USIKU WA VITASA: Bondia Mtanzania Fadhili Majiha amemnyoosha Bongani Mahlangu kutoka Afrika Kusini kwa pointi katika pambano la raundi kumi na kushinda mkanda wa WBC Intercontinental.
Katika pambano hili kuanzia raundi ya nne, Bongani amekalishwa (knock-down) zaidi ya mara mbili baada ya kukutana na makonde mazito kutoka kwa Fadhili….
Hili hapa pambano zima.
Ni pambano la nane la utangulizi (under card) hapa PTA Sabasaba, Dar es Salaam kuelekea pambano kuu kati ya Ibrah Class vs Xiao Tao Su. #RingItaongea
27 окт 2023