Тёмный

EXCLUSIVE: DIVA - Clouds walinisaidia mahakamani kesi na Diamond/Ali Kiba ananuna/kuacha kazi Clouds 

ZamaradiTV
Подписаться 240 тыс.
Просмотров 80 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

6 ноя 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 228   
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 3 года назад
Nimekupenda sana yani unafunguka haswaaaaa upo vizuri
@kenty101
@kenty101 3 года назад
she is open, she is smart, she is exposed, open-minded, which is a good thing, we need more of these women in our industry especially in tz,. too many toxic fake ass people in the industry. Zama this is amazing thanks for this interview, It worth the time.
@bulebiemmanuel4126
@bulebiemmanuel4126 3 года назад
Chama Cha wasoma comments Tanzania (CHAWACOTA)
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fatmasinde8244
@fatmasinde8244 3 года назад
😅😅tupo pamoja
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 года назад
🙌🙌🙌🙌🙌
@upendotarimo9324
@upendotarimo9324 3 года назад
Tupooo
@mdzainb3722
@mdzainb3722 3 года назад
😅😅😅😅😅😅
@marryboimtoto9368
@marryboimtoto9368 3 года назад
Kwa kweli kuhusu diamond diva umedanganya. Ulimbully sana ulimtukana sana haikuwa poa kwa brand yake hapo ukweli lazima usemwe. Mnyonge umnyonge haki yake mpeni Diamond ulimkosea period.
@ellynermaruwa436
@ellynermaruwa436 3 года назад
Nakupenda sana diva unajua watu wengi hawapendi ukwel kbs so atA wanaocomment kukuponda ukiangalia maisha Yao ni duni na niwatu wanaishi kwa kusujudia na kuwaogopa watu
@nurukhalifa9413
@nurukhalifa9413 3 года назад
Sikuiz si judge mtu kabisaaaa ata anitukane watu wamepitia na wanapitia mengi ni binadam ndo wanafanya bianadam wawe wabay kama umebahatika kulelewa kwenye mapenz mshukuru mungu kuna watu wamepitia mengi
@olivemwamengonakilimombeya6951
@olivemwamengonakilimombeya6951 3 года назад
Umeongea pont sanaaa,
@Gratefulheart3188
@Gratefulheart3188 3 года назад
Kweli kabisa kuhukumu ni dhambi
@btylove1870
@btylove1870 3 года назад
Kabisa umeongea point. Mimi nilikuwaga nawambia watu huyu dada(Diva) hayuko sawa kichwani, kwanza hajipendi yeye kama yeye, anachukia watu, anawish kuwa na maisha ambayo kwake ni ndoto! Now nimeskia historia yake amepitia mengi magumu yameathiri kichwa chake. Ndio maana yuko hivo. Ana anger issues, depression and maybe bipolar too. Diva my dear tafuta mtaalam wakuongea nae upate counseling/Dawa una mental illness sweetheart.
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 года назад
MCHAWI UYU DADA ANA NONGWA ZA KIMAKONDE.
@nurazain6616
@nurazain6616 Год назад
Diva jitahidi ufanye lvf mungu atakupa tu my dear
@nurazain6616
@nurazain6616 Год назад
Na mungu atakupa tu naku penda sanaa
@nurazain6616
@nurazain6616 Год назад
❤❤
@christabelkajirwa1706
@christabelkajirwa1706 3 года назад
I love this girl especially her voice...English en her laughter
@monicavalentino6502
@monicavalentino6502 3 года назад
I enjoyed every bit and the two of you are amazing, i loved Diva mno this is a side we don't get to see mara kwa mara and i find it adorable and she is innocent. God bless you both amazing women.
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 года назад
DIAMOND HAJAWAH KUSEMA KWNY PRESS KWAMBA UMEOMBA KAZI WASAFI ILA WEWE UNACHUKI NA MAENDELEO YA DIAMOND.
