Тёмный
No video :(

EXCLUSIVE: MAISHA YA HAJI MANARA, KUZALIWA AMSTERDAM, WAKE WATATU, MSHAHARA MPYA, KUGOMBEA 2025 N.K 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 133 тыс.
50% 1

Ulikua unafahamu kwamba Msemaji mpya wa Yanga Haji Manara hakuzaliwa Tanzania bali Uholanzi? nini kilisababisha akazaliwa huko? maisha baada ya hapo? Wake watatu? alivyoanza kazi ya Utangazaji na kusoma South Africa na China? mshahara mpya Yanga? anasemaje kuhusu kauli yake ya kitambo kwamba hawezi kuhamia Yanga hata iweje? unafahamu kuhusu mpango wake wa kugombea Uongozi mwaka 2025? hiyo ni sehemu ya maelezo machache sana kati ya mambo mengi aliyoyaongea kwenye hii EXCLUSIVE..

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 280   
@premierktg4323
@premierktg4323 3 года назад
"Ushabiki Unahama"...@Haji Manara🙌🏻...Jamaa Anafalsafa Nzuri Sanaa Appreciate✊
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 3 года назад
Saaaaaafi sana Haji Manara. Leo nimejua jambo la muhimu sana ambalo sikulijua mwanzoni. Sikujua kama baba yako ni Sande Manara mchezaji wa kabumbu! Asante sana. Watanzania tunakupenda sana.
@Mwamy11
@Mwamy11 3 года назад
Haji Manara ni smart 😎 salaam toka canada 🇨🇦
@mwanakombobakari2451
@mwanakombobakari2451 2 года назад
Mashaaalah,Mashaaalah, the best Interview, nimefurah sana , Haji Ni zawadi ya wa Tanzania toka kwa Mungu , Haji ni mkubwa sana mwenye kipawa kikubwa sana , Mungu akujaalie kheri zote ktk maisha yako kk Haji Manara. Allah akupe umri mrefu na uzima na hekma, Allah kuongoze vyema ktk kila hatua akuepushe na shari zote na mitihani. Kila jambo lako utakalopanga liende kama ulivyokusudia , Puuzia sana maneno ya watu wabaya ,songa mbele unaweza sana ndiomaana unapigwa vita nyingi usjali be strong .AAMIN AAMIN KHERI INSHAALAH.
@chazyteshakimaro4659
@chazyteshakimaro4659 3 года назад
Haji manara yupo mmoja tu ,🙌🙌🔥🔥🔥🔥
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Kumbe hatar sana ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@barracksgabriell9152
@barracksgabriell9152 3 года назад
Bonge moja ya interview manara yuko vizuri tuache maswala ya ushabiki hadi kwenye maisha ya kawaida haji nae anamaisha nje ya mpira maana mtu ukimwona haji tu unawaza simba na Yanga
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Gud ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@henrychaula1174
@henrychaula1174 3 года назад
Mimi ni mpenzi wa Simba lakini nimeopenda sana interview hii namba has a historia yake Haji Manara.
@mubarakahussein9950
@mubarakahussein9950 3 года назад
Piga like kama unampenda semaji la dunia 👍👍
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Hatar jaman ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 3 года назад
Huyu mtu nampenda sana... Haji ni dume kamilifu....
@minazsaid2470
@minazsaid2470 3 года назад
Nilikua naisubiri kwa hamu hii interview ahsante Millard Ayo
@tanganyikamarketingagency5007
@tanganyikamarketingagency5007 2 года назад
nimecheka sana jamani nimejifunza mengi mashaallah, na mimi INSHAALLAH nitamuita mwanangu MILLARD JAPO bado sijaolewa lkn my future huby jua hili mapema hahahhah hongereni sana nimependa I WATCH THIS THREE TIMES
@julianakamese5268
@julianakamese5268 3 года назад
Natamani mungu anipe mme mwenye busara Kama Haji manara,,nakpenda sana,ur very bright❤️❤️❤️
@wanyaoletongwa7510
@wanyaoletongwa7510 3 года назад
Mă a
@tinnahmosha5177
@tinnahmosha5177 3 года назад
Juliana Kamese Aminaa utapata mpenzi, Kikubwa maombi.
@nulaniisa9425
@nulaniisa9425 3 года назад
nipo apa
@isayamlyuka2447
@isayamlyuka2447 3 года назад
@@nulaniisa9425 umpakie mkongo sio
@rahmamukhtar521
@rahmamukhtar521 3 года назад
Wenye Akili tunajua Haji ni Precious Treasure,Hii ni best interview.Kuna zuzu Moja lilitaka kuchallenge uwezo wa Haji.Wazee wake waliwekeza,We wa kwa Mama Kimbo Buza unajifanya Ujuaajiii.
