Тёмный
No video :(

EXCLUSIVE:BI MWENDA Akiri kuuweza Uchawi/ Athibitisha kupigwa/Ndugu zangu/Kanumba/kwingineNitaharibu 

ZamaradiTV
Подписаться 245 тыс.
Просмотров 75 тыс.
50% 1

Hii ni exclusive interview iliyofanywa na Zamaradi Mketema ambae Mbali na kuwa mtangazaji pia wana mazoea binafsi na utani mwingi na BI MWENDA ambae alimualika kwenye kipindi, na hiyo ilipelekea kuwe na vitu vingi vya kuchekesha kwenye Interview hiyo kutokana na vituko vya Bi Mwenda na mahusiano Yao binafsi
Ameelezea mengi kuhusiana na Maisha yake binafsi lakini pia uelewa wake juu ya Industry ya film Tanzania pamoja na jinsi ambavyo ameshawahi kupigwa na wananchi mara nyingi kwa Dhana ya Uchawi ambayo wengi wanadhani ndivyo alivyo

Опубликовано:

 

28 янв 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 255   
@veronicamwanyika7226
@veronicamwanyika7226 4 года назад
Pole sana Bi Fatuma Makongoro. Kwa kuumwa .Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi
@florencembithe2244
@florencembithe2244 4 года назад
Leo mtu mzima kakalia kiti Zama kawa mpole chezeaa wewe majibu kaa yote,,,,nani akaona mama amependeza kafit mbaya😂😂🇰🇪🇰🇪
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 4 года назад
Yani ikiwa huyu mamangu anajiamini na kutafuta rizki kwa umri wake huo,ili watoto wasilale njaa ,wasikose elimu ,na huduma zengine muhimu, Mimi ni nani ? nisichangamke ili watoto wangu waje wajivunie Mimi mama yao, Nakuombeya uzima mamangu bi mwenda /fatuma ALLAH akupe umri mrefu wam kumcha yeye, Una hekma sana,
@zeidytheislandgirl7616
@zeidytheislandgirl7616 4 года назад
Unaakili san
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 года назад
Ladymasha Allah I like u a advise Hamsini Na ikawe hivo Amina
@bensonvincent3493
@bensonvincent3493 4 года назад
Uyu bi mkubwa kasoma na babu yangu musoma alikuwa dada mkuu washule mtoto wa chief uyo kawatesa San wenzake shule
@zakyahya4645
@zakyahya4645 4 года назад
@@bensonvincent3493 🤣🤣🤣🤣na Babu yako pia aliteswa na bi mwenda au sio?
@beatricejoseph7704
@beatricejoseph7704 4 года назад
Nampenda Sana Bi Mwenda Mwenyenzi Mungu Amtangulie Katika Kazi Yake...
@siaammo1104
@siaammo1104 4 года назад
hahahahahahaahaha eti watoto wanaenda chooni
@ashurabakiri8427
@ashurabakiri8427 4 года назад
Yaani hii exclusive iko vizuri sana, Zamaradi uko vizuri mno kwenye maswali,Mungu 🙏 azidi kukubariki siku zote 👏 Bi mwenda nakuelewa sana hujawahi kufanya vibaya kiukweli na nimependa mno uko vizuri kujieleza🤝ila pole sana kwa hz changamoto ulizopitia kupitia kazi ya filamu ila unabusara sana bi mwenda,Mungu 🙏 akupe umri mrefu
@bihizaclement9868
@bihizaclement9868 4 года назад
Umependeza bi mwenda❤❤❤
@edithakomba7282
@edithakomba7282 4 года назад
Nakupe sana bi mwenda ake oyooooo
@faustamakasi8103
@faustamakasi8103 4 года назад
Zamaradi tuletee na Grace mapunda
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 года назад
Bi mwenda big up,mama mwenye talent yake haswa,anashika uhusika hadi watu wanamchukia kwa sababu ujumbe unafika bara bara.
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 года назад
Blandina Mnyinga Hakika unaingia wana beba mawe
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 года назад
@@veronicadaniel1122 yeap!!
