Тёмный

#EXCLUSIVE 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 8 тыс.
50% 1

#EXCLUSIVE: MASWALI MAGUMU kwa WAKILI MADELEKA kwa WATEJA WAKE MADADAPOA WANAODAI BILIONI 36 kwa DC wa UBUNGO...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

25 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 66   
@globaltv_online
@globaltv_online Месяц назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Месяц назад
Mtemtez WA madada poa😂😂 kweli mbinguni tutafika tumechokaa 😢😢😢😢😢😢
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 Месяц назад
Muandishi msomi vs wakili msomi Wakili msomi chaliii miguu juu
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Месяц назад
Nchi hii sheria hazi fuatwi
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Месяц назад
mwenyez Mungu akufelishe na now yako kuhamasisha kwa kapotea kwa maadili ya nchi we madeleka yaani kabla hujafanikisha lengo lako na waliokutuma in sha allah ufeli kwa hili nawe ufungwe in sha allah rabda kwakua rais mwenyewe ndio wale wale lakin kama ahusiki na tuhuma za usagaji ye huyo rais basi angekemea kwa nguvu zote uchafu hu unao tetewa na mawakili njaa kama madeleka
@SwaleheKudisa
@SwaleheKudisa Месяц назад
Kaka mkubwa mungu akubariki sana na akuongezee umri inshaallah.
@Nyanda506
@Nyanda506 Месяц назад
Safi sana wakili ,sheria ichukuwe mkondo wake
@ashrafurwegoshora4227
@ashrafurwegoshora4227 Месяц назад
Madereka yuko mkini sana,mwandishi siku nyingine jipange
@SeverinepauloPeter
@SeverinepauloPeter Месяц назад
Hat ushoga Sheria haijanyoosha
@goldenkisoso2107
@goldenkisoso2107 Месяц назад
kimeumana😂
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Месяц назад
😂😂 Watu wanachelewa kumuelewa wakili wakili anaongelea sheria wa tz wengi mnafasili maneno ya kawaida na dini sio sheria ya selikali apo mmechemka
@captenndunga6745
@captenndunga6745 Месяц назад
Tusichanganye sheria na utamaduni ndio mana ukiua unafungwa kwa kua sheria ilishaweka azabu ya mtu akiua sasa mnaomuona wakili anakosea nyie ndio hamjui sheria cha kuhimiza ni bunge litunge sheria na hukumu ya hao madada poa hata ushoga hauna sheria kwamba shoga hukumu yake ni nini.... Nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria sio utashi wa mtu.
@nicolasmsaki5987
@nicolasmsaki5987 Месяц назад
Hapo hakuna kesi kabisa kisheria ila pia mkuu wa wilaya kosa alilofanya ni kupablic habari kwa vyombo vya habarii kwa sisi ambao tulikuwa hajui Kama river side kuna dada poa tumejua tyuuu
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Месяц назад
Wakili nimekuelewa kiundani sana sheria oyeeeeeeeee
@josephlorri431
@josephlorri431 Месяц назад
Kudai 36btsh... rahisi kutamka ila hicho kiasi ni tani ngapi... wenye kujua uzito wa noti za 10,000tsh,
@AwardHakimu
@AwardHakimu 25 дней назад
Gram 1.1 kama sija sahau
@Nobengaphotographer
@Nobengaphotographer Месяц назад
Huyu jamaa anampiga sana maswali magumu kwa madeleka kudadeki mkuu ulitumwaaaa😅😅😅
@nurumohamed7225
@nurumohamed7225 Месяц назад
Mm namuuliza wakili kesi ya Babati imefikia wapi?
@stephenkitururu5588
@stephenkitururu5588 Месяц назад
Imani inapatikana MSIKITINI na KANISANI 😂😂😂😂😂hili jibu liko GOOD SANA... Mwana habari hapo umechemka na haujujipanga pole sana 😂😂😂😂
@user-op7vm9mr3z
@user-op7vm9mr3z Месяц назад
Columbus leo u much know umekwisha. Hiyo siyo kesi ya sabaya dago😂😂😂😂
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 Месяц назад
Maswali ya korumba hayajibiki , pita ni mfanyabiashara Kakwepa kujibu swala la kubakwa
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Месяц назад
Sheria Haija sema hayo mambo ndomana anaweza tetea hao wadada
@chrisekonga9092
@chrisekonga9092 Месяц назад
Mtangazaji hukujiandaa kuuliza maswali😂😂😂. Maswali unatunga hapohapo😂😂😂
@SalimSalimu-z5c
@SalimSalimu-z5c Месяц назад
Muandisi Unachemsha kwa maswari huyo n pita Madereleka
@timothbenard8213
@timothbenard8213 Месяц назад
Mwandishi chawa
@JataTarish
@JataTarish Месяц назад
Tupate katiba mpya tu ili ayo mambo yawe kama kosa kisheria, vinginevyo ao wadada hawana kosa kisheria😅😅
@user-lj7cw6ee5p
@user-lj7cw6ee5p Месяц назад
Mswahili
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 Месяц назад
Maadili na utamaduni wa nchi hii umeelezwa wapi kuwa unatakiwa uweje kwenye vitabu vya sheria?
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 Месяц назад
Guys nimecheka jinsi mtangazaji anaulizwa😂😂😂😂
@thedeo472
@thedeo472 Месяц назад
HIVI KATI YA MALAYA NA MLA RUSHWA NI NANI HATARI KATIKA JAMII?
@geofreykasinda1895
@geofreykasinda1895 Месяц назад
Jamani yani hata yie mliotuma izo sms kumlaumu wakili mnafanya malaya sio lazima kuuza mwili ndo kujuwa ni malaya hata kumsaliti mwenzio ni umalaya huo . Au kwakuwa hao wameamuwa kujiweka wazi ndo mnaanza kumlaumu huyo wakili ? Achenu kujifanya nyinyi hamjawai kumsaliti mwenzako. Na kama umemsaliti basi umefanya umalaya
