mwanamke wakiislamu baada ya radhi za wazazi akiolewa zina hamia kwa mumewe basi ikiwa mzee yusuf ameamua kuachana na munkar basi hakuna budi lazima mkewe amfuate kwani ndio mas ul kwake hapo hakuna mjadal na ikiwa mkewe atakataa kumfuata mumewae basi atakua amekhalifu amri ya mwenyezi mungu na mtume wake hapo atakua amekosa radhi ya mumewe, swali ukiwa ume khalifu amri ya mwenye mungu namtume wake kisha ukazikosa radhi za mumeo je watarajia nini kesho, duniani tuna pita tu huko ndio kwenyewe haya yoote mapambo ya dunia tutayaacha hapa hisabu ndio amal utaondoka nayo sasa dadangu huu mtihani mdogo mungu kakupa muache mumeo kwaajili ya ngoma taarab mipasho, rusha roho,michambo au umfuate mumeo kwa ajili ya ALLAA, mxee yusuf aliipenda taarab kukushinda mungu akampa tanabai, mungu atuongoze sote waislamu inshaallah.
Mungu hashindwi na jambo,mzee Yusuf amuombe Mungu mwisho Leyla atabadilika mwenyewe.Asiwe na munkari wala jazba,mola ndo mlinzi wa roho safi na zilizopotea.Sababu mimi sijawahi kuona talaka inatoka kwa jambo la kheri la kutubu!!,ndo kwanza itakuwa kwao Mungu awaepushie.Amin
inshaallah mungu akupe mwisho mwema kama mumeo wakti ukifika nafsi ikardhia bila shurti basi acha na umrudie Allah na ss wengine pia Allah atuongoze tupate mwisho mwema
jamani njia ipi tena aonyeshwe wakati mumewe ashamwonyesha mke wangu tulikua tuko gizani sasa njia ilio na mwangaza hii achana huko twende huku ati ngojea kidogo alive kwambia tutaishi mpaka kesho ninani INA ILEHI WAINA ILEHi RAJ UUN
Mwanamke wa kiislam anatakiwa amtii mumewe siku mzee akikukataza kuimba,ukienda kuimba umauti ukikukuta umekufa kafiri ingawa hatuombei hivyo.Daraja ya mume kwa mke ni kubwa sana,mtu akibisha shauri yake mwenyewe.Maisha yasituhadae leo tupo kesho hatupo.Mungu atupe mwisho mwema sote
Nimekumbuka ule wimbo wa zamani unaosema, tindi moja tindi mbili tindi tatu kazoea......hivyo kam alimfundisha mwenyewe kuimba, basi atamfundisha taratibu aina njia nyingine ya maisha anayotaka aifate
Kuna mwanamama mwengine (pia muimbaji wa taarab) alisemwa juu ya bwana Wa Dubai huku akiwa na mumewe. Akakana! Ameolewa naye bwana huyo baada ya kuwa kichocheo cha kuachana na mume huyo ambaye sasa hayuko tena duniani!
*wakati wake ukifika naye atabadilika so mzee yusuph kumrudia mungu wake hakumfanyi kila mtu amfuate Yeye no hvyo mungu ndo anayepanga HUMUONGOA ANAYETAKA KUONGOKA NAHUPOTEZA ANAYETAKA KUPOTEA Pia mungu anasema alomnyanyuwa Yeye hakuna wakumshusha na Alomshusha Yeye hakuna wakumpandisha*
we leila unashadagan wewe achakuitolea macho dunia wewe nimuislam bwana tambua dunia tunapita lakini akhera nibora nayenyekubaki mulele mumeo hanashida kahangaika sasa karudi kwa allwah muunge mkono
mtoto waki Tanzania uliumbwa ukaumbika fanya kazi yako time yako ikifika utawacha to pia mume anaweza akakuwacha na akakuletea mke mwenzio kwa hivyo dada fuata roho yako na raha jipe mwenyewe
fahad said usimuhukum binaadam mwenzio kumuita sheitwan, mtoa hukum ni Allah pekee, ipo siku ataacha sio kumuita sjeitwan haaaa jmn. ndio din inasema hvy
shame on u layla,mumeo karudi kwa Mungu unakataa kumuunga mkono,huoni haya mumeo alivyo sasa na wewe umekaa hapo kichwa wazi,mapambo yako anayaona kila mtu,mlaani shayraan urudi kwa Mungu wako kama kweli unampenda sana mumeo. mungu akuhidi na sisi asije kutupa mitihan km hiyo. jiangalie sana hao unicheka nao watakuacha mkono,unaikejeli hajj ya mumeo kwa kustarehesha watu baki....jiangalie mwanamke . tuendapo ni shubiri...