Тёмный

#EXCLUSIVE 

EastAfricaTV
Подписаться 1,1 млн
Просмотров 71 тыс.
50% 1

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Опубликовано:

 

13 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 146   
@jaderkyser9389
@jaderkyser9389 27 дней назад
Nyimbo kali zipo nyingi katika album, ila nazikubali 1.nitasimama tena Ft Abiud 2.Nishaachana nae Ft Phina 3.Namuachia Mungu Ft Appy 4.Naskia Harufu ft Chid Benz 5.Nakuja Kwako ft One Six
@user-qb1jv2dy2d
@user-qb1jv2dy2d 25 дней назад
Roma ni Artist mwenye Akili kubwa mnoo! Binafsi Naamini ili kumwelewa vizur inahitaji Mtu uwe na uwezo mkubwa wa Akili na Fikra. Lakini ukiwa na Akili ya Kawaida ni ngumu sana kumuelewa.
@omolomaxfitnessbodylifetim8252
@omolomaxfitnessbodylifetim8252 24 дня назад
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤Msanii wa Rwanda aliyesemwa kufariki alikuwa anaitwa Ivan Bravan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤. Big up from Kigali. Ila kama Nasikia harufu vile😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@BingwaboyPepeleboy
@BingwaboyPepeleboy 20 дней назад
big artistes in rap
@IssaMkali-k6y
@IssaMkali-k6y День назад
Zile ngoma roma kauwa sana
@millardGaiga-vh9yh
@millardGaiga-vh9yh 26 дней назад
Oya wanangu Roma katisha "aliyemteka Roma ndo aliyeyavamia mawingu and vice versa "
@user-qb1jv2dy2d
@user-qb1jv2dy2d 25 дней назад
Yeah, that's Truthfully.
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 22 дня назад
Unaakili sana nilikuwa sikufatilii leo nimeskiliza na nimakufaham .mungu akuzidishiye
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 13 дней назад
Roma yupo vizuri sana
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 26 дней назад
All the time = wakati wote
@AndreaBalintanzeko-vd8yw
@AndreaBalintanzeko-vd8yw 26 дней назад
🎉🎉
@imranmohamed9527
@imranmohamed9527 14 дней назад
Nakukubali sana ROMA
@KelvinBushesha
@KelvinBushesha 24 дня назад
Tunategemea hizi ngoma zisikose Top10
@silvanusmasawe
@silvanusmasawe 22 дня назад
Love you kaka ❤❤❤❤
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 26 дней назад
Roma ni rapa mzuri isipokuwa hajui biashara ya muziki
@RiddoRiddo-jj1bx
@RiddoRiddo-jj1bx 25 дней назад
Rapa wa kawaid s
@imammwasanyamba9715
@imammwasanyamba9715 27 дней назад
@KenedyKazana
@KenedyKazana 17 дней назад
Akika usipo kuwa makini uwezi kumuelewa mwamba mungu ni mpaji wavyote mungu awe nawe mpaka mwisho✝️
@dreamz_d
@dreamz_d 19 дней назад
Bro 😎
@princessplatnum4416
@princessplatnum4416 26 дней назад
Mkivaaa kiatu cha roma amtembei mnasaau kwambaa akuna alokamilika so ata ukiwa nawatoto so wote wataona unatenda aki lkn mzeee wetu ulitishaa
@basilvenance1368
@basilvenance1368 19 дней назад
Anajitambua sana, pia anatumia akili sana kufikisha ujumbe.
@chrispinegervas1681
@chrispinegervas1681 27 дней назад
Super
@nzegeatv6355
@nzegeatv6355 25 дней назад
Tatizo la uyo mtangazaji ana sifa hatulii anatangaza kuonekana kama anajua wakati sifa ya mtangazaji inatakiwa kufanya kaz na sio kushindana
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 25 дней назад
Naona kama bando langu mmelimaliza tu mlichoandika hapo na Roma alichoongea vitu viwili tofauti
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 27 дней назад
tunakukubali sana hujawahi kosea kaka. Big up roma👏👏.
@xmathematics_
@xmathematics_ 27 дней назад
dk 46
@eliahswai1607
@eliahswai1607 27 дней назад
