she is open, she is smart, she is exposed, open-minded, which is a good thing, we need more of these women in our industry especially in tz,. too many toxic fake ass people in the industry. Zama this is amazing thanks for this interview, It worth the time.
Kwa kweli kuhusu diamond diva umedanganya. Ulimbully sana ulimtukana sana haikuwa poa kwa brand yake hapo ukweli lazima usemwe. Mnyonge umnyonge haki yake mpeni Diamond ulimkosea period.
Nakupenda sana diva unajua watu wengi hawapendi ukwel kbs so atA wanaocomment kukuponda ukiangalia maisha Yao ni duni na niwatu wanaishi kwa kusujudia na kuwaogopa watu
Sikuiz si judge mtu kabisaaaa ata anitukane watu wamepitia na wanapitia mengi ni binadam ndo wanafanya bianadam wawe wabay kama umebahatika kulelewa kwenye mapenz mshukuru mungu kuna watu wamepitia mengi
Kabisa umeongea point. Mimi nilikuwaga nawambia watu huyu dada(Diva) hayuko sawa kichwani, kwanza hajipendi yeye kama yeye, anachukia watu, anawish kuwa na maisha ambayo kwake ni ndoto! Now nimeskia historia yake amepitia mengi magumu yameathiri kichwa chake. Ndio maana yuko hivo. Ana anger issues, depression and maybe bipolar too. Diva my dear tafuta mtaalam wakuongea nae upate counseling/Dawa una mental illness sweetheart.
I enjoyed every bit and the two of you are amazing, i loved Diva mno this is a side we don't get to see mara kwa mara and i find it adorable and she is innocent. God bless you both amazing women.
Now nampenda diva coz kakua ameacha kila kitu ni kama movie inaelekea ukingoni but she play her part as staring wa movie amsamehe kila kitu ndivyo inatakiwa tuishi coz kuna maisha baada ya umaarufu
Diva alimchukia diamond because alitaka kumtumia kwa manufaa yake Diamond akastuka akamchunia ndipo diva akamchukia diamond. Akahamia kwa kiba mpaka eakawa wapenzi tena wakagombana sasa kahamia kwa harmonize na huko watakuja kugombana. Diva ni kichefuchefu sana na konde atakuja kujuta kwa huyo diva.
Keep it up .more hard working u will win 1day .dont giv up in life hao wanaokuita kigagula labda hata hawakufiki kisomo zidisha bidii .utafika unapotaka .usikubali kuwa disapoint
huyu dada kinachomsumbua ni udogo wa akili yake . we mmoja huwezi kua na matatizo na wasanii wote kwa sababu ile ile moja ! so kwa issue hii utakwenda kukorofishana tena na harmonize coz atakuja nae kukuambia chagua moja utashindwa ufanyeje sababu hua unachagua mpya na kuacha wa zamani ! so wewe ndo hua msaliti kumbe sababu mambo ya kuchagua chagua hua unaanzisha mwenyewe - akili finyu
Lakini mtu analiwa na mwanaume gizani juu hataki aonekane na wewe au ajulikane ako na wewe . In short a man is never really proud of you, ako tu hapo kwa kujiridhisha mwenyewe alafu uko hapa unajigamba umelala na yeye. Hiyo ni kushusha hadhi yako kama mwanamke. Next time ringa kulala na mwanaume juu amekuvisha Pete na amekuweka kwa nyumba
Huyu dada ni muongo aliyekubuhu, sijapata kuona. AnaFEKI maisha, ndio mana hana furaha ya moyo. KuFEKI kwingi, utafanya Mungu apite na baraka zake. Ishi maisha yako halisi, dada. Wewe ni wa kawaida sana, kuanzia sura na maisha. Yanii...it's sad 😥. Huna amani kwa kuwa unaFEKI maisha sana kuonyesha kuwa uko level flani. Nakuombea kwa Mungu, uishi maisha yako halisia than FEKING IT.
Kwanini unajihangaisha kwenye mitandao unataka kujikosha au vipi ? Kama umeacha kazi au umefukuzwa hakuna anaetaka kujua wala haituhusu. Hebu jifunze kuishi na binaadam wenzio kwa amani uache ubinafsi na dharau utaona mafanikio yako and stop play a victim here.
VITU VINAVYOCHANGIA MTU KUPATA KIHARUSI/ KUPOOOZA 1. Ugonjwa wa Shinikizo kubwa la damu (presha) 2. Uvutaji sigara 3. Ugonjwa wa kisukari 4. Magonjwa ya moyo hasa ugonjwa wa mtetemo wa moyo (atrial fibrillation) 5. Tatizo la mafuta mengi kwenye damu (Lehemu au cholesterol) 6. Uzito uliopitiliza 7. Unywaji wa pombe uliokithiri 8. Kutokufanya mazoezi kwa msaada zaidi kwa mtu aliyepooza 0758112592
Eti ana boyfriend America 🤣🤣😅😅😂 Acha uongo dada, huna boyfriend America wala Mzungu. Ungekuwa una mzungu, na jinsi univyo mshamba na showoff za kishamba, tungekoma. Huna boyfriend mzungu wacha uwongo dada...dah!! Univyo bonge, na huo ufupi, sura ndio kabisa..majanga, mzungu gani huyo tena huko America awe boyfriend wako?! Aache watoto wazuri America aje afate dungaembe kama wewe. Acha kufeki, kigagula. Tunaokujua..tunakucheka tuu. Huna raha kama unanyoact. Acha Uwongo, ashame the devil 🤘
Dear Anger issue sio kitu cha kuzaliwa nacho...ni vitu ulivyokua unaviweka moyon,nina tatizo kama lako ila unaeza jifunza kupuuza vitu,kujipa furaha,na kujal vitu muhimi tu,let the past go Cz u won’t change it,and huez control watu wanavyokufanyia so just let things go.Personal nakueoewa Cz nimeish maisha na nimepitia mitihan ila kukaa na vitu vinakutesa sana try is hard ila ukiamua unaeza
Aibu kubwa sana kujitangaza ulilala na mwanaume then akakuacha akaoa mwanamke mwingine kha halafu amegombana na mkewe anakuhitaji tena na wewe unakubali aiseee....
To fu*k some one just to bust your carrier yet you think you are not kigagula hii dunia imeisha Kama role model wa mabinti wengi Tanzania Anaweza kuwa and is proud of it hivi binti wa kijijini ataenda hatua gani ilikufukuzia ndoto zake si ataliwa hadi kizazi
Wanawake mjifunze kujistiri kama hamjastiriwa riziki mnazikosa kwa kusemasema..... Ati alikosa utu kwakua hakusema alikua na mahusiano nawewe.. Ur side chick na unajiproud tu mbele ya camera hujiulizi kwanink ueyw hawezi kaa nakuswma hivyo..