Тёмный

Fahamu maisha binafsi ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan 

BBC News Swahili
Подписаться 617 тыс.
Просмотров 171 тыс.
50% 1

'Maisha yangu binafsi kwasasa ni kama asilimia 15 , nyingine yote inabebwa na serikali’
Katika sehemu ya mwisho ya mahojiano maalum na BBC Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameeleza upande wake wa Maisha binafsi na kiasi gani Maisha hayo yamebadilika tangu ashike madaraka.
Video na Munira Hussein
#bbcswahili #tanzania #raissamiasuluhuhassan #maisha

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 213   
@mohamednagib2594
@mohamednagib2594 2 года назад
Mimi ni Mkenya lakini nampa heshima sana Rais Samia. Jamani Tanzania imepata Rais ambae anajitahidi kwa kazi kuliko siasa. Yaani yeye kwake ni kazi tu kama marhemu Magufuli. Hongereni sana Tanzania 🇹🇿
@mohamednagib2594
@mohamednagib2594 2 года назад
Alafu pia she wants to invest more heavily on building infrastructure that will allow easy and fast growth of industrialisation hence boosting up the economy....Mdogo wangu ameowa TZ na anaishi huko. Yeye husifia kuona kila kukicha ujenzi !ujenzi !ujenzi ! wa infrastructure. May God bless you and your family Mama Samia. So much love from Kenya to Tanzania. Pamoja
@issaissa2373
@issaissa2373 3 года назад
Salim Kikeke.. What a fantastic anchor, journalist, commentator, and social man. I can't see anyone taking BBC Swahili higher and cooler after your retirement. Fantastic guy👏👏👏👏
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 года назад
Wenzako TZ tumeweka BIAS. Tunataka maswali yale ya kipinzani. Si maswali hayo soft. Tumetokwa na povu la hatari. Ajabu kabisa!
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 года назад
Hongera Journalist! Kazi nzuri, weledi mkubwa ! 👋👋👋
@mehboobkarmali5211
@mehboobkarmali5211 3 года назад
Well done madam president. Keep it up
@PrincePaulIowa
@PrincePaulIowa 3 года назад
Candid interview, she spoke eloquently and in depth of challenges of balancing public and private life! Hongera Rais wetu!
@dorahy1579
@dorahy1579 3 года назад
Huna la kupongeza
@PrincePaulIowa
@PrincePaulIowa 3 года назад
@@dorahy1579 Nampenda Raisi wangu sanaaaa!
@dorahy1579
@dorahy1579 3 года назад
@@PrincePaulIowa pole zako. Mimi ninapenda Mungu peke yake, mimi mwenyewe na my family members. Wapiga porojo looo!!! Wasaliti loooo!!!!! Wanafiki!!!! Halafu kuna wengine wanapeana sumu ati kwa wengine loooo!!!! Nampenda Mungu wangu sana m
@amrimzee7492
@amrimzee7492 2 года назад
Mungu akubariki Sana muheshimiwa Raisi kwa kulihudumia taifa letu kwa upendo usio na kifani 🤝🤝🙏
@joasitz9559
@joasitz9559 3 года назад
Great interview, nabaki Africa, nabaki Tanzania
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 3 года назад
Napendezewa Sana Mheshimiwa Rais akijizungumzia ako so humble na Hana makuu kabisaa safii mama tusonge mbele na Kazi iendelee
@bakarinassoro2324
@bakarinassoro2324 3 года назад
kka unapoteya sana hakuna chocho
@denissmjinja523
@denissmjinja523 3 года назад
Mama Samia we kazii isndlee 2ko pamoja kwa pamoja 2nalijenga Taifa letu ewe mwenyezi mungu utusaidie
@azizbatlehotjr3171
@azizbatlehotjr3171 3 года назад
Genious... i love ur Hustle My PrezDar
@natafutapesa9678
@natafutapesa9678 3 года назад
Mama nchi inapotea hii tozo zinatuumiza sana
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 года назад
Nchi haipotezwi kwa tozo!
