JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV. KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Naam kuipenda simba ni neema wamemchukua chama kwa mbwembwe kama okra, msimu mmoja tu okra tupa kule na chama msimu mmoja tunae tupa kule mtayaona tu haya
Hongera sana mzee masatu kwa kuwapa ukweli usiopindika mchezaji akiwa simba mzee akienda Yanga kijana bila kujuwa wanaenda kuchukuwa pensheni zao wakina Mkude
Mzee safi sana ira nashanga sana taifa letu linawatu wa ajabu na ndio taifa ra kwanza kuwa na watu mtindo huu wanafanya kazi ya kununua bando kwa aajiri ya kutukuna watu kwenye mitandao hongera sana mzee masatu
Sisi tunaona kelele jamani:chama ndio nani bw?mwacheni aende jamani tulikuwa na wachezaji wangapi. Ende kauze mechi huko kama alivyokuwa anafanya simba.
Mashabiki wa mpira Bongo,sometimes mnakuzaga mambo bila uhalisia --- Class ya Mutale ni ya dataja la kati --- tungekuwa na maskaut proper,wachezaji class ya Mutale,hapa hapa Bongo unaweza kuwapata hata 200.
Huyu muuza kahawa wa kwny hicho kijiwe anauza sana kahawa mana kijiwe hakikauki watu na ofa za kununulia watu kahawa yote ndo kibao,usihame ichi kijiwe ndg yng😂
Hawa wazee kama huyu mzee masatu hana akili ya mpira na huyu ndo wale mizee Haina akili chama bado mtu sisi tunaumia waandishi msiwe mnahoji mizee mjinga hapa mzee saidi ndo anajua mpira
kua na adabu kijana hayo ni maoni yake toa nawewe maoni yako usitukane mjomba chama siyo mwanachama wa simba bali chama ni mchezaji anaweza kucheza timu yoyote duniani kumbuka tumekosa ubingwa mara tatu mfululizo na chama akiwemo hiyo ndo football