Тёмный

KANISA LA UONGO, Mch Mmbaga, 

MAHUBIRI TV
Подписаться 210 тыс.
Просмотров 124 тыс.
50% 1

Utawezaje kutambua kanisa la kweli kati ya makanisa mengi ambayo kila moja hudai ni la kweli?

Опубликовано:

 

26 авг 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 148   
@joycemugaka3039
@joycemugaka3039 2 месяца назад
Mungu aKubariki muchungaji baada ya kusikiliza somo hili nimejifunza jambo jipya kirohomm ni mkenya na kufuatilia kutoka qatar neno la Mungu ni taa na kiongozi kwa maisha yangu
@philipomasatu-lr9hf
@philipomasatu-lr9hf Месяц назад
mungu aendelee kukutumia tuzidi kubarikiwa
@robinedson
@robinedson 6 лет назад
Wakati Fulani nikiwa katika mafunzo ya Kijeshi katika chuo cha Mafunzo ya Kijeshi katika Mkoa mmoja hapa Tanzania tulikua tukikusanyika wakati wa jioni kujifunza neno la Mungu pamoja na kutiana Moyo ili tuzidi kua wavumilivu wa kiroho na kimwili....nilikua na redio yangu ndogo ambayo Nlikua naweka memory card ambayo nilikua nimejaza mafundisho ya Roho na Unabii....wanafunzi wenzangu walikua wakisikia mahubiri haya walikua wakinisihi tujifunze zaidi kuelewa maana ya Unabii.....hakika Nlikua najiona mwenye furaha kwa sababu ya kueneza injili katika maeneo magumu kama pale tulipokua.... Changamoto kubwa tuliyokutana nayo ilikua ni kuzuiwa kufanya ibada siku ya Sabato pmj na kukutana kila siku jioni....mkuu wa mafunzo alitufata akatuonya huku tukiitwa watu wenye machafuko ya kidini....wachache walisimama na kukubali kuendelea kueneza neno...tulizidi kukutana chini ya miti tukilisifu neno la Mungu....wakati mwingine tulikua tukienda kwenye makanisa ya kipentekosti tukilihubiri neno kupitia nyimbo..... Namshukuru Mungu tulifanikiwa kumaliza mafunzo Salama..... Asante sana Mchungaji Mmbaga kwa mafundisho yako.... Amina
@lusanikaseke4117
@lusanikaseke4117 2 года назад
Mungu anaweza yote hakika
@jeikary8767
@jeikary8767 3 месяца назад
🙏🙏🙏🙏
@mossesjoseph2202
@mossesjoseph2202 3 года назад
Kwa uwezo wa Roho Mtakatifu leo hii nimejifunza na kuelewa mambo mengi magumu kupitia mafundisho yako, hakika wewe ni mtumishi wa Mungu aliye hai.
@moseskayan3705
@moseskayan3705 6 лет назад
Hakika si wewe unaefundisha Bali mungu aliye ndani yako
@AminaMwachise
@AminaMwachise 17 дней назад
Barikiwa pastor
@evaanthony8106
@evaanthony8106 6 лет назад
Pastor Mmbaga karibu sana Udom cive kwa mafundisho, maana ulinipa nguvu ya kumtumaini Bwana toka kipindi kile.... ( kuokolewa kwa neema)
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 6 лет назад
Eva Anthony ubarikiwe sana
@barakamtabwigwa1726
@barakamtabwigwa1726 3 года назад
@@MahubiriPrMmbaga mchungajii naomba namba zako tafadhalii
@mwakasamuelnyiro6559
@mwakasamuelnyiro6559 5 лет назад
Amina na Asante sana Mtumishi wa Mungu kwa haya MAFUNZO uliyotumwa na MUNGU kunena nami. Nimeguswa sana na nimebarikiwa.Nimefunzika na kuonyeka sana. Ni ombi langu,NEEMA YA MUNGU INITOSHE
@clarencemushi7602
@clarencemushi7602 3 года назад
Bwana Yesu akupe nguvu daima cku zote za maisha yako pastor kwa kuwa unatembea na roho mtakatifu kwa uaminivu
@hezekiamhapa7395
@hezekiamhapa7395 4 года назад
Kanisa la kweli la Mwenyezi MUNGU lipo tuyachunguze maandiko !! Asante mchungaji
@maureenjovial6237
@maureenjovial6237 4 года назад
So powerful amen amen nabarikiwa sana kutoka Saudi Arabia God bless you mchungaji
@elimikasauti9tv247
@elimikasauti9tv247 6 лет назад
very interesting sermon ubarikiwe pastor,, Mungu akuhifadhi umalize jukumu alilokusudia la wewe kuumbwa ktk ulimwengu huu wa Dhambi
@mlebingechamcham9631
@mlebingechamcham9631 6 лет назад
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu maana unanibariki
@waryobanyansambo1977
@waryobanyansambo1977 4 года назад
Mwenyez mungu watie nguvu wale wasio jua wajue walete kwenye njia ya kwel
@dadarehema
@dadarehema 6 лет назад
Mungu atusaidie somo limeeleweka ipasavyo,Barikiwa mchungaji Mbaga!
