Yani wake za watu kujidhalilisha kukatika hivo ndio wanapata nn jamani ogopeni mwenyezi mungu tusije tukapata kharka ya allah acheni hayo mambo fanyeni shughuli za staha
Hnger san miss mussa n khdij allah awawek muskilizan inshallah musij mukagombn mkawap faida watu n musij mkasikiliz mann ya wat mkaj kugombn mwshon Allah barik
Jamani selikari si umekataza kunengua hivi watu bado hawakomi jamani chezeni kwa uzuri sio matako mdebwedo hivyo mtafungwa wenzenu washafikishwa mahakaman huko
Kumbe serekali imekataza ? Imefanya vzr sana yaani huu uchezaji siupendi hadi basi , wananikera kweli kweli wakicheza ivo. Wanatuzalilisha tu wanawake wenzao
@@rahmaabdulla4949 ndio imetangaza ukikamatwa jela na kuna wengine washafikishwa mahakaman kwa tabia ya vigoma na kibao kat yaan hao wanaocheza kutikisa matako na kuvua nguo sasa kazi wanayo yaan wanawindwa na serikali wanaharibu maadili ya utu na kuzalilisha wanawake wote kuonekana washenzi km wao
@@upendowakwelinaamani1060 itakuwa vzr sana sana kama serekali imamua ivo. Manake wanawake mame zidi sikuhizi. Uchezaji waovyo kabisa hunaraha hata yakuangalia hizi vidio kwa machezaji yao yakipuuzi
Waislam tuna hakika ya mtoto lkn sio ya kupiga madufu Wala mauno, Ila sahv watu wanapenda kukatika katika ndo wameona fursa kufanya hvyo, sahv si wakristo Wala waislam Bali wadada wa uswazi wote wameona ndo dili
Astaghfirullah hivyo Ndivyo tunavyoshukuru neema za Mungu ? tumempata mtoto WAnawake hizo style mnazocheza za kukaribisha shetani, Mungu amjaalie huyo mtoto awe mtoto mwema amlinde na kila maovu awe mcha Mungu na ampe kipaji katika kuwasaidia watu