Тёмный
No video :(

VIDEO: BABA LEVO Atoboa SIRI nyumba ya MWIJAKU/Sio yake/Kanyumba KEMBAMBA 

Rick Media
Подписаться 869 тыс.
Просмотров 90 тыс.
50% 1

...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------

Опубликовано:

 

24 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 157   
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 7 месяцев назад
Hamjajua Hawa majamaa wanaakili Sana ni kuchezatyu na akili zetu😅😅 B Levo anajua Nyumba ya mwijaku
@uwimana6533
@uwimana6533 7 месяцев назад
Kabisa 😂😂😂
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 7 месяцев назад
Hahahaha 😆
@zainabwage4658
@zainabwage4658 7 месяцев назад
Ni kwer
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 7 месяцев назад
Ndio Teknik ya kupata kipato chao,,,hadi kuweza hata kujenga
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 7 месяцев назад
Wao wanajuana.
@ChristinaOnditi-el3xo
@ChristinaOnditi-el3xo 7 месяцев назад
He he heeeeee,nichekw.mie,nilikua nataka baba levo ucheme, chema zaidi broo bado ujachema😂😂😂😂. Nakupenda sana baba levo Kwa niaba ya Diamond 😂😂😂
@allybobsaith
@allybobsaith 7 месяцев назад
Kwa haraka haraka hio ni nyumba ya BABA LEVO mnakorogwa akili😂😂😂
@CarorinaJohn
@CarorinaJohn 7 месяцев назад
Binadamu kulizisha kaz sanaaa
@rerisamba
@rerisamba 7 месяцев назад
Hizo nyumba za juu mnaxipenda lakini ukizizoea zina kusinya inafika mahali kupanda stairs inachosha
@EmmmaTembo
@EmmmaTembo 7 месяцев назад
Hawa jamaa baba levo na Mwijaku ili kazi zao ziende vizuri lazma wapingane na siku wakikubaliana au wateteane lazma kazi zao zitapunguwa
@karloladislaus45
@karloladislaus45 7 месяцев назад
Hati sio issue kubwa. Nyumba yangu nimehamia 2016 hati ya kiwanja nimepata 2023
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 7 месяцев назад
Yaan uhamie 2016 af hati ya kiwanja 2023 😂😂 ulijenga kweny kiwanja ambacho hakina hati? Kilikua cha nan? Hat ya kiwanja na nyumba nitofauti em tuache
@user-eg1ts2fu9z
@user-eg1ts2fu9z 7 месяцев назад
Kweli peter msechu kiukweli ana nyumba
@ISMAILNASHON-zh3sg
@ISMAILNASHON-zh3sg 7 месяцев назад
Hii nimeipenda kwa hawa jamaa,"" mtu anapokosoa kazi yako ndo vizuri maana anakufanya ujione bado hujafika
@hamadmakame6040
@hamadmakame6040 7 месяцев назад
Jengeni nyumba akhera
@user-to3uq1ct6d
@user-to3uq1ct6d 7 месяцев назад
Kwa milioni 125 nakubaliana na baba Levi
@user-el6mm4lh4m
@user-el6mm4lh4m 7 месяцев назад
hahahahaha baba levo mbwaaa ww we yko ikwapi bongo noma
@oneplustv3862
@oneplustv3862 7 месяцев назад
😂😂😂 uyu jamaa bhana ety gorofa modo
@donkaloza6985
@donkaloza6985 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂et gorofa Modo😂
@zawadimpayo3839
@zawadimpayo3839 7 месяцев назад
Acha majungu baba revo
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 7 месяцев назад
Baba leo kichwakogum😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-rm6ph3sm5j
@user-rm6ph3sm5j 7 месяцев назад
hahaha hawa wanajuana...mimi wananifurahisha tu
@hanifamziray277
@hanifamziray277 7 месяцев назад
Nyieeeeee eti kisima😂😂😂😂
@nishawangaiwangai9765
@nishawangaiwangai9765 7 месяцев назад
Imagine babalevo aongea kaukweli pahali😂😂
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je 6 месяцев назад
Baba levo umezakiwa na kipaji cha komedi kweli
@joycemlay5762
@joycemlay5762 7 месяцев назад
Ety ana hipsi kubwa😂
@sarahwawuda5164
@sarahwawuda5164 7 месяцев назад
😂😂😂
@user-zl8ls4dw6w
@user-zl8ls4dw6w 7 месяцев назад
Baba levo umeongea haki
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 7 месяцев назад
huyu baba levo ni mkongoman sio mtz anavibali kama hana mpelekani congo
@user-jw2mo1oj6d
@user-jw2mo1oj6d 7 месяцев назад
Uyuu baba levooo atafiaaa mdomoo
@mwajemisalum8277
@mwajemisalum8277 7 месяцев назад