@estharlovely6202
@estharlovely6202 2 года назад
Ubarikiwe mchungaji na Mwenzi MUNGU akulinde
@mikeruwa3598
@mikeruwa3598 4 года назад
Wewe si pastor wa kawaida....Ur annointed by God
@user-bq4nk4sg1w
@user-bq4nk4sg1w Месяц назад
Amina
@almabeatrice2082
@almabeatrice2082 6 лет назад
Oh Mungu wangu tuende wapi sisi tuangalie maana kimbilio letu ni wewe. Ubarikiwe sana mchungaji nimeguswa sana ... Eee bwana niangalie na mimi.
@alexamos9299
@alexamos9299 6 лет назад
.ubalikiw past umenia nguvu zaimani
@zacharianziku360
@zacharianziku360 5 лет назад
Nabarikiwa San juuu ya mafundisho yako naomba umiombee walau na mm niwe km wewe Maan Nina huduma hy mwalim na mch. Mmbaga
@ovidiokibuga1086
@ovidiokibuga1086 4 года назад
Kuwa kama yeye haiwezekani ndg,hata kama utakuwa Mchungaji utafikia Edge yako na yeye PR atafikia kwenye edge yake
@leahwainaina4396
@leahwainaina4396 6 месяцев назад
Amen
@marysteven3543
@marysteven3543 2 года назад
Mungu akutangulie pasita,unatufundisha mambo mazito 🙏🙏🙏
@deone728
@deone728 6 лет назад
Barikiwa Sana Pastor
@judithcherono2595
@judithcherono2595 6 лет назад
Asante sana pastor, nimebarikiwa sana Mungu akubariki,Amina
@samueljr9105
@samueljr9105 5 лет назад
Kanisa hizo za kuabudu dhahabu zina wenyewe kina "(DEVI)" MAY GOD OPEN THEIR MIND IN JESUS NAME
@masungasitta7470
@masungasitta7470 6 лет назад
Pastor mungu akubariki sana kwa mafundisho yako mazur niko kwenye pumziko Jema yaan sabato karibu tufurahie sabato njema
@magnifiquentkrtmna320
@magnifiquentkrtmna320 5 лет назад
Asante unanifundisha kbs wametufica sana. Kwanini hawasemi ukweri jmeni
@dorcasmkasiti5312
@dorcasmkasiti5312 6 лет назад
AMEN mchungaji ninawafuatilia sana nikiwa hapa Oman, nabarikiwa sana na haya mafundisho songambele mtu wa Mungu
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 6 лет назад
Mungu akubariki sana. wasalimie watu wa Oman
@dorcasmkasiti5312
@dorcasmkasiti5312 6 лет назад
hapa Oman kinaeleweka lazima falme za warabu ziwe falme za mwanakondoo
@denismodest1540
@denismodest1540 4 года назад
@@dorcasmkasiti5312 piga kazi ya Mungu huko oman
@yusuphkishegena596
@yusuphkishegena596 4 года назад
Amina wasalimie huko oman
@barakamtabwigwa1726
@barakamtabwigwa1726 3 года назад
@@MahubiriPrMmbaga mchungajii naomba namba zako
@janetkahada5206
@janetkahada5206 4 года назад
Amen ubarikiwa muchungaji
@monniekevin9303
@monniekevin9303 2 года назад
Asante mtumishi nimefahamika zaidi
@winnieesther1423
@winnieesther1423 5 лет назад
Nimfurai sana mchungaji ni siku yangu ya kwanza kukuskia ila nimebarikiwa,,,watching from Saudi Arabia 2019
@mathayofelix3235
@mathayofelix3235 4 года назад
Winnie Esther barikiwa Sana
@barakamtabwigwa1726
@barakamtabwigwa1726 3 года назад
@@mathayofelix3235 unaweza nipatia namba ya mchungajii mbaga
@moseskayan3705
@moseskayan3705 6 лет назад
nimelewa safi kabisa umenifanya nimjue jesu mpaka nalia nikiandika coment hii mungu akuongezee ujasiri
