Тёмный
No video :(

MWANACHUO ALIYEKODI GHOROFA KARIAKOO, AFUNGUKA KUMILIKI MJENGO WA MIL. 370 DODOMA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 37 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 93   
@harrychuwa3180
@harrychuwa3180 Месяц назад
Very clever young man!!! Keep going. Risk taking is part of the equation. Obviously, 99% of investors are not risk takers. He’s a risk taker!!! The higher the risk, the higher the return.
@beatricemortensen8533
@beatricemortensen8533 Месяц назад
Mungu yuko mbele yko, sio nyuma, Mungu akai nyuma.Hongera.
@QWARIDAMassay
@QWARIDAMassay Месяц назад
Ameen..nafikiri yuko pa b de zote yaan mbele halafu nyuma
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Месяц назад
hivi ndio vipindi vinavyoleta tija kwa vijana , Mwenyezi Mungu azid kumbark ndugu yetu, afanikiwe zaid na zaid , na Mwenyezi Mungu naomba unijalie na mimi niwe na uwezo na moyo wa kuelekeza watu fursa kama huyu kijana
@christinabuchuma6708
@christinabuchuma6708 Месяц назад
Hongera sana kijana, very impressive
@EllyLupagalo
@EllyLupagalo 26 дней назад
Hongera sana mshukuru Mungu umelelewa kwa maadili mazuri na ukayafata hukuifata dunia utafika mbali Mungu akutunze
@erickherman8224
@erickherman8224 Месяц назад
Hongera @basil.mswahili , wewe ni kioo chetuu 🙏🙏
@user-sw6uo6rv6j
@user-sw6uo6rv6j Месяц назад
Last born mwenzetu ktka ubora wake Allah azid kutubariki Inshallah
@tinomangi6487
@tinomangi6487 Месяц назад
Anatupanga huyu yaani anapangisha nyumba ya mtu ambae nae kapanga so Ile Kodi lazima ugawanyike 80% Kwa mwenye nyumba na 20% kwake
@imaf3st336
@imaf3st336 19 дней назад
Akili kubwa God Bless
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Месяц назад
Mmmh MUNGU humuinua amtakae hongera sana umeweza kujiongeza
@bilid4128
@bilid4128 Месяц назад
Mmh boss umpe Milioni 10 akupe nyumba ya milioni 370 ...ngoja nifikrie vizuri huenda uwezo wangu kufikri upo chini sana
@pendosailo1989
@pendosailo1989 Месяц назад
😂😂
@faidamwacha
@faidamwacha Месяц назад
😂😂😂 fanya kuthubutu Usije ukawa unatembea na fursa zetu bhana
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 Месяц назад
Ukiwa muanifu ma udhubutu utatoka napia uaminifu ni mtaji
@MM-pb7fw
@MM-pb7fw Месяц назад
acha mawazo mgando...kila kitu kinawezekana tu,kama jengo linauzwa M370 lakini amempa kwa riba ya 15M kwanini asipewe?...inategemeana aneyeuza anauza kwasababu gani,kama hana haraka anatoa tu kwa riba zaidi
@user-cz5oy1od5d
@user-cz5oy1od5d Месяц назад
Hiyo ndio tofauti kati ya wewe na yeye.
@tinomangi6487
@tinomangi6487 Месяц назад
Huyu kuna watu wanambeba aache kutupanga hakuna maisha rahisi kihivyo. Hata wenye nyumba hawawezi kupokea Kodi wakanunua nyumba 4 Kwa mwaka mmoja aseme Tu kuna ndugu yake ni mwizi serekalini anajificha kwenye mgongo wake
@utopolo543
@utopolo543 Месяц назад
take things positive. mtafute uongee naye physically.