@rehemamwangobola7825
@rehemamwangobola7825 4 года назад
Yuko vizuri
@queenmaa5377
@queenmaa5377 4 года назад
+254 pitieni na hapa tuoneshe nguvu ztu kwa zama penda sana
@tunuyaomar5017
@tunuyaomar5017 4 года назад
Hivi bi mwenda hao wajukuu zako si wanakoma kwa hayo majibu mi hoi, ila nakupenda mama angu
@lovenesslyimo4309
@lovenesslyimo4309 4 года назад
Balaa 😂😂😅😂
@dianamasao1210
@dianamasao1210 4 года назад
Mungu akubariki tupo tunaokupenda sana tu,hakika ww ni mfano wa shujaa
@dainesszuber1860
@dainesszuber1860 4 года назад
Masikini nimemuonea huruma alivopigwa Kofi Buguruni Sema mimi nakupenda mama huwa unavaa uhusikaaa kwenye igizo zako❤️❤️❤️🙏🙏mungu akubariki tafuta ridhiki mama na usiwe na hasira na Hao wanaokushambulia mungu azidi kukutunza mamaa❤️❤️❤️❤️
@winnermariah
@winnermariah 4 года назад
Woooow Wooow Wooow Jamani nimependa Kweny kujenga tuu....MUNGU Akubariki Mummy
@marrytanzania9035
@marrytanzania9035 4 года назад
Bi mwenda yuko smart sana kwenye maswali na nampenda pia
@naomibenjamini2088
@naomibenjamini2088 4 года назад
Bi Mwenda nakupenda bure kwa kutodharau kazi. Sema naogopa kuangalia movie zako
@mamamuu8217
@mamamuu8217 2 года назад
Nimeenda hodari sana
@dottnatta310
@dottnatta310 4 года назад
Da Zama mwambie bi mwenda Kuna mama anasaidia kwa maradhi yake Yupo chanika kituo cha ngware akishuka hapo akiuliza madereva wa boda boda anafikishwa. Anaitwa BI MKASI Allah atamfanyia wepesi INSHAALLAH.
@nakizuu6079
@nakizuu6079 4 года назад
Umejua kunichekesha sana khaaaa,uliza kuhusu sanaa
@mohgamhooga1270
@mohgamhooga1270 4 года назад
Hongera bi mwenda kwa kupigania family yako na Allah kakustiri nawaliokuwa wanakurudisha nyuma,,,,,ila pole Allah akupe afya insha Allah
@mjsaidkeya822
@mjsaidkeya822 4 года назад
Hii ndio TV napenda Sana, congrats Zamaradi
@fatmakombo7584
@fatmakombo7584 4 года назад
Zamarad umependeza nakupenda sana my dear
@angelmfinanga2354
@angelmfinanga2354 4 года назад
Nakukubali San bi mwenda .mungu azd kukupgania uzd kuifkisha mbali sanaa yetu
@mariammussa2540
@mariammussa2540 4 года назад
Penda sana bi mwenda❤❤😍😍
@vivianwillbard8648
@vivianwillbard8648 4 года назад
daaa pole sana kwa kupokea kichapo bibi.yangu but jaribu kuigiza kama mama mkwe mpole
@callmesubra5472
@callmesubra5472 4 года назад
Umependeza sana da zama, bonge la interview km kawaida, bi mwenda muigizaji nguli siwez sahau wakati wa utoto tulivyokua tunamuogopa 😂
@rukiaosman8416
@rukiaosman8416 4 года назад
Mashallah Zardari ww ni Mwanamke bora mwenye Hishima wallahi Allah akuhifadhi Yaarabi
@aminamnyaruge8574
@aminamnyaruge8574 4 года назад
MI namkumbuka kipindi kile anamtesa doctor cheni nilikuwa na chukua hatari
@JBB875
@JBB875 4 года назад
subira mbaga 😂😂😂😂
@upendolyimo4919
@upendolyimo4919 4 года назад
subira mbaga yaani kama kweli khaaa mimi nilikuwa namchukia kaah 🙈😂😂
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 4 года назад
Daa zama mdogo wangu, Allah akuongoze kwenye kazi yako,Masha ALLAH, unaijulia hii kz
@umisidi1816
@umisidi1816 4 года назад
Mm hupenda sana bi mwenda uchangamfu wake nimemfananisha na nyanyangu
@pamelauwera3830
@pamelauwera3830 4 года назад
Bi mwenda hapo kwenye team ya yanga umenivunja mbavu
@aminaissa9756
@aminaissa9756 4 года назад
Zamaradi tangu nikujue unanipendezea kila uchao Mashallah.
