Point ni kumpongeza 🎉🎉 tu ila kusema ya kwamba hujui ni yupi atakae kusaidia Mimi binafsi huwa siungi mkono kabisa hiyo hoja,jamani kuzaa sio bahati mbaya hivyo mtoto yeyote tu atakuwa msaada kwako endapo umemjengea mazingira wezeshi na sio kusubiri eti apate Mara bahati achukuliwe na litajiri au limama limpende limrithishe Mali hizo ni stori tu za bongo movies.,hivyo jua ukizaa wengi uwe na uwezo wa kuwapa mahitaji yote. I mean basic needs.
Tumeacha kutumia wakunga wetu ambao walifanya mama na bibi zetu kujifungua watoto wengi bila tatizo lakini baada ya kuondoa wakunga upasuaji umezidi hii Inamaana gani KWAMBA tumepata MAENDELEO au tumerudiahwa nyuma Kwa maksudi na watu wenye Nia ovu na AFRIKA YETU,tutafakari Kwa kina ili kunusuru mataifa yetu.
Vijan naomba tuzae watoto wengi kama China na India maana Uchumi unahitaji watu. Hasara ya kuzaa watoto wachache yanakuwa majinga hayapambani yanajua yataachiwa Mirathi ila wakiwa wengi wanapeana challenge
Ndio,tunafaa kuzaa kimpango hasa africa,kwasababu maisha imekuwa ghali,masomo bora ni gharama pia ikizingatiwa wengi wetu hatukuw na fursa ya elimu ya juu kisa karo,sembuse uwazae 20....jaribu utatusimulia baadae.
Kwa kweli kutokana na technogia si jambo la kawaida lazima kuna Masada wa madawa yanayofanya hivyo.. Mfano dar pale ubungo plaza kuna herbal clinic ambayo wana dawa hizo za kupata mapacha
Nawafuatilieni sana sns mm ni sehem ya hii family.. ali natamani utuweke wazi kuhusu majibu juu ya huyo mwamba kuzaa malacha mfululizo ametumia njia gani?
Mimi adi mayai yawe viza ndio basi mungu akiamua kukupa mapacha anakupa tu mapacha kuna mwanamke uganda amezaa mapacha mara 6 mbona hamsgangai nyooo adi anaomba masaada asaidiwe chakula😂😂😂😂
Hiyo ni kawaida tu na kujaaliwa kupata pacha ata uowe mke gani. Me nipo na sster wangu ameolewa na mme wa mwanzo amepata mapacha na ameolewa na mme wa pili amepata mapacha tena yupo Tz watto wte wako chuo saiv