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 6 лет назад
Mungu akubariki saaaana,uendelee kukua katika neema
@moseskayan3705
@moseskayan3705 6 лет назад
Amina na iwe hivyo kama mungu atakavyo yeye
@augustinokaguotv2245
@augustinokaguotv2245 5 лет назад
wewe kama huamini amri kumi za Mungu kwenu dhambi ni ruksa ufunuo 14:12 hapo ndipo penye subira ya watakatifu washikao amri za Mungu na imani ya yesu Ufunuo 12: 17; joka akamkasirikia mwanamke akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake washikao amri za Mungu na ushuhuda wa yesu naye akasimama juu ya mchanga wa bahari wewe shupaza shingo
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 6 лет назад
lilikua linsemaje
@arogiusprosper7760
@arogiusprosper7760 6 лет назад
pastor nabarikiwa sana na mahubiri yako Mungu akutie nguvu
@peterkinysi1843
@peterkinysi1843 2 года назад
Hayo mafundisho nayaelewa vizuri kuhusu utabiri wa kinabii kuhusu mpinga kristo. Mimi ni muanglikana na history kuhusu makanisa naijua vizuri. Mimi nipo tofauti nkuulize swali, kwa imani yako, je wasio wasabato wataenda motoni, na walio wasabato ndio watakao enda peponi. Matendo yetu ndio yata hukumiwa dhehebu halitupeleki peponi au motoni. Kwhiyo ninyi ndo mpo safi.
@lugembezenzele6555
@lugembezenzele6555 2 года назад
Ushajijibu mwenyewe,kuwa msabato sio ticket ya kwenda mbinguni
@agneskatuma3573
@agneskatuma3573 5 лет назад
hongera sana mchungaji uko na hekima sana
@miriamquite7665
@miriamquite7665 5 лет назад
Thank you pastor 🙏🙏
@joshuamartin691
@joshuamartin691 6 лет назад
Amen By Peter Japheth Ngulu
@magdaelisa1120
@magdaelisa1120 3 года назад
vipaji tulivyo pewa tuvitumie. Mwenye
@gracezunda8804
@gracezunda8804 5 лет назад
Njoo musoma uongoe waliorudi nyuma nawengine pia pastor please please njoo kanisa la pwani
@calebumanganyu7278
@calebumanganyu7278 6 лет назад
Nabarikiwa Sana'a na mahubiri haya
@tumainvedasto
@tumainvedasto 7 месяцев назад
Ni kweli lakini watu vichwa havina nywele yaani akili
@JohnJoseph-my2zq
@JohnJoseph-my2zq 6 лет назад
hongera sana mchungaji
@medsonmgallah6760
@medsonmgallah6760 5 лет назад
mungu anaona mi mkatholiki pyua
@hopeuwera2947
@hopeuwera2947 5 лет назад
Mungu akubariki sana
@ibrahimthabit6187
@ibrahimthabit6187 5 лет назад
Paster nahitaji kubatizwa
@augustinokaguotv2245
@augustinokaguotv2245 5 лет назад
Barikiwa poster
@vitalesikagi3475
@vitalesikagi3475 4 года назад
Ubarikiwe wewe na BWANA
@mashishangahumbuyu5378
@mashishangahumbuyu5378 6 лет назад
Pr ubarikiwe sana
@osianamwambisi6467
@osianamwambisi6467 5 лет назад
Kweli kabisa mchungaji! Mi ndo msabato kwa sababu nakubali biblia yote ya ukweli amri kumi za MUNGU na imani ya Yesu kristo
@kelvinnyagah2494
@kelvinnyagah2494 6 лет назад
Be blessed Amen
@mjeshiayubu7858
@mjeshiayubu7858 4 года назад
Nic iko poa
@mapendoimani2462
@mapendoimani2462 5 лет назад
Salvation is more what is in your heart than what is your Head.