@gfdasd6287
@gfdasd6287 3 года назад
Inamaana hujawai kuona iyo interview kenge ww
@belak999
@belak999 3 года назад
Una mimba wewe
@Mzayanine
@Mzayanine 3 года назад
Diamond kazungumziwa dakika ya ngapi???nisipoteze bando langu
@kuchiethephenomenal7879
@kuchiethephenomenal7879 3 года назад
😂😂😂😂
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
I really like Diva she is open,anaishi anavyotaka na si wanavyotaka ❤ ,zama napenda jinsi unavyouliza maswali kwa ufasaha ❤🇨🇭
@fadhilidronarashidjr9422
@fadhilidronarashidjr9422 3 года назад
Now nampenda diva coz kakua ameacha kila kitu ni kama movie inaelekea ukingoni but she play her part as staring wa movie amsamehe kila kitu ndivyo inatakiwa tuishi coz kuna maisha baada ya umaarufu
@furahafanuel6917
@furahafanuel6917 3 года назад
Nampenda sana diva from Oman
@mrsrachelkisaka2988
@mrsrachelkisaka2988 3 года назад
I love dear your the best
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 года назад
Diva mtu SMART SANA.ILOVE HER.muwazi....zama punguza mda .unachosha.jitahid kusamarize plse
@veronicafelisian3459
@veronicafelisian3459 3 года назад
yani umeongea ukweli ila labda si wote ila kafanya vizuri, hongera sana dada zama.
@nurukaguo927
@nurukaguo927 3 года назад
Nakupenda Sana diva
@jafarimikola1250
@jafarimikola1250 3 года назад
Nimejifunza Mambo mengi sana kutoka kwa diva mungu akubariki sana
@ayraarmaan1928
@ayraarmaan1928 3 года назад
Nimeelewa sana....
@queenwesthilson6009
@queenwesthilson6009 3 года назад
Nice😍
@evaristmrope
@evaristmrope 3 года назад
Interview ni nzuri saaana 👏
@hanifamajid6964
@hanifamajid6964 3 года назад
Diva umeongea vzuri sana
@keifatuke99
@keifatuke99 3 года назад
Waoooo
@aishaasumany561
@aishaasumany561 3 года назад
Pore sana dadaangu dunia Ndivo ilivo mwenyezi mungu Akusaidie uzidi kufanikiwa akufanyie wepes lnshaallah
@fatumamdoka8475
@fatumamdoka8475 3 года назад
❤❤❤❤diva
@francissamson8028
@francissamson8028 3 года назад
Diva alimchukia diamond because alitaka kumtumia kwa manufaa yake Diamond akastuka akamchunia ndipo diva akamchukia diamond. Akahamia kwa kiba mpaka eakawa wapenzi tena wakagombana sasa kahamia kwa harmonize na huko watakuja kugombana. Diva ni kichefuchefu sana na konde atakuja kujuta kwa huyo diva.
