😢😢😢ni pigo wallahi💔💔poleni sana familia ya sam Allah awatie nguvu ktk kipind hiki kigimu mlichokua nacho mbele yako nyuma yetu kila nafsi itaonja umauti🙏🙏😢Allah akupunguzie adhab ya kabri 🙏AMIIN😢ALLAH ATUJALIE MWISHO MWEMA😢💔🙏👏
jamn poleni sanaaa family yake na watanzania wote kwa ujumla ,,,,,jmn kusali ni muhimu pia huu mwaka kwa wasanii umekuwa kama 2012 wasanii weng walitutoka ,,,,it's so sad kwa kwel
Kijana wa studio uko genuine lakini matendo yenu yamemwuua Sam 1. Mmekubali mgonjwa alale studio 2. Kwa maelezo yako kala chakula mara 1 tu tena supu ya makongoro siku zote 2 alizoshinda hapo 3. Mnamsikiliza mgonjwa anachosema wakati mnajua ni kosa mfano kutoitaarifu familia na kutokumpeleka hospitali 4. Anazidiwa mnampeleka maabara. Maabara haitibu inapima tu. Kwanza hao maabara wanatakiwa kufungiwa huduma waliwezaje kumpokea mgonjwa aliyezidiwa hivyo? Conclusion: Sam angekuwa hai leo 100% iwapo mngetumia akili na busara.
mwenyewe anaelezea bila aibu laiti angekuwa ndg yake asingempeleka hospital kisa mgonjwa kasema atapona kifo kipo lkn uzembe umechangia mungu ampunguzie adhabu za kabri Inshaallah
Maryam Mrope angekuwa ndugu yake angempeleka hospitali mapema sana. Anavyojieleza haoni kosa lolote. Ingekuwa ulaya hapa angeshakamatwa na hii video ingekuwa ushahidi tosha.
I really feel deeply hurt when I lose a role model. Sam made me love bongo music. May he rest in peace in paradise. Let him sing in heaven with Angels.
Ayo mmeshindwa edit story kweli kujua nini cha kwenda hewani na nini cha kuacha siajpendezwa na kuruhusu kueleza kuwa marehemu aliomba afungwe pampers tena mbaya zaidi mmekazia kabisa kwenye title kama nd heading ya kuwavuta watu... siyo kila fact ya kuipublish nd maana hata yeye marehemu naamini hao aliowaomba wamsaidie hiyo huduma hakutegemea kama ndiyo waje waseme kwenye media....au kwa mtu mwingine as media kubwa kama Millard Ayo plzee mpate muda wa kujiuliza mara mbili before hamjapublish hata kama mna haraka ya kupiga scoop...R.I.P Sam wa Ukweli
Mara nyingi uhai wa mtu cku zingine hupotea kwa kutokujua. Huyu alipaswa kuwahishwa Hosp ili apatiwe maji iv, kwa maelezo hayo tu inaonyesha hapakuwepo hata mmoja wa kuliona hilo kwa kutokujua. Lkn basi, kila mtu ana cku yake na namna ya kuondoka hapa chini ya jua hili. R.I.P. Nimeumia sana.
Official Son Nimeisikiza vzi sana. Ukiugua UKIMWI sio tiketi ya kifo. Huyo kafa kwa kinyemelezi cha kuharisha kilichopelekea kuishiwa maji na chumvichumvi mwilini. Na yy kama yeye aliishajikatia tamaa ndio maana hakutaka hata mke ajue. Alishadhamiria, ila hao aliowakuta studio hawakuwa watambuzi, na hata kujua athari ya kuharisha. Ukimwi hauui kihivyo bali complications ndizo huua kama hivyo ilivyotokea. (Vinyemelezi).
