Тёмный
No video :(

Vitu 7 Lazima Uvijue Kuhusiana Na Kusudi Lako 

Joel Nanauka
Подписаться 283 тыс.
Просмотров 83 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

28 дек 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 116   
@aFricainherbalmedicine
@aFricainherbalmedicine Год назад
Moja ya elimu ambayo huwezi kuipata darasani👏👏👏
@ukhtyhalimaismailbakari4931
@ukhtyhalimaismailbakari4931 3 года назад
Daaaa!!! Ahsante sana brother barikiwa walahi ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💖💖💖💖💖💖💖💖🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@asyaasya3766
@asyaasya3766 3 года назад
Asant kka Joel, unazidi kunapa nguvu mpya maneno yanayo nitia nguvu nazidi kuwa mpya kila kukicha kabla sijaanza kukufuatilia nilikuwa kajinga kajinga najidharau najiona mm silolote hakika maneno yako yamebadili kilakitu kweny maisha yangu,, nimekuwa mtu mwenye thamani kumbe kama haujajithamini mwenyewe kila mtu atakudharau ukijipenda na kujiamini kilamtu atakuheshim nasema asant tena
@nelsonmwangi8113
@nelsonmwangi8113 3 года назад
Tunakuhitaji huku Kenya. Barikiwa
@user-pc6gp3xr5l
@user-pc6gp3xr5l Год назад
Hongera broo JOELY NANAUKA uko vizur kwa kuona kujali kuinua kizazi kikubwa DUNIANI jina la bwana libarikiwe kaka FOR YOU
@JoyceEmmanuel-rv4om
@JoyceEmmanuel-rv4om Месяц назад
Nimeanza kusikiliza speech zakoo kwa mda mfupi lakni naona nabadilika kimawazo,mungu akubalikii
@rimepeter789
@rimepeter789 3 года назад
Amen, wonderful message I tap on it in Jesus name, glory be to God for this connection. ❤🙏
@yakubufadhil2560
@yakubufadhil2560 3 года назад
Joel upo vizuri sana na unatusaidia ssna, ila natamani sikumoja urudi kwenye dini sahihi ya uislam, utafanikiwa hapa duniani na maisha baada ya hapa.
@asyaasya3766
@asyaasya3766 3 года назад
Unawaza kam me pia Hua nafikiria angekuwa muslim ningefurai san
@frankmtei3017
@frankmtei3017 3 года назад
Joel ni mtumishi wa Mungu sio mtu wa dini hakuna dini iliyo sahihi hata moja kwataarifa yako
@frankmtei3017
@frankmtei3017 3 года назад
@@asyaasya3766 acheni udini, nawaonya ktk jina LA Yesu Kristo!
@thinktwice7176
@thinktwice7176 3 года назад
Hahahaha nashangaa mambo ya dini tena.tuachane na mambo hayo tufikirie juu ya ujumbe siyo dini
@raymondgeorge5301
@raymondgeorge5301 3 года назад
Huo uzuri ambao unaouona nikwasababu ya huyo yesu anaemtumikia kwani kuna waislamu wangapi wanaelimu ya dini ya kiislamu na wamekosa hiyo hekima ya mungu ya kusema na watu badala yake ni kukashfu tu dini za watu joel anamtumikia mungu wa kweli ndio maana mafundisho yake yana nguvu
@edderedderrichard3112
@edderedderrichard3112 3 года назад
Kumbe pia ni ninayo nguvu ya Mungu katika kuhubiri barikiwa sana upo kwa kusudi kubwa Tanzania.
@abelntobi382
@abelntobi382 3 года назад
Kazi yako ni kubwa Sana BROOO keep motivating us bro
@issakatety3535
@issakatety3535 Год назад
Naendelea kujifunza vitu vipya kila siku asante sana brother👏👏👏👏🫡🫡🫡
@MOTecnology
@MOTecnology 3 года назад
Thanks Brother. Nafanikiwa kwa Uwezo Wa Allah Aliokupa Ndugu Joel Nanauka Kwa Kubadilika Asilimia 70% ya Maisha yangu Kupitia Vitabu vyako Na Video Zako Pia Na Semina zako Mtandaoni. Shukrani Sana Mungu Akubariki.
