Тёмный
No video :(

AMPLIFAYA: MAPITO YA ROSA REE ASIMUALIA KUMUACHA MPENZI WAKE AMNUSURU MWANAE “AFYA YA AKILI” 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 39 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 75   
@ericmato9
@ericmato9 3 месяца назад
One thing I love about Frida Amani is her natural look. Look at that sura usuyo na makorombwezo wala kucha bandia. Keep it gal.
@SakinaOmar-rz8zo
@SakinaOmar-rz8zo 3 месяца назад
Pole sana Roselee mapenzi hayana formula ila umetumia akili sana kumove on❤
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 4 месяца назад
She's right,❤❤❤
@pendolymo9354
@pendolymo9354 4 месяца назад
Nampenda sana rozaree ila nimsaidia kuumia situation alopitia 😢
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 месяца назад
Nafkiri ifike mahali wanawake tuelewe wanaume hawatupendi,they don't dont care about us,they don't have any regard for us. Kwaiyo ukipata mwanaume anakujali shukuru Mungu,pia ukiona mwanaume hana maana,move on peacefully,usijimalize kiakili ju ya mwanaume,mwisho wa siku you're ur own person,tena especially kama una mtoto,infact unapoamua kuzaa tu kumbuka anything can happen,kwaiyo jiandae kisaikolojia,ni ngumu lakini tutambue uhalisia wa wanaume na tujiandae kisaikolojia kwa yote yanayoweza kutokea
@safiahassan6121
@safiahassan6121 3 месяца назад
Mwanaume hajawahi kuwa na upendo kwa mwanamke anahitaji kitu kutoka kwa mwanamke kile ambacho hawezi kukipata kwingine so akishakipata anasepa tu sasa ukishaona mwanaume anakutaka weka mbele mahitaji yako kwanza akiyakamilisha ndo uwe nae ila kwa akili sana
@hawaramadhani6954
@hawaramadhani6954 3 месяца назад
Kunywa soda Kwa mangi utalipa Kwa hela yako❤
@sixmundleonard2135
@sixmundleonard2135 4 месяца назад
Frida❤❤ amani nakupenda popote ulpo una nafasi kwenye moyo wngu ❤🎉❤
@Borderonemediastudi
@Borderonemediastudi 4 месяца назад
Mmmh 😂😂🤣🤣🤣
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 4 месяца назад
eeeh
@janetdundul3858
@janetdundul3858 4 месяца назад
😅😅😅😅😅
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 3 месяца назад
😂😂😂😂
@annertz9969
@annertz9969 4 месяца назад
Eeeeh Mwenyezi Mungu niepushe nahawa viumbe wasinipe msongo wa mawazo 😔
@Asiamohammed1317
@Asiamohammed1317 4 месяца назад
Kuhusu hii story ya wazazi ni issue sana wazazi tunavumilia kisa watoto lakini tunawapa watoto matatizo ya kimwili na kiroho sana sijui nieleze vipi yaani tunapoteza kabisa akili za watoto wooooyi wazazi tuweni makini sana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 месяца назад
Saggy boobs tell a story💯 Wooow this hits hard. People should really stop body shaming women. God bless all mothers🙏
@GbpAud_King
@GbpAud_King 3 месяца назад
Fridaa nakupendaa sana
@NageMsuya
@NageMsuya 4 месяца назад
Nawapenda mnooooo
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje 4 месяца назад
Mimi mpaka leo sijaieelewa hii single mother hii maana ake kwamba ni mama kujipa mimba mwenyew au imekaaj
@happybryce1269
@happybryce1269 4 месяца назад
Si ndo apo sasa.. mtoto ana baba lkn unasema uko peke yko. how
@hijamaulidi7382
@hijamaulidi7382 4 месяца назад
Mtoto kulelewa mbali na baba
@nancyg8664
@nancyg8664 4 месяца назад
​@@happybryce1269kua peke yake inatokana na mapito aliyopitia na mzazi mwenzie
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 4 месяца назад
Baba kutohusika na malezi ya mtoto alieshiriki kumleta duniani
@user-vt4vd5rh8u
@user-vt4vd5rh8u 4 месяца назад
kiukweli hawa
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 месяца назад
Singo maza huwa ni wanawake walio TOXIC usiombe uka date na hao viumbe 😂😂 wanakua na roho mbaya mnoo sabab wame tendwa
@sirajshelali6209
@sirajshelali6209 3 месяца назад
Sio wote wametendwa,wengine ndio wanatenda watu
@barakakusa7606
@barakakusa7606 3 месяца назад
Na wapo ambao wanaupendo wa kweli.