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Yanga mmeopoa dume aisee ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 года назад
Akina mwijaku Hao
@sangjr8219
@sangjr8219 3 года назад
Safi sana @hajismanara. Toka uwe mwananchi unaongea kwa busara sana
@marymwacha995
@marymwacha995 3 года назад
Haji Manara nakupenda sana resembling with my brother , the way you are, navyosema umefanana nae namaanisha mpk rang. He is an alibi no like you
@yahyamkone5601
@yahyamkone5601 3 года назад
Msemaji wa viwango vya juuu haji mtoto wa mzee manala
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Heheheee ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@lausimchopa4948
@lausimchopa4948 2 года назад
@@simbafuns785kviews hkkk
@hamzahassan2079
@hamzahassan2079 3 года назад
Jambo bora sana. Mtangazaji bora Imefahana sana kwenye kipindi Hajii manala ni haruatani mzee
@hamzahassan2079
@hamzahassan2079 3 года назад
Ubinadamu uko poA Ayoooooo Nakwambia Tena mtu Achekwi kirema Anachekwa uchafu sawasawa
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 3 года назад
Nampenda sana HAJI lakini yanga siipendi kabisa
@zaizaitwaha6633
@zaizaitwaha6633 3 года назад
Ila haji bwana una maono makubwa aman of abig dream u inspire so many young generation congratulation bigup
@williamkilembwe7189
@williamkilembwe7189 4 месяца назад
Baba yako ameshangaa sana. Kusema umezaliwa Ulaya. Muongo umezaliwa kariakoo
@violetmunuo5053
@violetmunuo5053 3 года назад
nampenda sana haji manara🤩
@binamubinamu1151
@binamubinamu1151 2 года назад
Ayo Millard Ayo hongera sana broo big up unafanya kazi kubwa na yenye uboraa ubarikiwe ktk maishaa yako pia manara hongeraa uko vyema unaweza kufanya kitu chochote kwa uimara wako mashallah
@subiraboi9397
@subiraboi9397 3 года назад
Hongera yako Al hajj hajji manara
@MohammedAli-sd8ji
@MohammedAli-sd8ji 7 месяцев назад
Mashallah bro
@sniper93999
@sniper93999 3 года назад
Semaji la DUNIA ndani ya millard ayo Tv
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Hatar ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Kizazi sana
@alindabenjamin6672
@alindabenjamin6672 3 года назад
Div 1 ya Point 7,, big up sn Haji
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Manara ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@musamgulila577
@musamgulila577 3 года назад
Hapo tumedanganywa
@kassimabdu5677
@kassimabdu5677 3 года назад
@@musamgulila577 Hajji alipata point 7, watu wa Dar na tuliomaliza muda ule tuna kumbukumbu nzur kwa hilo
@musamgulila577
@musamgulila577 3 года назад
@@kassimabdu5677 hahaha danganya wajinga ...hii sio interview ya kwanza ya haji ...
@kassimabdu5677
@kassimabdu5677 3 года назад
@@musamgulila577 mie simjui Hajji kwenye interview, nimezaliwa Kkoo, nimesoma Azania, namjua Hajji kama kijana mwenzangu tuliyekulia kkoo, najua na nakumbuka mzee wake alivyokua na furaha na raha siku ile ya matokeo ya mtoto wake... halaf mbona kuthibitisha hilo la matokeo yake ni rahisi sana? Au hujui nikuelekeze namna ya kufanya ili ujiridhishe?
@SWAHILINATION
@SWAHILINATION 3 года назад
Bonge la interview! Quality 💯 Shout out to Millard Ayo
@allahisone6386
@allahisone6386 8 месяцев назад
💯%🤝
@mustaphakitole9454
@mustaphakitole9454 3 года назад
Keep it up Haji haya ni maisha mi binafsi nimekuelewa vzur
@robertjunior9916
@robertjunior9916 3 года назад
Hongera Haji Manara na Millard Ayo pia 😎God bless us all
@4genmpanguhe871
@4genmpanguhe871 3 года назад
00
@4genmpanguhe871
@4genmpanguhe871 3 года назад
⁰14131³
@demycratia2567
@demycratia2567 3 года назад
Nimesoma na mama yako Rehema Zanaki Secondary form 3 Com III Mimi patsy mage Hudson robina princilla mauga Farida, mackeja janet mna ndio Wakati WA uja uzito wako. Alikua mchekeshaji Sana Rehema kuna comment aliitoa darasani sitakaa niisahau kuhusu uja uzito WA huyu Haji Ayo niunganishe na Rehema pse
@king-rr8oc
@king-rr8oc 3 года назад
Ulipo tupo gonga like zangu
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Amina ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@joshuamchiwa861
@joshuamchiwa861 3 года назад
Upo na nani?