@jimmylukas1209
@jimmylukas1209 6 лет назад
nabarikiwa mno
@nezerinejuma5510
@nezerinejuma5510 10 месяцев назад
Amen 🙏🏾
@jamessiwakwi4695
@jamessiwakwi4695 6 лет назад
Amina! Sana
@davisrotich116
@davisrotich116 4 года назад
somo limenijenga mno
@sadickmponyamili7070
@sadickmponyamili7070 6 лет назад
KUNA SOMO NILILISIKIA JUZ KAMA TAREHE 25 AU 26 AGUST NILKUWA USINGIZINI KUTOKA REDIONI SIJUI NDIO HILI ILA SILKUMBUKI LKN NALPENDA SANA KM MKILIPATA NDG KTK KRISTO NAOMBENI KULPATA PIA #MUNGU ATUSAIDIE SANA WAPENDWA
@japhetkabogo1610
@japhetkabogo1610 6 лет назад
Hizo DVD zinapatikana wapi kwa hapa mwanza
@samuelpeter6964
@samuelpeter6964 4 года назад
Vipi kuhusu hicho kisanamu sijakielewa
@maitretv7603
@maitretv7603 6 лет назад
Mungu yupo kazini kwani tunaishi wakati wa udanganyifu kuu; kama vile ulimwenguni kila mtu anataka awe rais wa Jamhuri, kanisani pia kila mtu ana huduma. Unabii, ndoto, na maono zatokea huko na kule kwa kugawa huduma. Wanaongeza kazi ya wanawake hadi mimbarini. Jina la Bwana Yesu Kristo linafanywa kuwa biashara, makesha za maombi zimepangwa mwisho wa kila mwezi. Watu waliyo anguka kutoka neema, wanao ngojea jehanamu wao ni watumishi wa Mungu. Wana wa mapepo! Kuna mambo mawili ya kufanya: Ao muonyeshe wazi wazi kwamba mimi ni katika kosa na ninajiunga nanyi wala basi muyatambue makosa yenu mbele ya watu wote na nifute masinagogi zenu. Kila mara ninaona mambo namna hii. #ProphetKacouPhilippe www.philippekacou.org goo.gl/s1X3WY
@mapendoimani2462
@mapendoimani2462 5 лет назад
Bibilia ni moja tu Tafsiri ndiyo ipo tofauti kulingana na tamaduni na lugha iliyo tafsariwa na walio Tafsiri.sasa watu wengi sasa wanawasikiliza viongozi wao wa Dini kuliko kumsikiliza Roho Mtakatifu.
@lusanikaseke4117
@lusanikaseke4117 2 года назад
we unaielewa vipi
@user-bx5nc8ge6r
@user-bx5nc8ge6r 8 месяцев назад
👀🤔🙏
@kisoimunyithya3893
@kisoimunyithya3893 2 года назад
Pastor can you teach about the doctrine of trinity?
@laurentieliasi2496
@laurentieliasi2496 3 года назад
Mchungaji kama utauona ujumbe huu tafadhali naomba unieleweshe au kama yeyote anafahamu naomba anijuze kuna tofauti gani kati ya zaka na fungu la kumi?
