'Maisha yangu binafsi kwasasa ni kama asilimia 15 , nyingine yote inabebwa na serikali’
Katika sehemu ya mwisho ya mahojiano maalum na BBC Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameeleza upande wake wa Maisha binafsi na kiasi gani Maisha hayo yamebadilika tangu ashike madaraka.
Video na Munira Hussein
#bbcswahili #tanzania #raissamiasuluhuhassan #maisha
12 сен 2024