Тёмный
No video :(

Fadhili Majiha 'amtwanga' Bongani Mahlangu | Ubingwa wa WBC | VITASA  

UTV Tanzania
Подписаться 74 тыс.
Просмотров 72 тыс.
50% 1

USIKU WA VITASA: Bondia Mtanzania Fadhili Majiha amemnyoosha Bongani Mahlangu kutoka Afrika Kusini kwa pointi katika pambano la raundi kumi na kushinda mkanda wa WBC Intercontinental.
Katika pambano hili kuanzia raundi ya nne, Bongani amekalishwa (knock-down) zaidi ya mara mbili baada ya kukutana na makonde mazito kutoka kwa Fadhili….
Hili hapa pambano zima.
Ni pambano la nane la utangulizi (under card) hapa PTA Sabasaba, Dar es Salaam kuelekea pambano kuu kati ya Ibrah Class vs Xiao Tao Su. #RingItaongea

Опубликовано:

 

29 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 58   
@user-ls1es8sd1s
@user-ls1es8sd1s 7 месяцев назад
BondiA Bora tanzaniA fadhili majiya stopa mtu hatari kabisa💕🇹🇿💪🌟🏃🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏃🏼‍♀️👏👏👏🌹🌹🥀
@athumanimanzabay1894
@athumanimanzabay1894 10 месяцев назад
Bongani ni professor but mziki wa majiha hatarii one luv stoper 👏🥊🙏
@gudimbwana8088
@gudimbwana8088 10 месяцев назад
dogo Majiha ulikuwa wapi siku zote. congratulation coming up the great
@josephkapinga652
@josephkapinga652 10 месяцев назад
Fadhili ni bondia professional mwenye kila kitu❤❤❤
@MshamuNey
@MshamuNey 10 месяцев назад
Umetisha fadhili hiii imeeendaaa! Hongera kwako
@kiya0910
@kiya0910 10 месяцев назад
Weeee fadhili majira hatari. Sana🎉 hingera majira uko vizur ❤
@RobatiMbukwa
@RobatiMbukwa Месяц назад
Dogo uko vizuri
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 8 месяцев назад
Majiha bondia bora kuliko wote Tanzania katika orodha ya WBC na anashika nafasi ya 4 Africa,dogo mkali sana,chek Jab yake,Mzee Majiha ahan majivuno na hajisikii kama mabondia wetu wengine,Mungu atamuinua zaidi,
@classfordmaster4254
@classfordmaster4254 10 месяцев назад
Fadhili unastahili pongez sana🔥
@jumaseif2140
@jumaseif2140 10 месяцев назад
Huyu bondia majiha yuko vizuri kacheza boxing kiufundi 100%
@saluuhans
@saluuhans 10 месяцев назад
Fights nzuri sana
@user-bv4mi2wo8o
@user-bv4mi2wo8o 10 месяцев назад
Fadhili anajuwa sana
@user-ls1es8sd1s
@user-ls1es8sd1s 7 месяцев назад
Stopa wew ni BondiA mzuli Sana kaza zaidi nme kubari sannaaaaa
@bakarishaban9311
@bakarishaban9311 5 месяцев назад
Bondia ni Mwakinyo,,Iblahim Clasck,,Fadhili Majiha,, Seleman Kidunda,. Wengine ni mayowe tu,
@naaswiryabdul4168
@naaswiryabdul4168 5 месяцев назад
Kuna goodluck mrema unamjua ww
@user-oq7dz5xi4d
@user-oq7dz5xi4d 5 месяцев назад
Ujue fadhili majiha kibongo bongo wengi wanaisi kama mgeni uyu mfupa wa sokwe sisi ndio tunamjua kitambo ni hatari sana alikua anapiga wazungu nnje ya nchi uko
@naomysalumu1858
@naomysalumu1858 5 месяцев назад
Uyu fadhili ndoalinifany nikapenda ngumi
@printingtanzania
@printingtanzania 10 месяцев назад
Ongera Fadhili
@ramadhankhatwib8561
@ramadhankhatwib8561 10 месяцев назад
Majiha sio poa hongera
@jumaseif2140
@jumaseif2140 10 месяцев назад
Majiha the best
@user-oq7dz5xi4d
@user-oq7dz5xi4d 5 месяцев назад
Kashaleta mikanda mikubwa tu sema watu awamuongelei ila sasa mtamjua kashafungua bosta
@edsonnyamwela6669
@edsonnyamwela6669 10 месяцев назад
Hii fight ndio ilitakiwa kuwa main card
@AminJuma-fb2pn
@AminJuma-fb2pn 8 месяцев назад
Majiha good fighter ❤
@hassanshareef6572
@hassanshareef6572 7 месяцев назад
Majiha kafanikiwa kuiona light uksi akaikwepa ikampa ushindi
@brandsmedia4861
@brandsmedia4861 10 месяцев назад
Tumsuport Majiha akue, tuachane na mwakinyo😂
@LydiaStephano
@LydiaStephano 10 месяцев назад
Hii michezo yataka moyo unampiga mtu hajakukosea😂😂😂
@brandsmedia4861
@brandsmedia4861 10 месяцев назад
😂😂 Kibunda kinapiganiwa
@joakimjoakimpeterjoakim
@joakimjoakimpeterjoakim 9 месяцев назад
Kosa lenyew ni hela ndg
@Masende
@Masende 9 месяцев назад
Fadhil anajua sana
@user-yt2bk8ch5p
