Ila nataman watanzani tupunguze kuiga tamaduni zisizo zetu,hili swala la kupwa natamani liishe hata bila kujadiliwa jamani mke ni mke tu tulizike hivyo na thamani ipo hapo hapo kwenye neno mke itoshe huko kwenye mke kulipwa tutamkosea Mungu zaidi
Hiyo statement ya kusema usitumie energy ya kutoa support kwa Mwanamme kabla ya kuolewa. Sasa si mara zote mahusiano ni kuoa au kuolewa. Alafu kuna wanaume wanatoa support na wala hawa demand chochote.
Kama nimemnunulia washing machine je??? Kwanini asinifulie hata Kama ni girlfriend?🤣🤣🤣.. Kama ni hivyo nabeba washing machine yangu pamoja na waya na mabomba🤣🤣
Ikiwa mume na mke wote ni wafanyakazi. Ni mishahara yote iwe mezani sio mwanamke pekee. Na mume hawezi kumpangia mke matumizi ya mshahara wake bali wapange kwa pamoja au huo unakuwa ni kama kuwa mume ni Dictator.