Mungu aKubariki muchungaji baada ya kusikiliza somo hili nimejifunza jambo jipya kirohomm ni mkenya na kufuatilia kutoka qatar neno la Mungu ni taa na kiongozi kwa maisha yangu
Wakati Fulani nikiwa katika mafunzo ya Kijeshi katika chuo cha Mafunzo ya Kijeshi katika Mkoa mmoja hapa Tanzania tulikua tukikusanyika wakati wa jioni kujifunza neno la Mungu pamoja na kutiana Moyo ili tuzidi kua wavumilivu wa kiroho na kimwili....nilikua na redio yangu ndogo ambayo Nlikua naweka memory card ambayo nilikua nimejaza mafundisho ya Roho na Unabii....wanafunzi wenzangu walikua wakisikia mahubiri haya walikua wakinisihi tujifunze zaidi kuelewa maana ya Unabii.....hakika Nlikua najiona mwenye furaha kwa sababu ya kueneza injili katika maeneo magumu kama pale tulipokua.... Changamoto kubwa tuliyokutana nayo ilikua ni kuzuiwa kufanya ibada siku ya Sabato pmj na kukutana kila siku jioni....mkuu wa mafunzo alitufata akatuonya huku tukiitwa watu wenye machafuko ya kidini....wachache walisimama na kukubali kuendelea kueneza neno...tulizidi kukutana chini ya miti tukilisifu neno la Mungu....wakati mwingine tulikua tukienda kwenye makanisa ya kipentekosti tukilihubiri neno kupitia nyimbo..... Namshukuru Mungu tulifanikiwa kumaliza mafunzo Salama..... Asante sana Mchungaji Mmbaga kwa mafundisho yako.... Amina
Amina na Asante sana Mtumishi wa Mungu kwa haya MAFUNZO uliyotumwa na MUNGU kunena nami. Nimeguswa sana na nimebarikiwa.Nimefunzika na kuonyeka sana. Ni ombi langu,NEEMA YA MUNGU INITOSHE
wewe kama huamini amri kumi za Mungu kwenu dhambi ni ruksa ufunuo 14:12 hapo ndipo penye subira ya watakatifu washikao amri za Mungu na imani ya yesu Ufunuo 12: 17; joka akamkasirikia mwanamke akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake washikao amri za Mungu na ushuhuda wa yesu naye akasimama juu ya mchanga wa bahari wewe shupaza shingo
Hayo mafundisho nayaelewa vizuri kuhusu utabiri wa kinabii kuhusu mpinga kristo. Mimi ni muanglikana na history kuhusu makanisa naijua vizuri. Mimi nipo tofauti nkuulize swali, kwa imani yako, je wasio wasabato wataenda motoni, na walio wasabato ndio watakao enda peponi. Matendo yetu ndio yata hukumiwa dhehebu halitupeleki peponi au motoni. Kwhiyo ninyi ndo mpo safi.
KUNA SOMO NILILISIKIA JUZ KAMA TAREHE 25 AU 26 AGUST NILKUWA USINGIZINI KUTOKA REDIONI SIJUI NDIO HILI ILA SILKUMBUKI LKN NALPENDA SANA KM MKILIPATA NDG KTK KRISTO NAOMBENI KULPATA PIA #MUNGU ATUSAIDIE SANA WAPENDWA
Mungu yupo kazini kwani tunaishi wakati wa udanganyifu kuu; kama vile ulimwenguni kila mtu anataka awe rais wa Jamhuri, kanisani pia kila mtu ana huduma. Unabii, ndoto, na maono zatokea huko na kule kwa kugawa huduma. Wanaongeza kazi ya wanawake hadi mimbarini. Jina la Bwana Yesu Kristo linafanywa kuwa biashara, makesha za maombi zimepangwa mwisho wa kila mwezi. Watu waliyo anguka kutoka neema, wanao ngojea jehanamu wao ni watumishi wa Mungu. Wana wa mapepo! Kuna mambo mawili ya kufanya: Ao muonyeshe wazi wazi kwamba mimi ni katika kosa na ninajiunga nanyi wala basi muyatambue makosa yenu mbele ya watu wote na nifute masinagogi zenu. Kila mara ninaona mambo namna hii. #ProphetKacouPhilippe www.philippekacou.org goo.gl/s1X3WY
Bibilia ni moja tu Tafsiri ndiyo ipo tofauti kulingana na tamaduni na lugha iliyo tafsariwa na walio Tafsiri.sasa watu wengi sasa wanawasikiliza viongozi wao wa Dini kuliko kumsikiliza Roho Mtakatifu.
Mchungaji kama utauona ujumbe huu tafadhali naomba unieleweshe au kama yeyote anafahamu naomba anijuze kuna tofauti gani kati ya zaka na fungu la kumi?