@hamzacedricole3673
@hamzacedricole3673 3 года назад
Hawezi kukuomba msamaha kabisaa jitahidi ukweli usemwa Diamond alisema kweli usijitetei kabisaa hapo kwa Diamond wew ulimchamba marangapi mbona hujamuomba msamaha duhh kweli wew mchawi tena wa mchana
@esthersimon4427
@esthersimon4427 3 года назад
Hahaha kweli kabisa anajitetea nawakati anajuwa ukweli
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 3 года назад
Aseee diva nimecoment mara 3 dah nakupenda mtanga mwenzangu😘😘😘😘😘
@salhamrishoaish9292
@salhamrishoaish9292 3 года назад
Nakupenda divaaaaa
@emanuelcriphod8435
@emanuelcriphod8435 3 года назад
Diva umezeeka sana
@simonsamwel2077
@simonsamwel2077 3 года назад
Diamond ameanza kuzungumziwa dakika ya ngapi? Mengine sitaki kusikia
@mukaitepaulo4945
@mukaitepaulo4945 3 года назад
37:10
@simonsamwel2077
@simonsamwel2077 3 года назад
@@mukaitepaulo4945 Shukrani sana
@sechotakivega8798
@sechotakivega8798 3 года назад
Kwakweli
@hanifaally4694
@hanifaally4694 3 года назад
😂😂😂😍
@nasranasra5500
@nasranasra5500 3 года назад
😂😂😂
@yusuphsadala5290
@yusuphsadala5290 3 года назад
Ila diva nampendaga sn ananinudh tu anavyojenga chuki kwa dai
@sophiajuma9815
@sophiajuma9815 3 года назад
Sikiliza interview utajua kwa nn anamchukia
@rukianassor8970
@rukianassor8970 3 года назад
Keep it up .more hard working u will win 1day .dont giv up in life hao wanaokuita kigagula labda hata hawakufiki kisomo zidisha bidii .utafika unapotaka .usikubali kuwa disapoint
@salmawage7259
@salmawage7259 3 года назад
Pole sana Diva na kupenda
@giftygiftymush8281
@giftygiftymush8281 3 года назад
Yani diva unaongeaaa point sanaaaa mom Mungu akubarikii 🥰🥰🥰🙏 umejitambuaaa sasa Samehaneni Haya ni maisha na hiii ndiyo Duniaaa God bless you
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 3 года назад
Ok
@jescangwaya9885
@jescangwaya9885 3 года назад
Kuanzia Leo, nakupenda sana diva!
@lwimikomwambene
@lwimikomwambene 3 года назад
huyu dada ni mrongoooo
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 года назад
We umemjuaje Kwan!?
@rahmaaotman7028
@rahmaaotman7028 3 года назад
Umejuwaje ni muongo niwa kwenu????
@nurdin.mndeme3447
@nurdin.mndeme3447 3 года назад
huyu dada kinachomsumbua ni udogo wa akili yake . we mmoja huwezi kua na matatizo na wasanii wote kwa sababu ile ile moja ! so kwa issue hii utakwenda kukorofishana tena na harmonize coz atakuja nae kukuambia chagua moja utashindwa ufanyeje sababu hua unachagua mpya na kuacha wa zamani ! so wewe ndo hua msaliti kumbe sababu mambo ya kuchagua chagua hua unaanzisha mwenyewe - akili finyu
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 3 года назад
Diva kuanzia leo kama naanza kukuelewa hv uko vzr
@khalidlilangela8608
@khalidlilangela8608 3 года назад
😎😁😀
@mohamedmpangile5869
@mohamedmpangile5869 3 года назад
Wew dada mchawi co bure duuuh
@salhamrishoaish9292
@salhamrishoaish9292 3 года назад
😘😘😘😘😘😘😘😘😘ilove you
@lenoxbuhanza4926
@lenoxbuhanza4926 3 года назад
Heri Music alishtuka mapema sana ukiachana na uvumilivu wa King crazy GK
@naimanimo4925
@naimanimo4925 3 года назад
😂😂😂🤣crazy woman you suppose to apologise not Diamond to apologise to you over what ? Harmonize watch out this woman is poisonous
@susanruo8087
@susanruo8087 3 года назад
Lakini mtu analiwa na mwanaume gizani juu hataki aonekane na wewe au ajulikane ako na wewe . In short a man is never really proud of you, ako tu hapo kwa kujiridhisha mwenyewe alafu uko hapa unajigamba umelala na yeye. Hiyo ni kushusha hadhi yako kama mwanamke. Next time ringa kulala na mwanaume juu amekuvisha Pete na amekuweka kwa nyumba