@josephlorri431
@josephlorri431 Месяц назад
Sheria haitaki hisia wala mihemuko ya imani bali ni uhalisia jambo,hoja mezani..
@mohamedally121
@mohamedally121 Месяц назад
Jamaa ni mpuuzi mnooo,na ana elimu, daaah asante mwandishi, umejua kumbana
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Месяц назад
Sheria haifatishi dini
@petermbwei1347
@petermbwei1347 Месяц назад
Hamna mic ya kufanya tukasikia vizuri mnasikika kama mnaongelea stoo
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 Месяц назад
😂😂😂🤣🤣🤣
@maspro6294
@maspro6294 Месяц назад
Hili jamaa pumbavu Sana kutete umalaya na ushoga haya ndio mijitu INAYO tumiwa na shetani na Lina tafuta Kiki za kisiasa
@captenndunga6745
@captenndunga6745 Месяц назад
Hapa inazungumziwa sheria mzee hata kusingekuwepo na sheria ya mtu akiua hukumu yake ni nini basi ingekua mtu akiua huwezi kumfunga lakini kwa kua sheria ishawekwa juu ya makosa ya mauaji ndio mana ukiua unafungwa sasa usiropoke ni kuhimiza bunge litumge sheria juu ya madada poa lakini kama sheria haijatungwa ukiwakamata ni kosa acha kuchanganya sheria na utamaduni mzee
@mohamedally121
@mohamedally121 Месяц назад
Kuna watu wamesoma ila bado ni wapuuzi
@SeverinepauloPeter
@SeverinepauloPeter Месяц назад
Hakuna Sheria yahii kitu.mnajitekenya tu
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 Месяц назад
Wanasheria ni mazezeta kweli hao ,kama hawajui kuna mungu vile
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Месяц назад
Sheria za Tanzania hazija tungwa kwa kufatisha dini usi changanye dini na sheria za nchi
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 Месяц назад
😅wakili shkamoo
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Месяц назад
Kama kuna ubakaji mahhabusu mbona hatari
@deodathsilayo3639
@deodathsilayo3639 Месяц назад
😂😂😂eti iman ni msikitin na makanusani
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 Месяц назад
Pita ubongo ziro kabisa
@edwinmeenda9171
@edwinmeenda9171 Месяц назад
Mtangazaji wa mchongo
@amirjuma9395
@amirjuma9395 Месяц назад
Nilichogundua wa watanzania wanachanganya kati ya Sheria alizotunga binadamu na Sheria za Mungu kwanza uyo muandishi hajui kuuliza maswali muhimu Sheria haiukumu mtu kwa macho unatakiwa ushahidi wakuthibitisha kosa
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Месяц назад
😂😂 Uko sahihi wa tz wengi upande wa sheria jawamo nikelele tu za vijiweni
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we Месяц назад
Wakili hajibu swali mpuuzi tu
@masoudlulanga1576
@masoudlulanga1576 28 дней назад
T
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 Месяц назад
Karumba umemkaba koo kweli kweli Akikuona tu atakukimbia ,na hawezi kukubali intavew tena na wewe Wakili janja janja tuuu pumbavu kabisa
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 Месяц назад
Korumba hana jipya huyo nibmfanya biashara huyo Hata wakishikwa mashoga atawatetea
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Месяц назад
Bila uthibitisho wa kosa hana mamlaka ya ku kamata watu ovyo na kuwa weka polisi
@minuleabdulkadir2838
@minuleabdulkadir2838 Месяц назад
Mchuano mkali kabisa
@ferdinandmakore5002
@ferdinandmakore5002 Месяц назад
Common prostitute ni kosa kisheria kwa mujibu wa kifungu cha 176 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura namba 16 ya mwaka 2022.
@hashimjumahassani5268
@hashimjumahassani5268 Месяц назад
wangepelekwa mahakan brother
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Месяц назад
Kwanza kusema kuna biashara ya ukahaba na umalaya Tanzania ni uwongo mkubwa. Kwani maduka ya biashara hiyo?
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 Месяц назад
Wewe pia watetea upumbafu biasha mpaka duka
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 Месяц назад
Pale kajaba anapojalibu kualalisha ukahaba
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Месяц назад
Biashara maana yake uwe na leseni,bidhaa na wateja​@@jamaliddiin9357
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Месяц назад
​@@msafirimaulidi5054Kahaba ni mwanaume anayeoa wake wengi au mwanamke anapewa talaka na kubadilisha wanaume 😂
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 Месяц назад
Anakimbia maswali huyo
@bilid4128
@bilid4128 Месяц назад
🤣🤣🤣
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 Месяц назад
Wakili feki eti sheria haikatazi
Далее
ТЫ С ДРУГОМ В ДЕТСТВЕ😂#shorts
01:00
Это iPhone 16
00:52
Просмотров 1,1 млн
Schoolboy - Часть 2
00:12
Просмотров 6 млн
ЮТУБ БЛОКИРУЮТ?
01:52
Просмотров 862 тыс.
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
Просмотров 56 тыс.
ТЫ С ДРУГОМ В ДЕТСТВЕ😂#shorts
01:00