@princesegilolasamo2776
@princesegilolasamo2776 3 года назад
Mwalimu nakukubari sana sana sema kuna tatizo! Na sina uhakika kama ujui kweli au la! unafanya makusudi, jua kwamba wewe ni mwalimu na unafundisha wengi sana karibia wasabato wa dunia nzima waelewa kiswahiri wanasikiliza mafundisho yako na hata ambao siyo wasabato wanatarajia ukweli tofauti na uongo waliowai usikia huko walipohukataa, sasa mwalimu unawafundisha watu kuhusu jehova na unawaombea kwa jina lake je, ni kweli ujui nini maana ya jina jehova? Au kwa sababu imeandikwa kwenye biblia basi na sisi tumtaje tu bila kuoji? Unawafundisha watu kuhusu yesu na mitume PAMOJA NA WANAFUNZI wake ni weupe je, ni kweli ujui kuhusu historia ya maraika 19 waliomuasi MUNGU na kuja kufanya machukizo hapa duniani? Ninamaswali mengi sana naitaji kukuhuliza mwalimu sema kwanza nilikuwa naomba unijibu aya machache tu kutokana naitaji ufahamu zaidi kuhusu hili. ......thxs
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 года назад
Pangilia maswali yako vizuri. Swali kwanza la pili na kuendelea ndipo nianze kujibu
@amanimwidowe9408
@amanimwidowe9408 5 лет назад
Mbaga Mungu akupe umri mrefu uinue na walio lala amina
@gloriakiangi5807
@gloriakiangi5807 4 года назад
Amina mungu azidi kukutumia
@amanimwidowe9408
@amanimwidowe9408 5 лет назад
unasema ukweli
@fortnataangelo4805
@fortnataangelo4805 4 года назад
Jamani naomba kujua ,sasa huyo kahaba, anazaa mabinti wastaarabu, au makahaba kama yeye,,,
@angelinakessi1992
@angelinakessi1992 4 года назад
Anakuwa na tabia sawa na huyo kahaba,
@cishahayoeliemoses6359
@cishahayoeliemoses6359 4 года назад
Apa mimi ninaswali,mbona makanisa mengine kuna ucaguzi unafanyika
@drostaflorian7970
@drostaflorian7970 5 лет назад
🙏🙏🙏🙏
@mo-zillah5683
@mo-zillah5683 5 лет назад
pastor mmbaga, mi nataka kuwa pastor nami napenda sana kufundisha.unaweza kunisaidia mtumishe wa Mungu-namba yangu 0743054879 na 0743774573 nisaidie tafadhali
@edwardmamuya8066
@edwardmamuya8066 5 лет назад
Kanisa la Mungu ni moyo wa Mwanadamu. Makanisa mengi unayotaja hayajaacha kutekeleza amri 10 za Mungu.
@jonasjoe3623
@jonasjoe3623 6 лет назад
Mch mbona nyuma yako kuna sanamu kama limeshika mkuki,kwani haulisafishagi?
@frozahjulius3581
@frozahjulius3581 6 лет назад
Hahhahahha hahhahahhahaha hahhahaha Hahhahahha hahhahahhahaha hahhahaha Hahhahahha
@nicholausrutayuga4570
@nicholausrutayuga4570 5 лет назад
Maskini swali lako halikuwahi kujibiwa!!!!
@lusanikaseke4117
@lusanikaseke4117 2 года назад
hiyo sio sanamu ni picha iliyobeba ujumbe wa vita tazama kwa makini utaona mkono ulioshika kombeo na jiwe kwenye kombeo na fimbo mkono mwingine halafu yachunguze maandiko upate neno
@janetkahada5206
@janetkahada5206 4 года назад
Mbona hata siku ya MUNGU alitakaza hukuangali kwa mandiko?
@amanimwidowe9408
@amanimwidowe9408 5 лет назад
amina
@Diana-qx5qf
@Diana-qx5qf Год назад
Mimi ni rhoda niko saudia neno lako linanipa kufu god bless you pastor
@drostaflorian7970
@drostaflorian7970 5 лет назад
AMINA
@eliadajustus555
@eliadajustus555 5 лет назад
pastor naomba unisaidie fungu linalosema tuimbe bila kucheza
@denismodest1540
@denismodest1540 4 года назад
isay 65:5na uangalie referenc chini ya biblia kwenye ukurasa huohuo
@adventisthope2454
@adventisthope2454 6 лет назад
Naomba maendelezo ya mitume walivyofariki
@matthewglory2877
@matthewglory2877 5 лет назад
Mchungaji unapatikana wapi??
@samoramagafu5161
@samoramagafu5161 6 лет назад
msisitizo uliowekwa kuhusu sabato katika agano la kale na vzito wa hoja yako hiyo bado ni dhafu sana.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 6 лет назад
Ipi hasa?