Baba levo wacha maneno fanya kweli na wewe
@happynelson1136
@happynelson1136 7 месяцев назад
Hongera ya kinafiki umempatia kweli na nyumba sio yake atakuwa mke wake kajenga tena kwa mkopo, mwijaku hawezi hata kukopa benki sababu hana kazi maalum ya kuajiriwa na uchawa hauwezi kupata hela ya kujenga, watu majuu wana kazi mbili lakini hawana uwezo wa kujenga bongo
@cristaezekiel1036
@cristaezekiel1036 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂Ila babalevo
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 7 месяцев назад
Baba Level mbona unajichanganya, mala nyumba siyo yake sasa unampongeza kwalipi🤣🤣🤣🤣
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 7 месяцев назад
Uwusiyo😂😂😂
@jaywellprince5369
@jaywellprince5369 7 месяцев назад
Anampongeza tu kua kashirikiana na mkewe ila anaamini mwenye hati miliki ni ya mkewe
@muhirefiston83
@muhirefiston83 7 месяцев назад
​@@jaywellprince5369 😂😂😂😂 wivu tupu kk Ako nao😅😅😅😅
@kalungamabrucki61
@kalungamabrucki61 7 месяцев назад
Hebu acheni kuongea madudu huku Marekani na canada watu wanaoishi magorofani ni maskini matajiri wanaishi kwenye Villa za chini uliza sisi wabeba box wote huku tunaishi magorofani sasa acheni ulimbukeni
@josephlorri431
@josephlorri431 7 месяцев назад
Umeongea ukweli... hata boss hakai seat ya mbele​@@kalungamabrucki61
@archbordygodfrey2614
@archbordygodfrey2614 7 месяцев назад
Nilichogundua baba level anapenda sana kuitaja namba 3😅😅😅😅
@newttechog75
@newttechog75 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂mmae
@djmosikahayo
@djmosikahayo 7 месяцев назад
levo ❤😂🇨🇩
@beatricewmussa4049
@beatricewmussa4049 7 месяцев назад
Jitu zima wivu wa kitoto khaaa!
@nappekiliakiliasalimu346
@nappekiliakiliasalimu346 7 месяцев назад
hawa wanajuwana naww 😅
@ernestelias7889
@ernestelias7889 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 babalevo bwana awa jamaa waacheni2 wanajuana wenyewe
@uwimanacitegetse9926
@uwimanacitegetse9926 7 месяцев назад
Umesema ukweli ningeshanga Kama nipesazawo bilamukopo but it’s OK☺️
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 7 месяцев назад
Nyumba ya mke wake.. huo ndio ukweli
@user-wi2iu1yw7g
@user-wi2iu1yw7g 7 месяцев назад
Huna jipya fala were,ya kwako iko wapi?
@user-il1kv9zv9j
@user-il1kv9zv9j 7 месяцев назад
Ukweli baba levo nyumba no modo
@user-ho1ho2uk9n
@user-ho1ho2uk9n 7 месяцев назад
Mwambie huo mama
@ZainabuIsmail-fm2ey
@ZainabuIsmail-fm2ey 7 месяцев назад
Ki ukweli ata mm nakua na wacwac yuko mtu nyuma ya mwinjku mtu mzito ataki ajulikane kama nyuma ni ya kwake anaogopa kutumbuliwa lakini kama nyumba ni ya kwake nampa hongera cna wala sio kinafki🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@PHARIDUNASORO-oi7bs
@PHARIDUNASORO-oi7bs 7 месяцев назад
Dar kwer we chawa Tena chawa wakutokea kigoma wabwawe
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 7 месяцев назад
Kama umeona baba levo anajinusa makwapa yake nipe like yako
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 7 месяцев назад
Hapo kwenye ngazi hujaongopa hata mimi nilishtuka hasa usalama kwa watoto
@user-ny3de2qq6r
@user-ny3de2qq6r 7 месяцев назад
Ni kweli
@leecode6135
@leecode6135 7 месяцев назад
Hiyo inaitwa Tinny house ndio style ya siku hizi
@lulu24peter24
@lulu24peter24 7 месяцев назад
Me nikichokion apo lazm nianguke hasa huko.juu swiming pool
@onesmomlinga2739
@onesmomlinga2739 7 месяцев назад
Wewe mbona hueleweki ila nmegundua ninyi mnaelewana
@EminathaKombotela
@EminathaKombotela 7 месяцев назад
Kuchangia tim gan
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 7 месяцев назад
Umejileta mwenyewe baba Levo na domo lako kubwa la kimbea. Wewe la kwako liko wapi? Kazi kuhongwa gari na Mondi
@JacksonJohn.
