Nimefatilia interview mwanzo mwisho hao majamaa wawasafi nikama wamekaa ki WCB zaid hawatak kumkubari konde kwa kazi ambazo anafanya ila big up sana ndg mwandishi angalau umejua kumchombeza
Kaka acha chukii mziki wa sasa ni unaitaji vibe na uwekezajii mbona ngoma nyingi sana ziko viral why unataja komasava mbona hata marry me ilienda . support cha nyumbani acha kuponda.