@leonardkayolo7314
@leonardkayolo7314 5 лет назад
Samahani sana mchungaji, naomba kama utaipata SMS hii, naomba unitumie namba yako kwa email hii. leonard.kayolo@gmail.com
@myself4128
@myself4128 3 года назад
Hivi Nyie mnang'ang'ania mafundisho ya sheria zilizowahusu wayahudi mpaka lini???kabla.Yesu hajafa msalabani Tulikuwa tunaishi chini ya sheria lakini ALIPOFUFUKA HATUPO TENA CHINI YA SHERIA,SOMA WAGALATIA 3:24..Sheria ilikuwa ikituongoza kabla ya Yesu kuja, soma WARUMI(ROMANS) 6:14 FOR SIN HAS NO POWER OVER YOU,Hatupo tena chini ya sheria!! Biblia inasema mtu na asiwahukumu kwa SABATO(WAKOLOSAI 2:16) sikukuu wala mwandamo wa mwezi, Tumche Mungu kila siku tuishi kitakatifu kilasiku ila lazima tuwe na SIKU YA MAPUMZIKO WEEKEND!YESU NDIYE BWANA WA SABATO,BIBLIA INASEMA HAKUNA ANAYEWEZA KUHESABIWA HAKI MBELE ZA MUNGU KWA KUFUATA SHERIA HAKUNA!!!!!!!!!!!Wagalatia 3: 11 ni kwa imani Tu tutamwona Mungu!!!
@lusanikaseke4117
@lusanikaseke4117 2 года назад
Mungu akusaidie utambue kua Ufunuo pia ni kitabu cha agano jipya ba kilisimuliwa na kuandikwa na mtume na nabii yohana aliye kua mwanafunzi wa Yesu na pia ufunuo huo aliupokea kutoka kwa malaika ambae alipewa na Bwana wetu Yesu kristo ilitupate kutambua mambo yaliyopo sasa. Mafungu uliyosoma ni sahihi lakini Roho mtakatifu akufunulie uyaelewe kwa kina na kumbuka hili; Njia ni nyembamba nayo imesonga iendayo uzimani waionao ni wachache, lakini pia njia ni pana iendayo upotevuni waionao ni wengi. hivyo tafuta kuzishika sheria ukiwa na imani ya Yesu, isikuchanganye; hatuokolewi kwa sheria ila kwa neema.
@lusanikaseke4117
@lusanikaseke4117 2 года назад
kama sabato yaani pumziko takatifu sio dhambi vp kuhusu kua na miungu mingine na kujifanyia sanamu na kjziabudu??? habari gani kuhusu kuzini na kuua na kushuhudia uongo??? nukuu maneno ya Yesu katika Mathayo 5:17... alisema: msidhani ya kua nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kuitangua, bali kuitimiliza 18 kwa maana, amini, nawambia, mpaka mbingu na nchi zitapoondoka, yodi moja au nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie. 19 basi mtu yeyote atakaye vunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni.) basi uelewe Yesu hakuipinga sabato bali alitufundisha kuitunza yana kutenda mema na kusaidia, pia kuponya na kuinua siku ya sabato na ndo ulikua mgogoro wake na wayahudi. na pia Yeye ndiye Bwana wa sabato yani aliye atoa amri na katika yeye tunapata pumziko la kweli na uponyaji. basi
@annastaziamaternus1373
@annastaziamaternus1373 5 лет назад
Ukitafakari kwa kina ninyi wasabato mmekalia kiti cha Musa kuwahukumu wenzenu ,mafarisayo wanaishi. mmezikazania sharia lakini hamzishiki, sabato za miezi na miaka mnazitunza? kwa washika amri inatakiwa Kama ni mkulima ulime miaka sita, ila mwaka wa saba upumzike, wasabato hii mnaishika? au ndo sheria kidogo na neema kidogo.
@geofreymsigala9181
@geofreymsigala9181 5 лет назад
Ukitafakari kwa kina nikweli.....lakini ukisoma biblia kwa kina utabaini hayo unayoyasema si kweli, Mungu akubariki uwe msomaji mzuri wa maandiko bila kutetea msimamo au dini yako!
@samoramagafu5161
@samoramagafu5161 6 лет назад
asante kwa mahubiri lakini ukweli utabakia ukweli tu Yesu ambaye ndiye neno la Mungu hakutuambia tushike sabato, Mt 17:5, ujuzi huo wote wa maandiko ni porojo tu 2 kor 3:6. na kichwa cha kanisa ni Yesu, weak doptrine pastor mbaga.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 6 лет назад
Samora Magafu Mathayo : Mlango 24 20 Ombeni, ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi, wala siku ya sabato. Unaweza kunisaidia andiko hilo lina maaana gani?