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 4 года назад
Kumbe bi mwenda Ni mpole Hivyo Jamanii
@mwanamutemi
@mwanamutemi 4 года назад
zama, mama mwenda ana arthritise na dawa yake ni rahisi sana. Mwambie natafute majani ya Mastafeli (Matomoko) aweza chemsha akanwa chai yake ama pia aweza yakausha hayo majani kisha akayasaga na atatumia kama chai kila asubuhi kabla kula chochote na usiku wakati anaenda kulala. Kwa uwezo wa Allah itamsaidia na utampunguza uzito wa mwili
@mishiomaromarabdhallah7580
@mishiomaromarabdhallah7580 4 года назад
Hahahaaaa bi mwenda hatariii ety uliniona huko nikifanya vizuri 😄😄😄
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 4 года назад
Nakupenda sana bi mwenda mungu Akupe umr
@angelbwija9547
@angelbwija9547 4 года назад
Namupenda sana uyu mama jamani 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰,
@leahnyamle4179
@leahnyamle4179 4 года назад
Uko vzr c* zamaa...big up bi mwendaaa
@azzashebe2581
@azzashebe2581 4 года назад
Jaman hamna m,baya duniani.
@lovenesslyimo4309
@lovenesslyimo4309 4 года назад
Dah bi mwenda anakaza swali juu ya swali hatari Zama umekua mpole leo
@happymaimu3774
@happymaimu3774 4 года назад
Hongera bi Menda kwa kax nzur, ila nakushaur punguza uzito mama angu kwa umri wako uzito mkubwa unawea kukusababishia matatizo.
@isabellawella97
@isabellawella97 4 года назад
Hakuna interview niliyoipenda kama hii jamani🤗♥️🔥🔥
@fatmafatoom6553
@fatmafatoom6553 4 года назад
Daaahhh bimwenda umependaza jaman kaahhh tenge konkiii umelitendea hak magold km yote yaaan
@elizabethminja7861
@elizabethminja7861 4 года назад
Zama you look so georgious
@a.856
@a.856 4 года назад
Pendeza wote mashaallah🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 года назад
Mungu akutie nguvu bibi kwa huo ugojwa
@wuwubdywiwiwisu6499
@wuwubdywiwiwisu6499 3 года назад
Pona sna
@nabdabdi9297
@nabdabdi9297 4 года назад
😂😂😂😂😂Bi mwenda ana hasira jamn
@magangamaria5378
@magangamaria5378 4 года назад
Yuko vizuri nampenda
@juliusjaliwa9887
@juliusjaliwa9887 4 года назад
Kwa kweli nikiangalia huyu mama huwa ananikumbusha marehemu Kanumba Daaaaaaa kaziyamungu aina makosa
@thurayyaomar655
@thurayyaomar655 4 года назад
nampenda sanaa huyu dada zamaradi 😘
@JBB875
@JBB875 4 года назад
Yaan Bi Mwenda namkubali sana, 💯
@bathshebamchuza2648
@bathshebamchuza2648 4 года назад
Mi nilikua namuogopaga enzi za utoto, Ila nampenda Sana
@getrudekimario8492
@getrudekimario8492 4 года назад
Bathsheba Mchuza Mimi had leo na utu uzima huu namwogopa hakii
@pennyjohn2816
@pennyjohn2816 4 года назад
Bi mwenda uko vizuri mama
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 4 года назад
mashallah bi mwenda mtu mzima akili ana mijengo yake sio kina maslay queen wamebakia kupanga na pesa wanapata za uigizaji ukiwa na kajumba chako hudhalili tujifunze tukipata pesa sehem ya kuishi ndo muhim mtu mzima dawa shukran bi mwenda pia mumependeza nyote leo
@gaudensiamganga1695
@gaudensiamganga1695 4 года назад
Hahahaha uwii leo niko makin nakumbka nilivyokuwa nakuogpa bi mwenda. MUNGU AZUDI KUKUTUNZA MAMA WA NGUVU
@princessfathamy9787
@princessfathamy9787 4 года назад
Mi huaga naenjoy movie zako bi mwenda
@agathathobias8690
@agathathobias8690 4 года назад
Bi mwenda unamapoz balaa
@ruthleonard2958
@ruthleonard2958 4 года назад
Daah hadi raha, bi Mwenda Mungu akutunze💕💕
@jenifajafari7670
@jenifajafari7670 4 года назад
Amina
@alyahmuhsin6061
@alyahmuhsin6061 4 года назад
Nimecheka zama kazi unayo pole sana mwite Gigi money
@tunuyaomar5017
@tunuyaomar5017 4 года назад
Zama leo umepatikana
@marysaravai5639
@marysaravai5639 4 года назад
uwiiiiii zamarad leo umepata kiboko yakoooo 😀😀😀😀 bibi anamajibu huyuuuu khaaaa
@vionasindani1206
@vionasindani1206 4 года назад
Mungu akupe umri na afia mum,
@rahmssalum3163
@rahmssalum3163 4 года назад
Jamani wanampiga siawekewe walinzi
@mariammwidany8445
@mariammwidany8445 4 года назад
Hongera zama much love from 254....