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 3 года назад
@@TamuzaKale Asante sana Muddy
@dicksonkilupa6881
@dicksonkilupa6881 3 года назад
@@TamuzaKale NCHI INAZAMA DIMBWINI KWA KUTOKUSIMAMIA KATIBA NA KUKANDAMIZA WANAOHOJI JUU YA MABADILIKO YA KATIBA HAPO TU HUTOPATA USINGIZI , MCHANA KAZINI NA USIKU UTAWANGA TU.
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
Makato yatolewe
@elizabethkimbi3336
@elizabethkimbi3336 3 года назад
Nikwambie kitu rais wangu ili ufanye kazi vizuri lazima lazima ufanye mazoezi pia na massage mara kwa mara uiweke kwenye ratiba yako tafadhali nakuomba tunakuhitaji tunakupenda
@jumarocky9544
@jumarocky9544 3 года назад
Nakupenda sana RAIS wangu 🇹🇿
@BimkubwaJuma-ew5dg
@BimkubwaJuma-ew5dg День назад
Mama nakupenda niko tayari kukusapoti juu ya mambo yote hayo naskitika sijabahatika kukuona
@melkizedekiwiliam5533
@melkizedekiwiliam5533 3 года назад
du! Sentensi kali na nzur! Ngoja nimnukuu"JINSI UNAVYOPANDA YANAZID KUKUTOKA" hakika ni kweli mama.
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 3 года назад
Mama tunateseka kodi Ziko juu Sana punguza ukali WA maisha
@twahasaidi7578
@twahasaidi7578 2 года назад
Huyo aliyataka iwe hivyo
@mattyhappy1581
@mattyhappy1581 2 года назад
Pole sana mama kwa kukosa muda Mungu akubariki kwa kujituma
@farajikazumari2693
@farajikazumari2693 3 года назад
RIP magu😿😿
@abdalaalmas2535
@abdalaalmas2535 3 года назад
Nakupenda sana raisi wangu.UNA BUSARA SANA
@khahkhas230
@khahkhas230 3 года назад
Allah akupe afya Rais wetu mpenzi wetu
@dorahy1579
@dorahy1579 3 года назад
Hahaha mnachekesha
@AzainTv
@AzainTv 3 года назад
Aamin
@happinesszabron6811
@happinesszabron6811 3 года назад
Jisemee nafsi yako km unampenda mwenyewe
@enickosanga4921
@enickosanga4921 3 года назад
Umelala magufuliiii jembeeee
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 2 года назад
Mungu akutunze raisi wangu bonge la interview
@twahaally1969
@twahaally1969 3 года назад
Wajua, Huyu mama, ana kitu HEKIMA NA BUSARA ZA PWANI.
@halimamasai2234
@halimamasai2234 3 года назад
Upo sawa ndugu huyu mama maashaall amejaliwa hekima heshima busara yani kila kitu mungu ampe maish marefu na afya njema inshalaah
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 года назад
Rais wetu, Mama wa Taifa, nakupenda hadi basi... Mungu akubariki 🤲🏾💕🌹🇹🇿
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 3 года назад
@@j.c.maxima816 da niljua peke yangu kumbe tuko wengi nampenda Sana huyu mama kwa mitazamo yake
@dennisngonyani3464
@dennisngonyani3464 2 года назад
God is with U endelea na kazi
@zawadigerald7805
@zawadigerald7805 6 месяцев назад
I LOVE U MAMAAAAAAA❤❤❤❤❤MWAAAA NAKUPENDA SAANA UMEBARIKIWA KULIKO WANAWAKE WOTE YOR ARE THE BEST
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 3 года назад
Tunakupenda sana Yaan Rais Wetu
@dennisngonyani3464
@dennisngonyani3464 2 года назад
God is with U...... Endelea kuchapa kazi
@HRmanco-yd3lf
@HRmanco-yd3lf 5 месяцев назад
Natamani wanawake wote wangeongea kama ww rais wetu pendwa mungu akupe umri mrefu 🙏🇹🇿
@MohamedMohamed-ng2rm
@MohamedMohamed-ng2rm 3 года назад
Saalim naamini uko na card ya uanachama ccm ukishastaafu job huko njoo uombe ridhaa ya chama uliongoze taifa kwa nafasi ya urais Tafadhali
@frankmganda9585
@frankmganda9585 3 года назад
Rais nitaasisi kubwa sana tumuombee
@pendomarco8928
@pendomarco8928 3 года назад
Magu sikuona interview yoyote na BBC kweli yule alikuwa Simba akiunguruma huwezi kumsogelea
@mathiassalumu5255
@mathiassalumu5255 3 года назад
Malipo ni hapa hapa Tanzania 2 ipo ck
@shukransilungwe8802
@shukransilungwe8802 3 года назад
Kila nikiona coment za watanzania, kiukweli natoka na machozi. Nawaonea huruma kweli, baba jpm ulisha tutelekeza baba hakika mungu atailipa sadaka yako. Lala baba ukuu wa mungu ni mkubwa
@musasabu6969
@musasabu6969 3 года назад
Mwanangu hadi leo ananiulza et raisi bado ni john pombe nikmwambia alishafaliki anashangaaa xna
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 года назад
Musa; mwambie mwanao kwamba hata wewe kuna siku UTAKUFA
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
@@minskbelarus7255 na wewe utakufa vile vile
@marrymenas
@marrymenas 3 года назад
Utapumzika saa ngapi Mama, kila kukicha ww ni safari nje za nchi. Tanzania utaitembelea lini? Kujua matatizo ya raia?!
