Тёмный

KONDAKTA "JOTI" MCHESHI KULIKO WOTE TANZANIA, AISHIKA TEGETA NYUKI - MAWASILIANO KWA MISEMO YAKE 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 315 тыс.
50% 1

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

15 авг 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 212   
@5starsmoviecenter714
@5starsmoviecenter714 11 месяцев назад
Nimefanya kazi ya conductor miaka tano Kenya mahali nimefika leo ni kujituma kutoka kwa kipato nilichopata kwa hio kazi ya daladala respect everyone hustle remember no one will bring food on your table or pay your bills
@josephstephen1079
@josephstephen1079 10 месяцев назад
Hongera sana kaka
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 11 месяцев назад
Mashaa allah anaipenda kazi yake kutoka moyoni ❤❤❤❤🎉 mungu aendelee kukubariki kaka yangu jitahidi ssa uwe na simu kubwa ujione unavyotrend uko mjini TikTok watu wanakupenda saana kka
@nyandaboy4432
@nyandaboy4432 11 месяцев назад
Smartphone anayo mbona
@user-of8cm5lr9k
@user-of8cm5lr9k 10 месяцев назад
.😊😊😊
@mwisabimkurya4830
@mwisabimkurya4830 10 месяцев назад
kwahyo hana simu. anatumiaga nin kurusha tiktok
@user-oz4gz8kq9e
@user-oz4gz8kq9e 11 месяцев назад
Anajua sana Mungu ambariki azidi kufanikiwa katika hiyo kazi Amen
@yusuphsaid7965
@yusuphsaid7965 10 месяцев назад
Abiria wote wamepingwa busu la upendo kwa safari ya Amani.Aisee much love sana
@edithamushi430
@edithamushi430 11 месяцев назад
Yaani natamani nipande gari yake kila siku! Maana hata una uchofu una relex! Big up kijana mungu akubariki
@rehemasaadan3450
@rehemasaadan3450 11 месяцев назад
He is so passionate about his work.👏
@msafirimiracle6613
@msafirimiracle6613 11 месяцев назад
Shabiby chukua huyo atupe Shangwe kutoka Dom -Dar
@gembesimba
@gembesimba 11 месяцев назад
Mabosi Wa magari makubwa akina shabby, Abood, nk. Wamuangalie huyu jamaa anakipaji cha ukonda atakusanya abiria Kutokana na ucheshi wake na atakua maarufu zaidi
@MozaAlkhaif-dg9pk
@MozaAlkhaif-dg9pk 11 месяцев назад
Ila napenda anatangaza kila kituo mana km mtu mgeni inakua rahisi kufaham mahali washuka safiiii sanaaaa
@underratedspirit
@underratedspirit 11 месяцев назад
25:18 Gonga like kama umesikia ngoma ya Harmonize imekatwa juu juu wakati dereva amemgongea mwana ngoma yake inayomrusha zaidi
@malikzafarani172
@malikzafarani172 10 месяцев назад
Umeona eeh 👊🇶🇦
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 10 месяцев назад
I wish to meet this Guy he got talented Bravo Bravo Bravo brother 🙌
@dottohami
@dottohami 11 месяцев назад
Mashaallh anapenda kazi yake huyu kaka 😍
@mwami_the_don_
@mwami_the_don_ 9 месяцев назад
Sure baby 😘😅
@oscarmwailubi5078
@oscarmwailubi5078 11 месяцев назад
Hongera sana kijana
@husnaameen9309
@husnaameen9309 11 месяцев назад
Anajua kusoma na kuandika sema hana sim kubwa inshaAllah atapata
@emiliusfrance8286
@emiliusfrance8286 10 месяцев назад
Anayo kubwa
@stellah3844
@stellah3844 11 месяцев назад
Waooow❤❤😂😂😂,,,, Huyu akiwa konda bus la mkoan yaan hutaman ufke haraka uendako.