Nyie watangazaji mngemstili mwenzenu jamani kha mpaka dunia nzima wajue malehemu kafa na nin jaman kam mke wake alikuwa ajui si mnamwua mapema kwa presha vingine si lazima muweke wazi mngemstili sababu ya mkewe na mtoto watu watawatenga 😔
Yaan kwa hayo maelezo ukweli ni kwamba wamefanya uzembe mkubwa sana kuendelea kumsikilizia mgonjwa mpaka hali inakuwa mbaya mwishowe anakufa kizembe sana.Kama wangewahi hospitali mapema ni wazi kwamba kifo kingeepukika. Pia Imani kubwa ya ushirikina(kurogwa) alokuwa nayo marehemu ndio imemsababishia kifo kwa haraka sana. Mungu ampumzishe mahali pema
inaonekana hata mke wake hakuwa na uchungu na mumewake inakuwaje unapigiwa simu mumeo anahali mbaya unajibu huna nauli? au walikuwa na ugomvi ndiyomaana hata mgonjwa hakutaka mkewake apewe taarifa!? Duh, nawaza tu
Huyu jamaa alokuwa anaelezea, ningekuwa karibu ningempiga Mtu anaumwa baada ya kufikilia hospital unafikilia ndugu zake, mtu ameishiwa nguvu na anashindwa kupumua unampeleka maabara. We have to be seriuous Any way RIP Sam wa ukweli
R.I.P Daaaah atutakuona tena mjukuu wa bonele ukweli kazi zake tutazikumbuka mungu akueke mahara pema peponi na akuepushe na azabu za kabul aamin kama umeguswa na hili like apa na kukoment
mh sam mungu akusamehe makosayako tulikupenda sana ila mungu kakupenda zaidi ulale mahala pema peponi amin ina lilahi waina ilahim rajiun pole ni sn familia muombeeni apumzike kwa amani nakamayupo ayowahi kumfanyia mabaya amswamehe jamani ok kwani nasi hatujijuwi vp hatima yetu in sha allah. Allah atupe mwisho mwema amin
Poleni kwa hio ya dunia , wenye walikuwa na Sam pia hawakujuwa ako serious sana ni mungu tu , kuhara pia inamaliza mtu nguvu sana , maybe siku yake ilikuwa imefika hakuna binadamu anaeza jua Mungu amueke mahali pema peponi
daah hawa jamaa hawakua serious kabisaa ....yani unamsikiliza mgonjwa kuna muda tunatakiwa tuwe tunajiongezaa mtu anazidiwa mpaka munamuekea pampers afu bado mna relax ..tujifunzee hapa mgonjwa akiumwa peleka hospital sio kumsikiliza ...hili lipo sana katika jamii zetu ,wasilimia kubwa ya binaamu hua hatupendi kua wadhaifu na ni asili yetu na hua tunachukua uda sana kukubaliana na hali zetu ,,ndio maana sam hakutaka taarifa zitoke kwa watu wa karibu na hakutaka kupelekwa hosp ila ki saikologia mulitakiwa kufuata utaratibu wa kumpeleka hospi mapema ..saikologia ilihitajika zaidi ....anyway R.I.P SAM m.mungu alipanga iwe hivo
hawa washikaji sio kabisa ni wapumbavu mno Mtu anaanza kuumwa mdogo mdogo wao wamekaa tu Mbaka anazidiwa ndio wanastuka wanapeleka maiti hospital huu ni uboya kabisa Vijana wanashindwa kujiongeza kama huyu mwenzetu sasa anaitaji huduma maalum Unamvisha pampas ndio tiba alafu mnatoa siri za mgonjwa eti anaukimwi nyie mlimpima.
Yan we jamaa ni mzembe sana kwa huo mda wote mliokaa naye kama mngemuwaisha hospital pengine tungekuwa naye mpaka sasa, afu bila aibu unaongea ,siku mbili zote izo mtu anaumwa tumbo la kuarisha mnamwangalia dah ili jamaa zembe, rest in peace #SAM dah
next mgonjwa hasikilizwi,only after hospital you can listen them,na hakuna ugonjwa mdogo ,mtu mzma analalamika kiivyo mnasema dn u think ugonjwa mdogo ,mlimchelewsha hospital, n alipowaambia ni hiv ya kutengeneza mlimchelewsha kwa YESU
hawakumhitaj,ila siyo kwa vifo vya vijana wadogo,tena et cjui vya kutengenezwa,by the way atawafufua akija ktk utufukufu,na huo ufufuo ni wa milele,kwa sasa anafanya ishara na ajabu kiliko waganga na wasoma nyota wenu kwa utukufu wake ,HATA UPINGE HUBADILI UKWEL
NA WEWE BWANA MDOGO,CYO KILA KIFO HULETWA KWA MAPENZ YA MUNGU,VINGINE NA WASHENZI TU NDIO MAANA KUNA MISUKULE ,KAMA KIFO FROM GOD UNAWEZA KUMWQMBIA MUNGU UKIWA NA SABABU ZA KUTOSHA NA UKAONGEZEWA CKU ,ITAKUWA FROM DEVILS,
Poleni sana wafiwa ila kama ni mimi nisingekaa muda wote huo ningemfikisha hospitali tokea mwanzo ila ndio imeshatokea lakini inabidi wengine wasome msichukulie poa katika maradhi Jamani
SAm Wa Kwel, i hav been ur fan for many days may your soul R.I.P. Im commenting with deep sorrow. I cnt believe u hv gone coz we still need you in music industry.