@mboyipaul
@mboyipaul Месяц назад
Ni kweli au pengine aliuza Mali za nyumbani kwao...Kwa mwanafunzi sio rahisi hata kidogo kwanza Bado ni dogo san
@user-sg6ez3cf1f
@user-sg6ez3cf1f Месяц назад
🎉 all the best more ahead BO$$
@MagdalenaMakungu
@MagdalenaMakungu Месяц назад
Hongera sana kaka nimependa sana na mm niwe kama wewe
@gabrieljafu
@gabrieljafu Месяц назад
hongera sana brother
@joycehaule9717
@joycehaule9717 Месяц назад
Usimsahau Mungu mdogo wangu
@user-rr6jg6qb1p
@user-rr6jg6qb1p Месяц назад
Ni kichaaa pekee2 anaeweza kuamini maneno ya uyu jamaa, mil 370 uanze na mil10 ,na anaemhoji nibwege kwelikweli
@Afriimovies
@Afriimovies Месяц назад
Inafikilisha sn yn.
@jafarinauma6798
@jafarinauma6798 Месяц назад
Hawa ndio baadae unakuja kusikia story nyingine tofauti kama yule influencer wa vijana na aliyekuwa anatukana vijana kumbe pesa zake ni vibao
@aminarajabu5795
@aminarajabu5795 Месяц назад
Inawezekana. Mfanyabiashara pekee ndo anaelewa hili. Ila kama huumizi kichwa utasema haiwezekani. Kaanza na mil 10 anakodisha wateja kwa vyumba 13 kila chumba miezi 6x13 kila mwezi, kwaivyo biashara hiyo inajilipa yenyewe, mtu kupokea mil 10 inawezekana maana shida zimetuzunguka na pesa haimpati kila mtu kwaiyo aliyeipata milion 10 ndo uyo dogo aliyetanguliza hiyo milion 10. INAWEZEKANA. Bado kariakoo anaingiza pesa inawezekana hata kutoa milion 10 kila mwezi.
@GabreilLukumay-bu4sx
@GabreilLukumay-bu4sx Месяц назад
Hongera sana 🎉 kijana mwenzangu 🎉🎉
@rizikimtui8992
@rizikimtui8992 Месяц назад
Content bora sana
@YINDIMAKUCHICHANEL-DOM
@YINDIMAKUCHICHANEL-DOM Месяц назад
Kama kwel hongera
@pceodhc
@pceodhc Месяц назад
Hongera sana 👏🏾👏🏾
@NnalaNsangalufuMwangati
@NnalaNsangalufuMwangati Месяц назад
Hongera sana na Mungu azidi kukuinua zaidi
@user-zq7jb2ij4u
@user-zq7jb2ij4u Месяц назад
Mwanangu M-MUNGU azidi kukujaalia. Nitumie no zako inshaallah naona na mm utaweza kunisaidia au kunishauri.
@dr.peterofficial6390
@dr.peterofficial6390 Месяц назад
Big up sana kijana
@user-lo8ef9qn2r
@user-lo8ef9qn2r Месяц назад
Sio kweli uyo kuna mtu nyuma yake ila yy anatangaza
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 Месяц назад
Hy ni skili yakupewa unao ushahidi tumia akil
@Alkaburu
@Alkaburu Месяц назад
Akili fupi jiamini wewe
@SinemaZaChina
@SinemaZaChina Месяц назад
hongera sana damu yangu
@evampuya-mp9vf
@evampuya-mp9vf 17 дней назад
Naomba ajira ya kufanya usafi nipo Dodoma nisaide kaka yangu
@rukiyamohammed2945
@rukiyamohammed2945 Месяц назад
Hongera sana kijana
@gigoyrn4394
@gigoyrn4394 Месяц назад
😂😂😂 wanachuo kweli mna lewa na kubet mbona mwenzenu ana majengo
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Месяц назад
Tulia ww anatupanga huyu dogo
@joyceKingu
@joyceKingu Месяц назад
Hii biashara ya kawaida kabisa. Kwenye nchi za wenzetu wanaita "Rent to own. "
@blackothman7332
@blackothman7332 Месяц назад
Ikoje huyo biashara
@winnesakara6957
@winnesakara6957 Месяц назад
Mungu akubaliki
@margarethshirima5654
@margarethshirima5654 Месяц назад