@dadaz4653
@dadaz4653 3 года назад
Kwakweli
@mohamedasaid7910
@mohamedasaid7910 3 года назад
Hujaelewa. Safari za inje huleta biashara kubwa.Si mahindi yenda Kenya. Kutembea kila mahali Tz ni vizuri lakini silazima.Kuna Waziri Mkuu.Kuna Mawaziri. Muhimu Uchumi unaboreka,kuna amani,Serikali yatoa huduma?
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 года назад
Huko unakoishi hakuna AFISA MTENDAJI ??? .Akianza kuitembelea TANZANIA yote; haimalizi na hamalizi matatizo YOTE hata kwa miaka 20
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 3 года назад
Kama jpm angekuwepo Marsha yangekuwaje Mazuri Sana Sasa Jovi kla kitu juu
@ototek8037
@ototek8037 3 года назад
Nyie wote mashabiki wa corona sasa barakowazenu zikowapi? Nyie mnaaminiana ila sisi tuogopane au sio?
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 года назад
Don't worry, my friend! Wamezingatia umbali (social distance) !
@ototek8037
@ototek8037 3 года назад
@@j.c.maxima816 distance inatoka wapi kama virus vimetoka China?
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@omarykusah9719
@omarykusah9719 3 года назад
Mungu ibarik Tz ya Aman nataman ciku moja tufikie mafanio makubw kazi endeleee tupige Kaz tutafk 2
@danielmashini9244
@danielmashini9244 3 года назад
Samia muenz jpm kwa vitendo
@gastorsirima5761
@gastorsirima5761 3 года назад
Kunaswali natamani kuuliza bt naipenda familia yangu
@FadyFs
@FadyFs 3 года назад
Sasa uliandika hapa ili iweje kama ukutaka kusema!
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 3 года назад
Watanzania tuombe Mungu hatuna Rais Mungu aisimamie nchi yetu tuvuke salama
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 года назад
Hauna rais ni wewe. Watanzania wanaye rais!
@sadiqueibrahim5439
@sadiqueibrahim5439 3 года назад
Weee Godfrey pumbu nini huyu ndo taidi wetu
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 года назад
Si umfate TUNDU LISSU ??????
@neemansasu9761
@neemansasu9761 3 года назад
Safari za nje nyingi
@amosmahona433
@amosmahona433 3 года назад
Naskiliza na kusoma koments TU Sina la ziada kwangu yote kwa yote nimeyapenda mahojiano haya.
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 3 года назад
Kikeke Kama mwanahabari maswali gani unauliza ina maana wewe hujui changamoto za nchi yetu huna habari na yanayoendelea nchi mwetu Dah kweli mswahili ni shida
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 года назад
Tafuta fulli. Aliuliza maswali unayoyataka!
@mwenetv7220
@mwenetv7220 9 месяцев назад
Wewe ni mama wa nguvu tz mungu akupe maisha malefu tunakutegemea 25
@nisetameena9276
@nisetameena9276 2 года назад
NAPIGA KWA MOTO WA ROHO MTAKATIFU KWA JINA LA YESU AMEN.
