Mimi ni Yanga lakin kwa umri wake sahivi ulaya haendi bro Umri miaka 28 kwenda ulaya hapana. Pia ukumbuke alikuwa huko na alifel ndo maan akarudi Africa. Hata Pacome alikuwa Sparta Prague huko ndo makuzi yake yalikoanzia so kurud huku ni kwamba hawakufuzu kuendelea huko ulaya.
@@sportsdatatvhuyo ni mfanya biashara hana mapenzi na timu sema ameangalia project yake na yanga vimeendana ana nafasi ya kucheza zaid miaka mingi yanga kuliko huko uarabuni Na wewe unajua waarabu walivyo kwenye wachezaji wetu weusi huwa hawawapi nafasi so wanawaua viwango vyao
Wewe jamaa ukiapata nafasi ya uongozi nchi hii utakuwa fisadi mkubwa kuliko walowahi kutokea. Unaweza hata kumuua mama yako mzazi kwa sababu ya pesa wewe. Yani, unathamini pesa kuliko utu na hata kuliko legitimacy katika maisha yako. Pia, unaamini sana katika kushindwa. Hivi Azizi Ki hawez kuwa wa moto katika umri wa Ronaldo, Messi, D. Bekham, Zinedine Zidane, nk. We vipiiiiii
Si kweli kuwa hataki pesa. Aziz anazo. Anajua kwingineko atakuwaje. Hakubaki kwa ajili ya mapenzi peke yake. Anawazia project, umaarufu wa makombe na uwezo wake anaona ni karibu itatokea Yanga. Friji bovu unaogopa hicho kikitokea mtaaibika wengi. Hersi anapiga hesabu.
Tujifunze ,wanavyo wachukua wzchexaji toka kwetu sio kwa nia njema ila ni kutusngusha tuu. Niyupi alie chukuliwa akenda aendako akafanikiwa ? Wanatunyanganya ili tu watushide nao wazidi kuwa wafalme wa afrika. Tushtukie hii tamaa ya kuuza tuu.
Aziz ki usimlinganishe na wachezaji wengine, yeye ameshacheza hata huko Ulaya,. Kwahiyo ana exposure kubwa inapokuja suala la mafanikio. Haangalii hela tu kama unavyoangalia wewe friji bovu.
Jamaa ww ni chizi kima ww Azizi anaakili kuliko ww mayele mwenyewe hana raha kwahiyo unataka na Azizi wakamfuje ridhika na kidogo kama kinatosha shukulu mungu.pesahazitosh