Тёмный

DIAMOND PLATNUMZ: MEDIA HIZI ZIMEJARIBU KUNIUA ZIMESHINDWA / ALIKIBA / SIJA MFOLLOW 

LilOmmyTV
Подписаться 545 тыс.
Просмотров 1 млн
50% 1

(PART3) EXCLUSIVE INTERVIEW NA DIAMOND PLATNUMZ KWA MARA YA KWANZA TIMES FM BAADA YA KUTOKA TU KENYA, KAONGEA MENGI SANA KUHUSU BEEF NA MEDIA, ZARI, ALBUM YAKE, WEMA, ALIKIBA, KUFUNGIWA NYIMBO NK.
Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!

Развлечения

Опубликовано:

 

18 мар 2018

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1 тыс.   
@kakamau0384
@kakamau0384 2 года назад
Yani mimi kila nikiisikiliza hii Interview ninapata uchungu na ninazidi mpenda Diamond Platnumz. Appreciate kwa Diamond Platnumz No one like Diamond Platnumz
@jacksonjoakim4115
@jacksonjoakim4115 4 года назад
Kam unaangalia hii intavy wakati lilommy amehamia wasafi tv
@nelsonzakayo496
@nelsonzakayo496 4 года назад
Maana Kuna media zingine sijui ufanye nini, labda wakulale, kama na wewe umesikia hapo gonga like
@tonypm5197
@tonypm5197 3 года назад
Interview kali sana hii kama unachek hadi leo 26/8/2020 gonga like apa
@ericnzaro9138
@ericnzaro9138 9 месяцев назад
It remains the best interview of all time
@mrbasit4718
@mrbasit4718 4 года назад
Natamani harmonize mjeshi aende kuirejea kuiangalia hii interview ili ajifunze kitu ktk safar yake mpya aliyoichagua. Mondi mungu azid kukupa na akuongezee ktk fungu ulilonalo. Hamo watu walipambana kwa ajili yako nawe pambana kwa ajili ya wengine. Wcb for life
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 4 года назад
Sn yn maneno hayo yanamfaa sn korosho Hy maneno ya mtu mwenyeupeo wambali sn
@kdf1246
@kdf1246 4 года назад
Jamaa anamkubali sana harmonize aisee mond mwana kinomaa
@lucialeonard2675
@lucialeonard2675 4 года назад
Kupitia interview hii nimejua kwa nn vannesa ameacha mzik respect sana kwa wasanii wote
@lostboyzfamily9087
@lostboyzfamily9087 4 года назад
duh kweli kabisa broo usipende kupelekwa kama mjinga ndo maana wanapotea kwa kuburuzwa buruzwa big up mondi
@antonycharles3733
@antonycharles3733 3 года назад
Iv diamond mbn una moyo mzur ivooo siamin mungu akusaidie
@platnumztz4266
@platnumztz4266 2 года назад
Kama umeskia Neno bro mara 20 like hapa👇👇👇
@abdulladosantosjr
@abdulladosantosjr 4 года назад
Nan anaangalia baada ya lil ommy kujiunga wasaf
@hamzamoshi8275
@hamzamoshi8275 4 года назад
MIMI HAPA NAICHEKI
@akibarahamadi5058
@akibarahamadi5058 4 года назад
harmo ni msenge sana diamond platnumz amepigana sana juu awe juuu lakin ivi anajifany kama yeye yuko juuu
@hoseanobocka4533
@hoseanobocka4533 6 лет назад
Ila we liloomy ni mchawi mana maswali nlyonayo ndo hayohayo unamuulza Diamond ,duuu we ni best presenter tz
@ramzy5280
@ramzy5280 2 года назад
Diamond: Bro Lil ommy : Oh yes 😂😂
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 3 года назад
Bado tunaangalia interview ya karne 30/6/2021
@hoseanobocka4533
@hoseanobocka4533 6 лет назад
Diamond we ni best artist in east Africa ,kuanzia Leo we ni professor wa interview mana unavyojibu haya maswali kama vle umesomea na una taaluma , appreciate Diamond
@jastinkigahe1359
@jastinkigahe1359 4 года назад
Saaf
@kaulukaulusk1119
@kaulukaulusk1119 4 года назад
katisha sana
@neemamgona3164
@neemamgona3164 3 года назад
True
@evancechangae
@evancechangae 4 года назад
Kama umecheki hii interview hadi January 2020, gonga like hapa.