Innalillah wainna Lilah rajiuon ya Allah mpokee kiumbe wko uyu kwa mikono miwil, ya Allah umsamehe dhambi zake, ya Allah umuepuxhe kwa adhabu za kaburin Amiin😭😭😭
Kazi kuuza sura tu! Ukikutana nao kama wanamiliki pepo vile, msanii hata mkeo nauli hana? Ningekuwa askari hawa wote ningesweka ndani! Mtu anaumwa vipi hamkumuwahisha hospital? Kila saa unasema tu tumbo likawa serious... tumbo likawa serious ... na bado mnamuweka tu studio! Mnangoja apone ili aendee kuimba siyo?
Hyo title yenu yakudhalilisha watu mnakera sana pempers kwa mtu mzima ni udhalili ujue...nyie mbona waandishi wa cku iz mnakuwa wasenge wasenge nyinyi 🖕⁉️⁉️⁉️
Ila na nyie ni wapuuzi tokea anashindwa kuenda choo mpaka mnambeba safari ya Kwanza ilikua mnatakiwa kumkimbiza hospital haraka sana sio mnamsikiliza mgonjwa, mmekaa nae muda wote wakati nyie wenyewe mnamuona ana hali mbaya
Aisha Elias wenyewe wanakiri jamaa alikua mgonjwa sana badala wammpeleke hospital wanampa supu ya kongoro toka lini dawa ikawa supu ya kongoro? Mtu anayeumwa mpaka anashindwa kuinuka huyo ni mgonjwa wa kukaa ndani au hospital?
inaonekana hawa walikuwa wamelewa yaani mda wote huo jaman mko nae tu nymban hadi mnafikia hatua yakumvisha pampers jamani Duu! siwezi kusema Sana pengine ndo mipango ya mungu R. l. p samu
Ila na nyie maboya yani mwenzenu anaumwa hata kumpeleka hosptali hamna khaa? afu unaongea ongea tu hapo nyau nn et alikuwa anaharisha hata nguvu hana sasa unatwambia sisi ili tufanyaje ? 😡😡😡😡
Andrew John ww wakat ukifika na mungu akiamua liwe bas haisikii dawa wakati wake ulifika nakila binadamu lazima apitie safari ya umati mungu hailaze roho ya marehemu amn 👐
loisa felix ndio inaonekana kilichomuua ni pesa my be atapesa ya kula alikua hana tatizo limetokea uko ila anaroho ngumu uyu kaka kwA nn awakumpeleka hospital mapema
Msimtusi producer, siku ikifika imefika.Hii hadithi yalingana na ya babangu mungu ailaze roho yake pema peponi,huwa wanasumbua saaaana hawataki kusumbua jamii ndio maana alikataaa kupelekwa finally huwa wanafia njiani ni yake imefika jameni.
Inashikitisha kiukweli lakini Mwenyezi Mungu anapopanga kifo cha binadamu hufunga milango ya ufahamu kwa watu wengine, hawa jamaa walifingwa ndio mana walikuws wanashindwa kufanya mamuzi ya harak kumkimbiza hospital Samu kwa haraka yani wanashtuka mtu kesha kwisha nguvu ,kiukweli kifo hupangwa na Mwenyezi Mngu na hakuna wa kukizuiya. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake Sam wa Ukweli Mahali pema peponi R.I.P Sam.