Fadhila za Punda ni mojawapo ya mkusanyiko katika Diwani ya Mapambazuko ya Machweo na hadithi nyingine, hii ni hadithi ya kwanza inayoangazia ndoa, dini, elimu na usaliti miongoni mwa maudhui mengine. Wahusika wakuu ni Lilia, Luka na Seneor Pastor Lee Imani. Wahusika wengine ni mamake Luka, kimada wa Luka na askari.
12 окт 2024