Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii: / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti
Nauliza wanawake hv unasalitije mwanaume mwenye roho nzuri hv,,nyie mwanaume bora asiwe na hela ila awe na roho nzuri,,,napenda mwanaume mwenye roho na hofu ya mungu❤❤❤
ila mapenzi kila mtu analalamika kivyake dah wanawake wanakuja apa wanalalamikia wanaume na wanaume nao wanalalamikia wanawake aaahhhh kweli mapenzi kamari 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
Ndugu zangu mimi sijui mapenzi lakina wanaume wenzangu acheni kuwa nice guy ,ukiwa nice guy sana mwana mke ana kutumia kukamilisha dream zake kupia wewe yani anakutumia ipasavyo so stop to be nice man, act like Alfa,Sigma guy itakusaidia , wanawake wengi wanatesa Beta Man coz ni wapole so wanaume Kuweni Makini ,
Mim tukiachana ntajutia tuu moyo wangu lkn sio materials ambazo nlimsaidia au kunisadia coz vitu vipo vinapatikana ....ila jeraha la moyo Mungu atuponye tuu kwa sabbu kuna watu tukupenda tunaingiaga kichwa,mikono,miguu mpaka na viatu😂😂😂ukina kutendwa kutoka utajua hujui😅😅😅
Kipindi bora kabisa hasa kwa sisi vijana kuna mengi ya kujifunza hapa Nulichogundua kutokana na story ya bro ni kwamba alikua "nice guy" wanawake wengi hawapendi hiyo usiwe innocent sana mwamba unatakiwa kuwa na heka heka "bad boy" imagine anataka kufua nguo za ndani mwanaume ni kichwa bro wanaojua wameelewa
Sema hapo kunavitu vya kumsaidia mwanamkee ,, mfano vocha unamsaidia na yeye anakupigia wapo unawapa vocha hawakupigii kabixa,, kwangu sisahi mwanaume kuwajibika kabla ndoa ila kwenye ndoa mwanaume hanstaili kuwajibika
Icho ki2 hata Mimi kimenikuta Ila Kwa kua Mimi ni son of LUCIFER, nilimuona Ka choko tu Yule demu, Kwa kua hakuniachia kilema nipo imara Sana mtoto wa kuzimu
Sasa huyu kaka ni Lambistic anahitaji tiba ya kisaikolojia. Girlfriend kazi yake ni kupelekewa moto tu, malavidavi, romatic gestures, kufuliana chupi, kunyonya papuchi, kumpikia, kusaidia wazazi wake kiuchumi, kumtoa out, kuwekeza kwa future ya mpenzi, kutelekeza familia yako kisa mchumba na kujitoa sadaka hayo ni mambo unayaacha kwanza hadi huyo Girlfriend awe mke na hiyo ni baada ya kujiridhisha pasipo shaka lolote kuwa anaweza kupokea moto wakati wowote, muda wowote na "popote".