@@HappyJohn-ky9crtena sana, hapo sijasikia kitu chochote kinachohusiana na choo, choo chenyewe, sinki ya kukosha mikono n.k…., mabomba ya maji, mfumo wa kutoa maji nje, mfumo wa umeme yaani vitu vingi tu bado. Na nyumba kusimamisha boma ni rahisi, lakini kwenye finishing ndiko kwenye gharama kubwa…
@@HappyJohn-ky9crpia na kuhusiana na jiko, hata kama litakuwa ni dogo tu, lakini lina gharama pia, kweli inatia moyo hii estimation yake, lakini sio rahisi kiasi kama hichi