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 5 лет назад
Yesu anaposema Mimi ndie Bw wa sabato ana maana gani? Na alipomwambia yule alietaka uzima wa milele kwamba je wazijua sheria alimaanisha nn?
@richardcastro2386
@richardcastro2386 6 лет назад
Hua Nashangaa Uki like post ina futika
@JohnJoseph-my2zq
@JohnJoseph-my2zq 6 лет назад
paster nitapataje hicho kitabu cha papa?
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 6 лет назад
John Joseph Kipi?
@barakamtabwigwa1726
@barakamtabwigwa1726 3 года назад
@@MahubiriPrMmbaga naomba namba yako mchungajii
@annastaziamaternus1373
@annastaziamaternus1373 5 лет назад
majigambo 100 100,waadventista ninyi injili yenu imejikita Sana katika sheria , siku na kuwatoa waliokwishamwamini Kristo katika makanisa yao, ila injili ya kumfanya mtu ambaye hamjui Bwana amjue mmeshitupilia mbali, yaani mnavua samaki Katina madiaba ya wenzenu na kuwaamishia kwenu, why msiende baharini mkavue ,huu ujanja utawapeleka jehanamu Ohoooo
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 5 лет назад
Annastazia Maternus Pole sana. Nadhani umetuelewa vibaya. Angalia masomo mengine pia
@donaldmwahalende4841
@donaldmwahalende4841 4 года назад
Wewe beba maswali yako tukusaidie fuata ukweli
@danielmkama4636
@danielmkama4636 4 года назад
Annastazia Maternus dada hili somo haujalielewa ukielewa na ukasoma biblia utapata nuru ya kweli mchungaji anatumia mafungu ndani ya biblia uongo wake uko wapi
@yusuphkishegena596
@yusuphkishegena596 4 года назад
Acha kuhamak hayo n. Mafundisho2
@yusuphkishegena596
@yusuphkishegena596 4 года назад
Na inaonekana huyo dada biblia hua haisom au kama anaisoma Kama Gazet lakin akiskiliza vizur ataelewa hapo hakuna uongo
@grace-angeleplasseu1381
@grace-angeleplasseu1381 6 лет назад
Swali: Mtume KACOU Philippe ni nani? Jibu: Kacou Philippe ni Mtume ambaye Bwana wetu Yesu Kristo aliwapelekea wote dunia kama manabii wa Biblia kulingana na Mathayo 23: 34-35. Maneno yake yana thamani sawa kuliko wale wa manabii wa Biblia. Yeye ni kama Nuhu leo. Ikiwa unakataa, wewe wamemkataa Yesu Kristo na kumtumikia na kumwabudu shetani bila kujua. www. philippekacou. org
@madolaclassic9247
@madolaclassic9247 5 лет назад
Wapendwa katika Kristu, ukweli utabaki kuwa ukweli tu! Yesu ndiye mwazilishi wa kanisa na yeye ndiye kichwa cha kanisa.kanisa haliwezi kumzaa Yesu,na Yesu mwenyewe aliacha kanisa moja tu! Nalo ni kanisa takatifu katoliki la mitume na alimchagua petro kuwa kiongozi wa kanisa.mengine ni madhehebu Tu! ambayo watu wenyewe wameyanzisha,soma biblia vizuri utaujua ukweli.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 5 лет назад
madola classic Wapi imeandikwa?
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 5 лет назад
Je kabla ya ujio wa yesu akina yohana walifundisha na kubatiza wao walikuwa wa kanisa gani? Leta ushahidi wa maandiko ya kile unachokisema
@bahatiomenda5371
@bahatiomenda5371 5 лет назад
pole sana mpendwa
@notbulgajohn4082
@notbulgajohn4082 4 года назад
Duuu bado upo mbali Sana na maandiko matakatifu,waomba Mapadri wakuonyeshe ushahidi kutoka Bible . Mungu akusaidie.tunaombea .
@DottoBazil-nx2cd
@DottoBazil-nx2cd 2 месяца назад
Tusome kitabu Gani ili tuthibitishe hayo unayoyadai?
