thank you pastor mmbaga am enock Kennedy from Kenya Nairobi I really watch your preaching atleast every week. be blessed with your message it really uplifts my faith
Nikweli ni kwa neema ya mungu mimikuwa hai hadi Leo, nimengi na machafu nilioyafanya .naamini mungu amenisamehe yote ndio mana Niko hai,Asante jehovah nitakuabudu daima, nijaze Roho wako mtakatifu,Amen
Yani Kama mtu alikuwa kupokea Hii siku Aisee umekwisha mengi maana hiyo sehem kweli mungu alikuwako mpaka pastor mwenyewe Unaona alivyojaa roho wa bwana mpaka sauti imebadilika, Aisee napokea haijalishi ya mwaka gani mungu anafanya Kazi bado, utukufu huludi kwa Mungu alie hai hallelujah amen
Yani we pastor cjui at nisemeje ila Mungu akubariki sana maana umenitoa mbali sana, somo la tr 19.1 sitakaa nilisahau maishani mwangu, Mungu akuweke zaidi ili uzidi kutuhudumia
Haijalishi Ni miaka miwili iliyopita,mimi MUNGU MUUMBA wa MBINGU na ARDHI ameniona na kunibariki leo,Nimeuona mkono wa MUNGU kana kwamba huduma hii iliwekwa akiba kwa ajili yangu familia ndugu jamaa na marafikl ikiwa Ni pamoja na majirani wanaonizunguka AMEN.
Ninapokuwa najihisi nmeshindwa katika sehem fulan nkisikilza neno la Mungu kutoka kwa pastor mmbaga huwa napata nguvu za kunyanyuka upya na iman inaongezeka, Barkiwa sana mchungaji
PR umenitia moyo sana sana kuna mambo yananitatiza ktk famila yangu, kila mradi unagonga mwamba, ila kwa neno la BWANA ulilosema naanza kuona miujiza yake ikinitembelea. Ila nimetoa machozi sana, nilikuwa nimekata tamaaa, kumbe MUNGU hajaniacha PR zidi kutuombea sana, naomba no. Yako
Pr nabarikiwa sana masomo yako ubarikiwe lkn nna swali moja tuu iv kwann Mungu bible inasema hana upendeleoo lakn alimpendelea rusifa na ndio kiburi cha kujiona yeye n bola kuliko malaika wengine kiburi kikainuka juu yakee j? nikwel Mungu hana upendeleoo