@rashidnjengo2126
@rashidnjengo2126 4 года назад
Hkg
@mathiasstive6301
@mathiasstive6301 4 года назад
Juni 13
@theoblesslesaf1285
@theoblesslesaf1285 4 года назад
june 27
@dieudonnebigirimana8083
@dieudonnebigirimana8083 3 года назад
Mpaka mwezi 10/2020
@kalebzacharia9302
@kalebzacharia9302 3 года назад
Diamond
@amashau9057
@amashau9057 4 года назад
Brighton..Tulio check hii 2020 plz gonga like.......leo nimekujua zaidi .....Halafu tusifiche Kama chibu alivyoongea kwa hisia ......Anaowasema hapa tusifiche Ni RUGE was Clouds#. ..........Cha mwisho Ni congrats kwa discpline yako BRO
@sshaby52
@sshaby52 4 года назад
Kama bado unacheki iyi interview ya kizazi hadi 2019 Dec. gonga like apa twende sote
@alainkiss3848
@alainkiss3848 4 года назад
Ina pendeza
@husseinc
@husseinc 4 года назад
2020
@cktamunga2356
@cktamunga2356 4 года назад
Pole kwa yoteupitiayo napendi ishuja uliyo nayo love you may dia
@anodymwambigija9462
@anodymwambigija9462 2 года назад
2022 hinaish
@nesomusic8703
@nesomusic8703 5 лет назад
After 9 years ... Leo ndo nimemjua who really is Diamond Platinum
@fabianmilanga4980
@fabianmilanga4980 5 лет назад
Kijana mudogo hakiri mingi sana wcb ni 🔥mimi mutoto ya kongo
@akibarahamadi5058
@akibarahamadi5058 4 года назад
awato kuweza mzee baba loa wey njo king wa africaaa
@issakinono9124
@issakinono9124 2 года назад
Kama umeicheki hii interview 2021 like ziwe nyingi
@nicholasnthengemutinda
@nicholasnthengemutinda 7 месяцев назад
2023 bado tupo
@lucaslukanya5606
@lucaslukanya5606 6 лет назад
Mondi bwana uko serious na kiukweli zaidi ila kwenye bro umenifurahisha sana dash!!!!
@brownmwakanyamale9289
@brownmwakanyamale9289 6 лет назад
Big up chibu dangote nimekuelewa sana kwa maelezo yako. Siku zote huwezi kupata hela paspo kupitia mikononi mwa watu .
@fadilymousa4325
@fadilymousa4325 3 года назад
27-11-2020 bdo naanglia bonge la interview bin laden simbaaaa
@sambayoo6441
@sambayoo6441 4 года назад
Kama unaicheck hii interview 2020 plz gonga like tujuane
@mohamedikibasa418
@mohamedikibasa418 6 лет назад
Unaongeaaaaa point sanaaaa. Mungu akuongoze uendeleee hivo hivo. Usishuke chiniiiiiiiiii aiseeeeeee. Km unakubali gonga life hapa
@johnsilima1629
@johnsilima1629 3 года назад
Like kama umeangalia hii interview baada ya Harmonize kusaliti chama la wana WCB 4life
@hamidhamadhamad5653
@hamidhamadhamad5653 4 года назад
23/12/2019 bado naiyangaliya hii interview love simba
@ahmedmahamudu4140
@ahmedmahamudu4140 4 года назад
Pamoja
@abelharry_tz
@abelharry_tz 6 лет назад
Nikwambie kitu broo Wewe ndo the MVP broo Unatisha sana broo Me ni fun wako sana broo Unawapa taabu sana broo @Diamondplatnumz nakukbal sana broo
@luqmaankimoloni2375
@luqmaankimoloni2375 5 лет назад
BUGHY HARRY good haha
@mbcgrams5415
@mbcgrams5415 4 года назад
Sawa nimekuelewa bro😂
@godfreymwambwalo5282
@godfreymwambwalo5282 5 лет назад
kumbe unaongea pointi sana nimekuelewa Mwenyezi Mungu akujalie afya njema
@dicksonkamanga3143
@dicksonkamanga3143 3 года назад
Jamaa nilizani bubu anaejua kuimba tu leo nmegundua kumbe jamaa ana madini kinywani ndo maana anaongea kwa piinti tupu
@husseinbinde9421
@husseinbinde9421 3 года назад
Napenda hiii interview iwe ndio best 2020.... To 202...