@khatibmtawa9475
@khatibmtawa9475 2 года назад
Jama kama tuta kwenda hivi hivi basi kuna hasara kubwa baada ya miaka 3 ijayo
@paulosimpamba7587
@paulosimpamba7587 3 года назад
Uyu siyo raisi watanzania kazi munao Zambia
@davallamchambe5275
@davallamchambe5275 3 года назад
Ibada muhimu
@crayboytz2736
@crayboytz2736 3 года назад
Mama utakufa lin mama plz kufa tu watanzaniaa hatukupend
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁
@bakarinassoro2324
@bakarinassoro2324 3 года назад
hakuna kama magufuri
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 года назад
Hakuna kama Samia!
@nusaybanjama1533
@nusaybanjama1533 3 года назад
Ni kweli hakuna kama.magufuli. Muulizeni Sabaya atawaeleza vizuri 😂😂😂😃
@abdullahjuma9206
@abdullahjuma9206 3 года назад
kwako wewe siyo wote
@eliyajeremia1447
@eliyajeremia1447 3 года назад
Nakwangu hakuna kama magufuri
@happinesszabron6811
@happinesszabron6811 3 года назад
Nmm
@laurentraphael2697
@laurentraphael2697 2 года назад
Siku hizi kumekuwa kidg mama yupo kwenye mualiko fulan ya jinsia fulan lkn jinsia nyingine ameitenga sijui inakuaje kama viongozi walio pita nao wangefanya hvy just balance gender
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 2 года назад
HADITHI ZA PANGU PAKAVU NTILI MCHUZI USHETANI HAUWONGOZI NCHI UNAMKERA ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH KUNFAYAKUN MWANAMKE HAONGOZI NCHI KIISILAMU NI MWANAMKE 👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿👿😇🇹🇿👿😇🇹🇿👿😇🌎🌎💪💪💪🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🌎❤️👀
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 года назад
What do you actually do apart from overseas tours?
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 2 года назад
Muda wa kumuhoji J.P.M atakujibu anakwenda kutembelea watz wanyonge wanaosumbuliwa na watumishi wa umma.utajihoji wewe mtangazaji na kumsemea utendaji wake kwa mtizamo wako.
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 3 года назад
Rais wa nchi anazungumza na BBC
@kilimanjaro_media
@kilimanjaro_media 3 года назад
Angalia interview ya mwisho ya Gadaff
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 года назад
Kuzungumza na BBC ni shida? Jiandae, next time, atazungumza na CNN etc... Hivi karibuni mtamuona Mama kwenye majukwaa ya UN na EU... Mtateseka sana na ujinga wenu:-)
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 года назад
Wewe mbona jina lako " ELVIS" ni la mfagizi wa CHOO cha BBC
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 3 года назад
@@minskbelarus7255 na ilo la misnk Ni la mdeki choo Cha soko mwananyamala
@chazp6436
@chazp6436 3 года назад
BBC unawasikiliza tozo husikilizi wananchi
@ZINDUKAMUISILAMU30
@ZINDUKAMUISILAMU30 3 года назад
Yn nikimuangalia huyu mama natoka machozi kwa kwel mn
@adoniaceisaya700
@adoniaceisaya700 3 года назад
TOZO Nyumba
@hamoudsaid5582
@hamoudsaid5582 3 года назад
Hovyoooooo
@patrikpatrik2916
@patrikpatrik2916 2 года назад
Mwana nchi jenga nchi kula nchi acha nchi.
@chazp6436
@chazp6436 3 года назад
Sasa kutwa kudhurura watakuonaje hao wajukuu au watoto ??
@nusaybanjama1533
@nusaybanjama1533 3 года назад
Acha ushamba rais lazima atoke nje ya nchi. Wewe kama.hukupata nafasi hata ya kutoka hapo ulipo unahasara kubwa na utakua na akili mgando
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣 mbona mdhululo
@user-bh2bx3kk4u
@user-bh2bx3kk4u 6 месяцев назад
Mm.akupenda.bure.mavaziyako.tuu
@rosemayunga4021
@rosemayunga4021 2 года назад
Mg.hapumuziki ajihidhulu akapumuzike na wajukuu tupate nafuuu ya bakuli
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 3 года назад
Mama unasapotiwa Sana kuliko kutembelea miradi
@mussanganda505
@mussanganda505 3 года назад
Msariti mkubwa,
@ramsonyasonsio1326
@ramsonyasonsio1326 3 года назад
munguanakuona ww mama
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 3 года назад
Maisha ya uongozi magumu sana, ila Mungu akuongoze Mama Afrika
@dorahy1579
@dorahy1579 3 года назад
She is not Mama Africa. Ni mama yenu nyie huko mliko.