Big up to you bro since day one hujawahi kukosea
@princessplatnum4416
@princessplatnum4416 26 дней назад
Kaka nikweli lkn maumivu aliyapata yeye akuna alokamilika ata mzee akukamilika boss lkn tulimpenda mzee wetu kwa hyo ukijalibu kuvaa kiatu chaloma usingewenza kutembea
@jaderkyser9389
@jaderkyser9389 27 дней назад
11:28
@HamisiWilson-kb2bj
@HamisiWilson-kb2bj 25 дней назад
Roma salute _$
@JacksonMwinga
@JacksonMwinga 11 дней назад
We ni mwamba
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 26 дней назад
Nyinyi wapuuzi tu hakuna lolote
@user-tt1ze2dw4x
@user-tt1ze2dw4x 14 дней назад
Mweu anakujaga bondo nakurudi uyu broo ngoja siku nitakupost ukiwa apa bongo😂😂😂
@MATHAYOPETROGARYA
@MATHAYOPETROGARYA 26 дней назад
Namshauri sikumoja aimbe kuhusu flusa anazoziina huko especially masuala mazima ya biashara zinazoweza kuzalisha tukauza huko america mamen aache kutia sumu miyo.ya vijana ..coz Dunia haiitaji mambo hayoo kivile we need to hear economic issues..thanks
@joshuanyaulingo4109
@joshuanyaulingo4109 26 дней назад
an kwa huo ushaur wako nd umbadilishe,, akat alinusurika kupotezwa en he z still in his standing
@josephbuddoh1577
@josephbuddoh1577 25 дней назад
Natamani kusikiliza hio ves walioigomea kuirusha hewan
@GunmanUnique-zo9bp
@GunmanUnique-zo9bp 7 дней назад
Nkbr chaf
@joelandekile3933
@joelandekile3933 26 дней назад
HI CHANNEL IMEKUWA YA KISENGE SASA
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 22 дня назад
Roma mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@RamadhanHaruna
@RamadhanHaruna 27 дней назад
Roma mtanzania ivi kwanni kaka umehama bongo
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 27 дней назад
Kwani kuna shida gani? Yani uache sehemu yenye pesa.
@isaacbywell7081
@isaacbywell7081 27 дней назад
​@@angelsblackboard8008 ww Angels mbona majib yako na jina lako haviendani. Unatukana nakujib vitu visivyo.
@herbethlukogela7657
@herbethlukogela7657 26 дней назад
Kwani hivi Roma ni mtu wa kwanza kuishi nje
@alexlingwendu6780
@alexlingwendu6780 26 дней назад
Kwani kuna shiido
@dennischarles8524
@dennischarles8524 24 дня назад
Umesahau alitekwa kupigwa karibu auliwe?
@user-tx1yb3my3m
@user-tx1yb3my3m 23 дня назад
Mm kilicho nishangaja uyo mtangazaj Ana nawa sanamikono bila maji
@LukeloKibumo-uu2oh
@LukeloKibumo-uu2oh 26 дней назад
Kote umeongea vizuri ila kumgusa aliyevamia mawingu umefeli unaushahidigani
@juliusmix
@juliusmix 25 дней назад
Kuna wakati usipoelewa kitu ni heri unyamaze tu ili usionyeshe udhaifu wako. Unazungumzia ushahidi kwa mhusika mwenyewe? Mhusika kasema, wewe unasema hana ushahidi...,unataka alete ushahidi hapa ni polisi?
@AshelyJonas-vg9gg
@AshelyJonas-vg9gg 8 дней назад
Namkubali san uyo mwamba
@AshelyJonas-vg9gg
@AshelyJonas-vg9gg 8 дней назад
Mwana unakuja lin
@AshelyJonas-vg9gg
@AshelyJonas-vg9gg 8 дней назад
Roma ludi tanzania
@jeromejanson3003
@jeromejanson3003 24 дня назад
Is name’s jay polly
@DitrickKidagayo-cj1cj
@DitrickKidagayo-cj1cj 27 дней назад
Huyu muongeaji Bado Hana sifa ya kuwa mtangazaji kigugumizi kama ametoka kunywa pombe
@filexkivuyo8383
@filexkivuyo8383 23 дня назад
Ngoma kama hizi zinatakiwa kuwa nafasi za kumi bora kilamara
@filexkivuyo8383
@filexkivuyo8383 23 дня назад
Wanao kutukana naisi wana upungufu wa ufam kwaiyo wasame tuu
@chrismwanjalika9892
@chrismwanjalika9892 24 дня назад
Hivi bado Nyimbo mnaita mwimbo? dah! hatutafika.
@brain_ujazo
@brain_ujazo 23 дня назад