@user-yt2bk8ch5p 5 месяцев назад
Hapa Mahlangu alikutana na kisanga yaani kiufupi aliyakanyaga
@musaissa7463
@musaissa7463 10 месяцев назад
technical dr.
@user-ls1es8sd1s
@user-ls1es8sd1s 7 месяцев назад
Kiu kweli kabisa Akuna BondiA kama fadhli majiya uyu ni BondiA hatari sana nani BondiA. Bora tanzaniA kwau zito wake sjaona waku weza kupambana na stopa mtu Hatari kabisa💪🌟🇹🇿🏃🏃🏼‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏃🏼‍♀️🏃🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️👏👏💕
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l 10 месяцев назад
Watangazaji hawaamin kama msouth kapigwa maana kila anavyowekwa chini wanajaribu kumtetea,mnaboa sana
@ellyg7570
@ellyg7570 10 месяцев назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@henrysangiwa1731
@henrysangiwa1731 10 месяцев назад
Tuwe na heshima ya wimbo wa Taifa...wimbo wa Taifa unaimbwa bondia anacheza Kama amapiano anashindwa na mandonga
@saidhamza5318
@saidhamza5318 10 месяцев назад
Bongani mbona umetoa Rasta? Utapigwa tu 👀
@senseisafari1355
@senseisafari1355 9 месяцев назад
Oss oss
@SelemaKidundo-ii2pz
@SelemaKidundo-ii2pz 10 месяцев назад
Refakaumudumchezo niwakimataifa namabondiawetu wamechezangumi haswa nawapongeza sana
@stephensandiko6049
@stephensandiko6049 10 месяцев назад
fadhiri upo huyo bongani sio poa
@hassanshareef6572
@hassanshareef6572 7 месяцев назад
Kwame mmejua kumsoma bongan Maana stopper alikua anabez kulia tu na bongan akajikuta anashindwa kucheza
@henrysangiwa1731
@henrysangiwa1731 10 месяцев назад
Kwani mambondia wetu wanafungwaje zile gloves mbona zinafungukaga ??
@stephensandiko6049
@stephensandiko6049 10 месяцев назад
huyo dogo hatari
@Kasonadi-hp1lv
@Kasonadi-hp1lv 10 месяцев назад
Good
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 10 месяцев назад
Huyu jamaa best fighter ila tutulie tu,,,wabongo tutamtia figisu si mda mrefu,,,,,😂😂😂 sababu tunajuana
@SelemaKidundo-ii2pz
@SelemaKidundo-ii2pz 7 месяцев назад
Huyumajihanibondiahaswa mbona akinakiduku akinamwakinyo hawamwiti wapigane
@SelemaKidundo-ii2pz
@SelemaKidundo-ii2pz 10 месяцев назад
Bongani nimempa tisini nasita kiukweli kamabondia aliechoka anamtwanga halakasana
@paulmwangoka
@paulmwangoka 7 месяцев назад
Tz hakuna kama majiiha
@ramadhankhatwib8561
@ramadhankhatwib8561 10 месяцев назад
Hawa jamaa ni mafundi si mchezo
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 10 месяцев назад
Fadhili cyo maarifu tu ila kwa tz yuko pooaw kinoma huyu mwamba
@muadhihassan4486
@muadhihassan4486 10 месяцев назад
Umaarufu ndo unakuja
@Lais-de3wr
@Lais-de3wr 10 месяцев назад
9:20 9:21 9:21 9:22 9:22 9:22 9:22
@SelemaKidundo-ii2pz
@SelemaKidundo-ii2pz 10 месяцев назад
Majihabondozurisana nimempa asilimiamia
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 10 месяцев назад
huyu jamaa ndo kashinda kiharali sio Ibra wala stumai muki
@DumaBeatus-yz6mu
@DumaBeatus-yz6mu 10 месяцев назад
Panapo stahili pongezi, pongeza acha chuki
@kitwanathabiti
@kitwanathabiti 10 месяцев назад
Wewe haujui ngumi
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 10 месяцев назад
@@DumaBeatus-yz6mu ngumi ni mchezo w waz kk huyu jamaa Fadhili kashinda kihalali lkn Ibra kabebwa acha kutetea dhulma haitatufikisha popote km bondia wetu kapigwa tuseme ukwel ili ajifunze siku y pili
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 10 месяцев назад
@@kitwanathabiti sw kk lkn ngumi ni mchezo wa wazi kila mtu anaona
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 10 месяцев назад
@@halidimgonza5945 Sasa yule m China amepiga ngumi gani ya maana!?Au una chuki binafsi au matatizo ya macho au ngumi hujui!?
Далее
what will you choose? #tiktok
00:14
Просмотров 7 млн
Ong Bak | Fight Club Scene
15:05
Просмотров 71 млн
SHAFII MGUMBA VS SWAHIBU RAMADHANI
25:43
Просмотров 134
VITASA | AMIRI MATUMLA VS REAGAN PACHO
38:11
Просмотров 27 тыс.