@marythomas7873
@marythomas7873 11 месяцев назад
Muhasibu Mungu akutunze sana
@magomakabanja480
@magomakabanja480 11 месяцев назад
Kazi Mbaya ni Wizi na Ujambazi na Utapeli Ndio Kazi Mbaya zaidi
@shaffimjili1501
@shaffimjili1501 10 месяцев назад
Mwamba anaweza aseee.joti
@josephmakonga3201
@josephmakonga3201 11 месяцев назад
Jamaa namkubaligi sana kipindi anapiga segerea to kawe or Segerea to T.nyuki nilikuwa napenda nipande gari yake
@ronnykid1484
@ronnykid1484 10 месяцев назад
hongera sana kaka furahia kazi yako ndivyo hivyo Mungu atabadilisha maisha yako kwa ufupi nataka nikutakie nafasi njema na Mungu akubariki
@kwinyaboytv2956
@kwinyaboytv2956 11 месяцев назад
Sema zembela ukipata muda nitafute me pia nishafanya hiyo kazi nilikuwa mcheshi sana na comedy kwa abiria sema enzi zetu smartphone zilikuea Bado hazijafika me gari yangu ilikuwa inafanya rout ya segerea mnazi amini usiamini Hila abiria walikuwa wanaisubiria stand wengine walikua wanchukua namba niwawekee siti na mpk Leo hao abiria japo nimeacha hiyo kazi lakn eananitafuta
@swamweliteobady4496
@swamweliteobady4496 10 месяцев назад
Kazi ukiipenda nayo inakupenda
@hamisiadam1452
@hamisiadam1452 11 месяцев назад
Mungu akusaidie
@olivemwamengonakilimombeya6951
@olivemwamengonakilimombeya6951 11 месяцев назад
😂😂😂kkahafua mazingiraa ,katupa ganda la chungwa chin sio kwenye bin,na kila konda lazima awe na bin.❤❤ila bado nampendaa tu😅😅😅😅
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 11 месяцев назад
Na huy joti kweli😂😂😂vile vile mpak ufupi kla kitu jaman😂ila nmempend anajali kaz yake mashllah❤
@Runkiller1
@Runkiller1 10 месяцев назад
Ili uwork hard ni must kwanza upende kazi yako 🎉
@nasibuahmedy2438
@nasibuahmedy2438 11 месяцев назад
Mitaa yangu hyo Skanska Jkt na Mbuyuni nimepamiss kinoma Tanzania kwa ujumla. Anyway Muhasibu wa daladala piga kazi ipo siku utafanikisha jambo lako Inshaalah
@oscaredward5228
@oscaredward5228 11 месяцев назад
Professional
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 11 месяцев назад
Hongera bro kwa kuipenda kazi yako
@saidibambo4339
@saidibambo4339 9 месяцев назад
Hii inaitwa kuipenda kaz Yako
@thureyaibrahim6991
@thureyaibrahim6991 11 месяцев назад
Mash allh allah azd kkubarik❤
@kilunjupolinah343
@kilunjupolinah343 10 месяцев назад
Mimi hapa pia I love you so much. ❤❤❤
@FatnaHemedy
@FatnaHemedy 11 месяцев назад
Mungu ambariki😂❤❤
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 11 месяцев назад
mashallah yaani nilidhania joti OG AMEMPATIA VIZURI
@florenceelikana3040
@florenceelikana3040 11 месяцев назад
Umenifurahisha sana dg
@bensonjonas1437
@bensonjonas1437 10 месяцев назад
Unaweza jikuta unapitiliza kituo😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
@mtaakwamtaa4425
@mtaakwamtaa4425 11 месяцев назад
Zembwera ndugu yetu tumekuzoea hivi na huku ndo kunapendeza zaidi nakupongeza babu
@lailalaila8206
@lailalaila8206 11 месяцев назад
Ma sha allah kila mtu hanatakiwa hapende kaz yake
@ChrisMwambeje
@ChrisMwambeje 11 месяцев назад
Safi aiseee👏👏👏👏
@Victor-rb8yc
@Victor-rb8yc 11 месяцев назад
That's powerful
@jaharaoman6478
@jaharaoman6478 10 месяцев назад
Mungu akubariki sana na azidi kukuinua
@mathiasswai7006
@mathiasswai7006 11 месяцев назад
So talented
@felicianboss6953
@felicianboss6953 11 месяцев назад
Hapo abiria hawataman hata kushuka jamaa anaupiga mwingi sana°°apewe mauwa yake°°💜🌺🌺kuna konda kama huyooo tabata°°🥳🥳🥳🥳😁
@janatjumah8643
@janatjumah8643 11 месяцев назад
Ndo uyo uyo wa segerea
@felicianboss6953
@felicianboss6953 11 месяцев назад
@@janatjumah8643 😂😂oooh kumbe jaman anaupiga mwing sana °°
@bahaticosmasi2665
@bahaticosmasi2665 11 месяцев назад
Tupge kaz Vijana namkubalig sana uyu mwamba
@oscanyakunga
@oscanyakunga 11 месяцев назад
Vzur sana kuipenda yake
@DigonzaKeimbe-uq1bx
@DigonzaKeimbe-uq1bx 10 месяцев назад
Salute joti ...