@twahaally1969
@twahaally1969 3 года назад
facts brooh!
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 года назад
Safi kabisa
@selemanramadhan3279
@selemanramadhan3279 Год назад
Ni kweli bro!! Hata mom imenisaidia kazini maana nimejitahidi kujitoa kufundisha hatimaye wamenikubali naha kuniongezea majukumu.
@sajieussajieus230
@sajieussajieus230 Год назад
Mungu akupe maisha marefu kiongozi
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Год назад
Mungu. Akulinde
@zenamarugujo9003
@zenamarugujo9003 Год назад
Mungu ni mwema, barikiwa
@anordnjau1748
@anordnjau1748 2 года назад
Asante sana mtumishi, Mungu alibariki kwa ujumbe mzuri.
@christommhagama6549
@christommhagama6549 Год назад
nabarikiwa Sana ninapo kusikiliza BwanA yesu aendelee kukutumia ilinkutimiza kusudi la mungu
@brunophilbert1034
@brunophilbert1034 2 года назад
Merci beaucop frêre.
@michaelshayo187
@michaelshayo187 3 года назад
Ahsante kwa somo zuri sana
@fatmakessy981
@fatmakessy981 3 года назад
🙏🙏nashukuru sn najifunza mengi kupitia wewe mungu akubarik sn
@user-hk9ms4mx6l
@user-hk9ms4mx6l 6 месяцев назад
Umenitia nguvu Sana na Somo hili.Mungu akubariki
@hariethkalindiliqefggidxvh5390
@hariethkalindiliqefggidxvh5390 3 года назад
Barikiwa kaka Mungu anajua kusudi la kuniumba I'm so special
@bertrandvyamungu6218
@bertrandvyamungu6218 3 года назад
Ubarikiwe sana,you came as solution for my calling
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 года назад
My brother wangu Ubarikiwe sana mtu wangu wa nguvu 💪💪🎉💐🤝
@selemanramadhan3279
@selemanramadhan3279 Год назад
Tunashukuru kutujulisha umuhimu wa ujio wetu hapa duniani.
@twahaally1969
@twahaally1969 3 года назад
nimefurahia kumuona MR ERICK SHIGONGO,
@obrigadovictor9260
@obrigadovictor9260 3 года назад
Excellent man of Almighty GOD, speech was full of quotable lines.
@adelinakibejile4696
@adelinakibejile4696 2 года назад
I thanks God for ur presence🙏br Joel stay blessed
@omaryussufamour4049
@omaryussufamour4049 3 года назад
Mungu akubariki sana kaka Joel
@mwanaidiamanzi914
@mwanaidiamanzi914 11 месяцев назад
Mungu akubariki sana Joel,unanipa ujasiri wa kupambana mno
@loseriansamwel4931
@loseriansamwel4931 3 года назад
Mungu akubariki uzidi funuliw
@astridagaya3249
@astridagaya3249 2 года назад
Kila nikikusikiza naona unavyokuja kuwa zaidi ya Joel osteen nami ni maombi yangu siku moja ufike viwango vya joel osteen
@franknachimbinya7688
@franknachimbinya7688 3 года назад
Just true Nanauka upo kukamilisha kusudi ninalo liishi
@khadijakisingo7920
@khadijakisingo7920 2 года назад
Joel hkn km ww mwenye kunijenga kiakili barikiwa Sana🙏💖
@charlesmafumiko6027
@charlesmafumiko6027 3 года назад
Napata sasa kuwa na ujasiri kwa kweli Mungu ametupatia kila mmoja wetu kitu cha kipekee ambacho hakiwezi kupatikana kwa MTU mwingine.
