True kabisa,uongo unatukuzwa na unasemwa na wengi,ukweli unachukiwa na unasemwa na wachache,dudu baya pamoja na mapungufu yake lakini jamaa Yuko real,God bless you🙏konk,konk,konk,konk master.
Ndugu zangu kongo badilikeni anasema kweli wakongo had vitani mnavua magwanda pororini mnakimbia wapumbavu nyinyi teteni nchi yenu sadeki anawasaidia hata hamsaidiki kaz kulalamika tu