Mwalimu nakukubari sana sana sema kuna tatizo! Na sina uhakika kama ujui kweli au la! unafanya makusudi, jua kwamba wewe ni mwalimu na unafundisha wengi sana karibia wasabato wa dunia nzima waelewa kiswahiri wanasikiliza mafundisho yako na hata ambao siyo wasabato wanatarajia ukweli tofauti na uongo waliowai usikia huko walipohukataa, sasa mwalimu unawafundisha watu kuhusu jehova na unawaombea kwa jina lake je, ni kweli ujui nini maana ya jina jehova? Au kwa sababu imeandikwa kwenye biblia basi na sisi tumtaje tu bila kuoji? Unawafundisha watu kuhusu yesu na mitume PAMOJA NA WANAFUNZI wake ni weupe je, ni kweli ujui kuhusu historia ya maraika 19 waliomuasi MUNGU na kuja kufanya machukizo hapa duniani? Ninamaswali mengi sana naitaji kukuhuliza mwalimu sema kwanza nilikuwa naomba unijibu aya machache tu kutokana naitaji ufahamu zaidi kuhusu hili. ......thxs
pastor mmbaga, mi nataka kuwa pastor nami napenda sana kufundisha.unaweza kunisaidia mtumishe wa Mungu-namba yangu 0743054879 na 0743774573 nisaidie tafadhali
hiyo sio sanamu ni picha iliyobeba ujumbe wa vita tazama kwa makini utaona mkono ulioshika kombeo na jiwe kwenye kombeo na fimbo mkono mwingine halafu yachunguze maandiko upate neno
Hivi Nyie mnang'ang'ania mafundisho ya sheria zilizowahusu wayahudi mpaka lini???kabla.Yesu hajafa msalabani Tulikuwa tunaishi chini ya sheria lakini ALIPOFUFUKA HATUPO TENA CHINI YA SHERIA,SOMA WAGALATIA 3:24..Sheria ilikuwa ikituongoza kabla ya Yesu kuja, soma WARUMI(ROMANS) 6:14 FOR SIN HAS NO POWER OVER YOU,Hatupo tena chini ya sheria!! Biblia inasema mtu na asiwahukumu kwa SABATO(WAKOLOSAI 2:16) sikukuu wala mwandamo wa mwezi, Tumche Mungu kila siku tuishi kitakatifu kilasiku ila lazima tuwe na SIKU YA MAPUMZIKO WEEKEND!YESU NDIYE BWANA WA SABATO,BIBLIA INASEMA HAKUNA ANAYEWEZA KUHESABIWA HAKI MBELE ZA MUNGU KWA KUFUATA SHERIA HAKUNA!!!!!!!!!!!Wagalatia 3: 11 ni kwa imani Tu tutamwona Mungu!!!
Mungu akusaidie utambue kua Ufunuo pia ni kitabu cha agano jipya ba kilisimuliwa na kuandikwa na mtume na nabii yohana aliye kua mwanafunzi wa Yesu na pia ufunuo huo aliupokea kutoka kwa malaika ambae alipewa na Bwana wetu Yesu kristo ilitupate kutambua mambo yaliyopo sasa. Mafungu uliyosoma ni sahihi lakini Roho mtakatifu akufunulie uyaelewe kwa kina na kumbuka hili; Njia ni nyembamba nayo imesonga iendayo uzimani waionao ni wachache, lakini pia njia ni pana iendayo upotevuni waionao ni wengi. hivyo tafuta kuzishika sheria ukiwa na imani ya Yesu, isikuchanganye; hatuokolewi kwa sheria ila kwa neema.
kama sabato yaani pumziko takatifu sio dhambi vp kuhusu kua na miungu mingine na kujifanyia sanamu na kjziabudu??? habari gani kuhusu kuzini na kuua na kushuhudia uongo??? nukuu maneno ya Yesu katika Mathayo 5:17... alisema: msidhani ya kua nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kuitangua, bali kuitimiliza 18 kwa maana, amini, nawambia, mpaka mbingu na nchi zitapoondoka, yodi moja au nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie. 19 basi mtu yeyote atakaye vunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni.) basi uelewe Yesu hakuipinga sabato bali alitufundisha kuitunza yana kutenda mema na kusaidia, pia kuponya na kuinua siku ya sabato na ndo ulikua mgogoro wake na wayahudi. na pia Yeye ndiye Bwana wa sabato yani aliye atoa amri na katika yeye tunapata pumziko la kweli na uponyaji. basi
Ukitafakari kwa kina ninyi wasabato mmekalia kiti cha Musa kuwahukumu wenzenu ,mafarisayo wanaishi. mmezikazania sharia lakini hamzishiki, sabato za miezi na miaka mnazitunza? kwa washika amri inatakiwa Kama ni mkulima ulime miaka sita, ila mwaka wa saba upumzike, wasabato hii mnaishika? au ndo sheria kidogo na neema kidogo.