@consiliazakaria3219
@consiliazakaria3219 2 года назад
Furaha yangu imetimia
@neymermponde7810
@neymermponde7810 3 года назад
Asantee sana Mungu akubariki sana
@patricktv8606
@patricktv8606 8 месяцев назад
Be blessed
@charlesoputi7101
@charlesoputi7101 Год назад
You always brighten my day. God bless you
@gaspernicholaus9309
@gaspernicholaus9309 3 года назад
So Kaka mungu Akupe Maisha marefu
@pendothomas7258
@pendothomas7258 3 года назад
Amen. Barikiwa sana kaka Joel. Nahitaji mwendelezo maana imeishia point ya 4 na ziko 7
@annamallya8756
@annamallya8756 3 года назад
Mwenyezi Mungu azidi kukupigania kaka 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌
@justineungwa4897
@justineungwa4897 2 года назад
Barikiwa sana kaka yangu
@kenyantotoz4244
@kenyantotoz4244 3 года назад
Congratulations bro, for sure u are God sent in many lives,,,, more love from kenya
@georgekaganda7090
@georgekaganda7090 3 года назад
aiseeee joel,joel,joel daaa barikiwa sna aise nimepata nguvu mpya
@user-xd5cz2xk2n
@user-xd5cz2xk2n 3 месяца назад
Tokanilipo gunduaa kusudi langu nimegunduaa nimepoteza mdanafedha nyingi kufanyamambo yasio kusudi langu asante saña kakufanya nilìjuee kusudilangu
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Год назад
Ahsante
@charlesmafumiko6027
@charlesmafumiko6027 3 года назад
Kwa ujumbe wako kaka nabariwa sana hasa apo kwenye kuwa MTU maalum katika jambo fulani
@edinabakanoba6619
@edinabakanoba6619 3 года назад
Mimi Ni mteule,Nina kitu changu Cha tofauti.Mimi Ni wa pekee
@ivaninokimz5257
@ivaninokimz5257 3 года назад
Thank you for the light.... May God Bless you
@mr.sangaellies5110
@mr.sangaellies5110 2 года назад
Halelujaa
@noelmwikeve6255
@noelmwikeve6255 3 года назад
Am special
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Powerful 💖💖
@judithnjalambaya2450
@judithnjalambaya2450 3 года назад
Mungu akubariki kaka
@judynafula3287
@judynafula3287 3 года назад
Wow thank you so much brother God bless your 🙏👌💕💯
@brunophilbert1034
@brunophilbert1034 2 года назад
I am so special.
@jacksonkimambo2965
@jacksonkimambo2965 3 года назад
You are excellent sir.
@farajamsepele3507
@farajamsepele3507 Год назад
Am so special
@anordbumari8939
@anordbumari8939 3 года назад
ASANTE SANA mkuu 🤝🤝
@williamngao4454
@williamngao4454 3 года назад
Asante nimebarikiwa
@sapiamosi3285
@sapiamosi3285 3 года назад
God bless u
@slyviamariammariam-7262
@slyviamariammariam-7262 11 месяцев назад
Ameen
@mariamayoob8734
@mariamayoob8734 3 года назад
powerful message
@nicolasemmanuel6915
@nicolasemmanuel6915 3 года назад
Im special
@aishaalley4532
@aishaalley4532 3 года назад
Barikiwa kaka, ni maneno gani ya motivation ambayo tunatakiwa kiwaambia watoto wetu ili kuwajengea kujiamini?
@happnesstupuyo155
@happnesstupuyo155 3 года назад
Joel Kuna kitu Cha mungu ndani yako,nakiri, kila siku mungu anakutumia kuwabadilisha watu wengi,nikiwemo mim,mungu akubariki Sana
@rachelbarnaba8207
@rachelbarnaba8207 3 года назад
Ahsante.
@perpetuagodfrey4301
@perpetuagodfrey4301 3 года назад
KAKA UNANIBARIKI KILA IITWAPO LEO MUNGU AKUBARIKI SANA
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 11 месяцев назад
Joel haya masomo yenye mchanganyiko wa injili Yana nguvu sana ongeza mengine Kwa bidii uinuliwe ktk utumishi wako.