@tirexp1
@tirexp1 3 месяца назад
Jamaa anaongea point tupu, sema utekelezaji sasa
@Zuhura-od9yg
@Zuhura-od9yg 3 месяца назад
Pole sana lamama 😢
@bablayonly
@bablayonly 4 месяца назад
#roseree Female king
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 3 месяца назад
Pole sana nakuelewa snaa nimepitia snaa hiyo nyakat wakujifungua 😢
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 3 месяца назад
Yupo sahihi sana
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 3 месяца назад
Rosa needs someone to talk too
@AnatolliaDesderius
@AnatolliaDesderius 4 месяца назад
🔥🔥🔥🔥
@Jibambeshow254k
@Jibambeshow254k 4 месяца назад
Sikuhizii hamna cha ndoa watu wapate mimba uzae n kilamtu ashugulike n maishayake kama utampenda sana mwao aya utachukua majukumu ykumlea period hio ndio dunia ya sasa 😂😂😂😂
@guidovadala1965
@guidovadala1965 4 месяца назад
She is concious
@joreen7603
@joreen7603 4 месяца назад
Nyie acheni mtoto akifanana na baba na baba asiwe na mchango wowote acheniii tuuu ila katik yotee mungu utusaidia
@Mgema001
@Mgema001 3 месяца назад
Frida i love u❤
@infortainment2557
@infortainment2557 4 месяца назад
Who cares about what the man feels anyway? Born to suffer. God help us. No child, no airtime, no sympathy, only blames from possibly unjust cries. May it be easy for the kid to experience love from both parents in near future.
@vannie-gggg
@vannie-gggg 3 месяца назад
Millard ayo my young sister anakupenda tuliiba diary yake tukakuta kakuandika na kamessage kazito😂
@adnanel-islam3291
@adnanel-islam3291 3 месяца назад
Njaa itawaua😀
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 3 месяца назад
Yaaani huyo dada Frida nimempenda.
@rahmaoman470
@rahmaoman470 4 месяца назад
😂😂😂😂Rose mapicha picha
@Sha-mgAbiudy
@Sha-mgAbiudy 4 месяца назад
Nani kaona "KUSIMUALIA" kweny description 😂😂
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 4 месяца назад
Roza una akili sana dada💪🏽
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 4 месяца назад
ahahha rosa kanichekeshaaa jmn eti nyinyi kama mimi
@zabryrose3120
@zabryrose3120 4 месяца назад
Hivi Millard kinyozi wako nani lakin?
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 4 месяца назад
hata mimi sipendi anavyonyoa
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 3 месяца назад
Yani sijui ananyoa wapi wallah anamnyonyoa mwenzie anakua kama kuku kishingo 😂😂😂🙌🏻
@sebastianapolinary221
@sebastianapolinary221 4 месяца назад
Frida amani 👊
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 3 месяца назад
Yule kaka na kile kitambi nilijua tu hawata toboa 😂
@monicaalute3143
@monicaalute3143 4 месяца назад
Nani amemuona roseee anaongea kasauti kama ya wema sepetu
@hamimumankanga5302
@hamimumankanga5302 3 месяца назад
Ebanee, sema olo in olo, frida ni pisi moja hatari sana
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 4 месяца назад
Kwani masingo mama huwa wanajitomba? Na kujipa mimba? Nimechoshwa na neno singo matha.
@bettymirama4061
@bettymirama4061 4 месяца назад
Jitahidi kuwa mstaarabu tumia lugha nzuri
@user-eb4nq5du2q
@user-eb4nq5du2q 4 месяца назад
Ungetumia lugha nzuri bas
@veronicahlusekelo5205
@veronicahlusekelo5205 4 месяца назад
Punguza ukali wa maneno ndugu🙆
@jackiefredrick586
@jackiefredrick586 4 месяца назад
Mchukue mtoto mlee mwenyewe ili tukuite single dad
@joreen7603
@joreen7603 4 месяца назад
We nae unaitaj elim
@Zuhura-od9yg
@Zuhura-od9yg 3 месяца назад
😂
@lucyjohn1342
@lucyjohn1342 4 месяца назад
Kila mtu ana sababu yake so kila kitu usem kwa watu???
Далее
small vs big heart 💖 #tiktok
00:13
Просмотров 5 млн
Cute kitty gadget 💛💕
00:23
Просмотров 4,7 млн
MERU NA WANAWAKE WAJASILIAMALI
4:54
Просмотров 82
TRUE STORY: SIMULIZI FUPI YA SAUTI
1:41:02
Просмотров 265 тыс.