@minzagabriel1493
@minzagabriel1493 3 года назад
Nampenda diva.❤
@musamgulila577
@musamgulila577 3 года назад
NDO NIMEELEWA KUMBE HATA MOND ULIMTAKA ILI UNUFAIKE
@allymdoka8634
@allymdoka8634 3 года назад
37:10 kigagula ndio kaanza kumzungumzia mond
@Lassana755
@Lassana755 3 года назад
Nakubali mtu mbadi
@mariamhalili6622
@mariamhalili6622 3 года назад
Wa kwanzaaaa
@hajeralqaidi2115
@hajeralqaidi2115 3 года назад
Umenifurahisha😂😂😂
@silverngimi
@silverngimi 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣dah
@jumannemfaume
@jumannemfaume 3 года назад
Diamond kuanzia dk 37
@namsamson3443
@namsamson3443 3 года назад
Hivi kwa nini mara nyingi wanakosea kukupaka makeup Zamaradi
@lucynatasha2742
@lucynatasha2742 3 года назад
Maneno mengi kuliko mtangazaji
@auroraaustin3277
@auroraaustin3277 3 года назад
Huyu dada ni muongo aliyekubuhu, sijapata kuona. AnaFEKI maisha, ndio mana hana furaha ya moyo. KuFEKI kwingi, utafanya Mungu apite na baraka zake. Ishi maisha yako halisi, dada. Wewe ni wa kawaida sana, kuanzia sura na maisha. Yanii...it's sad 😥. Huna amani kwa kuwa unaFEKI maisha sana kuonyesha kuwa uko level flani. Nakuombea kwa Mungu, uishi maisha yako halisia than FEKING IT.
@cdeleo9336
@cdeleo9336 3 года назад
You said it all.... she has to change
@glorylema
@glorylema 3 года назад
So we uko real🙄
@btylove1870
@btylove1870 3 года назад
@Aurora No usimlaumu ana mental illness ndio maana yuko hivyo anahitaji msaada wa wataalam.
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 года назад
Wakati nilikuambia una emotional issues, ulini block.
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 3 года назад
Tatizo m2 ukimwambia weakness yake anaumia ananuna kumbe unakua unamsaidia hajielewiiii
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 года назад
@@zuleikhakhamis3303, nilimwambia in good faith ndiyo atafute usaidizi, sasa amekubali ana issues
@adijaadija9923
@adijaadija9923 3 года назад
😁😁😁hatamimi kani block
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 года назад
@@adijaadija9923, ameni unblock kwa sababu ya podcast yake
@almasially6509
@almasially6509 3 года назад
Yani huyu kigagula bado anateseka na MONDI😂😂😂😂😂
@esthersimon4427
@esthersimon4427 3 года назад
😂😂😂sana tena zaidi ya sana
@silvanqueen3205
@silvanqueen3205 3 года назад
She is smart
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 3 года назад
Una hasira au una kisirani tu?
@farahanafarer7588
@farahanafarer7588 3 года назад
Kiba for real
@glorysechu83
@glorysechu83 3 года назад
Da zama tunaomba umuhoji salama
@farhatymisfaar3986
@farhatymisfaar3986 3 года назад
nshkuruu kwa kuongea ukwwlii nimefurahiii
@shimammymammy5298
@shimammymammy5298 3 года назад
Hivi kwanini mnapenda kuwaongelea marehemu hasa kwa ubaya
@jumaswedy5131
@jumaswedy5131 3 года назад
Kama marehemu alikua na tibia mbaya akuna haja ya kumpa sifa nzuri
@wasafitv6262
@wasafitv6262 3 года назад
Diva ni mtam knoma
@zayanasudi3731
@zayanasudi3731 3 года назад
Kumbe kwel we ndo uliwahamisha duh, sasa mbona ulikuwa unakataa km uliona hakuna ubaya ?
@ashaali7154
@ashaali7154 3 года назад
Kwanini unajihangaisha kwenye mitandao unataka kujikosha au vipi ? Kama umeacha kazi au umefukuzwa hakuna anaetaka kujua wala haituhusu. Hebu jifunze kuishi na binaadam wenzio kwa amani uache ubinafsi na dharau utaona mafanikio yako and stop play a victim here.