@dottnatta310
@dottnatta310 4 года назад
Mama yangu alikuwa na tatizo hilo alipatiwa matibabu Allah alifanyia wepesi alipona
@rahmssalum3163
@rahmssalum3163 4 года назад
Pole mwaya ila anaelimisha kwa mwenyewe kuelewa
@surahyagennovefa8844
@surahyagennovefa8844 4 года назад
Mama mstarabu sana jaman ila anavyojibu kinyonge kanifanya nmelia Jmn.
@Aysha-ms3ln
@Aysha-ms3ln 4 года назад
Ila ana mashuo😂😂😂😂😂
@sophiampangala9165
@sophiampangala9165 4 года назад
leo umepata mgeni haswaa,mpaka umekuwa mpole ,mana majibu yake tuu,mpaka ,unaomba muda uishe,.
@aminamnyaruge8574
@aminamnyaruge8574 4 года назад
Umeonaeee
@sophiampangala9165
@sophiampangala9165 4 года назад
@@aminamnyaruge8574 😄😄😄 yani bi mwenda,👌
@omaiim4014
@omaiim4014 4 года назад
Penda sana bi mwenda
@neveragainneveragain1880
@neveragainneveragain1880 4 года назад
Sooo sad ,mama akapigwa sokoni?yani hawajui yeye nimuigizaji?? Pendeza mama💝💝
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 4 года назад
Huyu mama nampenda aswaa
@hellenshayo3454
@hellenshayo3454 4 года назад
Bi mwenda nampenda sana
@pinahoscar6735
@pinahoscar6735 4 года назад
Huyu bibi nimempenda duh! Kumbe sio mchawi mm nilijua analoga mwee na anavoigiza akiwa mama mkwe mwenye gubu dha! Ila pole bibi utapona ila nimeamini kweli mashabiki wa Yanga huwa wanapanic haraka😂😂😂😂
@winnieseme4944
@winnieseme4944 4 года назад
Hiyo cheka yake sasa. Nimekula kichapo zama. Nimejikuta nami nacheka
@elizaalfredy9239
@elizaalfredy9239 4 года назад
Hongera da Zama umependeza
@twilumbainsurance3949
@twilumbainsurance3949 4 года назад
sauti huwa haisikiki vizuri kunakuwa na mwangwi sana, hata raha ya kusikiliza inakuwa haipo
@siwemamichael690
@siwemamichael690 4 года назад
Cm yako mbovu pole hakuna shida kama hiyo
@user-zw6ne3qy4s
@user-zw6ne3qy4s 4 года назад
Mama ana majibu huyo daa zama leo umepatikana😂😂😂
@zeidytheislandgirl7616
@zeidytheislandgirl7616 4 года назад
Umeona ee
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 4 года назад
😁😁😁😁😁😁i love u bi mwendaaa
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 4 года назад
Mama anamajibu special zama kapatikana kwakwelii
@mwanatumusalim9470
@mwanatumusalim9470 4 года назад
😍😍😍😍 ipoooo love bi mwenda maisha marefu Kenya unapendwaaaa mno
@neemaassey8766
@neemaassey8766 4 года назад
Sauti da zama wengine cm zetu vimeooooo
@wardakasala8956
@wardakasala8956 4 года назад
Da Zama sauti nindogooooooo
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 4 года назад
Hiyo miguu bi mwenda sio uchawi bali punguza mwili huo mwili mkubwa unaelemea miguu yako punguza mwili.
