Mama chino apewe maua yake kwa kumlea huyu kijana vizuri sijawah ona msanii chupkizi mwenye nidhani na upendo kama huyi hata ongea yake ni ana adabu sana
Mimi kati ya madancer wote ninaowapenda ni wawili tu mose iyobo na chino kwasababu hao madanser wananidhamu kubwa ya hali ya juu alafu sio watu wa mitandao kwasababu mungu anzidi kuwapa mafanikio kubali sana chino