@harunakayega5531
@harunakayega5531 3 года назад
Eti wengi duh hao ndo maarufu je hao wamitaani c kijiji kizima
@shakilaburhan9552
@shakilaburhan9552 3 года назад
Eti Harmonize anaivo muelewa sana,mh kama alie mkuza kimuziki anamzarau itakuwa ww
@naimanimo4925
@naimanimo4925 3 года назад
Dive Devil
@rosesanga6163
@rosesanga6163 3 года назад
VITU VINAVYOCHANGIA MTU KUPATA KIHARUSI/ KUPOOOZA 1. Ugonjwa wa Shinikizo kubwa la damu (presha) 2. Uvutaji sigara 3. Ugonjwa wa kisukari 4. Magonjwa ya moyo hasa ugonjwa wa mtetemo wa moyo (atrial fibrillation) 5. Tatizo la mafuta mengi kwenye damu (Lehemu au cholesterol) 6. Uzito uliopitiliza 7. Unywaji wa pombe uliokithiri 8. Kutokufanya mazoezi kwa msaada zaidi kwa mtu aliyepooza 0758112592
@material16Asiwaju
@material16Asiwaju 3 года назад
Hi diva
@Divathebawse
@Divathebawse 3 года назад
💕
@sunlightclassictz
@sunlightclassictz 3 года назад
Diva nakupenda sana
@sunlightclassictz
@sunlightclassictz 3 года назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sabrajawady8715
@sabrajawady8715 3 года назад
Ni kibonge ww kaah Miziwa sas 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@auroraaustin3277
@auroraaustin3277 3 года назад
Eti ana boyfriend America 🤣🤣😅😅😂 Acha uongo dada, huna boyfriend America wala Mzungu. Ungekuwa una mzungu, na jinsi univyo mshamba na showoff za kishamba, tungekoma. Huna boyfriend mzungu wacha uwongo dada...dah!! Univyo bonge, na huo ufupi, sura ndio kabisa..majanga, mzungu gani huyo tena huko America awe boyfriend wako?! Aache watoto wazuri America aje afate dungaembe kama wewe. Acha kufeki, kigagula. Tunaokujua..tunakucheka tuu. Huna raha kama unanyoact. Acha Uwongo, ashame the devil 🤘
@jocelinejohn7294
@jocelinejohn7294 3 года назад
Dear Anger issue sio kitu cha kuzaliwa nacho...ni vitu ulivyokua unaviweka moyon,nina tatizo kama lako ila unaeza jifunza kupuuza vitu,kujipa furaha,na kujal vitu muhimi tu,let the past go Cz u won’t change it,and huez control watu wanavyokufanyia so just let things go.Personal nakueoewa Cz nimeish maisha na nimepitia mitihan ila kukaa na vitu vinakutesa sana try is hard ila ukiamua unaeza
@suziedward8324
@suziedward8324 3 года назад
Aibu kubwa sana kujitangaza ulilala na mwanaume then akakuacha akaoa mwanamke mwingine kha halafu amegombana na mkewe anakuhitaji tena na wewe unakubali aiseee....
@halimamohamed4061
@halimamohamed4061 3 года назад
huyu mdada muongo sana halafu anajifanya innocent
@jcrackcrack1669
@jcrackcrack1669 3 года назад
Ana washwa na sehem yake ya siri labda anataka diamond
@esthersimon4427
@esthersimon4427 3 года назад
😂😂😂😂
@humbleboy5076
@humbleboy5076 3 года назад
Duuuu,,,,
@henriettenkuba7078
@henriettenkuba7078 3 года назад
Nimekuja hapa baada yakumuona Diva wasafi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 3 года назад
Na hii habati THT inakuwaje na hii ya kutoka CBE kuja clouds mbona sielewi kipi kilianza?