@kenallday1115
@kenallday1115 4 года назад
Lil ommy yupo sehemu nzuri,Wasafi FM
@qudraevarah8215
@qudraevarah8215 4 года назад
Daaaah Diamond ww mungu anakuona hatakama nyimbo zako hazipigwi so tatizo utabaki kua @BABALAO
@abdullykapole9617
@abdullykapole9617 3 года назад
Naseeb abdully (DIAMONDPLATNUMZ,SIMBA,DANGOTE) unaongea vizuri bila majizuno yoyote allah aendelee kutupa maono mazuri mbele yetu...INSHA-ALLAH🙏
@SHOMYTZ
@SHOMYTZ 2 года назад
Best interview inaishi had Leo 2021 🔥🔥🔥
@ommaryszamsportyanganaazam633
@ommaryszamsportyanganaazam633 4 года назад
Mond bg up mdogo wangu wewe ni bina adamu tena zaidi yako hakunaa una moyo wa ajabu sana tena wa huruma thank you mond mdogo wangu songa mbele kk .
@ramahusomore1374
@ramahusomore1374 3 года назад
Salute to this Niggah...he works and talk smart.intelligent
@buharimwanga284
@buharimwanga284 6 лет назад
Lil ommy we ni fundi nadhani unalijua hilo natamani nikuone wasafi tv siku moja,big up kwako mi nilishasemaga comment zangu huko nyuma hakuna presenter kama wewe bongo kwa sasa
@wiseriziki2433
@wiseriziki2433 5 лет назад
Bro unaongea haraka kama umemeza cd, ila nakukubali endelea kupambana never quit
@bongomusic4994
@bongomusic4994 5 лет назад
bef la mond na kiba lilitengenezwa na alikiba aliasept ndo maana kanyonywa hadi mwisho mond always yupo juuu gonnga likee
@saidjuma9782
@saidjuma9782 5 лет назад
Pointless
@unclek4402
@unclek4402 4 года назад
Diamond kanipigia simu anataka nimpe collabo..naomba advice yenu..
@slimsan3859
@slimsan3859 6 лет назад
The best interview ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever........... Haters I see ya...
@diamondplatnumz5598
@diamondplatnumz5598 4 года назад
@Ali Ali we mkundu unawatukana sana watu na coment zao umetumwa ureply au??😋😋😋😋😋😋
@youngkillermsodoki7664
@youngkillermsodoki7664 6 лет назад
My Favorite Artist in Tanzania In bongo flvr Diamond platnumz simba On hip hop Young killer msodoki Both of them their Genius they has mkre talent They know how to live with people and other artist.
@laurentngowi3052
@laurentngowi3052 6 лет назад
Msani ambaye kwenye interview hakuna swali analoshindwa
@young_mmbaga
@young_mmbaga 4 года назад
HAYA WALE TUNAOANGALIA HII NDANI YA 2020,...LIKE TUNABONYEZAGA HAPA....ni moja tu.
