Neno ugaidi limehalalishwa na marekani na magharibi kwa waisilamu ili kuwaangamiza na kuwapandikizia chuki duniani Hapo angekuwa huyo kijana ni muisilamu ungeona wangejitokeza wamagharibi wote kulaani lakini kwakuwa ni waupande fulani imeisha hiyo
@@user-hj4bc5uh2xndio kwani ujuwi aliwayi sema duniani akutakuwa vita tena na kila mtu atarundi ku nchi yake. Maana vita vimekusha na hapo kula mtu anarundi kwao
Sasa hapo kinacho kushangaza ni kipi kigeni, mmemtrendisha Lisu as if yeye ndio mwamasiasa pekee duniani kushambuliwa na risasi hasa mareakni walikemea sana wanafiki hao, na weae usiejua eti dah mpaka wao, sasa ngoja nikujuze ni hivi hakuna raisi aliewahi kupendwa kama marekani kama Abraham Lincolin wa marekani lakini aliuwawa kwasababu wa kupenda kuwatetea sana watu wa hali ya chini huyu alikuwa raisi wa 16 na aliuwawa april 1865, na raisi wa pili alikuwa ni wiliam mchild nae aliuwawa mwaka 6/9/1901, na raisi wa tatu alikuwa ni James Abraham nae aliuwawa 2/7/1881, na raisi wa nne kuuwawa ni John Kenedy tar 12/11/1963 huyu ni sababu tu alipinga upepari ndani ya marekani na raisi mwengine hakufa ila nae alijaribiwa kama Trump ni Ronald Regan akifuatiwa na Donald Tramp sasa hivi, ila hawa puuzi wanajisahaulisha na kuona kama Afrka ni washenzi kwa kuuwana wenyewe kwa wenyewe vitu ambavyo wao ndio husababisha kwa sababu zao, sasa kama kwao wamehalalisha kuwauwa viongozi wao wakiwa madarkani ndio demkrasia basi sawa.😒
Kama huji world's politics kaa kimya. Trump ndiye mwamba anayepinga ushetani wa wazungu na katika utawala wake hajapigana vita na dunia ilikua na amani