@toyclaude776
@toyclaude776 3 года назад
Très profond
@djmackbestseasonandsinglem3384
@djmackbestseasonandsinglem3384 3 года назад
Blessed
@dynam1488
@dynam1488 3 года назад
Sawa sawa 🙏
@benjaminpetro7494
@benjaminpetro7494 3 года назад
Nakuelewa sana kaka
@davidtvonline6020
@davidtvonline6020 3 года назад
Kaka Joel Muendelezo Wa Somo Hili?God Bless You..Hakika
@jovinmutakumwa9611
@jovinmutakumwa9611 3 года назад
Barikiwa 🙏🙏💪💪💪
@yohanasimtenda748
@yohanasimtenda748 3 года назад
Powerful
@mariamayoob8734
@mariamayoob8734 3 года назад
Shukrani
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 3 года назад
Thank you my Brother Joel stay blessed 🙏🙏
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 2 года назад
Mungu akulinde mtumishi umenifariji sana kaktka masomo yako Mungu abariki vizazi vyako ubarikiwe
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 2 года назад
Ubarikiwe sana
@davidogweno5427
@davidogweno5427 3 года назад
Neema yako haiwezi Kupotea!
@toyclaude776
@toyclaude776 3 года назад
Amen
@deborahlaiton4578
@deborahlaiton4578 3 года назад
Good
@damasjanuary6043
@damasjanuary6043 3 года назад
Nakukubali xana kaka🙏🙏🙏
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 3 года назад
Amina
@ibrahimarzad140
@ibrahimarzad140 3 года назад
Sante sanaa
@irinapardon4230
@irinapardon4230 3 года назад
Asante🙏
@arafatyhussein
@arafatyhussein Год назад
@Joel Nanauka naahidi nikifanikiwa kutimiza ndogo yangu una zawadi yako kutoka kwangu note this date + this comment.✍️
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 года назад
🙏
@ernestboyo4381
@ernestboyo4381 3 года назад
Yes
@leonardmadelemo9104
@leonardmadelemo9104 3 года назад
Daah sasa naanza badilika naiona neema
@lazarojohn6256
@lazarojohn6256 Год назад
Nimeshakujua kumbe ni mcha mingu ubarikiwe kaka
@mariamayoob8734
@mariamayoob8734 3 года назад
Ukweli Mtupuu
@SaidFeruz-bs1hf
@SaidFeruz-bs1hf Месяц назад
Rama niwewe
@mosesjackson_tz
@mosesjackson_tz 3 года назад
Duuuu joel kumbe hata kuhubiri unajua.....fungua ministry tuje
@jaxxjoo1973
@jaxxjoo1973 3 года назад
Has Kaka no nne no ushuhuda wangu barikiwa xana
@hellenismail4351
@hellenismail4351 3 года назад
So powerful as always
@user-je8qx8ze8o
@user-je8qx8ze8o Месяц назад
🙏🙏🙏🙏🙌🙌
@jamessanchez3802
@jamessanchez3802 3 года назад
Una faa kuwa mchungaji
@davidogweno5427
@davidogweno5427 3 года назад
Tumikia kusudi lako ili mafanikio yaje!
@user-xd5cz2xk2n
@user-xd5cz2xk2n 3 месяца назад
Sasa naliishi kusudilangu
@chrissmalloy9
@chrissmalloy9 3 года назад
🙏🙏💪
@mishentown9645
@mishentown9645 3 года назад
Simbaaaaaa
Далее
SIFA NA TABIA ZA KIONGOZI
23:38
Просмотров 35 тыс.
NOOOO 😂😂😂
00:14
Просмотров 13 млн
Je,Kiongozi Ni Mtu Wa Namna Gani?
21:45
Просмотров 36 тыс.
KULIGUNDUA KUSUDI LAKO NA KULIISHI (JOEL NANAUKA)
36:10
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
JOEL NANAUKA: JE, UNAJUA KUSUDI LA MAISHA YAKO?
13:32
HATUA 5 ZA TATIZO LA AFYA YA AKILI | Deo Sukambi
36:33