Hapo kwenye ugomvi na Serikali Dudu B kakana kabisa 😂😂😂 Serikali huwa haina ugomvi na mtu mpaka uukaribishe mwenyewe 😂😂😂 Dudu B mjanja sana .Serikali inapenda watu wenye akili na wasiojipendekeza mfano kujifanya unajuwa sana viongozi .Watu wa karibu na Serikali huwa hawaeleweki heleweki na ni watunza siri na heshima
Dudu baya mimi sio mshabiki wako. Ila una iq moja kubwa. Hustahili kuhojiwa na huyu dada. Hawezi kumatch your iq. Hana maswali ya kukuuliza. Na hayo ya kipuuzi anayouliza hakupi muda ujibu. Yani hafai kabisa kua muandishi.