Mungu hakika yuko mbele yako. Amekupa Néema ya uthubutu na utenda kazi bora
@andrewemmanuel1861
@andrewemmanuel1861 Месяц назад
Bravo 🎉 IQ kubwa kibiashara
@abuukamanda.s.mkenga6687
@abuukamanda.s.mkenga6687 Месяц назад
Kwenye .afanikio Kuna ukurasa ambako huaga hakasomwi
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 Месяц назад
💥💥💥
@gspofficial7977
@gspofficial7977 Месяц назад
Jamaaa awe raisi tu yupo vizuri
@sarahminja7255
@sarahminja7255 13 дней назад
Huyu boya asitudanganye kabisaaa kuna mtu nyuma yake mwenye pesa akamuwezesha
@user-hq5mo3dx7l
@user-hq5mo3dx7l 28 дней назад
Sasa anasoma nini maisha.ndio hayo
@erickherman8224
@erickherman8224 Месяц назад
🔥🔥🔥🔥🔥❤️
@dignachami7382
@dignachami7382 Месяц назад
Acha uongo ww ,unapaswa kushtakiwa kwa udanganyifu ,Wala hainiingii akilin
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 Месяц назад
Nenda polisi kamshtaki huna akili na maono
@bilid4128
@bilid4128 Месяц назад
Mmhhh
@stellatemu2458
@stellatemu2458 Месяц назад
.uko vzur k jana
@Officialboysafi
@Officialboysafi Месяц назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@JohnAthanaz
@JohnAthanaz Месяц назад
Karibu mwanza
@salluhimuhammed862
@salluhimuhammed862 Месяц назад
Maelezo yko na vtu ulivo navo ni tofaut sna bro bdo hujaelez ukwel, wenye akili zao awawez kubali ili
@dottomabula7253
@dottomabula7253 Месяц назад
People should understand crystals clear Look Kwa nini ujishikize kwa mtu? Kwa nini usifanye usizalishe product Yako? Kwa nini u invest 50M Hadi mwaka unapata 70M ? Mawazo Yako ni manzuri ila yamechanganyikana na Uvivu fulani
@kendricgeorge603
@kendricgeorge603 Месяц назад
Huyu mtu Ana pesa za ajabu ila sio kwamba ni freemason hapana, ni akili tu make katika safari ya mafanikio akili inahitajika 95% na pesa ni 5%, so huyu mtu wanamiliki kiwango kikubwa cha akili lakini pia Ana take risks. Katika umri wa 20 - 30 ni umri ambao mtu Ana zingatia kula na kuwa na afya njema. Pesa inayobaki yote ni kurisk tu katika maeneo tofauti tofauti since hana familia wala watu wanaomtegemea nyuma yake. So I wish nimpate namba yake to be honest. I can learn anything from him. BIG UP BRO
@joycehaule9717
@joycehaule9717 Месяц назад
Mungu akutunze sanaaa
@Avith-lj2sp
@Avith-lj2sp Месяц назад
goooooood
@PrivatusHururu
@PrivatusHururu Месяц назад
Nimefurahi kusikia namna unavyo pambana ,ntakutafuta na mimi unaweza kunisaidia mawazo nikatokea hapo.
@geja8708
@geja8708 Месяц назад
Acheni kuzingua !
@jizzotheking9238
@jizzotheking9238 Месяц назад
Nyie ndo mnatufany tuonekane sisi wengin ni wajinga, watu wanafany vitu wakiwa na watu nyuma yao ila nyie mnalat habar za uthubutu
@mochemba
@mochemba Месяц назад
Umeona ee, ndo yale mtu anakuja anakuambia alianza na elfu tano leo namiliki kampuni kubwa
@jizzotheking9238
@jizzotheking9238 Месяц назад
@@mochemba yaan ni upuuzi mtupu, how mwanachuo apate pesa za kukod ghorofa kariakoo, ok tuseme anategemea kodi za wanaopanga hlo jengo, je pesa ya kuanzia aliipata wapi???