@JacksonJohn. 7 месяцев назад
😂😂baba levo. Foundation) slab) finishing milion 100 akil yenu kubwa xna nyie
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 7 месяцев назад
Wivu en!
@user-jb2zg5cp7j
@user-jb2zg5cp7j 7 месяцев назад
Kamali😂😂
@-KINKAU
@-KINKAU 7 месяцев назад
Acha roho mbayaaaa sio kila kitu Uwe unapiga Uwe unakubali hayaa tunasubiri ya kwako
@user-bq8hj9ci5f
@user-bq8hj9ci5f 7 месяцев назад
Duuu wanaweze kuchez Naakir zawatu
@anitarafa
@anitarafa 7 месяцев назад
😊😊😊comments ndio zinabamba......i don't want pics i what problems 😂😂😂😂😂
@kingkongchest-rv5rf
@kingkongchest-rv5rf 7 месяцев назад
Vizuri tunataka wasanii wabunifu kama hawa Tz
@user-ff4zm3hk7b
@user-ff4zm3hk7b 7 месяцев назад
We nae mke wa diamond una matatizo....name jenga yako Acha ufala😅😅😅😅😅
@akidakombo259
@akidakombo259 7 месяцев назад
We shoga mwenzio yupo kwake ww na mabinti zako chumba kimoja😂😂
@doreenmsafari2945
@doreenmsafari2945 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@merinakassembe118
@merinakassembe118 7 месяцев назад
Mnajuana nyinyi wenyewe
@othinielkamyola3697
@othinielkamyola3697 7 месяцев назад
😅😅😅😅😅 HIKI KICHWA
@stratega03
@stratega03 7 месяцев назад
jamaa domo kaya😂😂😂
@user-gq9im9tu3d
@user-gq9im9tu3d 7 месяцев назад
Bab levo
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 7 месяцев назад
Wanajuana hawa
@user-yh4ge7gc3o
@user-yh4ge7gc3o 7 месяцев назад
Ila baba levo na mwijaku wanajuana 😂😂😂😂
@vero57
@vero57 7 месяцев назад
Toa hiyo wood mzee!!
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 7 месяцев назад
Kauli hizi vipi?! "...nyumba sio ya kwake...halafu tena ninafahamu gharama yake tangu wanatafuta mirunda, cement na mke wake...tena nampongeza amenyamazisha watu, mara akikosa marejesho benki itachukua halafu gharama halisi ni kadhaa...sasa lipi la kweli...?!.
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 7 месяцев назад
Gorofa 123m Jenga uone kama inatosha
@khadidjaabdi-hd8py
@khadidjaabdi-hd8py 7 месяцев назад
Huyu nae hasadii kwerii yeye yake iko wapii anaumia ndani kwa ndani unafurahisha watu ndani unamaumivuu utakipa kod mpak ukomee hat inahusu nin na mitandao
@Qs3557
@Qs3557 7 месяцев назад
Nyumba Kama ya sungura
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 7 месяцев назад
😂😂😂😂 eti Gorofa modo daah
@FadhiliMesha-pd2th
@FadhiliMesha-pd2th 28 дней назад
ukisikia kabila limbukeni ndio la mwijaku nawashabasana yaani anawakilisha kabira lake jinsi walivyo ukisikia ushamba ndio huo
@Tiffany340
@Tiffany340 7 месяцев назад
Nyumba kama ofisi za chama buana 🤣🤣🤣, ila apo kwa mondi abadilishe furniture zake kwanza tangu enzi za tanasha walipokuwa wapenzi abadilishe 😂😂
@HassanJaphari-rx7jy
@HassanJaphari-rx7jy 7 месяцев назад
😅😅😅 eti gorofa modo
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 7 месяцев назад
Wasoma comment relax wanajuana hawa
@chrisantushokororo8450
@chrisantushokororo8450 7 месяцев назад
Hapo kwenye bafu umetudanganya mbona kaonesha bafu ni kubwa sana acha uwongo
@emmanuelbernard9552
@emmanuelbernard9552 7 месяцев назад
Futa kwanza hiyo kauli,kwamba alisimamisha nchi kwa ajili ya uzinduzi wa nyumba.Hii nchi yetu kweli ukute ni chanel ya vituko mbinguni.
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 7 месяцев назад
Machawa😂😂😂Kama kawaida Yao kupondeana
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 7 месяцев назад
Ni sehemu ya kazi yao, wanajuana wote na wanafanya kazi pamoja.