@diamondplatnumz4891
@diamondplatnumz4891 3 года назад
1/8/2021 bado naangalia hii interview 🙏👂
@LilOmmyTV
@LilOmmyTV 3 года назад
Pamoja sana
@mwajumaibrahim4477
@mwajumaibrahim4477 3 года назад
Daaah ukweliiii mtupuuuuu ongeaaaa babaaaaa simbaaaa
@dkensmopainvevo3683
@dkensmopainvevo3683 6 лет назад
Diamond Wee ni mfano wa kuigwa bro 👏👏👏👏👏👏 Maongezi yako yanajenga
@chrispinusodende8691
@chrispinusodende8691 5 лет назад
Simba kweli yaaani Konki Master...Best interview ever Baba Tifaa.
@elishaezroni7360
@elishaezroni7360 5 лет назад
Dkens Mo Pain J
@petermillanga4762
@petermillanga4762 6 лет назад
Nimekubali Dai ni muwazi na amefunguka kweli na hayo maswali angekuwa ni Ally dah mngeona majibu ya kidharau, safi mno diamond
@mirajikihanga8
@mirajikihanga8 5 лет назад
utumbo mtupu
@diamondplatnumz5598
@diamondplatnumz5598 4 года назад
@Ali Ali we mbona unareply coments za watu??😋😋😋😋😋😋 au umetumwa hapa ni kutoa maon ya kila mtu toa yako na ww😋😝😋
@josephnganga6387
@josephnganga6387 3 года назад
I love Diamond Platinumz......He is my role model....This video imenipata the right time...I've learnt a lot...🙏
@ramsoshenge387
@ramsoshenge387 3 года назад
Bonge moja la interview Kama tunaangalia 2020 tujuane kwa likes
@sarahtony3937
@sarahtony3937 3 года назад
We mtt mbona unamaneno mazuri unaongea mpaka natamani kulia mondi nakupenda Sana sio kimapenzi ila kwa kazi nzr
@vinvane1822
@vinvane1822 5 лет назад
Diamond uko vizuri bro. Unafaa kuigwa na artists wengine. Keep it up !
@benazirmohammed8761
@benazirmohammed8761 6 лет назад
Unajielewa sana Mungu akuweke big up sana na una heshima sana ndio maana unafanikiwa.
@magrethsidodo3953
@magrethsidodo3953 5 лет назад
Benazir Mohammed anajielewa mpka nampenda huyu kaka
@mwanabinmariam8475
@mwanabinmariam8475 5 лет назад
Mashaa llah ww unajua mungu atakufanyia wepec in shaa llah
@mandiafelix1813
@mandiafelix1813 3 года назад
He z very humble diamond ni mstaarabu wa sura habadiliki he speak fact since namfatilia this guy ni tunu ya Africa
@abednego3876
@abednego3876 5 лет назад
2019 jamaa ana own Wasafi Media daa... maisha ni proccess sio Safari
@juliusuronu8812
@juliusuronu8812 6 лет назад
Huyu jamaa ana akili sana.....Ni vigumu mno kumuangusha...Keep it up DiamondPlatinumz
@ramadhanihamza797
@ramadhanihamza797 5 лет назад
Jamaa ni kiboko hana mbwembwe
@emmanueltvemmanueltv3574
@emmanueltvemmanueltv3574 5 лет назад
Wewe huna😀😇😇😇😂😂😂
@herielgodwin472
@herielgodwin472 5 лет назад
diamond platnumz big up sanAaa simba ndan ya village
@miriamnyari7761
@miriamnyari7761 5 лет назад
as for the use of the day of zzzçxcvggggggggggggggggchjjo99ll
@cktamunga2356
@cktamunga2356 4 года назад
Mimi napenda muziki wako
@onlinemovie8580
@onlinemovie8580 6 лет назад
Nilichogundua kwenye hiii interview Neno BRO Limetumika sana #INFACT
@zamrathussen5367
@zamrathussen5367 5 лет назад
tatizo nn kwn
@sabrinaali9750
@sabrinaali9750 4 года назад
No heshima tu anajua kuwa huyo ni mkubwa wake hawezi kumkata jina
@patrickpaschal219
@patrickpaschal219 4 года назад
Ulitakajee ww
@shaabaniarrmas4865
@shaabaniarrmas4865 4 года назад
boe_bryn tv hhhvhhhhvh
@peterlongo2078
@peterlongo2078 4 года назад
Dah ulitaka atumie neno gan?