@user-ou9wj4hu3e
@user-ou9wj4hu3e 7 месяцев назад
Kwa tanzania hapa hakuna msemaji wa mpira kama Haji manara.Ninakubari sana.
@lukasanga685
@lukasanga685 3 года назад
Ndoto yangu kwel imetimia nilikuwa natamani haji manara kuja yanga leo imetimia
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Jamaa hatar ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@hamdincatalonia3272
@hamdincatalonia3272 3 года назад
Uwezi kuzungumzia soka la bongo lazima umtaje haji manara anamchago mkubwa sana katika tasinia ya soka . Bugatti
@JR-db8yq
@JR-db8yq 3 года назад
Great Interview! This is Haji a lot of people know nothing about him.
@paulloota7120
@paulloota7120 2 года назад
Mnknnbbgjbbbg
@sengakijumiletv8125
@sengakijumiletv8125 3 года назад
Bado naendelea na DOZI ya Dawa nameza kutwa mara tatu Kila siku ili KUMSAMEHE NA KUMkubali Manara kuwa Yanga ipo siku nitapona.
@christinachriss9231
@christinachriss9231 3 года назад
Na Mimi pia
@iviejustified8109
@iviejustified8109 2 года назад
Nakuelewa Shekhe Manara Inshallah Shekheeee
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 3 года назад
Namkubali sana haji manara. Big up bro 💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 7 месяцев назад
Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh Haji manara mimi naitwa Abdul Simba naishi Amsterdam Netherlands mwaka 43 ukitaka kupata uraiya wa Hollands kwako niraisi sana juu umezaliwa hapa unahaki zote
@costantinesebastian6508
@costantinesebastian6508 3 года назад
Nmependa maneno yakuhitimisha asee.
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 года назад
Maswali na majibu ya ufasaha nice interview 👍👌 manara ana akili kubwa sana mungu akutimizie ndoto zako inshallah ❤ you all kwaajili ya Allah
@johnluyego9353
@johnluyego9353 2 года назад
Mmmmh! Sikuwahi waza kama Haji uko Smart kiasi hiki! We ni hazina na ni mkweli daima. Mungu akupe maisha marefu.
@wailesihalisoni7285
@wailesihalisoni7285 3 года назад
Vizur sana haji
@ahmedmattar4661
@ahmedmattar4661 3 года назад
Huyu kweli ni msukule amefanana kuanzia rangi ni ya usukule akili ni usukule ni msukule kweli
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@rojaa_mwadime
@rojaa_mwadime 2 года назад
Millard Ayo ni icon wangu kwenye interviews 🙌🏾
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 2 года назад
Karibu sana Yanga tunakupenda huyo ndo Mungu
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 2 года назад
Asante sana
@marymwacha995
@marymwacha995 3 года назад
I appliciate your work
@delmasmas1347
@delmasmas1347 2 года назад
Appreciate
@allahisone6386
@allahisone6386 8 месяцев назад
​@d😊elmasmas1347
@anthonychipuga8551
@anthonychipuga8551 3 года назад
Millard Ayo uki-host Interview hata ikiwa na masaa 10 kuajilia njiani Ni ngumu sana😄,Hongera sana unapangilia sana maswali nk. Kiasi kwamba interview ya lisaa inakuwa Ni kama dk 5😄...Well Done! Big Up sana Brother.
@millardayoTZA
@millardayoTZA 2 года назад
Shukrani sana Chipuga
@allahisone6386
@allahisone6386 8 месяцев назад
❤🌺​@@millardayoTZA
@fredrickmatiku7783
@fredrickmatiku7783 3 года назад
Kumbe Manara aka akili sana kuliko Mwijaku mropokaji mwijaku anasema manara hana Elimu kumbe ipo elimu
@alexjacobndagile8708
@alexjacobndagile8708 3 года назад
Profile ya Mwijaku haiwezi kuifikia huyu jamaa.Ndio utajua Kuna watu warokopaji.