@chantalmulasi5663
@chantalmulasi5663 4 года назад
Nampendaga sana uyo bibi😍😍
@j...876
@j...876 4 года назад
Ata na mimi na kupenda
@amissaitangisha8586
@amissaitangisha8586 4 года назад
Bimwenda na msisili kwenye ubora wa uchawi nawakubali
@elizaalfredy9239
@elizaalfredy9239 4 года назад
Uyo bibi mi nampenda sanaa
@chancequeen4710
@chancequeen4710 4 года назад
Da! Mama pole sana mamangu ila ndo mitihani ila uschoke ku saka money🤧😥
@tigerchristmas5491
@tigerchristmas5491 4 года назад
Hyu mama n msaniii Mungu ampe nguvu zaidi anajua sanaa
@aminahamisi8672
@aminahamisi8672 4 года назад
Thank you zama
@ikupakyalaalimwenr8156
@ikupakyalaalimwenr8156 4 года назад
Sema sister Leo umependeza sanaaa
@chrissmande608
@chrissmande608 4 года назад
🤣🤣🤣 zama kapatikana Leo,anauliza naye anaulizwa...kawa mdogo kama nukta
@rehemamsuya2263
@rehemamsuya2263 4 года назад
Umeonaeee kawa mpole utadhani bi mwenda atamloga kumbe anaigiza tuu jmn
@arafakiloli749
@arafakiloli749 4 года назад
Hahahaha 🤣🤣
@dottnatta310
@dottnatta310 4 года назад
Zama anahofu hapo ya kurogwa hamjui tuu 🏃‍♀️🏃‍♀️
@rahmssalum3163
@rahmssalum3163 4 года назад
Atembee na mabaunsa
@saudaabdalla278
@saudaabdalla278 4 года назад
Iv iyi chaner aipo kwenye TV
@lykamlaki7120
@lykamlaki7120 4 года назад
Haipo
@lucychande3059
@lucychande3059 4 года назад
jamanii anaepajua kwa bi mwenda Airport anyooshe mkono juu..
@uwamahoroemanuel4020
@uwamahoroemanuel4020 4 года назад
Minilijua mucawi ahaaaaa
@agathathobias8690
@agathathobias8690 4 года назад
Kwa kwel da Zama unatutesa kwenye saut hatusikii vzr kipind ni kzur ila saut
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 года назад
Zama my dear tuongezee sauti, siku ya faiza sauti ilikuwa vizuri Sana
@sharifamfaume9342
@sharifamfaume9342 4 года назад
Sim yako tu
@mgesibabere4743
@mgesibabere4743 4 года назад
Itakuwa cm yako yangu mpk napunguzaa sauti kubwa
@aminamnyaruge8574
@aminamnyaruge8574 4 года назад
Sauti iko poa ila matangazo Sasa hivi yamekuwa mengi Yana punguza munkari wa kusikiliza kipindi
@luckyvenance4576
@luckyvenance4576 4 года назад
Maji hapo jamn kila siku mashabiki tunaongea wagen walainishe koo,yn hapo hata juice inawezekana mana unaingiza pesa
@dinakyabazinga5342
@dinakyabazinga5342 4 года назад
Waletee dumu la maji😜😄😄
@luckyvenance4576
@luckyvenance4576 4 года назад
Huyu bibi kumuhoji yataka moyo kumbe ndo yuko ivi kwenye movie had uhalisia duuuh hatari,hatofautiani uhalisia wake na wa kwenye movie
@zuhuragwanko6318
@zuhuragwanko6318 4 года назад
Nampenda zama jmn😍
@farajachengula9227
@farajachengula9227 4 года назад
Nampend San bi mwenda
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 4 года назад
Zama leo umependezaaaa...
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hyu bibi nampenda mcheshi san nje ya sanaa
Далее
Мелл хочешь сына от Дилары
00:50
❌Ему повезло больше всех #story
00:41
BIG CHAWA FT BI MWENDA TUNAPIKA UGALI
17:51
Просмотров 32 тыс.