mie ni SIMBA nakubal kuwa chama ni mchezaj hodari lkn kibri kilimzid kujiona mkubwa kuliko timu na pia alikua hana tn mapenz na simba, ivo nmefurah kuondoka. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
Mwecheni chama aende jamani. Mbona mayele aliondoka yanga bw. Sisi tunahitaji vijana wapya na Kocha wetu Mgunda. Mo wala usiangaike na makocha wa nje wanatupoteza fedha zetu. Weke vijana wazuri. KWELI KAKA MANENO YAKO YOTE ni SAHIHI WALA SIO NONGWA❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍
Mashabiki Wenzangu Poleni kwani tumeondokewa na Chama kimpira. Msijali Sana tutapoa tu. Watu wanaoshughulikia Usajili wafanye KWELI watusajilie kweli.Atajuta tu baadaye msihofu..SIMBA NGUVU MOJA..❤❤❤❤
Oya kwahiyo ww ulitaka siondoke yeye ninani kwanza mtu mwenyewe migomo kila siku aensde zake mbona time imefanya vizuri mechi za mwisho bila chama ten mm nimefurahi sana
Chama Simba ilikupenda lakini ulijivuna nakumbuka hata pre season ilopota uturuk ulisumbua uongozi na ukaenda peke yako, nenda yanga ukavune ulichokipanda, utatukumbuka saaana . Acha tusafishe ghara
Me nawaambia yawezekana tukaumia kwenye hal ys kibinadamu lkn ukwel ni kwamba chama acha aende alishajiona bora kuliko simba,,acha tuitengeneze simna yetu sasa,,alishakuwa kibur mnooo na kujions bila yeye hakuna simba kitu ambacho si kwel
Kweli Chama ni mchezaji mzuri sana,kuondoka simba, aliona mashine Kali kuliko yeye kutoka huko kwao Zambia sio wazee kama yeye,ndio maana kaswepa mapemaaaa,kwaheriiiii Chama nenda na kibuti chako 🐕
Chama aende tu Simba nikubwa kuliko yeye,kwanza alikua anaanzisha migomo ya wachezaji,kujiona anaweza kutupangia nacho taka,hongera kwa viongozi kwa kileta hizo mashine mpya za kazi,yani natamani vyura TUKUTANE nao hata kesho kwa sajiri hii mwaka wetu
@@salimmalaka256 hiv ndo tunapenda ndugu yangu ... Yale matusi achana nayo , utani wa jadi Bila kuporomosha matusi inawezekana , .... Hapa tupo pamoja tutakuja na akina mayele , Feisal na Manzoki kwenye mkutano mkuuu 🤣🤣🤣
Wewe ulinazingua simba hiii tutapoteana ....ttzo ni viongozi ambao wanawasajili wakina jobe /fred/......wewe jamaa duuu ni mnafiki sana chama ndo unamsema ivyo duuu wewe jamaa
Hlf unapenda kujisifia ujinga wakat uongoz wako umezidiwa mpka leo wapo ktk maongezi watu wamemtangaza mjinga kwel hlf ww unapenda kubadilika kuanzia leo singali tena video yk