Dah nimetoa machozi ila chino mama amekuzaa na una moyo wa mama ako sio rahisi wamama walio toka kwenye dhiki akakubari kufanya hayo ubalikiwe sana na uzidi ulipo pungua inshallam
inawezekana wakati wa ajari jamaa alipata internal bleeding yawezekana kichwani au kwenye maeneo ya kifua na kupelekea kupoteza uhai wake ndo mana chino anasema jamaa livyotoka akawa anajishika kichwa
Cha kusema innallilah wainna ilaih rajiun Allah amepanga na anachotaka anafanya ndugu umeongea kwa moyo safi Allah akufanye uwache music urudi ktk dini ya haki ambayo ni uislamu kwa utafaulu
Chino kaka wewe unaroho nzur sana ,,ila punguza show off mala nyingi watu sio wema na sio wazur,,,acha kuonyesha mafanikio yako kwanza na kama ukitoa misaada ,,mala nyingi watu sio wema,,ila ongera na mungu akubariki kaka mana unaroho nzur sana