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 10 месяцев назад
yaani huyo konda nilimuona mawasiliano😂 wow safi sana
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 11 месяцев назад
Huyu Jamaa kama kweli kafanana na joti
@silviapeason8542
@silviapeason8542 10 месяцев назад
Nakuona mbali sana broo💪
@user-gp5wf2jd6p
@user-gp5wf2jd6p 11 месяцев назад
Chapa kazi kijana❤
@geraldbenjamin9302
@geraldbenjamin9302 11 месяцев назад
Zembwela akili kubwa moja kati ya watangazaji naowakubali kwenye ubunifu, ila ukuwadi umekuharibia sana brother
@esaukalanje5378
@esaukalanje5378 11 месяцев назад
Sasa hapa akili kubwa ipi kumuhoji conductor au
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 10 месяцев назад
Dah maisha yanaweza kukuforce ukapita pasipotakiwa huyu hapendezi kuwa hivyo hayo angemwachia kitembe
@gaomariwa7637
@gaomariwa7637 11 месяцев назад
Joti ampe nafasi
@MOHAMMEDABDI-lb7yp
@MOHAMMEDABDI-lb7yp 11 месяцев назад
Big up bro
@DijaMriri-wc4qd
@DijaMriri-wc4qd 11 месяцев назад
Abiria nawapenda na hela zenu😂😂😂😂😂😂😂😂
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 11 месяцев назад
Km huna hela hupendwi
@DijaMriri-wc4qd
@DijaMriri-wc4qd 11 месяцев назад
@@m.mmarckus6298 😂😂😂😂
@freeboytz-279
@freeboytz-279 11 месяцев назад
❤❤❤❤
@MozaAlkhaif-dg9pk
@MozaAlkhaif-dg9pk 11 месяцев назад
Wangemtafutia 🎤 🎙 🎤 🎙 kurahisisha kaz
@jameschumbula7351
@jameschumbula7351 11 месяцев назад
💪🏾💪🏾🔥🔥
@noeljacob9644
@noeljacob9644 11 месяцев назад
Huyo konda namkubali sana ingawa alishawahi kusepa na chenji yangu mwaka 2017 akiwa na daladala ya makumbusho to kibamba
@hijazhija316
@hijazhija316 11 месяцев назад
Msamehe
@SinemaZaChina
@SinemaZaChina 11 месяцев назад
2017 mpka Leo unakumbuka 😅😅😅
@laurentwilson-db4ir
@laurentwilson-db4ir 10 месяцев назад
Good luck Life Job ❤❤❤
@kahwalambezi1688
@kahwalambezi1688 10 месяцев назад
Inapendeza kwa wote !
@bebebebe5677
@bebebebe5677 10 месяцев назад
Joty mtafte huyu jamaa ufanye nae kaz😂😂
@twalibusaidshaban457
@twalibusaidshaban457 11 месяцев назад
Namkubal sana mshkaj ukipanda daladala yake una enjoy inshort
@berthatz
@berthatz 10 месяцев назад
Napemda akisema mwenye wivu ajinyonge tafadhali🤣🤣🙌🏾
@brightonngola8142
@brightonngola8142 11 месяцев назад
ana fit kabisa kweny video ya mbosso ya sele
@nicolausmapunda9470
@nicolausmapunda9470 11 месяцев назад
Kabisa
@rodgerskapingo4618
@rodgerskapingo4618 11 месяцев назад
Nilicho wasifu wasafi jamaa alivyoweka mziki wakakata kuogopa kulipishwa na basata kumlipa msaniiiii,,,Babu umetishaaa
@adambashir5000
@adambashir5000 11 месяцев назад
Sawa babu Zembwela akili nyingi
@theresiatemba3706
@theresiatemba3706 7 месяцев назад
@peterbuju5216
@peterbuju5216 11 месяцев назад
Safiii
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 10 месяцев назад
Huyu na Joti wanaweza wakawa ndugu watafutane aisee
@maikokapelo5508
@maikokapelo5508 2 месяца назад
Ametisha nae.zembwera.noma
@ommimg2467
@ommimg2467 10 месяцев назад
C muda jamaa storia yake itabadilika hii ndio bongo bhn😊
@hafidhabdi2004
@hafidhabdi2004 11 месяцев назад
😂😂😂no stress
@jeijeinestory5977
@jeijeinestory5977 11 месяцев назад
🎉
@arnoldkasoma886
@arnoldkasoma886 10 месяцев назад
Kidogo chetu, Kikubwa cha Bakhresa....