@ombeniibawa4481
@ombeniibawa4481 3 года назад
Anaeendelea kuangalia hii interview hadi leo september 2020 gonga likes apa
@adamuwikunze8631
@adamuwikunze8631 6 лет назад
This dude is smart 🙏 he will be the one. just keep that way kaka
@blackboytz6873
@blackboytz6873 5 лет назад
Kwa diamond platnum kumuit huy jamaa bro dah kwel mond msoto umekufunz heshim kaza bro bado safar ndef
@chaomadedo
@chaomadedo 5 лет назад
This guy has a beautiful heart..very beautiful!! GOD embraces such hearts! Bless u Nasib Abdul
@swalhaahmed1041
@swalhaahmed1041 2 года назад
Namuombea mungu Amlidesana mungu Amuhifadhi mungu Akuepushie na mabalaa
@ernestkipire9200
@ernestkipire9200 2 года назад
All watching this interview in 2022,drop like here down
@mlabata8705
@mlabata8705 4 года назад
Upo perfect kaka mungu yupo na ww
@masudijuma174
@masudijuma174 3 года назад
kama bado unacheki hii 2021 gonga raik
@jafarikule7300
@jafarikule7300 5 лет назад
My favorite interview of all time
@LilOmmyTV
@LilOmmyTV 3 года назад
Lets go
@khalidmbarouk6186
@khalidmbarouk6186 3 года назад
Kama unamkubali lil omy gonga like
@hassanbakari5607
@hassanbakari5607 5 лет назад
Uyu jamaa anani inspire sana
@jamesthadeo3091
@jamesthadeo3091 3 года назад
My favorite interview of All time,, 21-04-2021
@sayrachuna6705
@sayrachuna6705 6 лет назад
Nakupenda sana mondi
@alexkilolo5032
@alexkilolo5032 6 лет назад
mondi mti mkavu hauchimbwi dawa,pambana sana kijana na hongera kwa ushujaa
@djraymond6185
@djraymond6185 4 года назад
One of my best interview of all the time Feb,2020.
@frankmganda116
@frankmganda116 5 лет назад
Diamond mungu ni mwema endelea kutenda haki
@adrianomwakinyala5434
@adrianomwakinyala5434 3 года назад
Bonge la Interview,Lilommy una jua sana
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 6 лет назад
Huyu dogo ana akili sanaaa,nimefurahi hta huyu mtangazaji yupo tight full vipaji ,hongereni. Clouds na wengine mnaguswa hapo,jitathminini!!!!
@salamia__mwangu599
@salamia__mwangu599 6 лет назад
umeongea vizuri xana a boy from tandale💚
@dicksonmsetivevo9722
@dicksonmsetivevo9722 6 лет назад
Kama Umemuelewa Diamond Platnumz Vizuri Kama Mimi Basi Gonga Like Yako Hapa. #TeamPlatnumz
@iamcharlzpaul2341
@iamcharlzpaul2341 6 лет назад
DicksonMsetiVEVO tupo pamoj
@marcomakoye5559
@marcomakoye5559 6 лет назад
DicksonMsetiVEVO kama kawa
@youscletvchannel3974
@youscletvchannel3974 6 лет назад
Umetishaa
@abdulhamis3145
@abdulhamis3145 5 лет назад
tishaa sana
@venancechrissant4113
@venancechrissant4113 5 лет назад
DicksonMsetiVEVO ,jamaa mkal
@shebbymzalendoadkinstz4562
@shebbymzalendoadkinstz4562 6 лет назад
No comment ahahaha😀😁😂 Gonga like kama unamkubali simbaaaaa
@mickysangali3268
@mickysangali3268 4 года назад
Broo ulipotoka na hapo ulipo u deserve Broo
@rajiathumani7086
@rajiathumani7086 4 года назад
Raj
@kassimujafari6342
@kassimujafari6342 4 года назад
Am steal whatchng 2019 end of years big interview for aver
@nasramsami3410
@nasramsami3410 6 лет назад
