Whozu niskilize kama unampenda wema kweli fungeni ndoa la si ivo utakuja kumpoteza wema wema nimzuri ana roho nzuri haringi hana majivuno funga ndowa na wema please ukate watu midomo umfurahishe Allah na mama ake wema piya na wananchi kwa ujumla please nawapenda sana na nawatakiya kila la kheri halafu nendeni nchi za nnje mkafanye dizain ya kupata mtoto lakini mpaka mfunge ndoa kwanza Allah atawaajaaliya kila kheri
Kudate na msanii au super star, inakuhitaji akili sana, uvumilivu na kutodeal saana na mambo ya mitandao.... pongezi saana kwa Couple ya Navy Kenzo... hii Couple ina zaidi ya miaka 10 bila skendo zozote za kijinga.. wame win kwenye namna ya kusolve ugomvi wao bila kuhusisha mitandao..
Tunda anajua Whozu anampenda mtoto wake na Dawa ya Tunda ili aache kukunyima kumuona mtoto ni Whozu kutokumuomba mtoto. Haiwezekani bibi yake ambaye ni mama yake na whozu amuombe mjukuu wake halafu ananyimwa. Mimi iliwahi kunitokea kwa mtoto wangu dawa ni kunyamaza kimya kabisa mpaka wao wenyewe watakupa mtoto.
kiukwe mm nampenda xn wema kuliko wasanii wote kwanza hajisikii hana dharau anawapenda watu wote piy ni mzr xn nawaombeya mfunge doa nitafurahi xn na insha Allah wema atapat mtt ktk ndoa yke ilove wema❤
Yaani katika style ya kujifanya mnagombana kisa ramadhani mjifanye hamzini ila zinaa imekujaaeni hapa watu wengi hawajui kama wamepigwa za uso subirini Eid hao wapuuzi mtawaona pamoja ni wanafkiri wanamdanganya Mungu kumbe wanajidanganya wenyewe at tusizini mpaka ramadhani iishe wapuuzi wakubwa
@@valentinernestkavishe7297mbona unapunguza ukali wa maneno ili ionekane ni halali na sio dhambi! Sema kufanya zinaa na zinaa isiohalali ni dhambi kwa dini zote unapunguza ukali kwa kusema kufanya mapenzi hio ni zinaa
Uwozi nimekupenda bure kwa maelezo yk ila jmn nawaombea dua na chimama yapite naitaji kuwaona tena na upendo wenu mpisheni sheta ni apite maisha mengine yaendelee uyo tunda wivu tu unamsumbua ❤🫶 chimama na chibaba
Wewe chibaba muowe wema nampenda sana sana anakupenda pamoja na mwanaoo ila abadili dini awe mkristo ndio mfunge ndoa kama ataki achana nae usije kuwa kama kaka yangu barnaba mwanamke ndioo inatakiwe afwate dini ya mwanaume sawa mdogo wangu kuwa makini sana
Whozu hivi unajua maana ya kutokumuongelea mtu, naona hapa umemaliza ukurasa . Ishi maisha yako na chimama yule ni mzazi mwenzako. By the way nawapenda sana wewe na wema.
Well done Whozu kwakufanya hii interview 👍🫠🎉@MangeKimambi ni mtu mbaya tena sana 😢Alimpa Tunda interview kisa vita yako na Wema iwe kali kuzidi kuliko ilipo😢Wewe na wivu wako sasa unapashwa kwenda Councelling huwezi kupiga mwana mke😢 Hatokulinda uje kumuuwa badilisha hayo makasiliko yako makali😒😢
Bora whozu usimuache wema kabisa for life jmn msiachanane hata wema take usikubari ng'ng'ana siku hasira zikitulia ataona utu wako just cheel with her body
Watanzania wengi hawapendi vitu vya maana umbea kama hivi ndio Wana click na views zinalipa na hawa wanatafuta hela kwa view...I hope tubadilike tunapenda sana kufatilia udaku kuliko vitu vya maana
Mbona kuna vitu vya maana vingi Millard ana upload kwenye hii platform si ukaangalie vengine sio lazima kumuangalia whozu tuache tunao taka kuangalia tuangalie, kujikuta ww ndio wa maanaaaaaa😏😏😏halaaaaa
@@MoviesAde kwani nimesema hapost vitu vya maana...I meant now they mix contents more udaku plus vitu vya maana ili kuongeza view kupata views za pande zote mbili kwa watu wanaopenda udaku and watu wanaopenda mambo ya kawaida ila udaku haujengi chochote na wabongo wengi tunapenda udaku zaidi ....you can be angry lakini huo ndio ukweli hatuendelei maana bidii tunaoitumia kutafuta na kusikiliza udaku tungeiweka kwenye kazi,ubunifu na mambo ya kimsingi ya maendeleo tungekuwa mbali sana
@@giressentumwa6906sasa wewe huyu kijana mdogo ndio wa kuvuwa wema chupi kweli? Wema amejishushia hadhi, ona wenzake kama Faraja, Jacqueline.... wameolewa na kama boyfriend wanachukuwa boyfriend wenye heshima zao