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 11 месяцев назад
Hakuna kazi mbaya ,kazi kikubwa iwe ya halali na rispect 😂😂😂mtu poa sana
@jamesmanala3394
@jamesmanala3394 10 месяцев назад
😂😂😂
@magomakabanja480
@magomakabanja480 11 месяцев назад
Naomba Wakutane Trafiki wa Vituko na Konda wa Vituko Hashikwi Mtu Mbona Itanoga
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂yaann
@ramadhansesala4891
@ramadhansesala4891 11 месяцев назад
Aliyesikia Nyimbo ya Harmonize imekatwa kama mm naomba likes
@amosmichael8986
@amosmichael8986 11 месяцев назад
Zamani alikuaga kweny gari za kimba shule makumbusho sijajua kwa sasa kuna siku nilipanda hiyo gari aiseee ilikua ni😂😂😂😂😂😂
@richytarimo4656
@richytarimo4656 11 месяцев назад
kafanana na joti aisee
@MozaAlkhaif-dg9pk
@MozaAlkhaif-dg9pk 11 месяцев назад
Haya nawewe mmmmmmwwwwaaaaaa😊
@fredsonamosmujuni
@fredsonamosmujuni 11 месяцев назад
Huyu konda namkubali sana ukipanda daladala yake unaweza kupitiliza kituo make ni kukenua mwanzo mwisho tu hta ukimkuta kituon unataman gari lake lisiondoke kbs make si kwa mbwembwe hzo
@user-kp9hr2cw1n
@user-kp9hr2cw1n 11 месяцев назад
nakubali
@herryngalilila2403
@herryngalilila2403 10 месяцев назад
Ametisha sana
@Official83640
@Official83640 11 месяцев назад
Na kafanana kweli na Joti😂😂😂
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 10 месяцев назад
nimemis home tegeta jamani ipo siku inshaallah
@nadratmohammedabdallah699
@nadratmohammedabdallah699 11 месяцев назад
Ila anaendana sana na joti
@rehemashabaniameen
@rehemashabaniameen 11 месяцев назад
Kaka Zembwera ukamtembelee yule mtoto mlemavu ulie mpeleka shule na mh,Kumbi lamoto
@jaymash3321
@jaymash3321 11 месяцев назад
Gari yake nimeipanda mara 2 juzi juzi
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 месяцев назад
Kidogo chetu kikubwa cha bakharesa
@evanamkondya4257
@evanamkondya4257 11 месяцев назад
Meme huwa nasubiliaga gari yake mapa naipanda ukiwa na .wanzo ya kudaiwa kodi ukipanda gare yake yote yana isha Ana furahisha sana mungu ambariki kaka huyo
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki 11 месяцев назад
😂😂😂😂 kwanini Joti asimtafute afanye nae kazi.Kipaji anacho cha kuchekesha
@barakawiseman5073
@barakawiseman5073 10 месяцев назад
TILISHO wamuone uyu jamaa
@johnmasha119
@johnmasha119 11 месяцев назад
Duuu deree punguza speed 😅
@laurentwilson-db4ir
@laurentwilson-db4ir 10 месяцев назад
Mwaaaaaah
@noonelike6382
@noonelike6382 10 месяцев назад
Jamaaa anakiharufu cha beberu 🐐 kinouma😂😂😂😂
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 месяцев назад
Mashallah nimependa bure anapanda aswaaaa jamn ee Kaz Ni Kaz tu kikubwa mkono.uwende kinywan
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 11 месяцев назад
Kabisa my❤
@bensonjonas1437
@bensonjonas1437 10 месяцев назад
Unaweza jikuta unapitiliza kituo🤣😂😂🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣😂😂🤣🤣
@kotadapotar5094
@kotadapotar5094 11 месяцев назад
Hujui kusoma wala kutumia smartphone 🙆‍♂️🤣🇹🇿🇬🇷⚓
@fahadfahmy
@fahadfahmy 11 месяцев назад
Kitu unachoharibu nikupiga mateke gari
@mustafamasudi8093
@mustafamasudi8093 10 месяцев назад
Siku ukikutana na joti mwenyewe lazma patachimba sidhan Kama atalipa nauli😊
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 11 месяцев назад
Eee nimependa busu kutoka kwa konda
@khaijakadija2082
@khaijakadija2082 11 месяцев назад
Mulelekezeni jamani kutumia sim Atoboe kimaisha jamani hadi raha Hakana anaezaliwa anajua
Далее
Этот Пёс Кое-Что Наделал 😳
00:31
MAZUZU HAKUNA KUINGIA NDANI
5:22
Просмотров 70 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode/15/ #love
50:40
Просмотров 354 тыс.
Эй Рамазан # DamirAgroDizel
0:16
Просмотров 6 млн
У Котика Отняли Игрушку 🥺
0:15