Wasanii wetu wana mengi sana ya kujifunza kupitia Maisha ya Ali Kiba. Kwanza hongera kwa kuowa mwanamke alie lelewa kutoka katika mifupa ya kiungwana. I love everything about your wife. Mrembo, mpole, ana sifa za mke. Uso umemtulia. Yaani HONGERA kaka! Mashallah Allah awaongezee mapenzi, uvumilivu, na Baraka tele. Nimependa your new song!
MASHAALLAH Kiba tulia my brother mke umepata Allah akupeni subra na midomo ya waja maana kama mavuvuzela zbeni masikio kamwe Allah awalinde ktk ndoa yenu.
Maashallah bint katuliaaaaaa pia kiba wote wametulia.angelikuwa kina mwanafulan wamakiki hapo hashuo mojakwamoja kushikana kutuonesha mahaba yakishamba moja kwa moja hawa nimewapenda sanasana mwaaaa maashallah bint mzuuuuuuur sana wangelikuwa wa bongo hapo mmmmmh
king kiba I love the way u always answer those guys , yani majibu yako unaipanga kwa mdomo ndio itoke, sio eti unaropokwa, I love it, may ur family have peace always and let God take control of anything in , may God bless your marriage and live happily life with ur wife
Please try and make us proud Amina by being Organized prior to any planned interview. Reason out with facts, don’t give short replies, explain further. Use your education and reasoning capabilities well. You a Kenyan! Kenyans are smart bwana!
But that wasnt about being smart..There are the questions she answered directly...other qns were teasing her so She ddnt see the reason to answer such questions Coz Tanzanians are way too much if yu speak alot yu may find urself misunderstood and People will believe their own message..And so far she is a Muslim .She knows wat she was doing and that interview wasn't meant for her but for Alikiba
Amina alikuwa mama wa Mtume ... mke wa mtume alokuwa kipenzi cha wengi ni bi KHADIJA mke alokuwa amemzid umri mtume lkn alikuwa ana mheshimu kuliko kawaida
msema kweli dungu yangu alikiba ,kweli nakupenda,sana tena sana.unatuliya,na tena muke wako hasa anatuliya,nayitakiya ndowa yenu iwe ndowa ya Amani na mafanikiyo zaidi
chriss cherry weeeee tena ustop akizingua tunamtimua chezea sis weweee 🤘✌Zari yuko wapi Idi Amin Dada yuko wapi na Sara wa Amonaiz yupo njian kama chupi pumbavu wew upole wa Amina haufanani na wew uko tofaut 😂😂
Hongera sana kaka etu ALIKIBA KWA KUPATA WIFI MREMBO , Ila hapo kwenye mkw wa pili mmenivu ja mbavu mie ali unavituko mara upo upande Amina mara unamgeuka hahha but this is one of the best interview kwakweli nimeinjoy lol. bonyeza kwenye picha yangu karibuni kwenye chaneli yangu kwa maisha na habari za ujerumani
kiba wewe kama ni muislam hao watoto kwa mujibu ya dini yako hao watoto wahudumie ukiwa hai ila ukifa hawakurithi labda uwa ndikie kwa hiyari yako kabla ukali hai
Khadija Said tumekosea dada hata mm nilkua najua ivyo bi amina alimlea mtume lkni hakua mke wake, ikabidi niskize historia yake vzuri kumbe bi amina alkua ni mke wake kweli coz nimeskiza sasa ivi historia ya mtume na nikapata jibu kamili kwa ivyo ni kweli amina ndio mke wa mtume.
Khadija Said dah ni kweli bi amina alkua mamake mtume lkni sio mke wake, yani naskiza historia ya mtume huku nina usingizi😀😁😂😂mungu aniswameh hadi nikakurekebisha kukwambia kweli bi amina ni mke wake, kumbe hakua mkewe ni. Mamake imebidi nirudishe nyuma niskize tena vzuri ndio nikajua kumbe bi amina ni mamake lkni sio mke wa mtume