Meena Ally mawenge sana for sure hadi inaboa sehemu isiyo muhusu kuongea anaongea tuuu kaah!🤔 at least kwa team ya Xxl maybe itamfaa honestly nilikuwa nachukia kipindi cha Amplifier coz of her, alikuwa hamwachii nafsi ya kuongea General @MillardAyo so then now it's good for her to be in here!
Mmezingua nyie watu aisee...na nimeamin hii station inaendeshwa kwa chuki na upendeleo... Jana ww bdozen sikuji na hao wajinga wenzako mlisema Leo tutawasikia wale watoto walotoka kingmusic na hiv leo hamna chochote kilichotokea... Mnaendesha vipind kwa hisia na mizuka ndo kinachowa cost icho.. TRY TO BE FINE....goodnght🚮🚮🚮
Sasa unawalaum kwa lip mzee hao wasanii Kama wameamua wao wasije wataenda kuwafunga kamba interviews ni makubaliano ya mtangazaji na mlengwa sasa mlengwa akisema kwasasa sihitaji interview utamjibu nn.