Asant kka Joel, unazidi kunapa nguvu mpya maneno yanayo nitia nguvu nazidi kuwa mpya kila kukicha kabla sijaanza kukufuatilia nilikuwa kajinga kajinga najidharau najiona mm silolote hakika maneno yako yamebadili kilakitu kweny maisha yangu,, nimekuwa mtu mwenye thamani kumbe kama haujajithamini mwenyewe kila mtu atakudharau ukijipenda na kujiamini kilamtu atakuheshim nasema asant tena
Huo uzuri ambao unaouona nikwasababu ya huyo yesu anaemtumikia kwani kuna waislamu wangapi wanaelimu ya dini ya kiislamu na wamekosa hiyo hekima ya mungu ya kusema na watu badala yake ni kukashfu tu dini za watu joel anamtumikia mungu wa kweli ndio maana mafundisho yake yana nguvu
Thanks Brother. Nafanikiwa kwa Uwezo Wa Allah Aliokupa Ndugu Joel Nanauka Kwa Kubadilika Asilimia 70% ya Maisha yangu Kupitia Vitabu vyako Na Video Zako Pia Na Semina zako Mtandaoni. Shukrani Sana Mungu Akubariki.