@catherinewilliam6841
@catherinewilliam6841 3 года назад
Hakumaliza chuo
@tinabarabara3451
@tinabarabara3451 3 года назад
Dada muongo wewe,,kweli w kigagula
@aminasaid7657
@aminasaid7657 3 года назад
Nani amesema mtu Akifa uwapumzika mmmm
@respiciuserickdaniel7294
@respiciuserickdaniel7294 3 года назад
Duuuh katoto Malaya haka ko kanaona sifa kutaja alodate nao kabisaa😎😎😎dunia ishafika mwisho
@shimammymammy5298
@shimammymammy5298 3 года назад
Hajakuoa atasemaje alikua amnamahusiano
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 года назад
Diva una shida sehemu...jipeleleze
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 3 года назад
huyu hakika kigagula, jina lina maana kubwa sana haikustahili kabisa kuja ongea upuuzi huu, unazidi.kujidhalilidha, mpuuzi, 😂😂😂#KIGAGULA😭😭
@angelfalleh46
@angelfalleh46 3 года назад
Ila Diva niamin mm mwisho wa ubaya aibu we subir kwa uhamisho wa hao vijana umejikanyaga sn
@audiphastangale1893
@audiphastangale1893 3 года назад
To fu*k some one just to bust your carrier yet you think you are not kigagula hii dunia imeisha Kama role model wa mabinti wengi Tanzania Anaweza kuwa and is proud of it hivi binti wa kijijini ataenda hatua gani ilikufukuzia ndoto zake si ataliwa hadi kizazi
@pesangwasalim5258
@pesangwasalim5258 3 года назад
Alikiba kakukamulia maji kwenye nyama kisha kakusungu
@haskao77
@haskao77 3 года назад
Ali anapenda kununa🤣🤣🤣
@nasmafarmsltd9146
@nasmafarmsltd9146 3 года назад
Mwanadamu huwa hariziki ikiwa fup ooo ongeza muda ikiwa refuu punguza wapen na bereko la kuwabebea hambebek
@dogbydangotebabalao7908
@dogbydangotebabalao7908 3 года назад
Hooo kigagula kumbe? Achanipite tuuu
@elarifmohamed5681
@elarifmohamed5681 3 года назад
Tu es vraiment hypocrite nous 2 vraiment 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zainabuabdul7852
@zainabuabdul7852 3 года назад
Diva ulongo
@sweetymanka4821
@sweetymanka4821 3 года назад
Da zama kwa ile dada wa kaz ilifikia wap
@shimammymammy5298
@shimammymammy5298 3 года назад
Wanawake mjifunze kujistiri kama hamjastiriwa riziki mnazikosa kwa kusemasema..... Ati alikosa utu kwakua hakusema alikua na mahusiano nawewe.. Ur side chick na unajiproud tu mbele ya camera hujiulizi kwanink ueyw hawezi kaa nakuswma hivyo..
@younglady118
@younglady118 3 года назад
Mmmmmmmmmmmmmm weweeeeeeee....kwa kuwa umevaa mawani ndio unatundanganya,,,, yaaan kulelewa kama yai
@janatahmad7048
@janatahmad7048 3 года назад
wewe zama mbona hulete watu wa wcb
@fabriceingabire8736
@fabriceingabire8736 3 года назад
Diva the realist bitch in the game I got respect for u Dee
@esabelfadhili8432
@esabelfadhili8432 3 года назад
Hadi chozi limenitoka..
@kingkendrickk
@kingkendrickk 3 года назад
Mahakama imesaidia kukukata kidomo, maana ulizidi
Далее
Epic Reactions 😂
00:33
Просмотров 2,7 млн
It works! #beatbox #tiktok
00:15
Просмотров 6 млн
Dinner date😋🤓 - Oga Obinna & Dem wa Facebook
32:47
The Story Book:Ukweli Wote Kuhusu PEPONI.
48:39
Просмотров 632 тыс.
Begrafenis, Verdriet & Verwerking I Podcast #66
2:37:43
ХАЛТУРЩИК
0:23
Просмотров 4,6 млн