@user-rf7ni6tr2o
@user-rf7ni6tr2o 7 месяцев назад
Wewe ndio msemaa kwer wandish wengine mabubu awajui kuriza mashwari kwa mwijaku
@salamamamashenge5493
@salamamamashenge5493 7 месяцев назад
Ila Babalevo na Mwijaku nilikua nazani ni marafiki 😅na tena alikua anajipanguza nini 😂😂😂
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 7 месяцев назад
Ananusa pafyumi aliyojipulizia kwapani
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 7 месяцев назад
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jmn
@user-wy6tv5uq5c
@user-wy6tv5uq5c 7 месяцев назад
Acha wivu
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 7 месяцев назад
Mtu mwenye nyumba yake anajua Kila kifaa alichonunua ile si nyumba yake
@user-es7cw2zi3j
@user-es7cw2zi3j 7 месяцев назад
eti modo
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 7 месяцев назад
Hamna ghorofa ya billion pale 😂😂
@brunokassim4599
@brunokassim4599 7 месяцев назад
Acha unafiki onyesha ya kwako
@athumanmbululo3980
@athumanmbululo3980 7 месяцев назад
Wahuni hawa
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 7 месяцев назад
Pili anaishi maisha ya bongo kitasa anasema milioni kumi nane 18mil alafu wanakuja tena kusema kitasa Mara ya pili tena milioni nane point tano 8.5mil anadhani sisi wambumbavu tusio na akili au umakini.
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 7 месяцев назад
wanaume huu ni umama badilikeni ndio maana mukaitwa wa bongo
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 6 месяцев назад
Mbona unatuchanganya mara cyo yake mara mke amepambana, ucha wivu
@Ammarloliso
@Ammarloliso 7 месяцев назад
😂
@estarsaidi9110
@estarsaidi9110 7 месяцев назад
😂😂😂
@shariffmcleja9533
@shariffmcleja9533 7 месяцев назад
Nyie waandishi ndio mafala mko na video za ile nyumba kama ni mbaya ndogo nzuri au kubwa lakini paka Babalevo atoi maoni yake kuihusu ndio mjue
@user-wu9zz1bm9h
@user-wu9zz1bm9h 7 месяцев назад
Wewe wewe unasema nyumba sio yake weweweee unasema unajua jinsi alivyokua ana hangaika na mirundi.nyumba ya mwijaku na amejitahdi sana Kwa levo yake.wacha b levo Domo wewe kawaida yako.haya mara unampongeza we miyeyusho
@Eliya-vv1jp
@Eliya-vv1jp 7 месяцев назад
et gorofa la modo
@veronicamgeni9414
@veronicamgeni9414 7 месяцев назад
Msechu aliwaumiza
@bbanyikwa
@bbanyikwa 7 месяцев назад
Hahahahaaa😅😅😅😅😅99
@gazzomaster9462
@gazzomaster9462 7 месяцев назад
Aloo interview tuu inashika trend kwel machwa niwamooto
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 7 месяцев назад
Apo kwenye milioni 100 ndugu umedanganya watu na ni dhahiri wewe ni muongo😂😂😂😂
@yusuphyuda-jq1xy
@yusuphyuda-jq1xy 7 месяцев назад
Inawezekana
@yusuphyuda-jq1xy
@yusuphyuda-jq1xy 7 месяцев назад
100m unajenga gorofa
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 7 месяцев назад
@@yusuphyuda-jq1xy unahisi watu wote ni wajjnga au mimi kwenye ujenzi nishakaaa na naujua ujenzi
@bekabakari7394
@bekabakari7394 7 месяцев назад
Namuana huyu jamaa Sijui haelewi kua kuna women glass And men’s glass anavaatu lakini sio shida Kwa sababu wabongo wengi hawaelewi ndio maana
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 7 месяцев назад
Hawa wanajuana
@morjanoman5181
@morjanoman5181 7 месяцев назад
Apo kashaweza Tu iwenyembamba ila kapata
@user-xn6st2dk1b
@user-xn6st2dk1b 7 месяцев назад
Ba Levu muongo
@frowinmgimba8513
@frowinmgimba8513 7 месяцев назад
Huyo muandishi wa habari mdada huyo kwenye suala la nyuma sio yake anapenda umbeya anakazia
Далее
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Просмотров 12 млн
skibidi toilet multiverse 041
06:01
Просмотров 4,1 млн
NYUMBA YA BABALEVO YAPIGWA MNADA
4:30
Просмотров 83 тыс.
#LIVE: BABA LEVO ANAFUNGUKA MUDA HUU
34:05
Просмотров 23 тыс.
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Просмотров 12 млн