@neemakerefu4876
@neemakerefu4876 Месяц назад
Aangaliwe vizuri isije akawa anauza vifaa vya maabara YA chuo Kwa siri
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Месяц назад
@@neemakerefu4876 😂😂store keeper
@thomasponera6018
@thomasponera6018 Месяц назад
Professional liar 😢
@pascal2415
@pascal2415 Месяц назад
Ndio atembelee Alphard? Tapeli huyu
@kmotivation1130
@kmotivation1130 Месяц назад
Mh
@Onge-shabani1994
@Onge-shabani1994 Месяц назад
Uyo dogo jina lake nani ? Instagram anaitwa kwa jina ngani Uyu dogo , naijati ku mawasiliano naye
@amajattoys9309
@amajattoys9309 Месяц назад
Mwisho wa mazungumzo kataja namba zake
@margarethshirima5654
@margarethshirima5654 Месяц назад
Mimi naomba kuwasiliana na wewe.
@amajattoys9309
@amajattoys9309 Месяц назад
Mwisho wa mazungumzo kataja namba zake
@JonaaJonaa-q6e
@JonaaJonaa-q6e Месяц назад
Uyu n maskin mwenzetu msiogope
@ricktales96
@ricktales96 Месяц назад
Acha wivu😂😂😂
@SirajiAbdalah
@SirajiAbdalah Месяц назад
Mbona umeajiri watu wachache sana,na mtaji ni mkubwa
@user-pq6wd1nj4d
@user-pq6wd1nj4d Месяц назад
Freemason huyo
@LordJesusChristlife
@LordJesusChristlife Месяц назад
Ubongo wako wasema hivyo
@jacklinembawala
@jacklinembawala Месяц назад
Tafuta Hela wew uache kuita wenzio freemason 😅
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 Месяц назад
Kijana tafuta hela utakufa maskini
@joycehaule9717
@joycehaule9717 Месяц назад
Mshamba sana Wewe 370 nihela sasa kama unajituma?? Mshambaaaaa wewe kabisaaaa inawezekana hata laki 3 hujawahi kushika freemason alipe kidogo kidogo hovyo kabisaa
@joycehaule9717
@joycehaule9717 Месяц назад
Kajinga wewe...
@PhenixSwahiliGaming12112
@PhenixSwahiliGaming12112 Месяц назад
Ni hatariiii tazama na huyu jamaa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-P2j8nCoLi3E.htmlsi=VtvU4DnvYDP4COmU
@boscoafikile4737
@boscoafikile4737 Месяц назад
Hongera sana kijana
@kendricgeorge603
@kendricgeorge603 Месяц назад
Huyu mtu Ana pesa za ajabu ila sio kwamba ni freemason hapana, ni akili tu make katika safari ya mafanikio akili inahitajika 95% na pesa ni 5%, so huyu mtu wanamiliki kiwango kikubwa cha akili lakini pia Ana take risks. Katika umri wa 20 - 30 ni umri ambao mtu Ana zingatia kula na kuwa na afya njema. Pesa inayobaki yote ni kurisk tu katika maeneo tofauti tofauti since hana familia wala watu wanaomtegemea nyuma yake. So I wish nimpate namba yake to be honest. I can learn anything from him. BIG UP BRO
@fredducaunt
@fredducaunt Месяц назад
😂😂
Далее
Chelsea gym be like.. 😅⚽️
00:20
Просмотров 14 млн
Bishop Jacob Wamwea guborwo mbeca ciake ciothe ni mikora
1:08:46
Standout lines from 2024 DNC speeches
17:36
Просмотров 376 тыс.