Mungu akubariki Sana marioo,,na mziki wako,,marioo alikuwa anakujaga Sana kwetu wakati hajatoka kabisa Leo hii Mario ni bonge la super star,ila yupo very humble Sana kuwa hivyohivyo kaka usibadilike kaka,,,unajua Sana kuintanvyu kaka unastory Sana Mario kama Raha Yan haujabadilika kabisa Kwajili ya ustaa,,Yani huringi kaka safi
Marioo anastor Sana yani Hadi raha haringi Yani,,yupo vilevile Yani habadiliki kwakuwa star,,safi kaka ubarikiwe,, kipenzi,,na uje kututembelea Omi kama mwanzo kaka
Mmeru mwenzangu nakupa big up my brother Ayo..tuko pamja jpo mm nko Nairobi but chuga n yetu wotee maswal n mazur ya kimtego ya panya bila samak ameingia mwnyewe 😅😅😅.kujbu mwnyew
Daaah nimependa marioo aliulizwa nyumba ipo wapi hakusema 😂😂 lkn millady akamtega unapenda maeneo gani ya kuishi kwa hapa dar akasema bweni kwaoiyo moja kwa moja marioo akawa amejibu swali bira kujua 😂😂😂😂
wasanii wa kizazi kipya ebu tujiheshimu na tujipende bhn. unavaa mahereni na unatoboa pua kama she? ivi kweli unatufundisha nini sisi wanaume wenzio kwamba tukuige kutoboa maskio na pua? toa hayo maereni na kipini puani bhn ukae kama mwanaume, au ndo ushoga wenyewe umeshakufata inawezekana lakini,,, milard mwiiye ndu to aatefo findo fo aree ifo makurii na mbuo
Kiukweli msiimbe matusi,hatutaki matusi kwa Nini uimbe matusi na uone hakuna shida.Achani kuimba matusi,mbona Ali Kiba aimbi matusi na mziki wake ni mzuri