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 3 года назад
Mama ones miradi yakiuchumi ndani ya nchi
@msomimosomy9812
@msomimosomy9812 3 года назад
Hyo siyohabalikwasasa kwasasa wwnimzaziwataifalote NAC wanyumbani
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 3 года назад
Jitaindi kutemberea wananchi kuriko safari zanje watanzania tuna shinda nyingi sana
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 года назад
Hivi wewe ulitembelewa na HAYATI MAGUFULI ????
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
@@minskbelarus7255 magufur aliipenda hii nchi na ndo maana ziara nyingi alifanya hapahapa alitutembelea kujua changamoto zetu
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 2 года назад
@@gracejonh4022 unakumbukumbu nzuri ???? Uliwahi KUMUONA MAGUFULI mkoani MTWARA ???? Jaribu kuwa MKWELI
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
@@minskbelarus7255 angefka tu kwan alikuwa amemaliza mda wake na alikuwa ni mtu mwenye mipango mizur nchi nzima
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 2 года назад
@@gracejonh4022 kwa Taarifa yako wala kwenye KAMPENI hakufika.
@sitellamatni6878
@sitellamatni6878 3 года назад
Wewe mwanamke nimwenda zimu hatukupendi wajipendekeza tu
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 года назад
Hakika Mungu akuhurumie ww mwanamke Stella
@abdullahjuma9206
@abdullahjuma9206 3 года назад
roho mbaya haijengi mwenzio kapewa urais na mungu kufa kwa chuki
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 года назад
Hata wewe hatukupendi, na si ajabu wewe MGUMBA
@monicalushola443
@monicalushola443 3 года назад
Et kila leo lenyewe ni kuongelea Matoto yake2 ss hayatuhusu
@abdullahjuma9206
@abdullahjuma9206 3 года назад
mmh acha jazba
@happinesszabron6811
@happinesszabron6811 3 года назад
😆😆😆😆😆😆 we anakujua hadi akuongelee?
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 года назад
Unaonyesha USUKUMA wako
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
@@minskbelarus7255 achana na wasukuma pita hivi kwan kaongea uongo rais wa nchi sisi familia yake aituhusu mfyuuuuu
@emmanuelzao
@emmanuelzao 3 года назад
😎
@queenanna5692
@queenanna5692 2 года назад
Magufuli hakuwa na muda wa kuongea Ujinga huu
@godfreycheison3045
@godfreycheison3045 3 года назад
Muweke interview moja ambayo iko full
@ikelegechacha6484
@ikelegechacha6484 3 года назад
SReomkad
@ikelegechacha6484
@ikelegechacha6484 3 года назад
Muwmum
@ikelegechacha6484
@ikelegechacha6484 3 года назад
IkEREGECHACHA
@yasinigmaskaniyasini5317
@yasinigmaskaniyasini5317 3 года назад
Nani anae kumic
@samorasilayo8924
@samorasilayo8924 3 года назад
hatukupendi kabisa watanzania tulilasimishwa na katiba
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 3 года назад
Ndio maana huwezi kusema zi unasema si kwaroho mbaya. Huyu ndio rais mpaka 2030 ujipange
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 года назад
@@ameedamilja7992 Afadhali UMUELIMISHE. Na hasemi UKWELI kwamba Mkewe hampendi na KAMKIMBIA
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
Samora pamoja sn katiba imemuweka hapo sio sisi
@senolinaswai5593
@senolinaswai5593 3 года назад
Mama hongera sana kwa utawala wako
@dorahy1579
@dorahy1579 3 года назад
Kakufaoddha vipi? Wewe angalia maisha yako hawa n wakoraji ba wakora
@linkreuben3108
@linkreuben3108 3 года назад
ET WAMEKUBALI TOZO!! Tuamini hivyo au..?!