Wewe mwenyewe pia umekosea hakuna Neno NYIMBO kwenye Kiswahili . Ni WIMBO Tu Iwe Wingi Iwe Umoja.
@ORG960
@ORG960 23 дня назад
Roma ameamza kuzeeka sikuizi
@idrisandaka2198
@idrisandaka2198 22 дня назад
Huyu ni mwamba na nusu
@yassinchuwa8824
@yassinchuwa8824 25 дней назад
Huyu dogo anachokonoa hatari
@MponelaJuma
@MponelaJuma 27 дней назад
we mtangazaji unapapara tulia wakati unauliza maswali
@nzegeatv6355
@nzegeatv6355 25 дней назад
Wa kike au wakiume😂
@brudatv3539
@brudatv3539 24 дня назад
Walioanza kukimbilia comment
@user-rk9sd4kc4d
@user-rk9sd4kc4d 22 дня назад
Mzuri ni mchamungutu, nyie pigeni keleletu, af mnasahau Akhera
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 25 дней назад
Ila yupo kijijini sana😂😂😂😂
@kareem1182
@kareem1182 14 дней назад
Ulayaa ata pakiwaa shambaa sawa na masaki
@VitukoKiwanga
@VitukoKiwanga 27 дней назад
Mwana, halakati huyoo!!
@ThousandPhase
@ThousandPhase 27 дней назад
Roma anakitu so ni mkweli Mimi sjaona ubaya wake
@user-wy5zv2qw6t
@user-wy5zv2qw6t 24 дня назад
Ramadhan na ww unauliza nn ss
@OscarPilla-oy2rc
@OscarPilla-oy2rc 26 дней назад
Ww 🎉❤mwamba
@robartifabiani
@robartifabiani 26 дней назад
Tano nyingi mpaka sugu
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 27 дней назад
Big up east Africa, big up Sana mwanangu Roma ,npo nawewe tangu mathematics adi leo paka na panya, kwenye maua yangu,,endelea kutusema watu wako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😎😎😎😎😎😎(nimewa challenge ,nlikua natafuta coment50 Dil done)😂😂
@emmanuelchacha6718
@emmanuelchacha6718 27 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 27 дней назад
Kwani serikali ikikosea inatakiwa watu wasiseme? Hivi Mikundumikundu kama wewe akili mnapelekaga wapi?
@NorascoKipeto
@NorascoKipeto 27 дней назад
hamna bayaaa, chupa limeamka na chai,
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 27 дней назад
@@angelsblackboard8008 mdomo uliponza kichwa😎😎😎
@TIMOTHEOALFREDI-zf2te
@TIMOTHEOALFREDI-zf2te 27 дней назад
Ww nyiko kweli urafinywa nyuma serikali ni nani sio me na wewe acha ujinga
@Black-sound24
@Black-sound24 27 дней назад
Roma 💥
@MohamedBakari-lb5mk
@MohamedBakari-lb5mk 27 дней назад
Mwana harakati mmoja
@filexkivuyo8383
@filexkivuyo8383 23 дня назад
Mm binafs nakukubali ijapo umetukacha
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 27 дней назад
Mtanzania anaeipenda nchi yake. Mzalendo ndo huyo sasa.
@ThousandPhase
@ThousandPhase 27 дней назад
Eee bana ee Roma ni jembe na nimegundua kitu rap iliyotulia IPO Moro na mwanza
@user-to6cg8uf3f
@user-to6cg8uf3f 26 дней назад
BT remind you Roma mwana fa wanatoka Tanga😊
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c 27 дней назад
Tatizo uyu jamaa kuimba anajua shida mpumbavu wa kupinga ata jitihada za kuvusha inch katika umasikin
@MayraTiffu
@MayraTiffu 26 дней назад
Acha uchawa ww kupinga jitihada gan
@SikabweChristophe
@SikabweChristophe 26 дней назад
Bro are you mad
@FilbertHabashi-zn1qu
@FilbertHabashi-zn1qu 26 дней назад
Bado bongo wasiojielewa ni wengi saaana aiseee
@markoshem-ij6cf
@markoshem-ij6cf 26 дней назад
Musenge wewe
@januarysungura8119
@januarysungura8119 26 дней назад
serikali inajitihada gani zaidi ya kutuendelezea umasikini na wenyewe ndo kubakia matajiri,au na wewe ni mjukuu wao?
Далее
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Просмотров 9 млн
Roma Feat. Hamadai - Narudi (Visualiser)
2:39
Просмотров 65 тыс.