Mimi Nina kipaji, na so ma habari za moja kwa moja maelezo kutokana na mbinguni kwa namna yake Mungu alivyo nipatia. Kwa mujibu na ilivyo kuwa ni kwamba Yesu ambaye ndiye Nabii Isa, hakutungikwa msalabani wala hakuuliwa ispokuwa Mungu aliwafananishia miongoni mwao mmoja wao katika wale askari waliyotumwa kwenda kumkamata. Na hata walipo jihesabu walijikuta pungufu idadi yao. Nd ipo wakasema kuwa kwa sababu tuliemtaka tumempata huyo mwingine atajuwa yeye mwenyewe aliki enda. Na Yesu alikuwa na alama ya KOVU mguuni kwake ka.a alama ya UTUME wake lakini aliye kamatwa na kutungikwa alikuwa hana alama ya KOVU, na mmoja wao aliye lijuwa lile KOVU akawaambia wenzie kuwa huyu siyo.
Helloo Dr naitwa bosco from kenya mm n mukristo naa umenifunza mambo mengi aki uko sure kwa bibilia na kw mafunzoo uko fit banae but ipo siku nitakufikia ma wenzangu
Amekufunza nini? Kwa mfano hapa umejifunza nini? Inawezekana hujui kwamba uislam ulikuja miaka 600 baada ya UKRISTO kuwepo. Hadithi zilizoko kwenye quran zinazofanana na za kwenye BIBLIA walikopi kutoka kwenye BIBLIA kwa kuhadithiwa, ndio maana zimekosewa. Bado na mwandishi wa quran alikuwa hajui kusoma wala kuandika kwahiyo na yeye alikuwa anawahadithia watu na watu ndio wanaandika. Utaamini kitabu cha waliyoshuhudia matukio au kitabu cha watu waliohadithiwa matukio? Use your common sense bro. 😂😂
Yaani mtu unaenda kuamini kitabu kinachokuambia ALLAH ana kidevu, ana jicho moja, ana mikono miwili yote ya kulia tupu, ana miguu miwili yote ya kulia na mguu mmoja uko jehanamu, utakuwa na akili kweli kuamini upumbavu huo? 😂😂
MIMI MWIISLAMU LAKINI NIMESOMA NA KIGUNDUA KWAMBA ALIOTAKIWA KUCHINJWA NI ASIHAKHA NA WALA SI ISMAIL. JAMANI SOMENI VITABU VYOTE KWA MAKINI VINGINEVYO MTADANGANYWA SAAAAAANA NA HAWA WATU.
Dah, huyu jammaa muongo sana. Na hii nie hasadi kuzungumzia habari usizo sijuwa undani wake.nie hasadi kumhasi Mwenyezi Mungu. Si Kweli kuwa ilikuwa hivyo.
Hadithi tamu lakini ni old wives tells! Hadithi za bibi wakongwe! Biblia haisemi vile huyu anapohadidhia hapa kamwe! Mbona yeye ni Dr.!! Ndio tena yule, yule anapouliza, (je, wakati Yesu alipokufa, Dunia ilikuwa, inendeshwu'a na nani?) msomi kama huyu, haelew'yi na mambo ya kifo mbali ana title ya Dr.! Waislamu nani asaidienyi kweli? Jisomee Mwazo Sura 22:10-13, mwenyewe!