Тёмный

GOROFA LA CHINO WANAMAN SIO MCHEZO /HADI STUDIO YA MZIKI NDANI 

ZamaradiTV
Подписаться 239 тыс.
Просмотров 48 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Развлечения

Опубликовано:

 

22 авг 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 47   
@user-yo4qy9vh2m
@user-yo4qy9vh2m 4 месяца назад
Daah kweli chino yuko vizuli sana anaupendo na nduguzake
@saidulaya7308
@saidulaya7308 9 месяцев назад
KAMA UNAMKUBALI CHINO WANA MAN GONGA LIKE👉🔥🔥🔥
@JennyJma
@JennyJma 6 месяцев назад
Numba milioni 3 kwa mwezi na umesema unalipa miezi sita ambayo sawa na milioni kuna na nane18 hongera sana unapambana kaka
@jacqueisaac8155
@jacqueisaac8155 10 месяцев назад
Dah jamaa yupo very humble na anaonekana ana roho nzur sana
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 10 месяцев назад
Chino anaupendo Sana Hana roho mbaya ndomana mungu pia anampa
@Juke995
@Juke995 7 месяцев назад
Mama chino apewe maua yake kwa kumlea huyu kijana vizuri sijawah ona msanii chupkizi mwenye nidhani na upendo kama huyi hata ongea yake ni ana adabu sana
@hastatz
@hastatz 6 месяцев назад
Kwahio baba hakumlea kabisa
@vailetjulius4782
@vailetjulius4782 6 месяцев назад
Sana anaheshima mstaarabu
@user-wu4jj7ms2c
@user-wu4jj7ms2c 9 месяцев назад
Mimi kati ya madancer wote ninaowapenda ni wawili tu mose iyobo na chino kwasababu hao madanser wananidhamu kubwa ya hali ya juu alafu sio watu wa mitandao kwasababu mungu anzidi kuwapa mafanikio kubali sana chino
@user-cz8zi9ly1q
@user-cz8zi9ly1q 6 месяцев назад
Chino nakukubali...
@joycechaz2840
@joycechaz2840 9 месяцев назад
Dogo ana roho nzuri sana atafika mbali😍
@user-dp6oj7dp9e
@user-dp6oj7dp9e 10 месяцев назад
Nipenda anavyo kuwa na upendo uyu kaka Mungu akupariki saana
@maxmiletz4563
@maxmiletz4563 9 месяцев назад
Jamaa anajielewa sana
@JennyJma
@JennyJma 6 месяцев назад
Namuona Nabil kapita Mungu amsamehe makosa yake yaani alivyopita kama yupo hai😢😢
@lilianlupeke8040
@lilianlupeke8040 10 месяцев назад
Nimeanza kukufuatilia kupitia kipindi cha DIVA and Hasler. Una moyo wa upendo sana na unajituma utafika mbali mdogo wangu.
@DoreenDaniel-hd7kv
@DoreenDaniel-hd7kv 7 месяцев назад
Chino wanamaaa💋
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 9 месяцев назад
Ana roho nzuri mpaka raha
@mimihuyo8239
@mimihuyo8239 9 месяцев назад
Chino anaonekana ananidhamu sana, atafika mbali
@user-zk9tl5tn7q
@user-zk9tl5tn7q 6 месяцев назад
Show love
@arushijuma6056
@arushijuma6056 7 месяцев назад
Maskin marehem alipita palee 😢
@Queen_of_june
@Queen_of_june 7 месяцев назад
Yani naangali interview namuona marehem nabeel akipita hapo😔
@user-ry2ix2pv4q
@user-ry2ix2pv4q 6 месяцев назад
Nan kama mama jaman
@giztony2009
@giztony2009 9 месяцев назад
Nimejikuta nastaajabu kweli mziki unalipa haya maisha nadhani level ya mbunge lla civil servant wa kawaida hawezi kuishi!
@deborahsamwel-ss2wb
@deborahsamwel-ss2wb 9 месяцев назад
Unawaza kama mimi 😅😅 Yani wakijipata kidogo tyu maisha yao mpaka unaogopa mgorofa ma range mpaka unawaza ni mziki au
@husnaabdullah3009
@husnaabdullah3009 9 месяцев назад
Mashallah mwanangu Allah akuongoze ni mm mama othu au mama lao 7
@hamisahamisa5896
@hamisahamisa5896 6 месяцев назад
Swalehe hajala Leo 😂😂😂😂😂😂
@yustina4621
@yustina4621 7 месяцев назад
Daaaah kweli we kaka mstaalabu chino wanaman na mm niwamorogoro naomba ata nije nikufanyie kaz za ndan kwako ❤❤
@hamesomar9912
@hamesomar9912 5 месяцев назад
Njo Nairobi Kenya kazi utapata
@selemanikiumwa4903
@selemanikiumwa4903 7 месяцев назад
Mashaallah chino una nizam sana ongera
@safian.9518
@safian.9518 10 месяцев назад
Huyu kijana atafik mbali sana maana ananidhamu na upendo wa hali ya juu
@NelsonBakeri
@NelsonBakeri 9 месяцев назад
Chino una moyo mzuri brother
@samysong
@samysong 9 месяцев назад
endelea kupambana
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 6 месяцев назад
Chino mwanawan mm/mumgu azid kukupa afya njema
@FatmaFatma-uj6hp
@FatmaFatma-uj6hp 10 месяцев назад
Wapir linge hap
@mgnchama
@mgnchama 7 месяцев назад
chinochinochino
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 9 месяцев назад
Mjengo mzuri sana na kodi rahisi sana
@vailetjulius4782
@vailetjulius4782 6 месяцев назад
Mno
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 6 месяцев назад
Nimezania yake
@JosephMchaki-fy5te
@JosephMchaki-fy5te 6 месяцев назад
Nyumba mchongoo
@hassansammy1076
@hassansammy1076 9 месяцев назад
Respect bro Chino ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@shyllahnekesa216
@shyllahnekesa216 9 месяцев назад
Zamaradi asiyelipa watu mishahara
@user-py3vt7lu4o
@user-py3vt7lu4o 6 месяцев назад
😮😢😢🎉😂❤😊
@user-zo1ym2te7r
@user-zo1ym2te7r 6 месяцев назад
Kamambele
@zuenampandeni3347
@zuenampandeni3347 10 месяцев назад
Mtangazaji mbona unaajifanya mwenyeji kaa
@giztony2009
@giztony2009 9 месяцев назад
Na yy amepanic nikama hakutarajia balaa hilo
@princessmimi4404
@princessmimi4404 9 месяцев назад
Hii nyumba c ndio ile aliosema amberlulu ni yake ktk kipindi cha mpaka home ya global😂😂😂 Yani wasanii wa bongo
@hajiramadhan6970
@hajiramadhan6970 10 месяцев назад
Pls wakwanza like hapa
Далее
Guess The Drawing! ✍️✨🧐 #shortsart
00:14
Просмотров 1,5 млн
1❤️
00:17
Просмотров 10 млн
Ustadh Nouman Ali Khan
2:12:16
Просмотров 4,2 тыс.
Кошки не нарушают закон😂
0:34