@christiamapendo9186
@christiamapendo9186 Год назад
Naam semaji letu inshallah mwenyezi Mungu atazidi kukuwa na wewe
@kayombog1694
@kayombog1694 3 года назад
#settingIsAwesome
@amosgerald7763
@amosgerald7763 2 года назад
Aisee
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 3 года назад
Manara ni brand kubwa hela unayo huwezi kosa milion moja kwenda kusafisha meno jamani wakina GIGY wakupe siri.
@happyjohn5882
@happyjohn5882 3 года назад
Nadhn kapenda yawe hivyo,kwa baadhi ya watu wanapenda meno ya namna hiyoo
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 3 года назад
Sasa mbona we mchokozi hivi !!!
@drimazonechoice9822
@drimazonechoice9822 3 года назад
tatizo huna ndugu mwenye ulemavu wa albino ukajua maumbile yao..ni tatizo kubwa kumuona mtu anatoa madhaifu ya maumbile
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 3 года назад
@@drimazonechoice9822 wachana na huyu dada ..hana habari...ni maumbile ya albino sio kutopiga mswaki....
@mosimba467
@mosimba467 3 года назад
Mbona wewe unananuka
@francomwacha2262
@francomwacha2262 3 года назад
Hii sauti niliimis sana da! Millard uko na kipaj brother
@alexismwinyi8472
@alexismwinyi8472 3 года назад
Ongereni
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 3 года назад
Interview To watch Iko Sawa Sana Bwa Wawili Wazuru
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 3 года назад
Interview tamu Sana hii lkn mb za kuunga nitamalizia nilipo ishia inshaallah nimeishia dakika ya 18 👊👍💪
@mariachales3283
@mariachales3283 3 года назад
😂😂😂😂😂
@brownsebastianmwibi5647
@brownsebastianmwibi5647 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@raymondkipipi516
@raymondkipipi516 2 года назад
Mr hamisi usiwe mbahiri wa mb
@josephk90
@josephk90 2 года назад
Fanya setting kwenye account yako video zisile mb kwa kasi.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Nakukubali sana Manara
@jothamekisouke8199
@jothamekisouke8199 3 года назад
Haji ametulia sana ktk hyo inter view
@saadysaidzahaze5980
@saadysaidzahaze5980 Год назад
Maashaallah ❤
@jan6703
@jan6703 Год назад
Interview nyingine kasema amezaliwa Daressalaam hospitali ya Dr Khan
@almazula9063
@almazula9063 3 года назад
Afadhali dogo kasema mwenyewe jinsi alivyokuwa cha utundu pale alipokuja Bunge p/school,Lakini mcheshi pia.
@perfecthilarymbewa5968
@perfecthilarymbewa5968 3 года назад
sawa rais ujae nakubali harakati mwaisa
@sharifunyengedi6322
@sharifunyengedi6322 3 года назад
Haji anazidi kuwa kijana ...kweli pesa hatari. Bora umekimbia njaa kule
@jothamekisouke8199
@jothamekisouke8199 3 года назад
Mambo safii sana
@nestoemanuel2821
@nestoemanuel2821 3 года назад
Millard eti ulizaliwa uholanzi wew jamaa ni moto
@Snipperthebabslow
@Snipperthebabslow 3 года назад
😹😹😹😹
@peterngassalah6454
@peterngassalah6454 3 года назад
Aloooh mpaka nimeimaliza yote mmetisha watoto wa mwezi mmoja sema yanga oyee✊ haya mikia🐒 wakate kaclip aliko alikosema bhakresar ajanijua nikiwa msemaji wa simba maana wanataman akosee lakn lijamaa alikosei lipo makini kinouma daah bugati hatari😂😂
@gidionrwechungura4763
@gidionrwechungura4763 2 года назад
Ongera Sana Haji Manara Nilipenda Sana uchezaji wa baba yako alikuwa anaitwa Computer wakati anachezea Yanga
@zuberikamote2078
@zuberikamote2078 3 года назад
Achana nao hao manara fanya kazi ulishe familia yako
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Kaz iendeleee ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@istransportationcorp7916
@istransportationcorp7916 Год назад
Semaji kuu la nchi 🇹🇿
@rhodakisena6428
@rhodakisena6428 3 года назад
Manara Safi Sana
@ramadhanipadon3577
@ramadhanipadon3577 3 года назад
Bugatiiiiii ✊✊✊✊
@allymawazo7189
@allymawazo7189 3 года назад
Mbingu na ardhi😂😂😂😂😂
@msabahaali758
@msabahaali758 2 года назад
Jamaa amenifanya niipende yanga African namkubali sana semaji la dunia
@mangofish9079
@mangofish9079 3 года назад
Hata nzi na paka wanazaliwa ulaya usitushughulishe wacha tuhangaike na tozo
@abdallayunnus3475
@abdallayunnus3475 3 года назад
Haji staaaa sanaaa
@mozasaid3869
@mozasaid3869 3 года назад
Interview bakubwa! Penda sana Haji Manara❤❤❤👍
@saidiissa4673
@saidiissa4673 3 года назад
Good
@neemahezron486
@neemahezron486 3 года назад
Haji wetu
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay 3 года назад
Haji ni bugati kweli..hahaa.Kuna watu wanadharau hawa watu wenye rangi tofauti ila haji ana wanyoosha kisawa sawa.