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
Hahaha
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 года назад
Ndiyo lakini mumelalamikia kiwango!
@fadhiliobety6648
@fadhiliobety6648 2 года назад
Vizani
@bolelambunda6554
@bolelambunda6554 3 года назад
Magufuli RIP
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 года назад
Kula nchi mama
@bolelambunda6554
@bolelambunda6554 3 года назад
Nenda kenya
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 года назад
Fikiri kabla ya kuandika...
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
Upumzike huku umependa kutusaidia??
@twahasaidi7578
@twahasaidi7578 2 года назад
Aliyataka yeye atajibeba
@moiben663
@moiben663 3 года назад
Twahitaji mahojiano marefu
@skypast2482
@skypast2482 3 года назад
Mimi ninamtoto wangu ananuku maneno ya makufuli anasema Mimi menzenu chanjo hizifai mwanangu huyo
@abdullahjuma9206
@abdullahjuma9206 3 года назад
hujalazimishwa hutaki unaacha
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 года назад
CHANJO hutaki, ila Mambo fulani .....umo eeeeh
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
Chanjo za nini corona tz aipo
@Bruno-ed1ps
@Bruno-ed1ps 3 года назад
Tozo zipunguzwe
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
Zitolewe kwan mzee yeye alifanyaje maendeleo tuliyaona na makato ayakuwepo na nchi yet ni tajili
@consolatamlango8642
@consolatamlango8642 3 года назад
umeruusu njanjo ili tufe
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 года назад
Amekuwa wa kwanza kuonyesha mfano wa kuchanjwa mbele ya Umma! Yy kama Mama wa watoto, Mke wa mtu, Bibi wa wajukuu, Rais wa Nchi na Amiri Jeshi wa majeshi yote ya Tanzania, unafikiri yy hayapendi maisha yake?
@nyamaigestephano8573
@nyamaigestephano8573 3 года назад
je baba anakuwa wapi.mazoezi ya baba na mama
@alimachiusaugustine1445
@alimachiusaugustine1445 3 года назад
Mimi ninachokuombea ,ufuate nyayo za Magufuli
@deathrow8004
@deathrow8004 3 года назад
Aaaaaaah aaaaaaah Ukakasi tu ..🤯🙄
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
😁😁😁😁
@pendomarco8928
@pendomarco8928 3 года назад
Mama safar zinakuchosha
@abreendenuryn2916
@abreendenuryn2916 3 года назад
Hakn. Mafanikio bila ya kutoka njee
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 года назад
haya mambo tunayata sio mambo magumu kama nchi nzima ni Ma engineer
@mangumanjobola4444
@mangumanjobola4444 3 года назад
Hii huo .ni
@petersgodwin7200
@petersgodwin7200 3 года назад
Salim wewe pumba maana umeenda kupata bahasha,mwandishi unaenda kupiga stori
@captioncapition2574
@captioncapition2574 3 года назад
Mh mmemuanza nahuyu mmemchimba baba wawatu mpaka kaondoka loo nanyie wazungu weusi mnamambo ilajibu umepata naona utapoa kidogo
@flolaluambano3215
@flolaluambano3215 3 года назад
Nilichokupenda kuendeleza milad aliyoacha magu, kama lile daraj na lilr tren la umeme ila tu uyo kikwete anakuharibia mwiz huuyooooooooooolllll
@esthershirima1166
@esthershirima1166 3 года назад
hahahah hii filamu inaitwaje jmn
@happinesszabron6811
@happinesszabron6811 3 года назад
😆😆😆
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 года назад
Hebu jikumbushe jambo moja ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9Y3b_0SmfYc.html
@evancefreddy3775
@evancefreddy3775 3 года назад
Achia madaraka upumzike maana ata ckuelew unafanya nn kuteua kla siku na msmbo ys chanjo amna kpya mpishe majaliwa n bora kuliko ww
@shakiEntmtTv
@shakiEntmtTv 2 года назад
This woman is extract i know why he picked her.
Далее
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Просмотров 41 млн
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
Просмотров 1,5 млн
LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE  NA RAIS SAMIA
6:34
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Просмотров 41 млн