waoo hua napnd sn kusikiliz enter view ya mond big up
@andrew29468
@andrew29468 4 года назад
jamaa ana akili sanaaa aiseee,kifupi huyu jamaa ni mfanyabiashara, na anaijua biashara hasa
@master_iStore
@master_iStore 4 года назад
Gonga like kama badoo una watch 2020
@aimfetty1641
@aimfetty1641 6 лет назад
lil omy unafanya research ya kutosha thats why unapresent vizuri maswali yako keep it up bro
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 6 лет назад
Fatma Salim ana akili mno huyu mtangazaji,
@emanuelmushi6878
@emanuelmushi6878 5 лет назад
Nimegundua watu wanapenda kugandamiza wengine kwa maslai yao :unapoonekana mjanja utaki kugandamizwa wanasema una kiburi AF visa vinaanza
@thomaschacha7780
@thomaschacha7780 3 года назад
Huyu ndio Simba
@mkamariamstaarabu4931
@mkamariamstaarabu4931 4 года назад
Simba nakubali 🙌🏻 LilOmmy karibu usafini🔥
@jamesthadeo3091
@jamesthadeo3091 4 года назад
Hii interview mpk Leo naichek 23-10-2019 ni noumaaaaa
@alainkiss3848
@alainkiss3848 4 года назад
👍👍👍👍
@ramadhanhelman658
@ramadhanhelman658 4 года назад
Nakobareee sana chigu
@fransicimashauri5450
@fransicimashauri5450 4 года назад
Mm leo 27/3/2020 na ingalia
@danieltenson4175
@danieltenson4175 3 года назад
2021 baada ya nomination ya BET!!
@shosemanjira3076
@shosemanjira3076 6 лет назад
Safii sanaaa Diamond umeongea ukweliii jmn clouds wanatabia mbayaa sanaaa
@kelvoosmartboy2273
@kelvoosmartboy2273 5 лет назад
Mond hajataja clouds wew ndyo umetaja clouds
@zuberitwaibu5901
@zuberitwaibu5901 5 лет назад
naomba daimondi nisaidie kimziki Niko chini yako blaza
@zuberitwaibu5901
@zuberitwaibu5901 5 лет назад
naomba namba take mond
@esombommambelwa6809
@esombommambelwa6809 Год назад
Kama umeguswa na kuelimishwa na hii interview 2023 nakujifunza mengi gonga like
@ayuburajabu8530
@ayuburajabu8530 4 года назад
2020 Still watching who else tujuane
@princehancesam9892
@princehancesam9892 5 лет назад
mpaka mwisho wa siku nitakukubal daima
@sophiashayo1996
@sophiashayo1996 4 года назад
Huyu jamaa akili kubwa sana nimependa alichoongea mwishoni
@dogobyalimasilubunga5110
@dogobyalimasilubunga5110 5 лет назад
My favourite interview in the world
@sabrinabakari5908
@sabrinabakari5908 4 года назад
Huwa nakuja kutalii umu ndani kuna madini ya kutosha maneno swafi kabisa ya kishujaa na ndiomana nampenda diamond ukimsikiliza utatamani umsikilize tena.
@anodymwambigija9462
@anodymwambigija9462 2 года назад
Akikaaaaaaas🙌🙌🙌🙌
@chicharitoronaldo5950
@chicharitoronaldo5950 6 лет назад
Ukweli Ndio Huoo...Pamoja Sana The Real Mvp Ya kizazi Sana!!!
@nashondavid1408
@nashondavid1408 6 лет назад
Mwamba mond we kaza
@martiniyohani7908
@martiniyohani7908 5 лет назад
Nice
Далее
Diamond full interview with BBC Swahili
32:46
Просмотров 10 тыс.
His reaction 😳 (via @kaitlyn.b0506/TT) #shorts
00:10
RICH MAVOKO: DIAMOND / NI NYOKA KWENYE SHIMO / TISHIO
17:27
Они нас подслушивают😁
0:52
Просмотров 2,2 млн
Отнимают ребенка ч.4
0:55
Просмотров 4,3 млн