@shaloboy3861
@shaloboy3861 2 года назад
Kweli mungu akupi kilema akakukosesha mwendo
@nurumohammed1310
@nurumohammed1310 7 месяцев назад
😂😂😂😂ety miaka ya sabini acha uwongo ww walozaliwa sabini wapo lkn ww unatuongopea
@jerrylimbu1790
@jerrylimbu1790 3 года назад
Haji umefanya maamuzi mazuri sana kukubali kazi yanga,ungechoka simba wangeongea sana
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 3 года назад
Dah Manara nilikuchukia sana ulivyojiunga na Yanga ila leo nimeelewa kwa nini umeenda Yanga, Mungu akulinde na naamini ipo siku utarudi Simba, ni hasira tu hizo lakini zitakwisha na waliokuondoa Simba pia watakuja kugundua makosa yao. Najua Yanga hutokaa sana maana wakishapoteza tena ubingwa kwa mara zingine mbili kutakuwa na mapinduzi makubwa Jangwani ambayo nawe yatakuondoa.
@danielkenedy4357
@danielkenedy4357 3 года назад
🔥🔥
@issakara9403
@issakara9403 3 года назад
Msemaji msomi
@magazimahushi6417
@magazimahushi6417 3 года назад
Nimefurahi sana kusikia historia ya haji manara ,kutoka kwenye kinywa chake mwenyewe. Hao wanaliokuwa wanambeza HS Manara sasa wajue. Yule ni mtoto wa kishua.Kusoma international school of Tanganyika si mchezo
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Kwel ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@georgemhalla8853
@georgemhalla8853 3 года назад
Aisee kweli, Tanganyika sio mchezo, ndo shule ya kwanza Tz kwa ghali Zaid ada
@johnluyego9353
@johnluyego9353 2 года назад
The best interview i ever come across
@shaurimwambange5940
@shaurimwambange5940 3 года назад
Duuuuuuh aiseeeee unatisha hajj div1 ya point 7
@mituniissa9957
@mituniissa9957 3 года назад
Wanajutaaaaaa
@issamohamedissa8894
@issamohamedissa8894 3 года назад
Semaji la Dunia
@jamessanga7120
@jamessanga7120 3 года назад
Jembe!
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 3 года назад
Kabisaaaa!!
@demycratia2567
@demycratia2567 3 года назад
Huo Utundu NI WA kama yakeeee darasani ilikua hivyo hivyo
@waktiahmad2503
@waktiahmad2503 3 года назад
Duuh safi sana
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Kwel ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
@jumamadebe3271
@jumamadebe3271 2 года назад
Kumbe mwanasiasa ndio maana usemaji wako wa kisiasa
@alexanderjustine1523
@alexanderjustine1523 3 года назад
Jamaa anajua
@nelsonmdeka2793
@nelsonmdeka2793 3 года назад
Huyo jamaa anaezunguka zunguka anaharibu interview improve that millard
@3kings63
@3kings63 3 года назад
Ushaondoka nyumbani kwenu
@josephk90
@josephk90 2 года назад
Umeaathirika nini sasa? Huyo fundi mitambo.
@MrMtebwa
@MrMtebwa 3 года назад
Milliad hao wanao pita nyuma ya manara they’re unprofessional kwani hakuna njia nyengine ya kupita mpaka wapite huko nyuma
@husseinntarugera3930
@husseinntarugera3930 3 года назад
Nimeamin kuwa hakuna kitu chepes katika hii dunia
@dayana5513story
@dayana5513story 3 года назад
Manara umenifanya nijue kwamba tz kuna sports,
@scholarhaule9956
@scholarhaule9956 3 года назад
Kumbe manara utundu wake wote wakusumbua watu kumbe kazaliwa uholanzi🤔karib sana Yanga semaji letu
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 года назад
Heheheee ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-hPfGDMQuh3M.html
Далее
ALI KAMWE AMCHARUA SIMBA SC KISA FEI TOTO
11:08