watot wanapaswa kupewa elu ya kumjua Mungu wao na dunia yao, ili wawe viongoz bola wenye kumuogopa Muumba wao na uyo dc wakae nae kwa makin san ana uchembe flan ivi ndani yake
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf Месяц назад
Honger mhshmiwa
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Месяц назад
Allah akubariki ujenzi utausha kwa uwezo wa wake
@EmmaPonera
@EmmaPonera 10 дней назад
Hapo hoster itakuwa ya mfano Mungu atawaleta maajabu wafadhiri watamiminika maajabu yanakwenda kutendeka hapo
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 Месяц назад
Kitu cha maana sana na cha muhimu barikiwa DC maana niliwaza sana ni bora watoto au vijana kujua DIN kuliko kuwa mtaani au kuwa waharifu
@KAIPAAA3211
@KAIPAAA3211 Месяц назад
Mungu akubariki mkuu wa willaya
@StAr-yu3vz
@StAr-yu3vz Месяц назад
Asante sana muheshiwa 🙏🙏
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 8 дней назад
Wsisilamu ni wanyenyekevu sana na mh magoti ni mnyenyekevu
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo Месяц назад
Mkuu tunashukuru Mungu akubariki
@MariamAlly-hk7io
@MariamAlly-hk7io 6 дней назад
Naada dhiki faraja Innamaal usri yusra Allahu akbar
@nzwibasson8479
@nzwibasson8479 Месяц назад
Kuna ujinga unafanywa hapa. Kwa waisilamu wenye akili wameshaliona hili. Tuhimizane subira waisilamu. Tunakila sababu ya kulinda tunu ya uisilamu tuliyopewa na Allah. Waisilamu wote tunahitaji kuwa na jitihada ya kutafuta elimu ya dini haijalishi ni katika hali gani. Baadhi ya jamii elimu si kipaumbele chao.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 29 дней назад
mmh Dini Bila Elimu Dunia Ni bure
Далее
Qora Gelik
00:26
Просмотров 420 тыс.
ROLLING DOWN
00:20
Просмотров 6 млн
‘Hieraan zie je dat Vladimir Poetin zoekende is’
10:11
Massale steun voor Eritrese relschoppers!
4:39
Просмотров 104 тыс.
Bosbranden in Griekenland onder controle
1:57
Просмотров 10 тыс.
Qora Gelik
00:26
Просмотров 420 тыс.