@ngometvarusha4030
@ngometvarusha4030 4 года назад
Kuna jambo linanichanganya kidogo kutokana namahubiri za namna nyingi ambazo tunahubiriwa jambo LA kwanza je mtu anampenda Mungu yesu roho mtakatifu au kanisa lake kwa sababu kwakweli kila kanisa linamsimamo wake na ina mahali fulan imeshikilia kwenye biblia na ukiangalia msingi wakila kanisa ni mwanadamu amepata maono akasambaza kwa watu akaisemea akawapata wafuasi wengi basi ikawa imani ,katoliki ukiwauliza swali watajibu kwa maandiko Lutheran ivyo ivyo waingilikana nao ivyo Pentecostal ivyo wasabato wa Jehovah nao sasa nani mkweli .
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 4 года назад
WAPIME KAMA WANACHOKISEMA KINAUNGWA MKONO NA BIBLIA AU WANA LAZIMISHA BIBLIA IUNGE MKONO MAWAZO YAO?
@kelvinkimeu9974
@kelvinkimeu9974 6 лет назад
Sheria za Musa hazina maana tens ata kidogo,,,Yesu alijumlisha sheria zote katika upendo,,,wasaboto wamelaaniwa kwa sababu wanakiburi wanajiona wao ndio watakatifu pekeao,,,Siku wala ndini hazimpeleki mtu mbinguni mbali imani aliyo nayo katika Yesu,,,punguzeni majigambo. May God forgive you and show you correct way to even is not day but believing that Jesus died for your sins.
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 5 лет назад
Unahitaji msaada zaidi nakusihi soma vitabu upate maarifa
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 5 лет назад
Umesema vema juu ya sheria za Mussa je amri kumi za Mungu nazo zilifutwa? Ambazo ndani yke mna amri ya 4 ya kuitunza sabato?
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 5 лет назад
Bw Yesu anasema sikuja kuitangua torati Bali kuitimiliza dunia na vyote vilivyomo vitapita lakini hakuna hata yodi 1 ya torati itakayo ondolewa na tena yesu ndie Bw wa Sabato
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 5 лет назад
Mtu 1 alimwendea yesu akamwuliza nifanyeje nipate kurithi ufalme wa mbinguni akaambiwa je wazijua amri ?akajibu ndio nimezishika toka utoto wng !yesu kwann alimuuliza juu ya amri kabla ya mambo mengine yote ?Amri 10 za mungu hazikufutwa na zilikaa ndani ya sanduku la agano Bali sheria za Mussa zilizokaa juu ya sanduku la agano ndo zilizofutwa nakukaribisha uende popote lilipo kanisa la waadvetista wasabato na maswali yote ulionayo upate tiba ya kiroho
@notbulgajohn4082
@notbulgajohn4082 4 года назад
Pole Sana Bwana Yesu akutetee na kukuonyesha kuwa ndiye Bwana wa Sabato
@elimikasauti9tv247
@elimikasauti9tv247 6 лет назад
very interesting sermon ubarikiwe pastor,, Mungu akuhifadhi umalize jukumu alilokusudia la wewe kuumbwa ktk ulimwengu huu wa Dhambi
@japhetngarama5711
@japhetngarama5711 5 лет назад
Florence Mellitusi
@mashishangahumbuyu5378
@mashishangahumbuyu5378 6 лет назад
Pr ubarikiwe sana
@zahaljamal4520
@zahaljamal4520 4 года назад
Amen
@geraldjozee7813
@geraldjozee7813 5 лет назад
Amen
Далее
HATMA YA DUNIA NA  MANABII WA UONGO Na  Pr  David Mmbaga
55:34
🎙ПЕСНИ ВЖИВУЮ от КВАШЕНОЙ🌹
3:09:38
Mch  Mmbaga " MAJIRA YA UKAME MAISHANI"
38:13
Просмотров 49 тыс.
VIASHIRIA VYA NABII WA UONGO NA WA KWELI (Part 1)
21:13
DHAMBI ISIYOSAMEHEKA NI IPI?(OFFICIAL VIDEO)
58:54
Просмотров 161 тыс.
Namna ya Kuzikabili siku ngumu bila hofu
49:13
Просмотров 318 тыс.