Ukitafakari kwa kina nikweli.....lakini ukisoma biblia kwa kina utabaini hayo unayoyasema si kweli, Mungu akubariki uwe msomaji mzuri wa maandiko bila kutetea msimamo au dini yako!
asante kwa mahubiri lakini ukweli utabakia ukweli tu Yesu ambaye ndiye neno la Mungu hakutuambia tushike sabato, Mt 17:5, ujuzi huo wote wa maandiko ni porojo tu 2 kor 3:6. na kichwa cha kanisa ni Yesu, weak doptrine pastor mbaga.
Samora Magafu Mathayo : Mlango 24 20 Ombeni, ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi, wala siku ya sabato. Unaweza kunisaidia andiko hilo lina maaana gani?
majigambo 100 100,waadventista ninyi injili yenu imejikita Sana katika sheria , siku na kuwatoa waliokwishamwamini Kristo katika makanisa yao, ila injili ya kumfanya mtu ambaye hamjui Bwana amjue mmeshitupilia mbali, yaani mnavua samaki Katina madiaba ya wenzenu na kuwaamishia kwenu, why msiende baharini mkavue ,huu ujanja utawapeleka jehanamu Ohoooo
Annastazia Maternus dada hili somo haujalielewa ukielewa na ukasoma biblia utapata nuru ya kweli mchungaji anatumia mafungu ndani ya biblia uongo wake uko wapi
Swali: Mtume KACOU Philippe ni nani? Jibu: Kacou Philippe ni Mtume ambaye Bwana wetu Yesu Kristo aliwapelekea wote dunia kama manabii wa Biblia kulingana na Mathayo 23: 34-35. Maneno yake yana thamani sawa kuliko wale wa manabii wa Biblia. Yeye ni kama Nuhu leo. Ikiwa unakataa, wewe wamemkataa Yesu Kristo na kumtumikia na kumwabudu shetani bila kujua. www. philippekacou. org
Wapendwa katika Kristu, ukweli utabaki kuwa ukweli tu! Yesu ndiye mwazilishi wa kanisa na yeye ndiye kichwa cha kanisa.kanisa haliwezi kumzaa Yesu,na Yesu mwenyewe aliacha kanisa moja tu! Nalo ni kanisa takatifu katoliki la mitume na alimchagua petro kuwa kiongozi wa kanisa.mengine ni madhehebu Tu! ambayo watu wenyewe wameyanzisha,soma biblia vizuri utaujua ukweli.
Kuna jambo linanichanganya kidogo kutokana namahubiri za namna nyingi ambazo tunahubiriwa jambo LA kwanza je mtu anampenda Mungu yesu roho mtakatifu au kanisa lake kwa sababu kwakweli kila kanisa linamsimamo wake na ina mahali fulan imeshikilia kwenye biblia na ukiangalia msingi wakila kanisa ni mwanadamu amepata maono akasambaza kwa watu akaisemea akawapata wafuasi wengi basi ikawa imani ,katoliki ukiwauliza swali watajibu kwa maandiko Lutheran ivyo ivyo waingilikana nao ivyo Pentecostal ivyo wasabato wa Jehovah nao sasa nani mkweli .
Sheria za Musa hazina maana tens ata kidogo,,,Yesu alijumlisha sheria zote katika upendo,,,wasaboto wamelaaniwa kwa sababu wanakiburi wanajiona wao ndio watakatifu pekeao,,,Siku wala ndini hazimpeleki mtu mbinguni mbali imani aliyo nayo katika Yesu,,,punguzeni majigambo. May God forgive you and show you correct way to even is not day but believing that Jesus died for your sins.
Bw Yesu anasema sikuja kuitangua torati Bali kuitimiliza dunia na vyote vilivyomo vitapita lakini hakuna hata yodi 1 ya torati itakayo ondolewa na tena yesu ndie Bw wa Sabato
Mtu 1 alimwendea yesu akamwuliza nifanyeje nipate kurithi ufalme wa mbinguni akaambiwa je wazijua amri ?akajibu ndio nimezishika toka utoto wng !yesu kwann alimuuliza juu ya amri kabla ya mambo mengine yote ?Amri 10 za mungu hazikufutwa na zilikaa ndani ya sanduku la agano Bali sheria za Mussa zilizokaa juu ya sanduku la agano ndo zilizofutwa nakukaribisha uende popote lilipo kanisa la waadvetista wasabato na maswali yote ulionayo upate tiba ya kiroho